Dalili 10 za mke ambae hakufata ndoa kwako - Mwalimu Dimoso

  Рет қаралды 79,563

Kalamutz

Kalamutz

Күн бұрын

Пікірлер: 122
@twalibu
@twalibu Жыл бұрын
Anayoyasema sheikhe yamenikuta Mimi subhanallah
@DusabeAmina-b8b
@DusabeAmina-b8b 8 ай бұрын
Pore mungu atakuripa.Allah
@halimaali5481
@halimaali5481 8 ай бұрын
Allah akupe make wa kheri na ww
@zahrathomary1805
@zahrathomary1805 Жыл бұрын
Kwenye mahusiano dhuruma zinaonekana sana sababu mahusiano yameteka sana dunia ya leo Ila dhuruma saiz zimetapakaaaa kila sehemu. Mungu atunusuruhu. ALLAH ATUEPUSHEEE IN SHA ALLAH
@mshamsan4338
@mshamsan4338 Жыл бұрын
yaan we acha tuuuu allah atujazee iman ktk mioyoo yetuuu
@IdrisaSulaimani-nv8uh
@IdrisaSulaimani-nv8uh 4 ай бұрын
E mwenyezimung tfanyie weps ktk ndoa zet ya rabbi🎉
@jumahamisi9328
@jumahamisi9328 Жыл бұрын
Yamenikuta ila subra na swala zimetia nguvu ktk kuyamaliza kwa wema. Allah ndie Mwenyezi Mungu mwenye uwezo
@Shahabudin-e1h
@Shahabudin-e1h 12 күн бұрын
Nampenda Sana Uyu Sheikh na Mawaitha yake
@bethjohn928
@bethjohn928 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mi unavyoongea tu najikuta nafurahi mungu akuzidishie
@nasramusaro
@nasramusaro Жыл бұрын
ALLAH akulipe kheri Inshaallah
@kalamuMedia
@kalamuMedia Жыл бұрын
Aaamin kwa niaba ya Mwalimu
@SalmaJadi-sj6dx
@SalmaJadi-sj6dx Жыл бұрын
Mashallah Allah atupe usikivu sisi wanawake
@AaAa-dd1qu
@AaAa-dd1qu Жыл бұрын
Unasema kwer inauma hiyo Jamani sisi Wanamake dutunze waumezetu naroho moja Jamani hii inauma🤲🤲💔💔🥺🥺🙏🙏🗣️
@seifkandanga8281
@seifkandanga8281 Жыл бұрын
mwalimu allah akuzidishie kwa mawaidha yako
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Mashallah tabaraka llah 😅😅 Sheikh umetowa Siri zote 😂😂😂haki 😅😅😅
@yasminhussein7426
@yasminhussein7426 Жыл бұрын
😂😂😂😂 duuuh kweli kabisa SHEIKHE umesema yote kweli ALLAH atusamehe sisi Wana wale walahi, ila mm NAOMBA NIJALIWE MUME NTAKAE MDHAMINI INSH-ALLAH AMEEN 🤲
@yasminhussein7426
@yasminhussein7426 Жыл бұрын
@@athumankhalfan7836 😂😂😂 ALHAMDULILLAH 🤲 kama upo
@yasminhussein7426
@yasminhussein7426 Жыл бұрын
@@athumankhalfan7836 jamani ww😂😂😂 AMEEN AMEEN THUMA AMEEN 🤲🤲 kama kweli basi
@yasminhussein7426
@yasminhussein7426 Жыл бұрын
@@athumankhalfan7836 ni nayo
@muftiahmadimahmudulemba1918
@muftiahmadimahmudulemba1918 Жыл бұрын
Miye hapa
@yasminhussein7426
@yasminhussein7426 Жыл бұрын
@@muftiahmadimahmudulemba1918 karibu
@sakeenaanzi4431
@sakeenaanzi4431 Жыл бұрын
Asante mwalimu najifunza mengi nisiowajua
@yasminally1015
@yasminally1015 Жыл бұрын
Asallam maalequ Shek Maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Ishaalla Alaamdulirai
@saebajoma8419
@saebajoma8419 Жыл бұрын
Nakukubali Sana mwalimu dimoso mm naliaga saa nyingine kwanasaha zako allah akulipe 🙏🙏
@nasramusaro
@nasramusaro Жыл бұрын
Tutibie mwalimu tunaumwa kila nyumba hakuna mwenye nafuu
@mohamedswaleh6778
@mohamedswaleh6778 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@faizaahamd2052
@faizaahamd2052 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@husseiniddy2270
@husseiniddy2270 Жыл бұрын
Maaashallah!!shekh ALLAH akulipe swadacta!!kuli haku laukana muuraaaa!!🙏👍👍👌👌
@hajiidd
@hajiidd Жыл бұрын
Shekhe mwenyezimngu akujalie Kila la kheri
@aaaggdhbdgxhhdb2471
@aaaggdhbdgxhhdb2471 Жыл бұрын
SubhanaAllah 😭😭😭😭 yauma sana
@aishamwabasi3292
@aishamwabasi3292 Жыл бұрын
Allah akujaalie utuelimishe
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Sheikh wangu dimonso na kukumbuka sna pindi npo Tanzania ulishawai Kuja morogoro kilangali
@MariamObote
@MariamObote Ай бұрын
Mora atusamehe wanawake😢😢😢
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Жыл бұрын
Asalaam aleikum ndugu zangu Mtume Muhammad (SAW) amekemea sana inapozumzwa dini au jambo la dini kuchekesha ni mwiko.
