UFAFANUZI WATOLEWA SABABU ZA MAGARI YA ZANZIBAR KUUZWA BEI NDOGO TOFAUTI NA TANZANIA BARA

  Рет қаралды 128,956

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 284
@samsonhaule3647
@samsonhaule3647 3 жыл бұрын
Hapo Umeeleweka, Kwasababu kama hamkufanya hivyo Magari mengi watashushiwa ZANZIBAR na wafanya biashara wakubwa Kisha Watakwenda kupiga Pesa Bara, halafu Bandari ya Bara itakosa soko. Nimewaelewa👏👏👏👏
@erickothegreat8353
@erickothegreat8353 3 жыл бұрын
Uchumi wa bara tofauti na wa Zanzibar,Sasa hapo ndo mnapo vuruga mambo,Huo uchumi mzuri wa bara ukwapi Sasa.
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
Laiti Mzee Karume Kama angelijua muungano huu utakuja kua na hasara kubwa Sana kuliko faida,asinge saini😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 жыл бұрын
Kweli kabisa 😀
@KhalidKhalid-zt1bc
@KhalidKhalid-zt1bc 3 жыл бұрын
karume hata hakuzaliwa Tanzania kwahiyo usitegemee kuwa alikua na uchungubsana na zanzibar zaidi ya kulinda maslahi yake binafsi
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
KUmbeeee
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
😳
@bahatikitete7873
@bahatikitete7873 2 жыл бұрын
@@mwinyikadhi2870 sio kweli kasome history usiongee kiushabiki
@idrissaissa5607
@idrissaissa5607 3 жыл бұрын
Mungu atawapa adhabu Kali Sana siku yakiama acha tuteseke sisi wanyonge one day
@futurepublications6847
@futurepublications6847 2 жыл бұрын
maelezo yako hayaja fafanua vizuri Waziri , naomba ukajielimishe kwanza katika eneo lako la kazi halafu uje utujibu hili swali vizuri
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
Swali na jibu vitu viwili tofauti
@rajabmohammed234
@rajabmohammed234 3 жыл бұрын
Kiongoz jibu lipo wazi kbs,haiwezekan baadhi y mambo yawe sawa lkn kwny ushuru mnaanza kujenga hoja ila maji n mafuta hayakai sehem 1,dunian kote hakuna nchi 1 ushuru w bidhaa 1 ukalipa mara 2 tofaut.
@solomonadams6337
@solomonadams6337 Жыл бұрын
Hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara sawa¿hio ni Tanganyika 💯👌
@Clever-l8v
@Clever-l8v 9 ай бұрын
Hawataki ilo jina na wao ndio wanaoupenda msemo unaoeema mkataa kwao mtumwa
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 3 жыл бұрын
Sasa si nchi mbili tofauti, Kodi mbili, sion umuhimu wa Muungano.
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 3 жыл бұрын
Hawana majibu ni ubabaishaji
@hafydhameir
@hafydhameir 3 жыл бұрын
Muungano unamakubaliano yake tuyasome tujue ndo useme umuhimu uko wapi sio kwenye kila kitu tunasema tu
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 3 жыл бұрын
Hivi hayo majibu hujayaelewa kaka, maana yake hutakiwi kukwepa kodi kwa kushushia gari yako Zanzibar. Ukishusha Zanzibar unatozwa 40% hiyo hiyo gari yako ukitaka kuisafirisha tena kule Bara, utamalizia zile 60% zilizobaki ili ulingane na yule aliyeshushia bara. ila ukishushia Bara kisha ukaisafirisha hiyo gari Zanzibar, hautozwi kitu kwa sababu utakuwa umelipa 100% ya kodi.
@africangirls482
@africangirls482 3 жыл бұрын
@@bigowillythomaskayanda7763 muungano uko wapi hapo
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 3 жыл бұрын
@@africangirls482 ,, swala la ushuru wa bandari haujalishi muungano, linatokana na sera kuhusu visiwa. Kisiwa chochote, kodi ya ushuru wa bandari ni 40%
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 3 жыл бұрын
Muungano uko wapi sasa hapo
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 3 жыл бұрын
Ogopa sana kuishi kwenye nchi ambayo inatengemea mwanamchi kuiyendesha kisha mwananchi huyohuyo ndi anakandamizwa
@alfinmbilinyi1326
@alfinmbilinyi1326 3 жыл бұрын
Zenj kiuchumi wako vizuri kuliko bara.watu milioni moja na nusu wabunge zaidi ya 50.shinyanga mjini watu milioni mbili idadi ya wabunge mmoja.kiuchumi zenj wako vizuri.
