Ufukweni: "Hakuna mtu wa kunilinganisha nae" Chid Benz

  Рет қаралды 38,383

Ufukweni

Ufukweni

Күн бұрын

Пікірлер: 149
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 6 жыл бұрын
CHIDI UNASAUTI YA KUTOA NYIMBO KILASIKU UNASAUTI NZURI SANA BIG UP BRO
@lawranceseverine7894
@lawranceseverine7894 6 жыл бұрын
kama unakubali chid anaongea fact gonga la kama zote
@miriamomary9203
@miriamomary9203 6 жыл бұрын
Lawrance Severine mi wa ilala lkn sigong like
@aishamohammed6991
@aishamohammed6991 6 жыл бұрын
Huyu broo nampenda sana... Yaan chid wewe ni konki konki konki master 💪
@emmanuelkumbukumbu3299
@emmanuelkumbukumbu3299 6 жыл бұрын
Chid ni king Kong!
@mussamussarajabu4016
@mussamussarajabu4016 6 жыл бұрын
Kzazi sana hom boy chidi benzi bongo hakuna kama ww sema tu wanabebwa
@yassirkassim7999
@yassirkassim7999 6 жыл бұрын
Dah namfeel Sana huyu mchizi
@mohamadngwale4147
@mohamadngwale4147 6 жыл бұрын
chidi com back boy ...tumezikosa sana frow hizo mlikua waili wenye frow za hatari..r.i.p.ngwear ...umebaki wewe tu..rudi.mzima..man..❤
@official_vanchaz
@official_vanchaz 5 жыл бұрын
Bro chid nakuelewa sana,, huwa nafatilia interviews zko nying huwa unaongea vitu fact....Hata interview ya Mirad naikumbuk vzur2... Ulicho ongea ni sahihi.....much respect to you bro mungu akusimamie na kukutia nguvu
@Pathro_Cavosia
@Pathro_Cavosia 6 жыл бұрын
Chidi Nakukubali Umeongea facts kuna watu wanatengenezwa kuharibia watu majina kwenye mitandao
@sir_leem_marlian1166
@sir_leem_marlian1166 6 жыл бұрын
KING KONG it was the funniest interview ever bro hahahahah ....hata panadol ni madawa bt uko physical fittness .# SUPPORT FOR THE ONLY KING KONG IN THE GAME.
@jeremiahmasunzu3437
@jeremiahmasunzu3437 6 жыл бұрын
Bro Chid ninachokielewa unazidi kukua ktk kuitambua hali yako naumegundua kuwa ukiwa Negative kwa kila kitu unatumia energy kubwa sana ktk life yako,ila watu tunatabia yaasili yaubinafsi hatutaki kujua kuwa ww kma ww unahitaji kujisaidia kwanza bila mipango nahali unayoipitia kwende mbele huwezi kuifanya mipango yetu sisi kama mashabiki kimziki iende mbele pia."Dunia nisehemu sahihi zaidi kama watu wataanza kufikiria juu ya hali wanazopitia watu wengine nakua msaada kwao kwakubadili changamoto wanazopitia"MUNGU msaidie Bro Chid Amani kwako
@aishamohammed6991
@aishamohammed6991 6 жыл бұрын
Tisha sana chid Benz... Nakukubali.. Km zote.
@nas6ix728
@nas6ix728 6 жыл бұрын
Aisha Mohammed gd
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 6 жыл бұрын
Yaan kama umemuelewa chid benz acha majungu na ubishi gonga like yako hapa 😃😃😃
@mtafutajihachoki5937
@mtafutajihachoki5937 6 жыл бұрын
chidi namkubali sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@pademwanaharakati8980
@pademwanaharakati8980 6 жыл бұрын
bro chid umeongea madin sanaa kwel we chuma
@mvungigaming
@mvungigaming 6 жыл бұрын
Best session ever I love it
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Thank you so much brother...we appreciate your love and support.
@mashadaudi8862
@mashadaudi8862 5 жыл бұрын
aisee mungu akuongoz azid kukupa nguvu we n Nouma San🙌🙌🙌
@desavage7200
@desavage7200 5 жыл бұрын
Juice parachichi Huna ishu wewe kavue samaki
@juniorintcompany3375
@juniorintcompany3375 6 жыл бұрын
Chid unajua sana mwamba... Ukweli mtupu
@aishamohammed6991
@aishamohammed6991 6 жыл бұрын
Yaan.. Huwa sichoki kuangalia interview ya huyu broo.... jmn wenye hii channel km mnasoma comment.. Mwambie huyu kaka nampenda mpk basi yaani yuko strong hatare!
