UNAPOHITAJI MCHUMBA ZINGATIA!!!!

  Рет қаралды 96,777

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Күн бұрын

NAMNA YA KUCHAGUA MCHUMBA ANAEFAA!!!

Пікірлер: 77
@zabronemmanuel-eo1om
@zabronemmanuel-eo1om 6 ай бұрын
Asante pastor nataman nipate mweza wangu na mm
@jeskadoto5002
@jeskadoto5002 3 жыл бұрын
Past n kwel usemalo mungu akubark sana Ila nkumbuke kwa maombi maan at a Mimi nataman mungu anfungulie na anibark npate mwenzi mwema
@bulayaconfidential7212
@bulayaconfidential7212 3 жыл бұрын
much respect to you pastor mbagga!
@lidyabaraza9099
@lidyabaraza9099 5 жыл бұрын
I believe and i receive in the Mighty Name of JESUS AMEN Ubarikiwe sana
@ahmadndenya2454
@ahmadndenya2454 5 жыл бұрын
Amen mtumishi watu tunabadilika kutokana namafundisho mnayoyatoa
@ramasonyo2727
@ramasonyo2727 5 жыл бұрын
najifunza sana mchungaji mungu akubariki kwa kuwa najikuta naweza kuyahanle mahusiano yangu kwa namna ipasayo na yakumpendeza mungu
@miriamquite7665
@miriamquite7665 5 жыл бұрын
Thank you pastor 👏👏👏
@AminaKalembo-zv6tk
@AminaKalembo-zv6tk 13 күн бұрын
Mchungaji nisaidie ,unieleweshe mtu anapokwambia au unapokuwa unaangalia mtu mcha mungu unaangalia Nini,au unamjua je
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 13 күн бұрын
Kumjua mtu mcha Mungu kunaweza kutegemea vigezo mbalimbali vilivyowekwa na Biblia na mafundisho ya imani ya Kikristo. Hapa kuna baadhi ya ishara zinazoweza kuonyesha mtu mcha Mungu: 1.Kuheshimu Neno la Mungu: Mcha Mungu hujifunza na kuheshimu Neno la Mungu, akitumia Maandiko kama mwongozo wa maisha yake. Zaburi 1:2 inasema, "Bali furaha yake iko katika sheria ya Bwana, na katika sheria yake huitafakari mchana na usiku." 2. Maombi na Kuomba Mwelekeo wa Mungu: Mtu mcha Mungu ana mazoea ya kuomba mara kwa mara, akiwasiliana na Mungu kwa njia ya maombi. Anaelewa umuhimu wa kumtegemea Mungu kwa kila hali. Luka 18:1 inatufundisha tuombe bila kukoma. 3. Matunda ya Roho: Biblia inafundisha kuwa mtu aliye na Roho wa Mungu huonyesha matunda ya Roho Mtakatifu kama vile upendo, furaha, amani, uvumilivu, fadhili, wema, uaminifu, upole, na kiasi (Wagalatia 5:22-23). Mcha Mungu ataonyesha tabia hizi kwa wengine. 4. Kutembea Katika Njia za Haki: Mcha Mungu atajitahidi kuishi maisha matakatifu, kuepuka dhambi na kutafuta haki. Yeye humtii Mungu na kuishi kulingana na amri zake. Mithali 14:2 inasema, "Aendaye kwa unyofu humcha Bwana, bali mwenye njia za upotovu humdharau." 5. Kujitolea kwa Wengine: Mtu mcha Mungu ataonyesha upendo kwa wengine kwa kuwasaidia, kwa vile Yesu alifundisha kuwa tunapaswa kupenda jirani zetu kama tunavyojipenda wenyewe (Mathayo 22:39). 6. Unyenyekevu: Mcha Mungu ni mnyenyekevu mbele za Mungu na wanadamu. Anaelewa kuwa kila kitu hutoka kwa Mungu, hivyo anaishi maisha ya shukrani na unyenyekevu. Yakobo 4:10 inasema, "Jinyenyekezeni mbele za Bwana, naye atawakweza." Kupitia sifa hizi, mtu anaweza kutambulika kama mcha Mungu. Pia, siyo tu kwa maneno, bali kwa matendo ya kila siku.
