Ma shaa Allah!!! KONGOLE UKHT FATMA MDIDI! ALLAH AKUHIFADHI.
@fatmahassan47902 жыл бұрын
MaSha Allah TabarakaLlah Mungu Akuhifadhi. Swadakta Habibty. Umezungumza Mada, Muhimu. Mungu Akujaze Kila la kheri
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Amiin yaarab
@ayshazambia65092 жыл бұрын
Mashaallah hakika nimejinfunza mengi allah akulipe kheri fatma nimekupenda kwa hidhini ya allah
@muniraame15352 жыл бұрын
Mashallah uhti Allah akubarik twambie ukweli maana sisi wanawake wengi hatutaki kusoma dini yetu baada ya umbea tu .
@memynanji61082 жыл бұрын
Masha Allah ukhty umeongea vzr sana nimepata Elim kubwa sana, Allah akutunze
@aairraahseif56482 жыл бұрын
Maashaallah ustadhat Allah amekuongoza ktk hili,ni adhimu kupata haya!,Allah atuhifadhi na atupe mwisho mwema
@najmalatiffah9362 жыл бұрын
Namuomba sana Allah niwe na elimu kma yako dada🤲🤲🤲🤲🤲
@rajab27412 жыл бұрын
Mashaallah....Allah atujalie wake wenye uelewa kuhusu dini na ukewenza ..
@nuria7223 Жыл бұрын
Kama mwenyezi mungu amewakubalia sisi ni nani tukatae amri ya Allah inauma lakini tuwe na subra. Na nyinyi wanaume mumuogope mwenyezi mungu
@aishabh79362 жыл бұрын
Mashallah dada fatma kwakutupa mawaidha nzuri kwa kutufunza wanawake mada ambao ni gumu sana kwa wengi kukubali
@mayarkcollection31482 жыл бұрын
Maa Shaa Allah ukhty,, I wish nikiolewa niwe na wenzangu au niolewe uke wenza ila nahitaji mwalimu wakunifunza SoMo Hilo. Ukhty I wish ungekuwa mwalimu wangu. I wish 😢
@ashuraidd91172 жыл бұрын
Uko z wpi my mm nataka mwenzangu
@mayarkcollection31482 жыл бұрын
@@ashuraidd9117 dar es salaam
@adijahmdosi58632 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah mwenyezi mungu akujaze kila la kheri dadaetu kipenzi nimejifuza sana kuhusu ibada hiyo
@ashaidd29122 жыл бұрын
Mashaalah Allah atujaalie tuweze kutimiza mapenzi ya kweli
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Asalam aleikum masha Allha Allha Akulipe kheli dunia walAkhela
@RukiahJuma7 ай бұрын
Nakupenda sana ukhty kwang n kama mama kabisa na unanipa san nguvu nakuona hata kama nikiolewa naweza
@bakarkhamis5369 Жыл бұрын
Mashaallah ingawa cna mpango wa kuowa uke weza ila darsa ni zuri ❤❤❤❤
@khadidjasuleiman80062 жыл бұрын
Mashallah tabaraka llah 👍🤗 Allah atuwezeshe Kwakwel Ukewenza unapingwa Saana ❤️❤️❤️ Shukran sana 😘
@zaqiamhando65222 жыл бұрын
Nmejifunza pakubwa alhmdullah Allah akujaliee mwisho mwema inshallah
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah mwenyezi Mungu akulipe bi fatma nimepata faida kubwa sanaa
@user-vg6gp3bz1f7 ай бұрын
Ma sha Allah Tabaarakallah Shukran ukhti fatma mdidi Kwa darsa muhim saaana lenye mazingatio makubwa🤝🤝🌹❤️
Alhamdulillah ya Allah Allah akuzidishie umri uzid kutuelimisha akujalie khemir ya dunia na akhera amiin
@msafiribakari63222 жыл бұрын
Nakukubali sana my teacher
@naiylamahmed44842 жыл бұрын
MashaAllah....shukran kwa kutupa elimu kuhusu hili jambo