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Usijali Aisha, salamu zako zimefika, ipo siku tutakupa mwaliko wa ufukweni uje kupunga upepo nae.
@aishamohammed6991
@aishamohammed6991 6 жыл бұрын
Ufukweni.... Msijali mie mkinifikishia salam zangu tu kwake inatosha... Nashukuru kwa promise ya offer yetu ....na ningependa....Siku nimuone uso kwa uso.... Binafsi huwa sipendi aulizwe about madawa...km mwenyewe alivokuwa hapendi... Ningependa tu watu wasipende kumbeza kutokana na mabaya.... Hebu apewe haki yaki anapozungumza point... But waja huwa hawalioni hilo yaan imekuwa shida chidy akiongea tu anaoneka hayuko sawa... Jmn mie nakereka kwakweli.... In short ni kwamba chupa yupo sawa... Tofauti na siku za nyuma na ukweli wakuacha hizo habari za madawa anaujua yeye ! Na mie namuombea dua kwa Allah azidi kumlinda nakumpa njia ilosahihi kwake chidy my broo m. Mungu akujalie kila lilojema mbele yako inshallah... I love you my broo!
@denisclay8549
@denisclay8549 6 жыл бұрын
Nikupe no zake😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@emanueljosephat1605
@emanueljosephat1605 6 жыл бұрын
@@denisclay8549 😆😅
@aishamohammed6991
@aishamohammed6991 6 жыл бұрын
@@denisclay8549 nipe kaa unazo
@osmanmustafa2925
@osmanmustafa2925 6 жыл бұрын
Twakukubali kamanda tupe kazi
@gishwamungu8858
@gishwamungu8858 6 жыл бұрын
Chiiidi"of course niweke pembeni kwa sababu mi natamba sehemu zote"
@jumachillo
@jumachillo 6 жыл бұрын
chid Benz bado yuko vizur sana.
@enockmramba6555
@enockmramba6555 5 жыл бұрын
Chidi ni mtu mzima baba, hata ale madawa aje ila anapoanza kufoka yeye huongea facts. His words are alwaiz inspiring
@enockmramba6555
@enockmramba6555 5 жыл бұрын
Chidi chuma....hata iweje hawezi isha..i salute u ma nigga
@causticsoda4022
@causticsoda4022 6 жыл бұрын
et karibu bwana chidi kula bench lile pale
@sekundemaster460
@sekundemaster460 6 жыл бұрын
sasa hamumuelewi VP jamaa yupo sawa mbona
@mkolekulwa2036
@mkolekulwa2036 6 жыл бұрын
weka glass mbali unataka nikumiminie hahaha ila chid sometimes yes sometime no
@jerryntetema8797
@jerryntetema8797 5 жыл бұрын
trust me makwilo is back, naiona awareness, confidence, energy, Rage na kila kitu, namuona chidy ninaemfahamu
@ramadhanijuma1608
@ramadhanijuma1608 6 жыл бұрын
Ni kweli chid upo sahh
@babajohn5680
@babajohn5680 6 жыл бұрын
Fally na boston cheki apa
@officialslogantz4181
@officialslogantz4181 6 жыл бұрын
Nice work,big shout out to Chid Benz. Real talk ,fuck the system
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Thanks brother! 👊🏾
@hamzababutarimo5939
@hamzababutarimo5939 6 жыл бұрын
Unajua sana mkufunz wa la familia
@mophayajoseph5031
@mophayajoseph5031 6 жыл бұрын
ilalaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@Dr.zaidi4
@Dr.zaidi4 5 жыл бұрын
This guy has no choice but to be drug free. He can also make a good actor in a movie.He's a genius. Seems Tanzanians artistes are propelled by radio airplay,that shld be an outdated mode. Alternative media outlets like this ones are more liberal, superb and doesn't limit or enslave real talent.
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 6 жыл бұрын
MASHABIKI KUNUNULIWA NAKUBALI SANA HATA WANASIASA KENYA HUNUNUA MASHABIKI CHIDI UMEGONGA NDIPO
@danieljohn3836
@danieljohn3836 5 жыл бұрын
rudi kwenye game bro mungu yupo kama ipo ipo tuu
@manjalejuniorlg7024
@manjalejuniorlg7024 6 жыл бұрын
Gonga like huyu Jamaa nae ni konki konki konki master
@Chemba67
@Chemba67 6 жыл бұрын
Spot diagnosis?????