@joannyaboke2067
@joannyaboke2067 Жыл бұрын
True pastor David
@rkhamis1771
@rkhamis1771 5 жыл бұрын
Ahsante Pr, MUNGU na akubariki
@JustinJames-bp1wg
@JustinJames-bp1wg Жыл бұрын
Asante sana pester nilikua kwenye atua hyo nashukur San Kwa ujumbe wako amina
@fatemajohn3195
@fatemajohn3195 7 ай бұрын
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa somo zuri
@eliviaevodius9383
@eliviaevodius9383 4 жыл бұрын
Asante pastor mbarga
@Simplepleasures9
@Simplepleasures9 4 жыл бұрын
Amina, hakika Yesu ndio chanzo cha Safari njema
@danielmacharia6794
@danielmacharia6794 3 жыл бұрын
Wah
@MaleaTumaini
@MaleaTumaini 9 ай бұрын
Mungu na azidi kukutumia siku zote mtumishi wa Mungu
@judithcherono2595
@judithcherono2595 5 жыл бұрын
Amen umeniupili iyo point ni yangu kutoka Dubai,Sabato njema
@davidmmbaga3350
@davidmmbaga3350 5 жыл бұрын
Judith Cheroto amen
@sirilimtili6439
@sirilimtili6439 5 жыл бұрын
Amina
@sabrinakenya2353
@sabrinakenya2353 5 жыл бұрын
Hakika umenena ukweli; Amani ya Bwana wetu yesu iwe pamoja nanyi siku zote.
@monjoo_tzmonjoo5771
@monjoo_tzmonjoo5771 3 жыл бұрын
Utarikiwe sana mchungaji
@ElinoraDaudi
@ElinoraDaudi Жыл бұрын
Amin mtumish ubarikiwe san
@mwanamwende3651
@mwanamwende3651 5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa pasipo yesu hatuwezi lolote
@hillarymollel1862
@hillarymollel1862 5 жыл бұрын
Hakika
@anithamami8133
@anithamami8133 4 жыл бұрын
Hillary Mollel uuurl
@johnedward8103
@johnedward8103 5 жыл бұрын
be blessed pastor
@JohnJohn-ql2kf
@JohnJohn-ql2kf 9 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@erickperesi5192
@erickperesi5192 2 жыл бұрын
Barikiwa saana mchungaji, japo nilitaka kukuuliza kwa upande wa huduma zako za vitabu mbona huku mkoa wa kagera umetusahau saana?
@junekemunto9035
@junekemunto9035 5 жыл бұрын
Watching love frm turkana county kenya nyc i rem kuwa si kila alie na nyundo ni fundi
@winnieigunda7619
@winnieigunda7619 2 жыл бұрын
Ubalikiwe mtumishi was Mungu nakupata sana
@rosepeter8996
@rosepeter8996 4 жыл бұрын
😂😂🙏🙏🙏barikiwa sana mchungaji mahubiri yako yamenifaa siku ya leo💞💞🙏🙏
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 4 жыл бұрын
rose Peter Amen
@chrispinimpepo7447
@chrispinimpepo7447 5 жыл бұрын
MCHUNGAJI UMENIGUSAA BHANA ONGELAA
@chantalshimi9619
@chantalshimi9619 5 жыл бұрын
Safi sana Mchungaji. Nimebarikiwa sana🙏
@gloriouswaeni4890
@gloriouswaeni4890 4 жыл бұрын
Praise God... Nina Swali kwako mchungaji... Hivi Ukipata kijana a nakupenda na ni mcha mungu na pia hard working but unashindwa kumpenda sababu ya height... Can you still get married and live happily???
@Pr_Stanley_JB.
@Pr_Stanley_JB. 3 жыл бұрын
Hi
@MwanjiMasige-le5ug
@MwanjiMasige-le5ug 10 ай бұрын
❤ Amina paster
@samueljr9105
@samueljr9105 5 жыл бұрын
Wanakula zaidi sababu hawajatolea jasho hapo ni kweli kabisa
@mshindivictor1690
@mshindivictor1690 5 жыл бұрын
Asante
@Meshacklaizer-d8v
@Meshacklaizer-d8v 9 ай бұрын
Kupitia semina hii akanipe aliye sahihi
@LucyNikolas
@LucyNikolas Жыл бұрын
Mungu akubaliki
@lutemahindiakaje5046
@lutemahindiakaje5046 5 жыл бұрын
Asante
@eddahnyongesa7020
@eddahnyongesa7020 5 жыл бұрын
Ubarikiwe pst kwa mawaidha yako mazuri
@bethakalilookitnice6695
@bethakalilookitnice6695 5 жыл бұрын
I like it
@bethakalilookitnice6695
@bethakalilookitnice6695 5 жыл бұрын
baba vizuri pastor
@petermaganga9105
@petermaganga9105 5 жыл бұрын
Pr nimebalikiwa sana na somo la Leo nimejifunza kitu
@angelamassawemassawe298
@angelamassawemassawe298 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@edsonbenjamin8416
@edsonbenjamin8416 3 жыл бұрын
Nashukuru mung kwakunipa nafas ya kusikiliza masomo yako ubalikiwe pasta mbaga.