@jackjeremiah41492 жыл бұрын
Mimi Ni mkristo lkn nimejifunza kitu kikubwa Sana kupitia somo hili pia umeniponya Moyo kwa kiwango kikubwa Sana🙏 hii elim sio kwa waisilamu tu Bali hata sisi wakristo kipo chakujifunza.shukran san
@sadakhamis12612 жыл бұрын
Yaani huyo ukhty mashallah wako 4...ikiwa yeye ni mke wa kwanza.. Wanapendana saana
@user-mq6lu2po3y2 жыл бұрын
Mashallah wewe ni kijana wa dhahabu duniani karibu kujifunza dini kupitia midahalo ya masheikh mbali mbali mfano sheikh saidi kinyogali, Dr sule,salim daawa hamza mahene, Yusuf wambugu
@ashanamulya95562 жыл бұрын
Ubadilike
@zaharanbilali2022 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akipe mri mrefu
@rosemasune8404 Жыл бұрын
Yan huyu dada ananifurahisha sana sio anaongea tu ila anayaishi anayoyaongea
@user-me7bk4dy5g3 ай бұрын
Barakallahu fit kum
@shinayzashiraaz45882 жыл бұрын
Somo zuri hili..mashaaAllah Jazakumullah kheir
@BatuliMaaoud-bg2yu3 ай бұрын
Mashaallah
@biaishaathumani5149 Жыл бұрын
Masha Allah
@user-jb8fm7lr3j5 ай бұрын
Mashallah ❤❤🎉🎉🎉ukhty fatma Allah akulipe🤲
@user-mf9hm2ew4r10 ай бұрын
Manshallah Nimejufunza kitu ALLAH Akuifazi 🤗🤗😘😘
@masoudsafia2072 жыл бұрын
Mashallah habibty nakupenda bure bure
@dottohami Жыл бұрын
Masha Allha 🔥❤️🔥
@mwanakombongare16442 жыл бұрын
Mashaallah dadangu Allah akupe umri mada tamu xna
@shanimpenike75682 жыл бұрын
Wanaume wamepewa idhin ya kuoa zaid ya mmoja ....hiyo ni kher kwao wakiwa wako kwenye tawhid
@hatimalnaamani8762 жыл бұрын
Shukurani sana mama kwa darasa zuri
@ramadhansadik001 Жыл бұрын
Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.
Shukran sana ukht nimekuelewa tupe namba zako tukiitsji ushauri inshaallah
@azuathamri99162 жыл бұрын
Mashallah allah akuongezee inshallah
@mejumaaabuu6182 жыл бұрын
Mashaallah mungu atuwezeshe inshaallah.
@haleemasultan67602 жыл бұрын
Masha Allah baraka Allah 🤲
@nuria7223 Жыл бұрын
Ma shaa Allah tabarakallah jazakallahu kheir
@yusufseifu49672 жыл бұрын
Shukran jazla ustadha
@rizikichamosi7551 Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah nimeipenda sana mada
@aishaomar9621 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah
@umarmwayagah773 Жыл бұрын
Maa Shaa Allah
@fatimahasin2041 Жыл бұрын
Sijajutia kukuckiliza💙💙
@mariamsalehabdulla68252 жыл бұрын
Asnte ukhty umenifumbua macho mana mm mwenyewe npo kwenye hii sunna
@kashindyehabibu4612 Жыл бұрын
Jazakallah khaira
@innocentniyizonkiza15272 жыл бұрын
Ndoa za ukee wenza zinapunguza Zina kwa upande zote kike kiume
@heyumi23402 жыл бұрын
subutu
@ramadhantahila91312 жыл бұрын
kabisaa
@hindu52682 жыл бұрын
Mashaallah, ustadhat
@user-wx6sm7hl5n5 ай бұрын
Nakupenda Kwaajili ya Allah
@saumkisira93282 жыл бұрын
Ukht naomba kuuliza km mtoto wa mama mkubwa Na mama mdogo kuolewa Na mume mmoja Je yafaa
@abuukauthar4607 Жыл бұрын
Mtoto wa mama mkubwa na mdogo inafaa kuolewa pamoja Tena inapendeza kweli