@georgekimboka9821
@georgekimboka9821 3 жыл бұрын
Sahihi Kbsa umesema
@shamomar629
@shamomar629 7 ай бұрын
Gari kuingia Tanzania bara unalipia 100% kiwango cha import tax, ukiingiza Zanzibar hulipii yote (lakini si lazima unaweza kulipa yote kukwepa usumbufu ukitaka kusafirisha) utalipa asilimia 60% tu ya kodi. Ila utakapoamua kuileta gari bara basi utamalizia asilimia iliobaki 40% ili ukamilishe kodi halisi ya 100%
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Mtihan, Sawa na mchele mmoja mapish tofauti
@rashidjuma1969
@rashidjuma1969 3 жыл бұрын
Kwanini maji ya drop ,sukari ya Zanzibar haikubaliki kuuzwa Tanzania bara
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 жыл бұрын
Ata mie nashangaa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 жыл бұрын
Kukubalika au kutokubalika kwa bidhaa ni Wateja wenyewe kuamua kutumia vya kwao hebu na sisi tuzikatae bia zao. Unapojadili Muungano angalia kwenye mambo 22 ya Muungano, biashara ya ndani sio suala la Muungano kama kama kuna kikwazo kupeleka bidhaa ya Zanzibar nje ya nchi hio ni hoja ya msingi. Kama sukari kwa nini ipelekwe Bara wakati uzalishaji haujatosheleza ndani? Hata uzalishaji drop hazijatosha ndani.
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 3 жыл бұрын
Hahahahaaaaa Hawa watanganyika wabishanit wanaumia nayakwetu yakwao hawayaoni
@shafyjuma3141
@shafyjuma3141 3 жыл бұрын
Huna nchi
@salumabdallah3495
@salumabdallah3495 3 жыл бұрын
Sioni Point hapo tatizo tra wanajua kabisa uhalisia wa manunuzi ya magari Japan magari ni bei rahisi sana unaweza ukanunua kwa bei ya dola elfu mbili ukachajiwa zaidi kodi zaidi ya dola elfu nne pamoja na charges za bandari
@Mc_ngosha
@Mc_ngosha 3 жыл бұрын
Hamna kitu Apo maana nikwamba Bandari ya Zanzibar itafanya kazi kubwa. Kama inawezekana kupunguza kidogo itakua nafu Maana mapato yaongezeka na kwetu pia watu wataleta latest Car 1.Parking wateja wataongezeka 2.Bandari pia itaongeza Sana Mapato 3.Mafuta pia mtapata Mapato Kwaufupi kupitia njia hizi 3 Kama mfano serekali itanufaika bado ziko nyingine nyingi sana Think Big
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 3 жыл бұрын
Safi sana zembwela kwa good swala
@omaryyusuf9405
@omaryyusuf9405 3 жыл бұрын
Ilaa hajaa jibuu swalii
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 жыл бұрын
Mmmh kzbin.info/www/bejne/h5DIl2abdqqJoJo
@alfredibrahim756
@alfredibrahim756 3 жыл бұрын
Huu ni ujinga na upumbavu mi naishi zanzibar na nimefanikiwa kununua vifaa vyangu vya nyumbani lkn siku nikitaka kuhamia bara wanataka kodi ukijaribu kuwaelewesha hawataki
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 3 жыл бұрын
Ndiyo ni kweli kwa sababu ya Sera ya uchumi, Sera ya uchumi imevipatia visiwa tozo ndogo.
@edwinernest2012
@edwinernest2012 3 жыл бұрын
Upuuzi tuu, sasa inamaana gani na wakati nchi ni moja! Wimbo wa taifa ni mmoja!! Mnawatia watu hasira tuu! Alafu presha.
