Рет қаралды 73,045
Watu zaidi ya 15 wamefariki na zaidi ya 50 ni Wagonjwa kwenye Kata ya Ifumbo Chunya, Mkoani Mbeya na hiyo ni kutokana na kuugua ugonjwa ambao bado haujafahamika ni ugonjwa gani.
Mganga Mkuu wa Wilaya Chunya amethibitisha taarifa hizo.