Kzazi sana hom boy chidi benzi bongo hakuna kama ww sema tu wanabebwa
@yassirkassim79996 жыл бұрын
Dah namfeel Sana huyu mchizi
@mohamadngwale41476 жыл бұрын
chidi com back boy ...tumezikosa sana frow hizo mlikua waili wenye frow za hatari..r.i.p.ngwear ...umebaki wewe tu..rudi.mzima..man..❤
@official_vanchaz5 жыл бұрын
Bro chid nakuelewa sana,, huwa nafatilia interviews zko nying huwa unaongea vitu fact....Hata interview ya Mirad naikumbuk vzur2... Ulicho ongea ni sahihi.....much respect to you bro mungu akusimamie na kukutia nguvu
@Pathro_Cavosia6 жыл бұрын
Chidi Nakukubali Umeongea facts kuna watu wanatengenezwa kuharibia watu majina kwenye mitandao
@sir_leem_marlian11666 жыл бұрын
KING KONG it was the funniest interview ever bro hahahahah ....hata panadol ni madawa bt uko physical fittness .# SUPPORT FOR THE ONLY KING KONG IN THE GAME.
@jeremiahmasunzu34376 жыл бұрын
Bro Chid ninachokielewa unazidi kukua ktk kuitambua hali yako naumegundua kuwa ukiwa Negative kwa kila kitu unatumia energy kubwa sana ktk life yako,ila watu tunatabia yaasili yaubinafsi hatutaki kujua kuwa ww kma ww unahitaji kujisaidia kwanza bila mipango nahali unayoipitia kwende mbele huwezi kuifanya mipango yetu sisi kama mashabiki kimziki iende mbele pia."Dunia nisehemu sahihi zaidi kama watu wataanza kufikiria juu ya hali wanazopitia watu wengine nakua msaada kwao kwakubadili changamoto wanazopitia"MUNGU msaidie Bro Chid Amani kwako
@aishamohammed69916 жыл бұрын
Tisha sana chid Benz... Nakukubali.. Km zote.
@nas6ix7286 жыл бұрын
Aisha Mohammed gd
@wilonjahatua20676 жыл бұрын
Yaan kama umemuelewa chid benz acha majungu na ubishi gonga like yako hapa 😃😃😃
@mtafutajihachoki59376 жыл бұрын
chidi namkubali sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@pademwanaharakati89806 жыл бұрын
bro chid umeongea madin sanaa kwel we chuma
@mvungigaming6 жыл бұрын
Best session ever I love it
@Ufukweni6 жыл бұрын
Thank you so much brother...we appreciate your love and support.
@mashadaudi88625 жыл бұрын
aisee mungu akuongoz azid kukupa nguvu we n Nouma San🙌🙌🙌
@desavage72005 жыл бұрын
Juice parachichi Huna ishu wewe kavue samaki
@juniorintcompany33756 жыл бұрын
Chid unajua sana mwamba... Ukweli mtupu
@aishamohammed69916 жыл бұрын
Yaan.. Huwa sichoki kuangalia interview ya huyu broo.... jmn wenye hii channel km mnasoma comment.. Mwambie huyu kaka nampenda mpk basi yaani yuko strong hatare!
@Ufukweni6 жыл бұрын
Usijali Aisha, salamu zako zimefika, ipo siku tutakupa mwaliko wa ufukweni uje kupunga upepo nae.
@aishamohammed69916 жыл бұрын
Ufukweni.... Msijali mie mkinifikishia salam zangu tu kwake inatosha... Nashukuru kwa promise ya offer yetu ....na ningependa....Siku nimuone uso kwa uso.... Binafsi huwa sipendi aulizwe about madawa...km mwenyewe alivokuwa hapendi... Ningependa tu watu wasipende kumbeza kutokana na mabaya.... Hebu apewe haki yaki anapozungumza point... But waja huwa hawalioni hilo yaan imekuwa shida chidy akiongea tu anaoneka hayuko sawa... Jmn mie nakereka kwakweli.... In short ni kwamba chupa yupo sawa... Tofauti na siku za nyuma na ukweli wakuacha hizo habari za madawa anaujua yeye ! Na mie namuombea dua kwa Allah azidi kumlinda nakumpa njia ilosahihi kwake chidy my broo m. Mungu akujalie kila lilojema mbele yako inshallah... I love you my broo!
@denisclay85496 жыл бұрын
Nikupe no zake😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@emanueljosephat16056 жыл бұрын
@@denisclay8549 😆😅
@aishamohammed69916 жыл бұрын
@@denisclay8549 nipe kaa unazo
@osmanmustafa29256 жыл бұрын
Twakukubali kamanda tupe kazi
@gishwamungu88586 жыл бұрын
Chiiidi"of course niweke pembeni kwa sababu mi natamba sehemu zote"
@jumachillo6 жыл бұрын
chid Benz bado yuko vizur sana.