@preciouspeter3445
@preciouspeter3445 3 жыл бұрын
Mchezo mchafu huu mwisho wa siku picha ni ile ile sema mnacheza na wananchi
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 3 жыл бұрын
Apana zanzibar tuna wimbo wetu na sio wimbo 1 njo zanzibar watoto wakiwa school ndio utajua je wanaimba nyimbo gani sisi atuimbi mungu ibaliki tanzania sisi tuna nyimbo yetu kama ufaamu iroho sawa
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 3 жыл бұрын
Nchi 2 broo
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 3 жыл бұрын
@@ulipoulipotupo7564 haya tumia fursa hii utufundishe au utuandikie beti za wimbo wenu wa taifa lenu tusikie natujue maana mlivo na kiherehere kana kwamba zanzibar mnaishi mbinguni kumbe mnawaza kutengana mpate msaa na waarabu.
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 2 жыл бұрын
boys sea si mtuache na zanzibar yetu kama unataka kujua sisi atuimbi mungu ibaliki Tanzania njo kipindi cha asubui katika shule zote utasikia tunaimba wimbo gani ss sio watanzania ni wazanzibar 😂😂😂
@muharamhassan845
@muharamhassan845 3 жыл бұрын
Sio kaunafuu sema kuna nafuu kubwa sana ila nyinyi nata mmeharibu ushuru mkubwa
@eenpaard3915
@eenpaard3915 2 жыл бұрын
Ushuru sevi uko sawa sawa
@aniri298
@aniri298 3 жыл бұрын
Mi sijawai kuona muungano apo wangeiyachiya zanzibar saizi ingekua dubai
@kelvinimasagasi7398
@kelvinimasagasi7398 Жыл бұрын
Hapo bado hamtendi haki mungu anawaona
@augustryann365
@augustryann365 3 жыл бұрын
Mbona hajajibu swali sasa amezunguka zunguka tu kamaliza stor
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Muungano uko wap sasa??? Hii nchi ikoje??
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
Nakumbuka Mizengo pinda wakati huo no waziri mkuu alipigwa swali Bungeni ktk kipindi Cha maswali ya papo kwa papo..jee Zanzibar no nchi au akamjibu Zanzibar no mkoa yaani sehemu ya Tanzania bara..hata cc wakati tunasoma tulikua tunaambowa shuleni Tanzania Ina mikoa 25 yaan bara mikoa 20 na unguja mikoa mi5.. Sasa iweje mkoa uliie ushuuru Mara 2 wakat nchi ni moja!!!? 😳
@richardedwinn1291
@richardedwinn1291 3 жыл бұрын
Wiz mtupu
@ustadhsalimonlinetv.1807
@ustadhsalimonlinetv.1807 3 жыл бұрын
Sio unguja yenye mikoa 5 ni Zabzibar
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
@@ustadhsalimonlinetv.1807 sawa shekhe
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
@@ustadhsalimonlinetv.1807 yaan unguja mikoa mi3 na Pemba mikoa mi 2
@Daawa-l8s
@Daawa-l8s 3 жыл бұрын
Na waondoe tra yao waone znz inavyopaa kiuchumi, husda za wabongo kutuwekea tra ili watunyonye.
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 3 жыл бұрын
Maneno ayo kake ndio yanayofanya kuwa awataki kuiachia ebu tuweni wapole kwenye kuongea maneno kwan sifa izi ndizo ttzo pia
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 3 жыл бұрын
@@ulipoulipotupo7564 hakuna nchi isiyo kuwa na mamlaka ya kukusanya mapato ya nchi husika ata isingekuwepo TRA basi mngekuwa na ZRA ko huwezi kukwepa hilo
@ally1702
@ally1702 3 жыл бұрын
@@canibalgazaboy8325 Zanzibar ina zrb ndio inayokusanya mapato ya Zanzibar lakini kuwepo kwa tra ambayo ni bodi ya mapato ya Tanganyika ndo mkaona watu wanapiga kelele ushuru Mara mbili sasa ebu fikiria laiti ingekuwa tra hamna tupo na zrb tu unadhani iyo gari ingeshushwa kwa kiasi gani na vitu vengine maana yake tungekuwa na unafuu zaidi kaka
@jackson2120
@jackson2120 3 жыл бұрын
SIO MAGARI TU ZANZIBA WANA UNAFUU MKUBWA SANA SISI VIONGOZI WETU HAWA PENDI TUWE NA MAISHA BORA ILI WAPATE MWANYA WA KUOMBA KURA WAKATI WAO WANA NAFUU KUBWA SANA KI MASLAHI
@emmanuelanael6934
@emmanuelanael6934 3 жыл бұрын
Hakuna haja yamuhungano, bora hilo jina la TANZANIA life ibaka Tanganyika, na Zanzibar. Zote zitambulike kama nchi mbili tofauti.