@hassansadiki2973
@hassansadiki2973 Жыл бұрын
Wacha kumzushia Mtume
@samirally9693
@samirally9693 Жыл бұрын
Aya na hadthi kaka???
@IsmailyNcheve-ye8zq
@IsmailyNcheve-ye8zq Жыл бұрын
Duuhhhh!!!! shekh umenigusa
@ramadhanhamsini5982
@ramadhanhamsini5982 Жыл бұрын
ASANTE KWA DARSA MWALIMU DIMOSO
@chidampiri1012
@chidampiri1012 Жыл бұрын
Ni mtihani sana
@habiptyomar1532
@habiptyomar1532 Жыл бұрын
si wanawake na wanaume hawatoi tendo la ndoa
@sultansoule2437
@sultansoule2437 Жыл бұрын
Subhan'Allah inauma sana😭😭😭
@rajabmadebo5570
@rajabmadebo5570 Жыл бұрын
Daaaaah 😭😭😭 watu tumesha pigwajeeee!!!!
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Kwanini mnawapa nafasi 😂😂😂kha napita tu 😅
@winnieanyango3951
@winnieanyango3951 Жыл бұрын
Huyu ustadha hufunza funny but on point
@mwajumaissa2358
@mwajumaissa2358 Жыл бұрын
Maashaallah Allah anijalie moyo wa subra na wenye kushukuru na nijali utu kuliko kitu Yaraby
@Ibraahkitale
@Ibraahkitale 7 ай бұрын
kwel shekhe
@bethjohn928
@bethjohn928 Жыл бұрын
Kumbe ndio mana dokta ataki kutoa talaka🤣
@halimaa9367
@halimaa9367 Жыл бұрын
Subhanalha
@ZAMB334
@ZAMB334 Жыл бұрын
Good lessons thanks
@IZIMAMUSALIMU-sv7ml
@IZIMAMUSALIMU-sv7ml Жыл бұрын
Mashaallah
@JamaalAbubakar-f7i
@JamaalAbubakar-f7i 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 iyo kweli sheikh wangu
@mrishorajabunaniza4798
@mrishorajabunaniza4798 5 ай бұрын
allahu akbaru
@somoesaid6070
@somoesaid6070 Жыл бұрын
Shekh ni kweli unayoyasema lakini hata wanaume wapo wenye tabia hiyo. Utajitahidi kumuedhi yeye Hana mpango
@mussaissa6796
@mussaissa6796 Жыл бұрын
Ndio maana Kenya jamaa wanawatandika risasi tu kmmmk
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw Жыл бұрын
Mi niolewa na miyaka 14 nikiwa katika doa nikuwa nafanya biashara mda mume hana kitu mimi natoa nilpo timiza miyaka 18 tukaachana na kanicha na mtoto anaumri wa 3 tujaliwa kupata vijimali kidogo lakini ata ndoo yamaji kaninyima je iyo sio zulma
@salamasaidayoub6779
@salamasaidayoub6779 Жыл бұрын
Pole kipnz
@makelelealphard2101
@makelelealphard2101 Жыл бұрын
Shakira Pole sana
@aishahamza2177
@aishahamza2177 9 ай бұрын
Wanaume wanangalia upande wao tuu hawangaliii kama na sis wanawake wanatuzulumu na kutunyima haki zetu Kwa kutofuata misingi na Sheria za ndoa wanajiangalia wao tu matanio yao hata sis tunapendabkufanyiwa mazuri
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 ай бұрын
Nayo ni dhulma uliyofanyiwa, lakini 90% ya wanaume wanawapenda wake zao lakini 50% ya wanawake waume sio chaguo lao.