@enockmramba65555 жыл бұрын
Chidi ni mtu mzima baba, hata ale madawa aje ila anapoanza kufoka yeye huongea facts. His words are alwaiz inspiring
@enockmramba65555 жыл бұрын
Chidi chuma....hata iweje hawezi isha..i salute u ma nigga
@causticsoda40226 жыл бұрын
et karibu bwana chidi kula bench lile pale
@sekundemaster4606 жыл бұрын
sasa hamumuelewi VP jamaa yupo sawa mbona
@mkolekulwa20366 жыл бұрын
weka glass mbali unataka nikumiminie hahaha ila chid sometimes yes sometime no
@jerryntetema87975 жыл бұрын
trust me makwilo is back, naiona awareness, confidence, energy, Rage na kila kitu, namuona chidy ninaemfahamu
@ramadhanijuma16086 жыл бұрын
Ni kweli chid upo sahh
@babajohn56806 жыл бұрын
Fally na boston cheki apa
@officialslogantz41816 жыл бұрын
Nice work,big shout out to Chid Benz. Real talk ,fuck the system
@Ufukweni6 жыл бұрын
Thanks brother! 👊🏾
@hamzababutarimo59396 жыл бұрын
Unajua sana mkufunz wa la familia
@mophayajoseph50316 жыл бұрын
ilalaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@Dr.zaidi45 жыл бұрын
This guy has no choice but to be drug free. He can also make a good actor in a movie.He's a genius. Seems Tanzanians artistes are propelled by radio airplay,that shld be an outdated mode. Alternative media outlets like this ones are more liberal, superb and doesn't limit or enslave real talent.
@ifgodsayyes.nobodycansayno17966 жыл бұрын
MASHABIKI KUNUNULIWA NAKUBALI SANA HATA WANASIASA KENYA HUNUNUA MASHABIKI CHIDI UMEGONGA NDIPO
@danieljohn38365 жыл бұрын
rudi kwenye game bro mungu yupo kama ipo ipo tuu
@manjalejuniorlg70246 жыл бұрын
Gonga like huyu Jamaa nae ni konki konki konki master
@Chemba676 жыл бұрын
Spot diagnosis?????
@salmaothman1535 жыл бұрын
Bigup chidi
@ramerkiangoh30905 жыл бұрын
Ter toa ter
@tonyelshabbaz6 жыл бұрын
Chidi unauelewa mkubwa sana kaka
@mbarakasaidi82433 жыл бұрын
chid anakumbukumbu nzuri sana kwaiyo mtangazaji kuwa Makini muulize vitu vyamsingi lasivyo mtatolewa nishy tu dyle
@acruxe58106 жыл бұрын
Chid benzi nomaa
@allygwafax56815 жыл бұрын
% chid nakubali bro
@abdallahmchange13706 жыл бұрын
Wale tunao
@omaniallibakari13315 жыл бұрын
Ety nimerud nimetoka wapi big up chidi beezzzzzzzzz
@aishavogelmann67355 жыл бұрын
Chind , one day Mola atakufungulia zidi kumuomba , hakuna atazuia kama Mola amekwandikia.....
@doyjack95jack396 жыл бұрын
Mmmh interview ii nmeipenda saana
@Ufukweni6 жыл бұрын
Shukrani sana 🙏🏾 Subscribe kwenye chaneli yetu ili vitu kama hivi visikupite.
Jamani huyu ni yule chid Benz au ni chid baiskeli?
@manjalejuniorlg70246 жыл бұрын
Hahahahaha child benzino
@alifarah67426 жыл бұрын
Nlirudiii nliendaa wapi unaanza kucheka nijibuuu
@tatut38896 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@mashadaudi88625 жыл бұрын
+Tatu T 🙊🙊🙊🙊
@kingfatah74765 жыл бұрын
😅😅😅😅😆😆😆😂😂😉😯😯😯😂😂😆😅
@kitonekantasha16876 жыл бұрын
ufukweni mpaka nimemuelewa chid ila ufukweni na juice mmmh hamjaninogesha maana chid naona mpaka ameisahau kunywa 😇 tujifuze sehem na sehem.
@kitonekantasha16876 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 wataka nikumininie
@Ufukweni6 жыл бұрын
Poa poa umesomeka dadaa. Big up kwako kwa ushauri mzuri wenye kujenga. Tutajitahidi kuufanyia kazi.