@samuelndosi9577
@samuelndosi9577 3 жыл бұрын
Hapo brother mambo ya muungano ni shida.
@khamiszubeir8780
@khamiszubeir8780 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ANAONGEA pumba kabisa Nawale walipewa vyeotu
@dicksonndalu6212
@dicksonndalu6212 3 жыл бұрын
Ok
@B23-i8p
@B23-i8p 23 күн бұрын
Ajajibu swali
@meekman1805
@meekman1805 2 жыл бұрын
Nimemuelewa.
@edwardmasanja4979
@edwardmasanja4979 3 жыл бұрын
Ufafanuzi mzuri sana ,je ukitoa gari Tanzania bara kwenda zanzibar utarudishiwa 40% ya kodi?kwa sababu zanzibar kuna punguzo la 40%
@kakasanga5497
@kakasanga5497 3 жыл бұрын
Umeandika point sana Edward
@afroplan431
@afroplan431 3 жыл бұрын
Edu bwana... :)) Unataka wote tuhamie Zanzibar..sio 😁😁😁😁
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 3 жыл бұрын
Zanzibar mtu akitoka bara atumlipishi kodi kubwa ila ttzo mtu akitoka zanzibar kwenda bara ndio ttzo apo tozo ju ya tozo
@amosmoses7800
@amosmoses7800 3 жыл бұрын
CcM ni chAmA cha kuWanYonYA nA kuWadidiMizA waNanchi ... HaKunA jenGinE Ni wiZi mTupu haPo
@mr_BENNY_OFFICIAL
@mr_BENNY_OFFICIAL 3 жыл бұрын
kwann
@yussufkansela8118
@yussufkansela8118 3 жыл бұрын
huu ni ushahidi tosha wakuonye kama zanziba ni nchi na sio visiwa ila mmevaaa uccm na tamaa ndio zinazo waponza
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/h5DIl2abdqqJoJo
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 3 жыл бұрын
Kwani Broo Kua kisiwa sio sababu ya kua si nchi Karume baba ndio alieuondosha Utaifa wa Zanzibar
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Sio hvyo lengo lao Zanzibar iwe moja ya sehem ya ukafiri hawapendi maadili y kiislam ya tawale
@edlumala9428
@edlumala9428 3 жыл бұрын
Viongozi wetu bwana! Hata hajui anajibu nini, kaunafuu flani hivii… zanzibar wanalipa 40% tu ya kodi inayolipiwa bara, so ukipeta gari hiyo bara unalipia ile tofauti ya asilimia 60%! Faida hiyo ya kulipa asilimia 40 ni kwa wazanzibari tu! Matumizi yake ni zanzibar tu!
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 жыл бұрын
Hehee kzbin.info/www/bejne/h5DIl2abdqqJoJo
@yuzotv458
@yuzotv458 3 жыл бұрын
Hii inaitwa mwalim kapewa sindano hahahahahaha najua umeelewa mlimwengu mwenzangu.
@BoB_Mkami
@BoB_Mkami 3 жыл бұрын
kiongozi katumia nguvu na dakika 3 kuexplain kitu ambacho kina tuofautisha na kutufanya tuonekane kama 2 countries! kodi kodi tu! ila fresh acha tushibe!
@muyazakhmuhammed9232
@muyazakhmuhammed9232 3 жыл бұрын
Nchi mbili, Tanganyika na ZANZIBAR ndioo maana ya muungano,
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 жыл бұрын
Heheee kzbin.info/www/bejne/h5DIl2abdqqJoJo
@edinaikunda1259
@edinaikunda1259 3 жыл бұрын
Sijui kama anea jibu kalielewa swali...simuelewi chochote aisee
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 3 жыл бұрын
Yaani huyu sijui anaeleza nini. Nijuavyo mimi, Sura ya mwisho ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, inazungumzia mambo yasiyo ya kimuungano. Na suala la kodi ni moja ya mambo yasiyo ya kimuungano. Ndiyo sababu kila nchi yaani Zanzibar Vs Tanganyika wamejipangia kodi zao tu na hazilingani.