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Жыл бұрын
nimefanya utafiti wanaumme ndio wanakufaa zaidi kuliko wanawake wanabaki wajaneee kupitia mikono yao
@salumhassan4309
@salumhassan4309 Жыл бұрын
Asilimia kubwa wanaume ndio wanao umia MWANA MKE hasomeshi mwanaume
@ChumuJuma-b7b
@ChumuJuma-b7b Жыл бұрын
Kweli malim hata mm mlisalitiwa
@kalamuMedia
@kalamuMedia Жыл бұрын
Pole
@abduljabbarmohammed4188
@abduljabbarmohammed4188 Жыл бұрын
Suluhisho ya kusalatiwa na wanawake ni kuoa wanawake walio na mvuto wa wastani wanaokupenda na kuwachana na wanawake warembo wasiokupenda.
@twalibu
@twalibu Жыл бұрын
Kweli yamenikuta mimi
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Dhuluma lkn yakujitakia kwa sbb binadamu ni mwenye kubadilika
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Жыл бұрын
Asalaam aleikum sheikh wangu tazama rangi ya kanzu yako rangi siyo yetu
@mubussnestv5057
@mubussnestv5057 11 ай бұрын
NI RANGI YA KINA NAN?
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Жыл бұрын
sheikh dimoso mtume aliashiria wanawake ni bendera ya motoni
@abduljabbarmohammed4188
@abduljabbarmohammed4188 8 ай бұрын
Sisi wanaume ndiyo wabaya . Na sema hivyo Kwa sababu wengi wetu tunataka wanawake warembo Sana hata kama hao wanawake hawajavutiwa nasi, tunajilazimisha tu. Matokeo yake tunaishii na wanawake ambao hawatutii.
@inshaamar4801
@inshaamar4801 Жыл бұрын
Naomba mwenye namba ya huyu mwalim dimoso please
@fatimahirakoze7311
@fatimahirakoze7311 Жыл бұрын
Wanaume mnafurai dimoso anawateteya mnajisahau kama nyie njo mnatuzulumu kutwa kucha
@omarymwinyi9684
@omarymwinyi9684 11 ай бұрын
Dhulma kubwa
@asmaabdi2956
@asmaabdi2956 Жыл бұрын
Hakuna ihssan wala huruma ndiyo maana vituko tuuuu
@Fadhakir21
@Fadhakir21 Жыл бұрын
Naweza kutoa faida yamtu amedhurumia kuna sura unaweza kusoma na ukajibiwa na Allah kama unaitaji nikute in box
@amour5535
@amour5535 Жыл бұрын
Nataka kuna mwanaume kanizurumu pesa yangu
@abdusam
@abdusam Жыл бұрын
Tupe akhii ni sura gani hiyo?
@salamasaidayoub6779
@salamasaidayoub6779 Жыл бұрын
Naiomba iyo sura
@josephmkindi4633
@josephmkindi4633 5 ай бұрын
uyu muongo atawatapeli
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Kwer kabisa uko sahih shee!
@allynassoro8448
@allynassoro8448 Жыл бұрын
Shahid
@allynassoro8448
@allynassoro8448 Жыл бұрын
Shahid Ni mtu aliwekwa kwa lengo la kutoa ukweli pindi baada ya kutolewa hiyo talaka ili asije kukataa alitoa na aliopewa, kwa hiyo shahidi hasababishi talaka kutokusihi, Ina maana inaswihi bila shahidi
@zakiahhamza1621
@zakiahhamza1621 Жыл бұрын
@@allynassoro8448 pp
@vina_mtu_flani117
@vina_mtu_flani117 Жыл бұрын
mm nishamuacha mtu , maana alikuwa kaja kuchuma aondoke sio kuishi na ndoa
@abduljabbarmohammed4188
@abduljabbarmohammed4188 Жыл бұрын
Mwalimu Dimoso hii issue ya kusomesha mke au mke mtarajiwa Kisha akakuwacha inatokana sana na msingi wa mahusiano yenu, yaani namaanisha wanaume wengi huwang'ang'ania wanawake warembo wasio wapenda.
@Aminaluvuno
@Aminaluvuno Ай бұрын
Mia fil mia😊,wanahonga wakidhani wanapendwa
@AllyDevu
@AllyDevu 2 ай бұрын
😊
@abdulrahmanmussa4479
@abdulrahmanmussa4479 Жыл бұрын
First 11 😂 shukran sheikh
@SalumAbdullah-uf2xm
@SalumAbdullah-uf2xm Жыл бұрын
SHEKHE unayosema niyakweli sasa wengine na mafunzo yandoa wanapata lakini nikusudi
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb Жыл бұрын
Nikweli kabisa shekhe 🙏🙏🙏
@ibrahimmaulid2704
@ibrahimmaulid2704 Жыл бұрын
😂Sheikh kidume mie mie yamenikuta najuta kuowa na Wala sitaki kusikia Wala kujuwa kitu kinachoitwa ndowa for rest of my life so sad
@OmanOman-yk8kl
@OmanOman-yk8kl Жыл бұрын
Why?