@thobiasnzanie5125
@thobiasnzanie5125 3 жыл бұрын
Amen
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Жыл бұрын
❤❤❤
@MsafiriPhinias-xd8ox
@MsafiriPhinias-xd8ox 5 ай бұрын
Nabalikiwa na mahubili
@barakasassi3304
@barakasassi3304 5 жыл бұрын
amen PR d mbaga
@lathocelalathocela3603
@lathocelalathocela3603 3 жыл бұрын
Barikiwa🙏🙏🙏🙏🙏
@godsongirl9740
@godsongirl9740 5 жыл бұрын
ubarikiwe pastor
@MbayoProtais
@MbayoProtais 4 жыл бұрын
Jamani mkishasikia mahubiri ninawakaribisheni mpate wimbo wa injili kzbin.info/www/bejne/h3vLqIqeqJJohtk Yesu kristo awe nany
@maligisadotto8631
@maligisadotto8631 5 жыл бұрын
Hivi kuapa wakati wa kufunga ndoa imetokana na neno au agizo lipi kwenye Biblia? Kwani ninachofahamu Yesu Kristo alikataza kuapa katika Mathayo 5:34 Lakini mimi nawaambia, msiape kabisa, ama kwa mbingu, kwa sababu ni kiti cha enzi cha Mungu, 35 au kwa ardhi, kwa sababu ndipo mahali pake pa kuwekea miguu, au kwa Yerusalem kwa sababu ndio mji wa Mfalme Mkuu. 36 Msiape kwa vichwa vyenu kwa sababu hamwezi kugeuza hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. 37 Ukisema 'Ndiyo' basi iwe 'Ndiyo'; na ukisema 'Hapana' basi iwe 'Hapana'. Lolote zaidi ya haya hutoka kwa yule mwovu. Lakini pia katika Yakobo 5:12 Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, ama kwa mbingu, au kwa dunia au kwa kiapo kingine chochote. Bali mkisema 'ndiyo' iwe ndiyo, na mkisema 'hapana' hapana.
@priscamallya8569
@priscamallya8569 5 жыл бұрын
Hakika unatuelimishaa
@ElinoraDaudi
@ElinoraDaudi Жыл бұрын
Amin mchungaji
@milkanangi2179
@milkanangi2179 3 жыл бұрын
Thanks
@lissajeruto5373
@lissajeruto5373 3 жыл бұрын
Ameen
@beatricesimon5014
@beatricesimon5014 3 жыл бұрын
Ameen Ameen
@enockmasigwa
@enockmasigwa 4 жыл бұрын
Kila wakati wayeyusha kiroho Maulana akubariki ndo uzidi kutupasha ya mbinguni
@LujaLukalanga
@LujaLukalanga Ай бұрын
Hey
@rhinakiza
@rhinakiza 4 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂😂💃💃💃
@kelvinkasiano2000
@kelvinkasiano2000 5 жыл бұрын
Anayejua jina analotumia huy mch. Insta tafadhal aniambie
@drwinnie7145
@drwinnie7145 5 жыл бұрын
Kelvin Kasiano pastor David mbaga
@kelvinkasiano2000
@kelvinkasiano2000 5 жыл бұрын
@@drwinnie7145 shukrani
@mbiutv
@mbiutv Жыл бұрын
Pastor _David_mmbaga
@montteyfloki3953
@montteyfloki3953 3 жыл бұрын
Yani ukimfatilia huyu jamaa alafu ukashindwa kupata changes ktk maisha.....unahitaji nguvu ya ziada ya maombi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
🙏
@jeymomutui9
@jeymomutui9 Жыл бұрын
God bless you apostle
@focustz4408
@focustz4408 5 жыл бұрын
Good
@witneshawa116
@witneshawa116 5 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho .Maana salam tu nusu saa
@focustz4408
@focustz4408 5 жыл бұрын
@@witneshawa116 salam ndefu ndio nn
KUMTAFUTA MUNGU WAKATI WA VITISHO-PR.DAVID MMBAGA
1:00:10
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 2,5 М.
# DALILI ZA HATARI KATIKA UCHUMBA # 5
20:57
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 35 М.
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 64 МЛН
Mch  Mmbaga, JE! WEWE NI MTU MZIMA KIROHO AU MTOTO?
43:51
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 53 М.
JITAMBUE WEWE KWANZA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA
20:38
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 17 М.
AINA 3 ZA WANANDOA | PR. DAVID MBAGA
42:21
Makongo Juu SDA Church
Рет қаралды 182
DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO)
58:54
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 162 М.
Namna ya Kuishi na Mke Seh 2
24:32
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 36 М.
MCHUNGAJI AAMUA KUSEMA YOTE (MCH,PAUL SEMBA) siku ya  18
48:43
HATMA YA DUNIA NA  MANABII WA UONGO Na  Pr  David Mmbaga
55:34
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 15 М.
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12