@bensonlucas7607
@bensonlucas7607 3 жыл бұрын
Kwahiyo kuna Tanzania Revenue authority na Zanzibar Revenue Authority.Je unadhani hicho kilichoandikwa kwenye katiba haiwezi kuwa moja ya kero za muungano ?unadhani wananchi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wanaridhika na hali hiyo?
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 3 жыл бұрын
Benson lucas .mambo ya kodi sio ya muungano .bara kivyake kisiwan kivyake .ndo jibu sahihi .
@abhaaly
@abhaaly 3 жыл бұрын
Huyo Anaeongea Hapo Ni Mwanasheria Wa ACT, Nadhani anaelewa Sheria Za Kodi Na Muungano. Ukweli Kama Alivyosema Sheria Za Ndani Kwa TRA Ni Moja Kuhusu Ushuru...!!!
@abujuhaifah7461
@abujuhaifah7461 3 жыл бұрын
Swli zuri majibu kidg sikuyasoma mana swali direct majibu ukenda gongo la mboto utashuka wanja ndege sjui mara boda boda upande bandarini swali bado kidigi
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/h5DIl2abdqqJoJo
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 3 жыл бұрын
Hiyo 40% ya kodi inayolipwa Zenji inaenda kwenye mfuko gani, inanufaisha Zenji peke yake au Tz yote? Kwahiyo wanapewa unafuu kwa ajili uchumi wao uko chini? big lie. Kwa anayetaka kutumia gari Kilwa au Ukerewe(vyote ni visiwa) na anayetumia gari Zanzibar yupi anatumia gari kwenye kisiwa chenye hali ya chini kiuchumi. Watangazaji hopeless wanashindwa kuuliza maswali ya msingi.
@chananjamajiji5412
@chananjamajiji5412 3 жыл бұрын
Mwanangu uliishia darasa la ngapi?
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
@@chananjamajiji5412 Hajitambui uyo Achana nae mwanasheria wao kakiri mwenyewe kua Tanganyika ndio inayo wabana haki zao za kupata mikopo kwa kuwazuia kwenda kutafuta mikopo wakajifanyia wanacho taka kuna watu humu wamo wamo tuu mtihan Yote hii kuipenda dunia
@mj_tz648
@mj_tz648 3 жыл бұрын
Huo niupumbavu mtupu mtu anapata bahati anauziwa gari zanzibar labda mil 2 akija bandar ya bongo hawaangalii risiti ya gar wanagugo beiya aina yagar je uliokuja nalo hapo haki ikowap ndio mana bara matajiritu ndio wana miliki magar masikin anakua hanauwezo wakumiliki gar ifike wakati serikal itambue kua bara navisiwa vya nzanziba ni nchimoja nikama mikoamingine ilivyotu
@tumainjohn6165
@tumainjohn6165 3 жыл бұрын
Mh!! Mbona sijaelewa, maana umeelezea inavyotofautiana, na si kwa nini zinatofautiana
@martinkisha6307
@martinkisha6307 6 ай бұрын
Tunahitaji kujua tofauti ya uchumi wa Zanzibar na bara atueleze? gari nimenunua kwa mtu lilisha tumika labda miaka mitatu bado linadaiwa kodi tena 😊
@stanfordmartinshauri3257
@stanfordmartinshauri3257 3 жыл бұрын
So what if nikaagiza gari bara then nikaenda nalo kisiwani zanzibar kwa matumizi ya kule, jeh nitarudishiwa ile 60%?
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 жыл бұрын
Dah swali zuri kweli kweli
@emmanuelmatagulwa7372
@emmanuelmatagulwa7372 2 жыл бұрын
Hapo sasa
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 жыл бұрын
Mambo ya kukandamizana sana.
@hamisisilimu1245
@hamisisilimu1245 3 жыл бұрын
Twenzetu Znz
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 3 жыл бұрын
Muungano uko kwenye maneno tu kiuhalisia hakuna Cha muungano hapa
@rastapeace9616
@rastapeace9616 3 жыл бұрын
Munaongea bumba tuu
@vedastokeya3344
@vedastokeya3344 3 жыл бұрын
Katika vitu ambavyo huwa sielewi kabisa yaani sera moja Sheria moja Kodi tofaut , hivi HiZI Kodi kwanini zipo juu sana yaan ununue 12m Kodi 12m?