@salmaothman153
@salmaothman153 5 жыл бұрын
Bigup chidi
@ramerkiangoh3090
@ramerkiangoh3090 5 жыл бұрын
Ter toa ter
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 6 жыл бұрын
Chidi unauelewa mkubwa sana kaka
@mbarakasaidi8243
@mbarakasaidi8243 3 жыл бұрын
chid anakumbukumbu nzuri sana kwaiyo mtangazaji kuwa Makini muulize vitu vyamsingi lasivyo mtatolewa nishy tu dyle
@acruxe5810
@acruxe5810 6 жыл бұрын
Chid benzi nomaa
@allygwafax5681
@allygwafax5681 5 жыл бұрын
% chid nakubali bro
@abdallahmchange1370
@abdallahmchange1370 6 жыл бұрын
Wale tunao
@omaniallibakari1331
@omaniallibakari1331 5 жыл бұрын
Ety nimerud nimetoka wapi big up chidi beezzzzzzzzz
@aishavogelmann6735
@aishavogelmann6735 5 жыл бұрын
Chind , one day Mola atakufungulia zidi kumuomba , hakuna atazuia kama Mola amekwandikia.....
@doyjack95jack39
@doyjack95jack39 6 жыл бұрын
Mmmh interview ii nmeipenda saana
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Shukrani sana 🙏🏾 Subscribe kwenye chaneli yetu ili vitu kama hivi visikupite.
@kabest4475
@kabest4475 5 жыл бұрын
presentr msengee sanaaa.. muache msanii aongee ucmkatishe
@Ufukweni
@Ufukweni 5 жыл бұрын
Matusi hayajengu hoja kaka. Ni vema kuwa na hoja madhubuti ili mpokeaji aipokee kwa heshima.
@kachawakikazi1217
@kachawakikazi1217 6 жыл бұрын
mbona unakata saut sasa
@robinedson
@robinedson 6 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana chief....
@velaalberto7766
@velaalberto7766 6 жыл бұрын
#King Kong #CHUMA👑🔥💪
@rajabupetermoses7338
@rajabupetermoses7338 6 жыл бұрын
nawacheki nipo Zambia show mzuri
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Asante sana mzee, wape Salama pande hizo.
@chrisantushokororo8450
@chrisantushokororo8450 5 жыл бұрын
Mnatumia mic aina gani mbona upepo mwingi
@talibandiesel9799
@talibandiesel9799 5 жыл бұрын
Soda yangu au yako😁😂😁😂
@Pathro_Cavosia
@Pathro_Cavosia 6 жыл бұрын
Nawacheki sana huku mombasa hadi kwenye siasa ivo ivo
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Umetisha sana jembe
@Pathro_Cavosia
@Pathro_Cavosia 6 жыл бұрын
Hope kali Jibaba
@francespeter8772
@francespeter8772 6 жыл бұрын
tunaitaji shoo za chid
@davidndomba1068
@davidndomba1068 6 жыл бұрын
hahahahahah chid bana,bravo
@almasitv9748
@almasitv9748 6 жыл бұрын
Haujui kuendesha kipindi Mzee sasa jaribu kuwa mtulivu katika interview na usiropokeropoke na usimkatishekatishe msaniii
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Sawa Almas Shukrani kwa maoni yako, tutayafanyia kazi na kujirekebisha. 🙏🏾🙏🏾
@jembekali2658
@jembekali2658 6 жыл бұрын
Weusi wanabebwa chidi nimekusoma kizazi sana
@johngwabukoba2205
@johngwabukoba2205 5 жыл бұрын
Mic upepo mwingi..Taften namna inaboa
@rashidayoub7784
@rashidayoub7784 5 жыл бұрын
Shikamoo chidi nakuelewa sana
@nackplankton1669
@nackplankton1669 6 жыл бұрын
KING KONG KING KONG KING KONG
@halimayusuf7985
@halimayusuf7985 6 жыл бұрын
Kizazi chid
@pablomufasa854
@pablomufasa854 6 жыл бұрын
huyu presenter Ana tabia ya ku interfear msanii anapozungumza hio tabia mbaya sjui kwann mpaka kipindi kinaisha chidi hajakuchapa makofi
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Asante kwa maoni yako ya kujenga, tunashukuru sana na tutayafanyia kazi🙏🏾
@victorsir-nga7708
@victorsir-nga7708 5 жыл бұрын
ila sijamfatilia sana,sema chid anaongea sana afu kwenye mtiririko sasa usipo mkatisha anaongea vyake tu ambavyo vinamashiko pia.😂😂😂😂😂
@minhokid
@minhokid 6 жыл бұрын
Konq chid
@doyjack95jack39
@doyjack95jack39 6 жыл бұрын
Chid umekwisha lkn unajikubaliiii saana,acha madawa tunakupenda
@ebisalum8828
@ebisalum8828 6 жыл бұрын
Huyo ndo benzino
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@jumaaalwatanii1298
@jumaaalwatanii1298 6 жыл бұрын
Chumaaa Noumaaa
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀chidiy utakuwa umetukana hapo waripo kata
@yassirkassim7999
@yassirkassim7999 6 жыл бұрын
Hahaha hii soda yangu yako hahaha
@hamzababutarimo5939
@hamzababutarimo5939 6 жыл бұрын
Ktk walio elewa nipo cna sapot thus y cm cpig
@deljaysamil1153
@deljaysamil1153 6 жыл бұрын
chumaaaaaa
@bensonfrank643
@bensonfrank643 6 жыл бұрын
KIZAZI SANA 📍
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
👊🏾 pamoja sana mzee
@godlovekwayu1516
@godlovekwayu1516 5 жыл бұрын
KASEMA UKWELI NA hUYO Benziono ni kweli mtupu
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 6 жыл бұрын
dah
@ayoubjafari1615
@ayoubjafari1615 5 жыл бұрын
sanaaaaaaaa
@johnshilunga6784
@johnshilunga6784 6 жыл бұрын
Jamani huyu ni yule chid Benz au ni chid baiskeli?