@hafsaabdi9295
@hafsaabdi9295 Жыл бұрын
Unamkosea Allah kumbuka kila kinachokufika ni mtihani na sio kila mtihani ni mmbaya kwako mengine inakufunza
@mafundaali9974
@mafundaali9974 Жыл бұрын
Swadakta
@ramlaleila374
@ramlaleila374 Жыл бұрын
Wanawake tu ndio wanaodhulumu????
@abdallahmilaba5407
@abdallahmilaba5407 Жыл бұрын
Akina mama msijirekebishe endeleeni tu hivyohivyo.
@saebajoma8419
@saebajoma8419 Жыл бұрын
Mwalimu dimoso nimepeme talaka na mume wangu ya sms tuu bila hata mashahidi je hii nitalaka kweli mwalimu
@kalamuMedia
@kalamuMedia Жыл бұрын
Pole,inaswihi
@saebajoma8419
@saebajoma8419 Жыл бұрын
@@kalamuMedia shukran 🙏
@alexbayingana7879
@alexbayingana7879 Жыл бұрын
Inaswihi kivipi bila shahidi wakati mnaoana wanakuwepo mashaihidi tufafanulie tafadhari
@allynassoro8448
@allynassoro8448 Жыл бұрын
Talaka.inaswihi muhimu Nia Yale ililenga wapi
@allynassoro8448
@allynassoro8448 Жыл бұрын
Mashahidi
@abaajunainakombo2452
@abaajunainakombo2452 Жыл бұрын
Kwahy tunafanyaje Nini tufanye apo
@gushebaker-sj9it
@gushebaker-sj9it Жыл бұрын
Kwan shee alisomea wanawake tu
@bakarifakih4228
@bakarifakih4228 Жыл бұрын
hata mie huwa nakuuliza naona mada zake zote ni kuhusu wanawake tuu na mapenzi.
@gushebaker-sj9it
@gushebaker-sj9it Жыл бұрын
Umma unakoelekea na masheikh wa aina hii wanazidi kuupoteza. Tumuombeni Allah atuepushe na fitna iliojificha na ilidhihirika. Allah atujaalie viongozi wa dini wenye nasaha zenye mafundisho na muongozo katika kipindi hiki ambacho wanafki niwengi.
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf Жыл бұрын
mm nadhan dini ni uwanja mpana sana kuna mtu anaweza akawa anaweza zaid fiqh lakini sira akawa hayupo vzur,,, kwa iyo ukiwa na shida ya mahusiano kuna watu utaenda kuwasikiliza, ukitaka visa nenda kwa othman maalim, soo sioni kama ikawa kama kuna ubaya ye akaona aspecialize katika sehem flan katika dini katika kuzijenga ndoa ili mradi atembee kwny mstari wa dini yetu asije akachupa mipaka
@ramlaleila374
@ramlaleila374 Жыл бұрын
Nashindwa
@athmanramtu5270
@athmanramtu5270 Жыл бұрын
Allah Awalaani Laana Tullah...wajinga wanawake na Ndio maana...wengi wamotoni,Allah atawachoma ssna kwa sababu hta wakipewa mawaidha ya vipi hwa hawaambiliki..Laana wajinga wapumbavu sanaaaaa😢
@خديجةالمعمري-ج2س
@خديجةالمعمري-ج2س Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@halimaa9367
@halimaa9367 Жыл бұрын
🤣🤣
@cleartzboy
@cleartzboy Жыл бұрын
Lakn mtu had umsomeshe kwa galama hzo lazma utakua umeawahi kudet nae
@mwanahamisimakuruomar3709
@mwanahamisimakuruomar3709 Жыл бұрын
Je mimi mke tangu niolewe natamani mafanikio ila hamna sijasomeshwa sina kibarua wala biashara na wazazi walinisomesha hadi kidato cha nne ila mume wangu hanisaidii je hii si dhulma
Hizi ndizo Haki za Mume na Mke katika Ndoa ya Kiislamu. Baba Kiruwasha
51:15
the balloon deflated while it was flying #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 14 МЛН
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 13 МЛН
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 106 МЛН
SAIKOLOJIA YA MWANAMME
53:34
Elmi TV
Рет қаралды 43 М.
MAMBO YANAYOTUSHUGHULISHA DUNIA YA LEO NI UFUKARA //SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:31:15
DARSA:TAFSIRI YA QURAN SURATUL SWAFAT KUANZIA AYA 6 | (23/02/2022)
1:03:56
SHK SALUM MSABBAH
Рет қаралды 2,9 М.
MKE KITULIZO MUME ACHEKELEA
16:20
MWALIMU DIMOSO ONLINETV
Рет қаралды 43 М.
THAMANI YA BABA KATIKA UISLAMU | SHEIKH NURDIN KISHKI
52:39
Fadhakkir Tv
Рет қаралды 3,5 М.
the balloon deflated while it was flying #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 14 МЛН