@dkensmopainvevo36835 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 chidi na nikki mbishi wametosha kuiwakilisha 💪
@isayaokoti7336 жыл бұрын
But mimi nimeshikilia pale ambapo kulikua kunasikika music background,it was much better kuzima ile music background kwasababu mazingira ya baharini yanajulikana na fujo fujo zake,kwaiyo cjasema kulekodia sehemu ingine..Only that my friend
@Ufukweni6 жыл бұрын
Sawa asante sana kwa ushauri wako, tutaufanyia kazi. 🙏🏾
@fishfarmingservicestz50955 жыл бұрын
Yed
@drazzadrazza41655 жыл бұрын
Erick Bayona kwenda zako ushamba tuu sound inachangamsha kipindi acheni majungu
Huyu reporter anamaliza juice kabla interview ianze lol,,,,,
@Ufukweni6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@tatut38896 жыл бұрын
Nirazima amalize sababu aongei Sana kama chidy
@sophicatesalim97575 жыл бұрын
Saafi benz
@davidcishahayo28165 жыл бұрын
King rapper
@isayaokoti7336 жыл бұрын
We mtangazaji kua na akiri yakufukiri na pia uwe unafanya kitu ambacho kiko professional kama utakua umesomea kweli,unafanya interview na mtu uko baharini then katika background kuna mziki na ukae ukijua unaelewa mazingira yaliyopo katika bahari,ile hari ya mawingu mawingu,what do you expect wasikilizaji kusikia???????Elimika acha kuboa watu,be professional ndugu,yangu ni hayo next tym whatch out
@Ufukweni6 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa maoni yako Bw. Erick, niwazi umetufatilia na kutizama mazungumzo yetu (ambayo wewe umeyaita mahojiano). Lakini tungependa kuweka jambo moja wazi kuwa mahojiano yanaweza kufanywa mahali popote. Lakini ni vema tukakujuza kwa faida yako na watazamaji wetu wengine kuwa jina la kipindi ni UFUKWENI hivyo huwa hatufanyi mahojiano isipokuwa ni mazungumzo ya hapa na pale (ni kawaida wawili au watatu wanapokutana maeneo hayo kupiga soga) hivyo kuhusu mahali tunapofanyia kipindi hatuwezi kubadili kwakuwa ndio dhana nzima ya kipindi chetu. Kama kuna changamoto nyingine kama za sauti na picha au uwasilishaji wa hoja basi tutajitahidi kadri ya uwezo wetu kuzifanyia kazi hizo changamoto. Asante sana kwa ushauri wako, ubarikiwe🙏🏾 na usisite kutujuza na kuangalia mwenendo wetu kama mdau ambae unatutakia yaliyomema na unaitakia fani hii ya utangazaji na ubunifu wa vipindi kufika mbali.
@haitumikitena49786 жыл бұрын
Gonga like zako hapa Mimi huwa sipatagi like zenu kabisa
@joshuamsambila83343 жыл бұрын
Mi mpaka kesho huyu jamaa namuelewa sana..jamaa anaakili nyingi sana
@xavierycelsus37515 жыл бұрын
Mbona ww ulichezea kwa pina usemi.
@salmadalaquimane53036 жыл бұрын
Chiz nakupendaga sana kka acha hizo v2
@miriamomary92036 жыл бұрын
Kakonda dah
@godlovekwayu15165 жыл бұрын
UKIMALIZA KUCHEKA NIJIBU
@bonniepeter94806 жыл бұрын
WAP MB DOG hii soda yang yako
@alifarah67426 жыл бұрын
Ata yeye sijuii anatumia nini by the way
@testarguy86095 жыл бұрын
Huyo anekuhoji yuko shalo hakuez chuma cha ilala
@Papa2thaE5 жыл бұрын
Ebu mchape kofi huyo anakuita wewe mteja🔥👊🏿🤺🤺🚀😊💥
@babyboy2895 жыл бұрын
Minataka kujua chid Benz anapatikana wapi minataka kukutana nae jamani
@Ufukweni5 жыл бұрын
Mzee Chid ametaja namba yake mwisho utizama interview utaisikia. Mcheki humo.
@desavage72006 жыл бұрын
huna lolote we achana mamuziki yako ya kitambo watu wanataka swaga mwambie na ferozi wote nynyi a the same mmechnganyikiwa
@lawrencehezron84375 жыл бұрын
Kuma Wewe hujui unachoposti.. Unajiita msenge De savage hujui hata maana yake
@desavage72005 жыл бұрын
We shoga la kihindi unatombwa na Baba ako Unapanic kuliko aliyesemwa au mabaasha zako nini kuma LA mama ako upande wa kizazi