@manjalejuniorlg7024
@manjalejuniorlg7024 6 жыл бұрын
Hahahahaha child benzino
@alifarah6742
@alifarah6742 6 жыл бұрын
Nlirudiii nliendaa wapi unaanza kucheka nijibuuu
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@mashadaudi8862
@mashadaudi8862 5 жыл бұрын
+Tatu T 🙊🙊🙊🙊
@kingfatah7476
@kingfatah7476 5 жыл бұрын
😅😅😅😅😆😆😆😂😂😉😯😯😯😂😂😆😅
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 6 жыл бұрын
ufukweni mpaka nimemuelewa chid ila ufukweni na juice mmmh hamjaninogesha maana chid naona mpaka ameisahau kunywa 😇 tujifuze sehem na sehem.
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 6 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 wataka nikumininie
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Poa poa umesomeka dadaa. Big up kwako kwa ushauri mzuri wenye kujenga. Tutajitahidi kuufanyia kazi.
@dkensmopainvevo3683
@dkensmopainvevo3683 5 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 chidi na nikki mbishi wametosha kuiwakilisha 💪
@isayaokoti733
@isayaokoti733 6 жыл бұрын
But mimi nimeshikilia pale ambapo kulikua kunasikika music background,it was much better kuzima ile music background kwasababu mazingira ya baharini yanajulikana na fujo fujo zake,kwaiyo cjasema kulekodia sehemu ingine..Only that my friend
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Sawa asante sana kwa ushauri wako, tutaufanyia kazi. 🙏🏾
@fishfarmingservicestz5095
@fishfarmingservicestz5095 5 жыл бұрын
Yed
@drazzadrazza4165
@drazzadrazza4165 5 жыл бұрын
Erick Bayona kwenda zako ushamba tuu sound inachangamsha kipindi acheni majungu
@deljaysamil1153
@deljaysamil1153 6 жыл бұрын
king wa HIP HOP
@ilemimbeyakwetu3198
@ilemimbeyakwetu3198 6 жыл бұрын
Chumaaaa
@boazmtileghe9161
@boazmtileghe9161 6 жыл бұрын
Chid bhna ngumi mkoni ukimwendea haraka anakwendea haraka 😂😂😂
@gishwamungu8858
@gishwamungu8858 6 жыл бұрын
Huyu reporter anamaliza juice kabla interview ianze lol,,,,,
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@tatut3889
@tatut3889 6 жыл бұрын
Nirazima amalize sababu aongei Sana kama chidy
@sophicatesalim9757
@sophicatesalim9757 5 жыл бұрын
Saafi benz
@davidcishahayo2816
@davidcishahayo2816 5 жыл бұрын
King rapper
@isayaokoti733
@isayaokoti733 6 жыл бұрын
We mtangazaji kua na akiri yakufukiri na pia uwe unafanya kitu ambacho kiko professional kama utakua umesomea kweli,unafanya interview na mtu uko baharini then katika background kuna mziki na ukae ukijua unaelewa mazingira yaliyopo katika bahari,ile hari ya mawingu mawingu,what do you expect wasikilizaji kusikia???????Elimika acha kuboa watu,be professional ndugu,yangu ni hayo next tym whatch out
@Ufukweni
@Ufukweni 6 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa maoni yako Bw. Erick, niwazi umetufatilia na kutizama mazungumzo yetu (ambayo wewe umeyaita mahojiano). Lakini tungependa kuweka jambo moja wazi kuwa mahojiano yanaweza kufanywa mahali popote. Lakini ni vema tukakujuza kwa faida yako na watazamaji wetu wengine kuwa jina la kipindi ni UFUKWENI hivyo huwa hatufanyi mahojiano isipokuwa ni mazungumzo ya hapa na pale (ni kawaida wawili au watatu wanapokutana maeneo hayo kupiga soga) hivyo kuhusu mahali tunapofanyia kipindi hatuwezi kubadili kwakuwa ndio dhana nzima ya kipindi chetu. Kama kuna changamoto nyingine kama za sauti na picha au uwasilishaji wa hoja basi tutajitahidi kadri ya uwezo wetu kuzifanyia kazi hizo changamoto. Asante sana kwa ushauri wako, ubarikiwe🙏🏾 na usisite kutujuza na kuangalia mwenendo wetu kama mdau ambae unatutakia yaliyomema na unaitakia fani hii ya utangazaji na ubunifu wa vipindi kufika mbali.
