HISTORIA USIYOIJUA JINSI MAREHEMU REMMY ONGALA ALIVYOKOKA KANISANI KWA ASKOFU GWAJIMA

  Рет қаралды 66,780

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

Күн бұрын

Пікірлер: 144
@ngelellageorge8571
@ngelellageorge8571 7 ай бұрын
Hallelujah kwa ushuhuda huo wa jengo la baa hadi kanisa na kuokoa wengi kutoka kifo cha dhambi na kuwafanya watu wafike mbinguni salama.
@johnmussa5489
@johnmussa5489 3 күн бұрын
nabarikiwa sana na Mungu kupitia ushuhuda wako
@LucianSanga
@LucianSanga 4 ай бұрын
Amini Hata katikati ya Waovu Hutoka Mambo Mema Hii ni kanuni ya MUNGU
@JanethKaaya-ql4px
@JanethKaaya-ql4px 2 ай бұрын
Baba umenibariki sanaaa kupitia ushuhuda yako nanda kupokea magonjwayote yamenitabisha muda mrefu kweli mungu akawihi wala achelewi na anaweza yote ktk yote
@imansmwatete4953
@imansmwatete4953 9 ай бұрын
The pastor of this generation....knowledgeable and anointed.
@Sidathikibuga
@Sidathikibuga 6 ай бұрын
Haleluya baba yang ❤❤❤❤❤❤❤
@piusnkwale
@piusnkwale 9 ай бұрын
Baba yangu gwajima.Mungu aendelee kukupa uzima na mafunuo zaidi
@ApaelMbise
@ApaelMbise 8 ай бұрын
Baba mungu akupe neema zaidi na matrio zaidi nimeamka kwa ushuda huu
@thadeusmathiews2564
@thadeusmathiews2564 7 ай бұрын
The living testmony nime barikiwa
@SoloChickens-w5r
@SoloChickens-w5r Ай бұрын
Awesome
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 4 ай бұрын
Gwajima,pazeni,sauti zenu,,taifa,linaangamia,maarifa,yamekwisha,watuwanaabudu,vitambaa/Maji/,udongo/,Mafuta,Wamemusahau,Mungu
@andrewkabalika4690
@andrewkabalika4690 5 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia.
@YEDIDIAPHILIPO
@YEDIDIAPHILIPO 6 ай бұрын
So powerful🙏🙌
@jacklinemoses2247
@jacklinemoses2247 9 ай бұрын
Amen baba yangu kusudi la Mungu litasimama imara kwenye kizazi changu Kwa jina la Yesu amen
@itiamekimbui722
@itiamekimbui722 9 ай бұрын
kwakweli baba ni library ya maisha. mungu ashindi kukuinua pamoja na sisi you are our marking scheme 🇰🇪
@AbishagiPeter
@AbishagiPeter 9 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI sana Askofu J. Gwajima.
@JevisonMwesiga
@JevisonMwesiga 8 ай бұрын
mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 8 ай бұрын
Amina hallelujah
@HAAM670
@HAAM670 9 ай бұрын
Glory to God, Glory to God. Ushuhuda unatia moyo kabisa wa kusonga mbeleee. Thank you Bishop JG. Tanzania Yote kwa YESU
@GoodluckAmos
@GoodluckAmos 9 ай бұрын
Mch Gwajima amenifanya niinuke upya kiroho kun vitu nilitaka kufanya nikaacha sasa nakiri ntafanya na ntafanya tena, nmejifunza meng sana
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 9 ай бұрын
Ubarikiwe sana..
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 9 ай бұрын
Usikate tamaa songa mbele
@IsaacMichael-fw4cx
@IsaacMichael-fw4cx 9 ай бұрын
Ubarikiwe kwa kujifunza
@fredrickryoba2452
@fredrickryoba2452 9 ай бұрын
Amen hata Mm pia ameniinua
@JEMAMGANA
@JEMAMGANA 4 ай бұрын
Mungu akunze baba gwajima
@samwelmjika9871
@samwelmjika9871 9 ай бұрын
Very powerful teaching
@michaelmassae3970
@michaelmassae3970 8 ай бұрын
Mungu akubariki
@pastorprospermlembasayunip500
@pastorprospermlembasayunip500 8 ай бұрын
Ushuhuda mzuri sana
@IssacAman
@IssacAman 9 ай бұрын
Amina Gwajima nabarikiwa sana na wew
@annetheremnant7242
@annetheremnant7242 9 ай бұрын
Wow I love this
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 9 ай бұрын
Amen dady nakupenda
@josephshida469
@josephshida469 9 ай бұрын
Amina nakuelewa sana mzee
@EmirataJkente
@EmirataJkente 9 ай бұрын
Amina Baba. Mungu wa mbinguni yumo ndani yako. Tunsonga mbele kwa neno lako.mungu azidi kukupa nguvu zaidi na mamlaka ya juu sana kugeuza falume za dunia kuwa falme za mwanakondoo.