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 жыл бұрын
Heheee kzbin.info/www/bejne/h5DIl2abdqqJoJo
@mwajabuamiri3457
@mwajabuamiri3457 3 жыл бұрын
Kwann waseme Tanzania bara, wakati kule kunaitwa Zanzibar! Kwanini wasiseme Tanganyika? Au jina la Tanganyika ndio limekufa kwa cc watanyika kukosa maarifa!
@malianonicass7029
@malianonicass7029 3 жыл бұрын
Silipendi jina la Tanganyika kabisa
@mwajabuamiri3457
@mwajabuamiri3457 3 жыл бұрын
@@malianonicass7029 mtumwa huru
@BenardSambilo-h2h
@BenardSambilo-h2h 20 күн бұрын
Kwan inashindikana nini kusajili magari yote kwa namba T kama inchi moja? Ndani ya taifa moja kunawa na inchi mbili mmoja anasajiliwa gari kwa no T mwingine Z mbona mnatufanya kama watoto wadogo?
@FeruziIsa-nc5vo
@FeruziIsa-nc5vo 4 ай бұрын
Wajitasmini hawa Jamaica.
@mohamedhussein5535
@mohamedhussein5535 2 жыл бұрын
Hii nchi hii kunasiku tutashika mitutu kama sio ss vizazi vyet
@paulheavyrain9584
@paulheavyrain9584 3 жыл бұрын
Hyo n CHangamoto ya muungano inabidi ishughlikiwe Kama ishu Ni uchumi hata huku bara kila mkoa uchumi wake Ni tofauti. Dar tofauti na kigoma. So watu wakigoma Kodi ipunguzwe.
@rjrajab2312
@rjrajab2312 3 жыл бұрын
Napia mjuulize watanganyika kwanini huko tanganyika Umeme bei nafuu kuliko huku zanzibar wakati nchi ni moja
@simulizizamwanaupwa2644
@simulizizamwanaupwa2644 3 жыл бұрын
Kwanini basi huku Tanganyika kusiwe na ushuru sawa na Zanzibar? Maana ni kana kwamba huku bara kununua gari ni adhabu, hivyo ukinunua unaadhibiwa. Hapa kuna kasoro kiukweli
@jacquelinesemu1347
@jacquelinesemu1347 3 жыл бұрын
OK 40%
@jflamingo1760
@jflamingo1760 3 жыл бұрын
Amna umuhimu wa kujihita muungano sisi ni sawa na nchi mbili tofauti yaani Kama umeagizia bidhaa Kenya tu
@abhaaly
@abhaaly 3 жыл бұрын
Ndio Ilivyo na Ndio Sahihi Zaidi Ndio Wanachokitaka Wazanzibari...!!! Kila Mmoja Afe Na Mbao Yake, Muungano Kwa Mambo Maalumu Tu ya Asili.
@wilsonmsenga6447
@wilsonmsenga6447 3 жыл бұрын
Mbunge Msukuma alisema tunawachumi wabovu tofauti na wanavyosema darasani, hii haileti maana eti wao ushuru kidogo, but bara ushuru mkubwa. Tofauti yake nn? Kwamba Zanzibari wanaishi watu masikini sana wanaohitaji msamaha na bara wanaishi watu matajiri sana. Mm sielewi nisaidieni nipate elimu.
@danieljeremia8629
@danieljeremia8629 3 жыл бұрын
Duh ajajibu kitu ivi anajua kujibu maswal wasomi hvyo kama hawa
@murshidjamshid6758
@murshidjamshid6758 3 жыл бұрын
Yaani unaongea unajikanyaga kanyaga , ukweli ni kwamba nchi hizi hazijaungana alafu michezo kama hiyo iwepo.
@yuzotv458
@yuzotv458 3 жыл бұрын
Hakuna majibu hapa yakitaaram naona ruka ruka tuu. Acha niingie showroom mie iyo mitabu yote yanini. Yaani Tanzania ukiagiza gari ya mil 6 utakung'utwa kodi ambayo nibora uingie showroom tu. Nahiii inasababisha serikali kukosa mapato ila hawajajua tu.
@aminimushi6945
@aminimushi6945 3 жыл бұрын
Wachumi wetu shida.
@maxcharles5436
@maxcharles5436 3 жыл бұрын
hela nyingi wanachukua wakat ni nch .moja
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 3 жыл бұрын
Duuuh ninchi 1 nyinyi vichogo akilihamnazo
@joeaub2185
@joeaub2185 3 жыл бұрын
Huyu analeta majibu ya kufikirika kweny akili yake na sio majibu rasmi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kiuchumi...Bado hatujapata majibu zembwela tafuta mtu mwingine aliyesoma maswala ya uchumi na aliye taasisi ya TRA wanaweza kutupa mwanga..
@kiagohlevy576
@kiagohlevy576 3 жыл бұрын
Safi mzee hajajibu kiufundi
@Gdjn974
@Gdjn974 3 жыл бұрын
Sijamuelewa mbona yan bado hajafafanua vzr inakuwaje kuwaje na kwann
@papaamasauti5944
@papaamasauti5944 2 жыл бұрын
Hata bara bei ya bandari ipo ndogo ukihamisha gari kwenda nchi nyengine ndio Kuna pesa unatakiwa kuongeza
@nassormohammed246
@nassormohammed246 3 жыл бұрын
Sisahau siku nilochukua tv zanzibar nikaleta dar heee nilijuta
@mussaomary7173
@mussaomary7173 3 жыл бұрын
niliporudi fund mwenzangu alibeba sukari kilo 10.aliisusa bandarini.aliambiwa hairuhusiwi kuletwa bara.mwaka ule zanbr kg sh 1000.bongo 2200.
@giftmalema5032
@giftmalema5032 3 жыл бұрын
Daaaaah!!!!
@rwekasimlizi2029
@rwekasimlizi2029 2 жыл бұрын
Mh!!!! why?
@mrsomeone7728
@mrsomeone7728 3 жыл бұрын
Mr zembwela hebu naomba ukipata muda tena muite huyo bwana atuambie nini maana ya muungano. Na nini maana ya kodi tofauti. Mimi bado sijamuelewa.
@husseinkitingi8186
@husseinkitingi8186 3 жыл бұрын
Sababu zake hazina mshiko maana kodi ya mmiliki talipaje mteja?
@charlesmazigo8106
@charlesmazigo8106 8 ай бұрын
Hoja dhaifu kweli,uchumi wa Zanzibar tofauti na bars,hivi humu humu bars uchumi wa kigoma Ni sawa na mwanza?ama uchumi wa mpanda Ni sawa na dar?
@abdulwahidel-abry5007
@abdulwahidel-abry5007 3 жыл бұрын
Zungumza kiswahili cha Zanzibar bwana waziri. Kaunafuu ndiyo nini?
@kassimomar7589
@kassimomar7589 2 жыл бұрын
Kila Siku utaskia KERO Zina shughulikiwa kwa nn zisi malze
@ip_header
@ip_header 3 жыл бұрын
Suali hilo ilibudi aulizwe waziri wa biashara wa Tanzania, inaumiza sana kuona nchi moja kodi tofauti, kama suala la uchumi hata Tanzania bara kunawatu halizao sio nzuri, kwann wasifikiriwe pia?
@georgeakasha764
@georgeakasha764 3 жыл бұрын
Nchi 2 tofauti mkuu, sema tu tupo kwnye muungano.
@shafyjuma3141
@shafyjuma3141 3 жыл бұрын
Siyo kajikodi nibonge la kodi
@fababindawood8363
@fababindawood8363 3 жыл бұрын
Mbona hajajibu m2 akinunua tv 1 au mbili kwa ajili ya matumiz yke ya nyumban 1 sebulen na nyengine labda chumban kwake?hapa ndo kero za muungano watu wanazipigia kelele.waondowe tu mtu akinunua tv asisumbuliwe kulipa ushuru
@johnrobert48
@johnrobert48 3 жыл бұрын
Hapo hakuna majibu.mkuu hapo umetupiga changa la macho.anothe day rudi na majibu
@farhanixhaka2840
@farhanixhaka2840 3 жыл бұрын
Cc wazanzibar na tuendelee tu kupata gari kw bei rahisi
@emanueltesha8873
@emanueltesha8873 3 жыл бұрын
Ajatoa ufafanuzi ameeleza mbona video imeishia sehemu ambayo atujajua ufafanuzi wenywe
@joeaub2185
@joeaub2185 3 жыл бұрын
Mm ningejaribu kwa majib yangu kuwa umbali wa kutok nchi za uarabun au india mpk bandari ya zanzibar kuna ukarib na ndio maan kodi yake inakuwa kubwa tofaut na umbali wa kufika bandar ya Dar lzm kodi iwe kubwa wanapiga thaman ya mzigo na umbali wake...
@chananjamajiji5412
@chananjamajiji5412 3 жыл бұрын
Hebu angalia Ramani ya Dunia halafu ufute ulichoandika
@twalhakhatibu4985
@twalhakhatibu4985 3 жыл бұрын
Naona hakuna faida ya muungano
@murshidjamshid6758
@murshidjamshid6758 3 жыл бұрын
Sio gari tu , zanziba vitu asilimia 99% ni rahisi sana tofauti na bara
@abuubakarhaji3244
@abuubakarhaji3244 3 жыл бұрын
Mbona hajajibu kuhusu vitu vidogo vidogo ?ameulizwa kuhusu TV nimechukua kwaajili ya matumizi je nayo kwanini itozwe tena kodi na ilhali ni vitu vidogo vidogo?
@mussaomary7173
@mussaomary7173 3 жыл бұрын
si afadhali zembwela unasema gari.deck ya 30.000.utailipia 15000.au rushwaa10000.
@nilathecat2444
@nilathecat2444 3 жыл бұрын
kwa maana hiyo nipalepale tu....TRA-wana fanya watanzania wasi lete magari yakifari na mpya
@yussufkansela8118
@yussufkansela8118 3 жыл бұрын
yani apo hadi nirudi shule ndio nimuelewe .sasa yy kaulizwa nini na kajibu nini.(kwani nchi si moja mbona unazungumka mbuyu
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/h5DIl2abdqqJoJo
@raffeiystar2870
@raffeiystar2870 3 жыл бұрын
Ulijuaje kama kazungumza mbuyu na hukusoma na mambo huyajui
@nassirali7499
@nassirali7499 3 жыл бұрын
Hizi ni nchi 2 kasome katiba ya Zanzibar ya 1984 utaona hilo
@KADALAtv255
@KADALAtv255 3 жыл бұрын
Hajatoa majibu kaeleza tofauti ya tozo
@Emmamusiccmb
@Emmamusiccmb 3 жыл бұрын
*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈👈👈👈 kuutazama naamini utaupenda*
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/h5DIl2abdqqJoJo
@BenardSambilo-h2h
@BenardSambilo-h2h 20 күн бұрын
Nataman muungano uvunjike mana haunafaida yoyote kutokana na kizazi tulichonacho kwa sasa
@mudhihirikipande2316
@mudhihirikipande2316 3 жыл бұрын
Mimi nasema muungano wenu ni upi
@isihakamohammedy6322
@isihakamohammedy6322 3 жыл бұрын
Me sijaelewa yaani na kama vipi kila inchi ijitegemee sio huu upuuzi
@ericmkami7578
@ericmkami7578 3 жыл бұрын
hii video hata sijaelewa kesema kweli....sasa Nini maana ya muungano kama mimi nikinunua gari au vitu Zanzibar ukitaka kuleta bara nachajiwa tena Kodi??? huu muungano upo kwenye vitu gan specific maana ufafanuzi wa hyo brother hata sijauelewa vzr.....🤔🤔🤔
@lucamanguo8410
@lucamanguo8410 Жыл бұрын
Mbona sikuelewi. Umesoma kweli ?
@hassannassib919
@hassannassib919 3 жыл бұрын
Hatutaki muunganoo
Tazama Chief Odemba Akimhoji  Maswali Magumu Kamanda Muliro
28:34
The Chanzo
Рет қаралды 103 М.
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 124 МЛН
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 12 МЛН
Je ni kweli Zanzibar MAGARI BEI NDOGO ? - Mr Sabyy
8:23
Mr SABYY
Рет қаралды 6 М.
PROPHET IPM AMWAGA  UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA
24:57
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 124 МЛН