@haitumikitena4978
@haitumikitena4978 6 жыл бұрын
Gonga like zako hapa Mimi huwa sipatagi like zenu kabisa
@joshuamsambila8334
@joshuamsambila8334 3 жыл бұрын
Mi mpaka kesho huyu jamaa namuelewa sana..jamaa anaakili nyingi sana
@xavierycelsus3751
@xavierycelsus3751 5 жыл бұрын
Mbona ww ulichezea kwa pina usemi.
@salmadalaquimane5303
@salmadalaquimane5303 6 жыл бұрын
Chiz nakupendaga sana kka acha hizo v2
@miriamomary9203
@miriamomary9203 6 жыл бұрын
Kakonda dah
@godlovekwayu1516
@godlovekwayu1516 5 жыл бұрын
UKIMALIZA KUCHEKA NIJIBU
@bonniepeter9480
@bonniepeter9480 6 жыл бұрын
WAP MB DOG hii soda yang yako
@alifarah6742
@alifarah6742 6 жыл бұрын
Ata yeye sijuii anatumia nini by the way
@testarguy8609
@testarguy8609 5 жыл бұрын
Huyo anekuhoji yuko shalo hakuez chuma cha ilala
@Papa2thaE
@Papa2thaE 5 жыл бұрын
Ebu mchape kofi huyo anakuita wewe mteja🔥👊🏿🤺🤺🚀😊💥
@babyboy289
@babyboy289 5 жыл бұрын
Minataka kujua chid Benz anapatikana wapi minataka kukutana nae jamani
@Ufukweni
@Ufukweni 5 жыл бұрын
Mzee Chid ametaja namba yake mwisho utizama interview utaisikia. Mcheki humo.
@desavage7200
@desavage7200 6 жыл бұрын
huna lolote we achana mamuziki yako ya kitambo watu wanataka swaga mwambie na ferozi wote nynyi a the same mmechnganyikiwa
@lawrencehezron8437
@lawrencehezron8437 5 жыл бұрын
Kuma Wewe hujui unachoposti.. Unajiita msenge De savage hujui hata maana yake
@desavage7200
@desavage7200 5 жыл бұрын
We shoga la kihindi unatombwa na Baba ako Unapanic kuliko aliyesemwa au mabaasha zako nini kuma LA mama ako upande wa kizazi
@abdallahmchange1370
@abdallahmchange1370 6 жыл бұрын
Ganja bana
Ufukweni: "F*ck the Media" Nikki Mbishi
23:17
Ufukweni
Рет қаралды 11 М.
I LOVE MY TEACHER | 2 |
24:47
CLAM VEVO
Рет қаралды 372 М.
HELP!!!
00:46
Natan por Aí
Рет қаралды 4,3 МЛН
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 153 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 20 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,9 МЛН
Top 10 Female Weaknesses Every Man Must Know! | Stoicism
20:21
Stoic Tribe
Рет қаралды 97 М.
Dakika 10 Za Maangamizi  : Chid Benz | Planet Bongo
11:24
EastAfricaRadio
Рет қаралды 570 М.
WITCH STUDENT [4]#clamvevo #kiparabrand
26:23
KIPARA BRAND
Рет қаралды 10 М.
Ufukweni: "Basata fungieni zote" Nikki Mbishi
20:28
Ufukweni
Рет қаралды 11 М.
Ufukweni: One the Incredible
26:42
Ufukweni
Рет қаралды 6 М.
HELP!!!
00:46
Natan por Aí
Рет қаралды 4,3 МЛН