@devothamagawa7161
@devothamagawa7161 9 ай бұрын
jina la Yesu libarikiwe❤
@richardmanyilizu-rp8hf
@richardmanyilizu-rp8hf 9 ай бұрын
Amen Mungu akubariki mtumishi
@revocatusassey2507
@revocatusassey2507 9 ай бұрын
Nimebarikiwa sana baba Mungu akutunze
@ntezumwamijeremie7064
@ntezumwamijeremie7064 9 ай бұрын
Mchungaji Ngwajima nafwata mafundisho miujiza ambayo Mungu anakutumikisha.Nakupenda.Mchungaji mwezako Jeremie From Glory of Christ/Rwanda
@essaukapufi424
@essaukapufi424 9 ай бұрын
Asante Baba,
@joycemughogho3773
@joycemughogho3773 9 ай бұрын
Amina mtumishi kwa ushuhuda huu nimetiwa nguvu sana❤
@jobmunyali7229
@jobmunyali7229 9 ай бұрын
GOD is good 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@rodriguesvictorvalerio6886
@rodriguesvictorvalerio6886 9 ай бұрын
Asante baba wa mataifa. Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 tunakupenda, na tunatarajia ujio wako ardhi hii.
@piuslyimo486
@piuslyimo486 9 ай бұрын
Gwaji boyyyyyyyyy
@mussathomas3661
@mussathomas3661 9 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na neno lako Mungu akutunze
@Kiyonga2014
@Kiyonga2014 9 ай бұрын
Bishop Gwajima you are the best pastor!
@stephennganga4827
@stephennganga4827 8 ай бұрын
Mtumishi ubalikiwe sana.
@michaelmangoni989
@michaelmangoni989 9 ай бұрын
Mungu ni mwema
@RaymondMuya
@RaymondMuya 9 ай бұрын
Napenda sana mafundisho yako
@livingmunisi5963
@livingmunisi5963 9 ай бұрын
Yani mchungaji gwajima nayapenda sana mahubiri yako na shuhuda zako natamani tuwe na TV ya ufufuo na uzima
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 8 ай бұрын
Mbona hajamfufua mwendazake jiwe magufuli
@fidonifidel
@fidonifidel 8 ай бұрын
​@@MilloWamilonga-ft8irHauna ufahamu wowote juu ya Mungu
@MussaSmano-v1c
@MussaSmano-v1c 5 ай бұрын
​@@fidonifidel Ni kweli kabsa haelewi anachokisema hana ufahamu wowote wa Mungu.
@RaymondMuya
@RaymondMuya 9 ай бұрын
Mchungaji hongera sana kwa ushuhuda wa lemi ongala kuokokea kanisani kwako
@ceciliamaswai8219
@ceciliamaswai8219 9 ай бұрын
Nimekuelewa Sana mchungaji Gwajima
@yuzzob
@yuzzob 8 ай бұрын
Mungu akubariki, ujumbe umenipa booster nikiwa mwendoksi kivukoni-Kimara nikalichubguza eneo nilipofika ubongo
@dorahmavazi111
@dorahmavazi111 9 ай бұрын
Mungu ni mkuu
@kapanikapani5280
@kapanikapani5280 9 ай бұрын
Asante sana mtumishi kwahakika nimebarikiwa sana
@ArcoiriscelestialTv
@ArcoiriscelestialTv 9 ай бұрын
Amem gwajima
@amynatk
@amynatk 9 ай бұрын
Woow woow......huu ni ushuhuda wa vizazi na vizazi. Ubarikiwe sana sana kwa kushare huu ushuhuda kwakweli umeniinua. Mungu akubariki sana na ni maombi yangu akupe hatua zaidi na zaidi. Wewe ni hazina kwa nchi yetu. Ubarikiwe sana
@vieterinamoko5087
@vieterinamoko5087 9 ай бұрын
The Testimony is very encouranging,God's our provider.
@praxedajovinary4560
@praxedajovinary4560 9 ай бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kukutumia apendavyo
@YonaTisho-iu2ng
@YonaTisho-iu2ng 9 ай бұрын
Mapambo kwa wanawake ni tatizo kubwa sanaa.Watumishi mtadaiwa damu zao na mnajua ukweli wote
@GrantMwakalambile
@GrantMwakalambile 9 ай бұрын
Mapambo wp ww mnakaa kuhukum watu et mapambo ko hutaki watu wajipambe
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 9 ай бұрын
Kwahiyo wewe ujumbe woooooote umeona mapambo tuuuuu!!!!