@neemafatu471 Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah maashaallah
@fatumaabbas9265 Жыл бұрын
MashaAllah sister Fatma nimejifunza mengi 🥰🥰🥰
@swaibatjawad2580 Жыл бұрын
Manshallah nimekuelewa ukhty
@AshaMbenna-np1qe Жыл бұрын
Assalam alaykum warahmatullah Naomb namba ya ukhty fatma
@shaymaashameem3145 Жыл бұрын
Assalaam alaykum Naomba namba za ukhty Fatma mdidi tafadhali
@abdulbastwahassan7651 Жыл бұрын
Mashallah kwamafundisho mazuli
@FarhanZay-sb4gv2 ай бұрын
Nimejifunza mengi s
@sabihamakami37202 жыл бұрын
Ukhty umeongea pwenti sana 😢
@halimahbwelele694 Жыл бұрын
MashaAllah 🥰🥰🥰
@hamisakamna4738 Жыл бұрын
Allah atujaalie tuwe waumini wema
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Uft sahizi hamna uwadilifu ni mtihani mwaname anawatesa wanawake tu sahivi hamna kitu ni. Mtihani kula ni yashida anakolala anapeleka huku haleti hujuwi nguo ya iddi wala ramadhani na matusi tu
@fahmacholi5754 Жыл бұрын
Dada yangu naomba namba zako ninashida kuhusu huo uke wenza huenda ukanisaidia
@nhamodavid20552 жыл бұрын
Masha Allah 🥰🥰
@hidayamanda-gk7nf8 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤
@IbrahimWaziri-to3fl9 ай бұрын
Assalam alaykum
@neemafatu471 Жыл бұрын
UKTY naomba namba yako nikupigie. inshallah
@ashasalimu55272 жыл бұрын
Kwa yule kwenye uwadilifu Ila kwa Zama hizi muadilifu ninani huyo moja shida tuu
@Garusahir26 күн бұрын
1:39:04 1:39:04 1:39:04 1:39:04
@taharamohd25152 жыл бұрын
Mimi Nataka Namba za uyo mama nisaidien ninashida nae
@mayarkcollection31482 жыл бұрын
Ukipata unitag na mim
@fatmamwinyi38272 жыл бұрын
Namba zako wajina tupate tukuulize tuliyonayo
@zeitunkassim93522 жыл бұрын
MashaAllah TabaraqaAllah 🌹❤️
@latifahud4336 Жыл бұрын
Aaah hapana Kwa kweli ukewenza Mimi stakiii,hata ake nan hamjaniconvice
@jumaomar1580 Жыл бұрын
Ujueukewenza
@oman79012 жыл бұрын
Mashaallah 😍😍😍🤲🤲
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mimi niko na dada yangu anamateso ya ndowa yeye ni wamwanzo lakini ni shida tu kula ya shinda idd hampi nguo hata moja watoto mtihani pakula wanalala chini anakuja kuosema nyumbani iweje hamna kitu analiya kwa aghadhabu ya mume wake kwa kweli mtihani mimi naenda nikayaona kwa macho yangu
@neemafatu471 Жыл бұрын
Hilo ni tatizo la MUMEWE .KAMA ALIVYOSEMA UKTY KUWA HANA IMAN AU ELIMU.
@aishandayishimiye51272 жыл бұрын
MashaAllah tumpende allah kuliko chochote
@mkasiali69562 жыл бұрын
VIP.. nambayako
@fatumajumaa8422 Жыл бұрын
Tatizo ni wanaume
@msafiribakari63222 жыл бұрын
Tutaelewana tu elim ndio kila kitu
@heyumi23402 жыл бұрын
waoe wajane wenye watoto 😂😂😂🤩wengine wasiokuwa wajane wataolewa na nani
@user-mq6lu2po3y2 жыл бұрын
Uke wenza upo
@heyumi23402 жыл бұрын
@@user-mq6lu2po3y ni suna usilazimishe awe wa pili pia wanaume huwa hawapendi kuoa mwanamke mwenye family tayari
@sidrasidra86162 жыл бұрын
Masha'Allah. M nina kaushauri kadogotu atafakari anapo taka kupigwa na camera avae niqab ni ushauli tu