Ah Mchungaji Mmbaga, pamoja na kwamba nimeona na kisikilizwa hii clip baada ya miaka miwili ya wewe kufundisha , umenijibu na kunipa uhakika wa dhamira yangu ilivyokuwa inaoongea na Mimi , Asante Roho mtakatifu, na sifa zote , utukufu na heshima zimrudie yeye Mungu anayezungumza na sisi kwa mamma ya ajabu ili atuokoe na Majanga. Mungu akubariki na azidi kukutumia .Pro Mmbaga.
@nicksoncosmas24862 жыл бұрын
Thanks pastor I gain something through your device god bless you🙏🙏
@abednegoaman78614 жыл бұрын
Kaka , you have blessed knowledge. Give a high five GOD
@chachathibias132 жыл бұрын
Duh akika napenda Sana mahubiri yako God bless you pastor
@tumainsuleman82384 жыл бұрын
Pastor asante kwa ujumbe huu roho mtakatifu aliokuongoza kutufundisha, ninamshukuru Mungu kwan niliitaji kuingia kwenye mahusiano lakin sikuwa na amani nikifikiria kuanza uchumba na huyo mkaka nashukuru jinsi Yesu alivyonipnyesha na sasa nina amani nasubiria neema yake itende jambo.
@danielpaul89693 жыл бұрын
Pole Tumain usichoke kusubiri Mungu ni mwema kila wakat 🙏🙏
@tumainsuleman82383 жыл бұрын
@@danielpaul8969 Amina
@AmmyChapuga-rg4gs4 ай бұрын
Amina sana pastor kwasomo zul balkiwa sana tuzid kuombeana pastor
@antonychalamila8958 Жыл бұрын
I have learn something thanks God
@rhinakiza4 жыл бұрын
Amen sija chilewa Asante pastor I am blessed with this words of God
@janethsanya46984 жыл бұрын
Amen pastor roho mtakatifu utufunulia mengi ktk ndoto nami alinitoa mtegoni kwa ndoto nikashukuru xn
@fatemajohn3195 Жыл бұрын
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@eunice3001 Жыл бұрын
Mm ni Eunice kadii Charo Niko Qatar nikwa ajili ya utafutaji nko single mother niliachhwa na jamaa Kwa MDA wa miaka 8 xaxa xo nashkuru mungu Kwa mafundisho yako napata kitu katika kristo
@justinmwavuo26563 жыл бұрын
thank you so much mtumishi
@magrethsimtenda9263 жыл бұрын
Asante Mtumishi MUNGU Akubariki kwa somo zuri
@miliamuchisunga9333 Жыл бұрын
Hakika nimebarikiwa Sanaa na somo paster bless you Sanaa.
@happynessjulius43852 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi maana unaendelea kutibu ugonjwa wangu sugu naamini nitavuka kwa neema ya mungu
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Amina ,nimepata SoMo kuchelewa lakini mungu aliniepusha na msani mkali kweli ,mungu atukuzwe kwa Kila jambo
@saphinacuthbet13432 жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana na hili somo.Barikiwa sana Mchungaji Mmbaga.
@FredyJui9 ай бұрын
Amina ubarikiwe kwa SoMo nzuri
@ZawadiMsitafa-iw2nj Жыл бұрын
Nnashukuru sana Mchungaji naamini tuliosikia tukizingatia bas,bado tuna nafasi ya kufanya vzr zaid
@elishaathumanathuman16 Жыл бұрын
Amen Amen I receive I receive
@filijumayella672410 ай бұрын
Kwanza nikushukuru kwa somo zuri mungu akubariki.naomba kuuliza swali.mimi nina mchumba nimedumu nae mwaka mmoja kila nikimwomba kwenda kujitambulisha kwao hakubali na kuwa mkali huku akidai uchumba unapaswa kudumu miaka 7 au 5 je huyu ni mke sahihi kwangu
@AnageletaBakuma7 ай бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe.
@devothafrederick43523 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, nimeelewa hicho kifungu
Hapa umenihubiria mimi mchungaji,! YES mimi nina mwenzangu ambaye tunapanga kuoana lkn kufikia sasa dhamiri imekataa mara mwingi siwezi kuzihesabu na ndoto mara tatu aina moja yani naota ako na mtu mwingine mara ya kwanza kuota nilimuuliza kama pengine ana mtu mwingine akasema NO, mara ya pili nakanyamaza, mara ya tatu nikamueleze hiyo ndoto sasa akaniambia hajui kutafsiri ndoto waaah mchungaji mimi hapo naona wazi naenda kuuma mawe
@marthawaweru67765 жыл бұрын
Kabisa...jipange huyo Ni community someone
@josephsospeter83045 жыл бұрын
kweli
@eliabamayi43444 жыл бұрын
Heehee Mm pia nina mchumba twapanga kuoana but hapo kwa ndoto ndio bado sijaota,, hivi nasubiria tu nimuote hapo hapo nitamwacha
@euniceeunice76804 жыл бұрын
@@eliabamayi4344 shetani anaweza kutumia sura yke ili akualibie kikubwa funga omba
@happynessmushi56005 жыл бұрын
Mchungaj nimkupenda San na maneno yako mungu akubariki sana
@joyceemmanuel8806 Жыл бұрын
Kweli mtumishi SoMo lako limenigusa sana, vijana kwakwel tuko kwenye changamoto kubwa sana Mungu atusaidie
@stivenmrekatete83812 жыл бұрын
Dah fantastic gospel
@happyobeth85994 жыл бұрын
Mtumishi ni kweli kabisa vijana wengi wasani saaaanaa mwingine anakuambia anafanya kazi usalama wa taifa mungu atusaidie kweli
@ningwaniraisaie86452 жыл бұрын
Asant past
@jonasjaphetthomas64343 жыл бұрын
Somo nimelielewa na nimelipena pia! Lakin pia hapo bendera ilipokuwa inashushwa nimeipenda pia wote mlisimama kuheshim sheria ya nch! Daah nzur kwel
@jaluluhando62562 жыл бұрын
Nabarikiwa sana pastor
@winnieshayo10802 жыл бұрын
🙏 ahsant YESU
@joelysaid74174 жыл бұрын
Mungu akupemaisha mema ya utumishi unanibariki sana
@bahatisaimon60195 жыл бұрын
Amina sana pasta uliasha nifundisha mambo wengi sana nanazidi kukuelewa sana kila siku naposkriza kila hubili lako barikiwa sana kwa kaz hii Mungu alio kupa nausiache kila mda na kila wakati
@davidmmbaga33505 жыл бұрын
John Saimon Amen
@veronicaenock72924 жыл бұрын
@@davidmmbaga3350 Barikiwa Pasta🙏🏻🙏🏻
@fortnataangelo48055 жыл бұрын
Wanaume ndivo wanavo penda kuitikiwa ndio ndio,,ukipiga et huna HESHIMA ,,, ATI yeye ni kichwa cha familia,
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Hakika masomo haya yananihusu sana mimi barikiwa zaidi mtu wa Mungu
@sabrinakenya23535 жыл бұрын
Umenena ukweli Mchungaji Mungu akubariki sana.
@elishaathumanathuman16 Жыл бұрын
Amina Amina Amina Amina Amina
@winifridamushi33882 жыл бұрын
Ubarikiwe
@lazareasuku94532 жыл бұрын
Ni Kweli 😄 mubarikiwe
@saralucas56342 жыл бұрын
Kila lenye kheri kwako pastor Hakika jumbe zako ni tunu kwa ulimwengu
@joyceenos43973 жыл бұрын
Amen mchungaji
@janethmarko18175 жыл бұрын
Nakupenda pastor mbaga Nakuombea kila wakat
@melodyanne32495 жыл бұрын
Amen be blessed brother.
@adelinakastory43373 жыл бұрын
Asante mchungaji tupe neno tupone
@deusdedithbyera5 жыл бұрын
Amina
@TumainiTostao5 ай бұрын
🙏
@esthermagashi60445 жыл бұрын
Aminaaa tena ile KUBWA
@beatricemagoko38015 жыл бұрын
Mchungajii asante kwa mahubirii Yako.. ila naomba kuulizaa wivu uliopitilizaa ndo mapenziii
@esternaftari45534 жыл бұрын
Amin naelew mtumishi
@judithnjalambaya24503 жыл бұрын
Amen
@nathanielmgimwa31675 жыл бұрын
Amina Pastor
@nicodemusbura76694 жыл бұрын
Hongera
@thomasphilimonmolel88552 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@luciewajesus7315 жыл бұрын
Ni kweli niliachwa hoi maskini wa Mungu, dalili zote ilini kumba singe weza kuendelea mbele ningekufia njiani, nilijaribu kupa kila kitu kumshikilia lakini wapi ilibidi niachanr nayo.
@lynelee58464 жыл бұрын
Polee
@danielpaul89693 жыл бұрын
Pole Lucie ni wachache wanaotambua hayo
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Mungu akutendee muujiza
@deborahsabimbonna82794 жыл бұрын
Hiii ya pili kuusu ugomvi bila sababu nakupata sana kabisa asante sana
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amen asante
@eliabamayi43444 жыл бұрын
Ni kweli kabisa mchungaji yaani yenye umeyanena yote ni ukweli Mm nilikua nikiona hizo dalili kwa mchumba wangu ata kabla hatujaoana yaani namuota amezingirwa na wanawake wengi mara saa zengine tukiongea kwa simu tunakosana bila ata sababu yaani anakasirika kila wakati bila sababu,, tulipoaana ndio nilikuja kuumia kabisaa yaani alinizalisha na kunitoroka kuoa bibi mwengine na tukaachana hivo tu
@janejoseph90094 жыл бұрын
pole sana
@magrethsimtenda9263 жыл бұрын
Polee sana dear
@eliabamayi43444 жыл бұрын
Jamani mchungaji mm nitakupata wapi yaani unayo yanena yote yanabigonga,mm sasa natamani nije unisaidie
@markongatunga45203 жыл бұрын
Somo zuri mchungaj
@suzymichael55325 жыл бұрын
Muchungaji mimi nina mpenzi wangu kila ni kilalanae naota nyoka kilasku ni nikikutananae tu nikilala lazima niote yoka mjungaji nisaidie
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
kufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi! jambo la pili,hapo inaoekana kuna vita za kishetani hapo au ki saikolojia. ili nielewe vizuri,nitafute kwa infomahubiritv@gmail.com
@blandonalema29132 жыл бұрын
Ikiwa kwenye ndoa je inakuwaje
@janejoseph90095 жыл бұрын
dah amen ubarikiwe mchungaji
@joshuakiwovele86645 жыл бұрын
Mungu akubariki
@adelinakastory43373 жыл бұрын
Joshua uko WAP et
@samwelmacharia38784 жыл бұрын
Napenda somo lako
@nightstarlittlestar43015 жыл бұрын
Amina, na mimi mme wangu ndio huyo wa ndio, ndio bila hata kupinga chochote.
@frankmndeme92775 жыл бұрын
Nice msg pastor
@evalynedenis5 жыл бұрын
MUNGU ASANTE KWA KUNIFUNDISHA KUPITIA MTUMISHI WAKO
@lynelee58464 жыл бұрын
Nakuelewaaa
@eliasimadaha33334 жыл бұрын
Nabalikiwa sana na mahubili
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.
@sylvesteromariTz4 жыл бұрын
nikweli mchungaji yangu imekufa kabisa
@johnedward81035 жыл бұрын
ameeen
@emanuelaemanuel379310 ай бұрын
Hii ni kweli jmn mimi boyfrend wang alikuwag ni mkali sana kuna siku nimepoteza tu kalamu ...ugomv ulikuw mkubwa san
swali langu ni huwa wana fsnikiwa kweli hawa watu!!!😢😢
@vitalramadhani85775 жыл бұрын
Tabasamu hiro ni ra kizungu kweli nimeipata huku Australia
@MarkoSamwel-i8i6 ай бұрын
Me natafut mchumb
@janethmwanja75575 жыл бұрын
amina
@shimwekagwiza23005 жыл бұрын
Duh, ukweli wasanii niwengi sana, Mungu atupe hekima tu jamani
@georgeperfect56965 жыл бұрын
Amina
@joeljoseph11245 жыл бұрын
Rev ,massage sent
@lucykanuti61385 жыл бұрын
Mungu akubaliki kwa mafundisho mazuri mi nilikuwa na Mwanaume hataki umwuulize chochote anachofanya anasema hayanihusu nikaamwua niachane naye imefikia kajenga nyumba bila kuniambia
@annacharlesmabulathissonga1795 жыл бұрын
Amina sana
@beatricemagoko38015 жыл бұрын
@@lucykanuti6138 duuuuuuh pole sanaa jmn inauma kwelii
@miliamuchisunga9333 Жыл бұрын
Hakika nimebarikiwa Sanaa na somo paster bless you Sanaa.
@elishaathumanathuman16 Жыл бұрын
Amina Amina Amina Amina Amina
@zuhuramike13993 жыл бұрын
Amen
@agnessevarist4995 жыл бұрын
Amina ,
@angellamwamlima14985 жыл бұрын
Amina
@asooraaasooraa48164 жыл бұрын
Pia ninazidi kufatilia mahubiri najifunza mengi ambayo nilikua hata siyajui