@kilianmtotowamungu3885
@kilianmtotowamungu3885 9 ай бұрын
Kila kanisa lina misingi yake msingi wako ni sawa na hiyo mingine pia ni sawa .kosa kutaka wengine wafanye na msingi wa kanisa lako
@SamwelKipenzi
@SamwelKipenzi 9 ай бұрын
1Petro3:3, Mapambo, mapambo, mapambo, wanawake wengi wataingia motoni kwa sababu ya mapambo. nguo za kubana, makeup, makucha bandia, suruali za kike, , nguo fupi,nguo za mabega wazi na mtiti wazi, na wote wanaotetea mapambo bila kujua mnamtetea shetani, ni heri mtu anapozuia mapambo unyamaze kuliko kuunga mokono utapata hukumu ileile anayopata kahaba, BWANA YESU atusaidie. Mathayo18:7 Ole wao waletao mambo kukosesha.
@pastorheri715
@pastorheri715 9 ай бұрын
Nakubali kunolewa katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth
@Maryc2G
@Maryc2G 9 ай бұрын
Nikiinuliwa na wengine watainuliwa kupitia mimi 👏🏽👏🏽👋🏽👋🏽
@agnesnzali3175
@agnesnzali3175 9 ай бұрын
Ushuhuda wa kujenga sana huu
@marymuthoni1551
@marymuthoni1551 9 ай бұрын
Amina, Mungu ni mwamunifu kwa yote, asante
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 9 ай бұрын
Mvula ana sauti nzuri sana
@saidatowainda525
@saidatowainda525 9 ай бұрын
Barikiwa sana Dadii
@TetekoOg
@TetekoOg 8 ай бұрын
Kwakwel nimebalikiwa sana
@giftkelvin7
@giftkelvin7 9 ай бұрын
This is very powerful testmony, pastor andika kitabu cha hii story
@priestkingagrey
@priestkingagrey 9 ай бұрын
Hallelujah 🔥
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo 9 ай бұрын
Ila nakumbuka mchungaj gwajima s alitaka kumfufua amina chifupa
@pastorprospermlembasayunip500
@pastorprospermlembasayunip500 8 ай бұрын
Haleluyaaaaaa
@ibrahimuezekieli8845
@ibrahimuezekieli8845 9 ай бұрын
Ameeni🙏
@wanguwangu34
@wanguwangu34 9 ай бұрын
Ushuhuda huu unabariki sana na kuinua.
@vitaasumani4613
@vitaasumani4613 9 ай бұрын
Mungu yupo jamani
@byukatorerotv2608
@byukatorerotv2608 8 ай бұрын
Our Mukuru Please translation need
@philibethnyagawa
@philibethnyagawa 9 ай бұрын
Mimi PHILIBETH NYAGAWA NIMEPATA NGUVU MPYAAA AMENI BARIKIWA SANA
@IssacAman
@IssacAman 9 ай бұрын
Kweli kabisa kwa ushuhuda huo Mungu atuongoze wote Tz
@kasuziprosper3570
@kasuziprosper3570 3 ай бұрын
Shuhuda zenye kutia moyo
@jobmunyali7229
@jobmunyali7229 9 ай бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🕊️🔥
@braisonjohnnzunda
@braisonjohnnzunda 9 ай бұрын
Kwakweli wewe ni hazina ya ajabu sana ubarikiwe baba
@obadiambilinyi27
@obadiambilinyi27 9 ай бұрын
Very powerful,
@MosesKaponda
@MosesKaponda 9 ай бұрын
❤❤
@davidolotu9950
@davidolotu9950 8 ай бұрын
Nimepata nguvu mpya
@tadeichaula3278
@tadeichaula3278 9 ай бұрын
Penda sana pastor Gwajima
@sylvanuskavindi2756
@sylvanuskavindi2756 8 ай бұрын
Waumini wa hilo kanisa wana mihemko kama boss wao.
@favourndila8474
@favourndila8474 9 ай бұрын
Ameeen
@kesiawailes1223
@kesiawailes1223 9 ай бұрын
Unanifanya niendelee kusimama katika kusudi la MUNGU
@makoyelwango6048
@makoyelwango6048 9 ай бұрын
Ukweli muhimu
@WincheslausNshashwe
@WincheslausNshashwe 9 ай бұрын
Amen
@samwelmakuni8079
@samwelmakuni8079 9 ай бұрын
Hata mimi kichwa ngumu 😢 leo nimeelewa
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 9 ай бұрын
Mwaka gani
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 Ай бұрын
Namcheka huyo wakili aliyekwambia usimfatilie tena mimi naona siku za mbele utainuliwa kiwango cha juu nampa pole atabaki mdomo wazi
@ndemabhwila
@ndemabhwila 8 ай бұрын
Gwajima uko wapi bashite anavuluga inchi umekaa kimya mbinguni huendi ng.'o
@JonasMwase
@JonasMwase 7 ай бұрын
Mchungaji wetu
@rerisamba
@rerisamba 9 ай бұрын
Imagine mtu alihubiria mpaka kina Remmy halafu mtu ameanza huduma juzi na kufungua account utube ana mnena huyu masiah wa Mungu hua inaniuma kweli
@Maryc2G
@Maryc2G 9 ай бұрын
Face your Goriath👍🏽
@RaymondMuya
@RaymondMuya 9 ай бұрын
Haya ndio mafundisho ya kiroho
@benedictobucke9062
@benedictobucke9062 9 ай бұрын
Kemea mapambo kwa wanawake, kemea uvaaji wa kidunia, kemea mitindo ya kidunia ya unyoaji nywele, kemea makeup, kemea upakaji rangi kucha na midomo. Tafadhali onya na karipia, wengi wanaenda kuzimu ya moto kwa sababu ya Mambo hayo
@aloycesilwela3485
@aloycesilwela3485 9 ай бұрын
Ni watu wa rohoni peke yao watakuelewa lkn hawa wa mwilini sijui
@HannahRichard-ru3rj
@HannahRichard-ru3rj 9 ай бұрын
Very true many things are come from under the world
@JuliusMatiku-ux4ch
@JuliusMatiku-ux4ch 9 ай бұрын
Sawa yesu
@ndemabhwila
@ndemabhwila 8 ай бұрын
Huko ulikoenda mungu amekuacha siasa ni mambo ya kidunia. Wacha polojo
@manethmwiyanja2452
@manethmwiyanja2452 2 ай бұрын
Tumia akili siasa sio polojo kwa kuwa wanaweza kukupangia bei ya sukari na vinginevyo je unataka wakae watu wanaomtumikia shetani tuu tumia akili usiwe mvivu wa kufikiri.
@JacquelineBusime
@JacquelineBusime 9 ай бұрын
Baba Askofu siku gani Mungu wa ufufuo na uzima atakuruhusu uje Burundi?
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 9 ай бұрын
Mahubiri haya nasikiliza mwanzo mwisho, ila ushuda mwingi na miujiza nasinzia
@ndemabhwila
@ndemabhwila 8 ай бұрын
Tengua kauli ulisema yule ni daudi alubeti bashite wakati jina lake ni makonda
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 9 ай бұрын
JASUSI LA MBINGUNI!UBARIKIWE SANA!KIUKWELI WEWE NI MTUMISHI WA TOFAUTI SANA.MUNGU AKUZIDISHE MARA ELFU NA ELFU.
@directorabson
@directorabson 9 ай бұрын
Aliye na Mungu mwache TU usimzuie barabarani
@Lucymaraule
@Lucymaraule 7 ай бұрын
1994 makasi alikuwa ameshaokoka tayali apo umedanganya
@ShadrackNdorenge
@ShadrackNdorenge 9 ай бұрын
Huwa namaliza bando bila kujuta Kwa huyu mwamba
@piusnkwale
@piusnkwale 9 ай бұрын
Aleluiaaaa
Murottal Anak Juz 29 - Riko The Series (Qur'an Recitation for Kids)
1:23:07
Riko The Series
Рет қаралды 5 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
Wakati wako Umefika | Bishop Dr. Josephat Gwajima | 26.01.2025
2:59:11
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 5 М.
CONSÉCRATION
40:18
hubert kanengene
Рет қаралды 13
AFARTANKII (40) QISO OO UGU SAAMEYNTA BADNAA_2022 iyo 2023_ SHEIKH MUSTAFA.
3:26:03
IFTIN BROTHERS STUDIO
Рет қаралды 2,6 МЛН
IBADA YA JUMAPILI | VITA YA KUKARIBIA KUPATA | BISHOP JOSEPHAT GWAJIMA | REBROADCAST
1:52:21
REV. DR. ELIONA KIMARO: KIVUKO CHA FAMILIA/FAMILY FERRY
1:41:06
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 53 М.
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН