Kama umeona biblia imepgwa rang ya CCM kama ilani ya Chama tembeza like Haaaaaahaaaaaa,,,,,,,,
@godfreymofire64494 жыл бұрын
Nimecheka Mpaka nimejisikia kufaliki jamaa ntumie no yako tafadhali
@ilovejesus93034 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😤😂😂😤
@rajabuomary50574 жыл бұрын
Nabuku
@juliuszakayo17924 жыл бұрын
Hujamaa no mavi kabisa Ila kwasababu alisemaga alikua shoga labda alihariea akili na ushoga
@mugehans16604 жыл бұрын
Huyu si mchungaji. Mungu Sikh ya kwanza aliumba Giza na Nuru. Makubwa.
@antoinea.katembo53264 жыл бұрын
Aisee huyo mpita njia yupo vizuri sana kweli!
@meremetasafaris_tz4 жыл бұрын
Mzaha kwenye neno la Mungu huwezi kubaki salama
@johnbernad53634 жыл бұрын
Kabisa
@jafetimolisi34724 жыл бұрын
M mmm munguwangu dunia inaendawap?
@jamesdimosso26014 жыл бұрын
Yaani kuanzia leo sitaki kumuamn huyu mtu tena hana lolote.
@esterassenga9634 жыл бұрын
Kabisa
@mzeewajambo82934 жыл бұрын
Huyo Tito bhn,😂😂😂 Tito ananifurahisha sana huwa nacheka sana
@jicholafursa70584 жыл бұрын
M
@mzeewajambo82934 жыл бұрын
Me najiuliza huyu jamaa ni mzma tu ila anazingua au Utasikia ukiwa house girl gonga mtafune😂😂😂 Gongeni vyombo
@davidngatunga78163 жыл бұрын
Poleni sana shetani anafanya kazi duniani acheni wehu wenu
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
ILA HUYU KAKA MWINGINE MWENYE KOFIA KAUZU SANA DAH!!
@silveriomussa5204 жыл бұрын
Nyie jamaa bhana
@jonathanmzava50104 жыл бұрын
Haya maisha bhana we broo ilikuwa unauza mitumba ya kutembeza huku unavalia gauni jekundu nakumbuka siku moja nilikufatilia kwa nyuma kuanzia camp mpaka kanisa la Roma magengeni nikaona ukilivua na kubaki na kipensi Cha jinsi na raba ya Nike , nilikuwa mdogo kipindi hicho dah now Ni mtumishi ubarikiwe Sana street pastor 😂😂
@frankmwafifi67124 жыл бұрын
Nakumbuka miaka ile masanja ulikuwa chinga tulikuwa tukionana maeneo ya tabata dampo mgahawani kwa mama ruru muigizaji, lakini kwa sasa masanja siyo mtu wakawaida yan yupo juu. Karibu sumbawanga Emanuel mgaya
@agustinopaul74884 жыл бұрын
Masanja veve
@radhiaoman24544 жыл бұрын
Tena kauzu zaidi ya dagaa
@egason25914 жыл бұрын
hiiiiiiiih haya alopenda kicheko cha Masanja tupia likee
@simonmisri69684 жыл бұрын
Kama umeona msalaba umeandikwa HAPA KAZI TU gonga like
@salusiyalasemeye9943 жыл бұрын
Asante mh raisi kwakuongea navijana mungu akubaliki
@kalumbilomwanamalundi86084 жыл бұрын
Hivi masanja huyo jamaa yuko serious kweli au mnafanya utani na Mungu? Hebu fikiria vizuri tena kaka! Na kama Mungu anaona sio sawa atende jambo! Me namuomba Mungu wangu! 🙏🙏🙏
@mahewamahewa64613 жыл бұрын
Umesahau masanja ni comedian
@sayuniobed22334 жыл бұрын
Nimempenda huyo mlevi hataki shobo🤣
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Sayuni Obed HAHAHAHAHA YAAAN HATAREE SANA AMENIKAZIA MAZIMAAAA!!
@ramadhanrajab69434 жыл бұрын
Hahaha
@kamanda0074 жыл бұрын
Nabii Tito Ni mtambo don't take him serious
@masungarenatus80874 жыл бұрын
Tuliotoka mwanza tujuane kwa like
@Josephineexsuper3 жыл бұрын
Tanzania sihamii, naipendaa
@amolonyogea33304 жыл бұрын
Baba Masanja umekutana na chizi mwenzio hahahaha
@jackobokihiliza27054 жыл бұрын
Nabii kabla hujaangalia kama elfu 5 unayo yeye ashaiona
@jenipherkavusha5064 жыл бұрын
Hahahaha
@jesusiscoming2374 жыл бұрын
Hahahahahaha
@simonmdune90663 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣kazi anyo kweli
@msemakwelimdhalendo77824 жыл бұрын
Daah!! Huyu jamaa chenga kweli hili dish haljayumba tu bali limeng'olewa kabisa.
@richardtv83394 жыл бұрын
Kung'olewa cyo hili limedondoka😂😂😂
@madaiincubationcenter49474 жыл бұрын
nazani ni mawazo yako tu ulipoambiwa ni kichaa umeibeba hivyo hebu msikilize vizuri angalia na comment yako
@OG_The_King4 жыл бұрын
Acheni kupiga kampen kwenye din mpeni mungu yaliyo yake mungu msitufanye vipofu
@anthonyzambi44154 жыл бұрын
Siku za mwisho izi, mafrimasoni wakubwa wawili wamekutana, lakini lazima watumishi wa MWENYEZI MUNGU WA KWELI WATAFIKA TU MBINGUNI, Mwenyezi Mungu anazidi kuwaumbua
@jeanmjimmy3 жыл бұрын
Una uhakika na unaloliongea? Ukipelekwa maakamani utaweza kutowa ushaidi? Na kushawisha majaji?
@grertrudekajabukama94014 жыл бұрын
tito bhana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli Mungu mvumilivu sana khaaa🤗
@lindahjoseph83604 жыл бұрын
Grertrude Kajabukama hahahaaaaaaaaaaa
@hoziaissai37682 жыл бұрын
mnambipu mungu atawapigia apap dunian mnafanya Babu yenu. daa
@williamludovick51434 жыл бұрын
kaka masanja ww n role model wangu maana kuna vtu vng najfunzaga kwako kiroho na kiuchum hasa mfano historia ya maisha yako ,kaz zako za klmo ,uaminifu,kutokata tamaa ,Mungu wa mbinguni akubariki sana.wanaokuponda wakuponde tyu bt ww kioo
@yesunialamayakiama.90134 жыл бұрын
Ufunuo 22:2 ccm ni mti wa uzima. Aliyesikia hivo tupia like hapa.
@thobiasndichaye48613 жыл бұрын
Masanja bhana mtumishi unachungulia sio
@tinopascal49034 жыл бұрын
kasema buku iyo apo nimeiyo....aaaaah iyo apo itoe😂🤣😁
@jordanjonas49214 жыл бұрын
Masanja ama kwer kuchekesha nikipaji duuu umenipa akapela ya song masanja,we nomaa
@manaseexsavery8104 жыл бұрын
Masanja mungu azihakiwi wala hazoeleki
@deodatusrweyongeza67473 жыл бұрын
Sina hofu mimi ni jasiri 🙏🙏 nimekuelewa pastor Mgaya
@angelbwija95474 жыл бұрын
Achani kucheza na mungu nyinyi 😖😖😖😖🙁🙁🙁☹☹☹☹☹ mungu siyo wamuchezo
@clausemsemwa2974 жыл бұрын
Ni njaa hizi.....
@festombugi584 жыл бұрын
Kabisa
@mpinno21804 жыл бұрын
Du!!!.hatari sana mungu hadhihakiwi hata mchungaji tuliyekuamini unamtania mungu.imeandikwa usilitaje Bure jina LA mungu wako.kweli cku za upotoshaji.baki na imani yako.hakuna role model wa imani hapa duniani.thnks God
@wafaidaconnection34704 жыл бұрын
Huyu mpita njia hapimwe mkojo 😋😋
@shukridjibril68484 жыл бұрын
Wafaida Connection 😂😂
@alfajonas64134 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mohammedalshahwani15422 жыл бұрын
Waaah huyu kweli n Cheez fresh life bila chenga
@Cherriechina4 жыл бұрын
Masanja 😂✋ kama ana mchora tu 😂😂
@rodgerskenny96133 жыл бұрын
Tena mshindwe kwa jina la yesu
@mpoki_simioni4 жыл бұрын
People from Green City like kama tupo pamouja
@betuelmchome32243 жыл бұрын
Wewe ni pepo mchafu jihazari na maneno ya mungu acha zihaka
@jarehjared27834 жыл бұрын
Rudia hayo maneno 😀😀😀 Masanja we nomaa!
@sadiqnasir92784 жыл бұрын
Msanja mungu akubariki kwa ulichota wengine hawatoi kitu na uwezo wanao bless
@drgreysonbabishomba4 жыл бұрын
Anavyochungulia Waleti😀😀😀 sema Kaka Masanja mnamdhihaki Mungu
Mhh! Mungu anawaona nyie mbna amkuwa wajinga kias hiki!!
@allyally41984 жыл бұрын
Huo unabii kampa mama yake c mung
@mukhtaryanhussein64494 жыл бұрын
Kama umeuona msalaba umeandikwa hapa kazi tu gonga like twende
@carlosaudax2904 жыл бұрын
Na wewe Masanja sio mzima
@omegamuomba47824 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 masanja bn
@seifsharrif44614 жыл бұрын
Masanja wewe MUNGU anakuona
@fatumakeche87884 жыл бұрын
Akili zao zinaendana😂😂😂
@AmAm-xt1og4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ibrahimlupenza89545 ай бұрын
kama umesikia flat za kutosha pale walivyoimba gonga like moja hapa
@susanlazaro83234 жыл бұрын
Ccm ni mti wa Uzima 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@deodatusrweyongeza67473 жыл бұрын
Dishi 🤗🤗 linayumba
@saidikhamisi85174 жыл бұрын
Kam naww unaamin md wakapn umefik wat wanasongea karib gonga like
@stphnmgy14924 жыл бұрын
Hizi ni siku za mwisho kwa kweli Mungu amsaidie na Amuokoe
@jamesswai65834 жыл бұрын
Tito Anajua kuchez na akili za watu. CCM oyeeee!
@adilanyosisye6924 жыл бұрын
Anajichezea mwenyeewe ccm Haina watafuta kk Kama huyu 🤨
@henrybandebe63834 жыл бұрын
Ni kichaaa anjulikana
@jamesswai65834 жыл бұрын
@@adilanyosisye692 mbona asivae za chadema
@jamesswai65834 жыл бұрын
@@adilanyosisye692 kumbe Tito ni kada wa chama kikubwa!
@boazmosses82044 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ifgodsayyes.nobodycansayno17964 жыл бұрын
HAPPY NEW YEAR MASANJA KUKUMIS NAYO DAH VICHEKOVYAKO WAZIMU SANA NAVIPENDA JINALA BWANA LIPEWESIFA🇰🇪🇨🇿
@vj83134 жыл бұрын
😂😂😂 ila masanja unajua kupiga story wewe dah😂, huchoshi yani
@eliarichard92184 жыл бұрын
nakwambia hiyo kichwa hatari tupu inaitajika tuvunjie chungu kichwani kama vile Elisha alivyo tumia kwa mambo furani hivi maana hiyo maombi peke yake hayatoshi mtu wa mungu massanja umetulia kweli una msikiliza umetisha sana
@angelbwija95474 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄 uyu tito atakuwa aliwayi kutembeya na Amber rutty, eti ccm ni muti wa uuzima 🙄🙄🙄🙄🧐🧐🧐🧐🤨🤨🤨🤨🤨,akili kama ya amber rutty
@shemsashemsa86944 жыл бұрын
Hahahahaha umeni chekesha iti itakuwa maetoka na amba luti
@kenethelias72144 жыл бұрын
Haya Bwana
@edwinelias85544 жыл бұрын
Km umeona msalaba umeandikwa hapa kazi tu tutembee pamoko na like zangu
@dasilvajunior30163 жыл бұрын
😁😁😁😁 ngoja niusome kama kweli
@ayubuhenry54264 жыл бұрын
Araundi ze kona jizazi izi kamingi, always will be untill Yesu arudi,
@shakilamasoud29834 жыл бұрын
Amekuja na c' c'm ni mti wa uzima...amekuja kuwashika viongozi safari hiii. Hahahaaa
@paulmkuki56384 жыл бұрын
Wote hao kwa Mungu hapanaa, wala msijaribu kuwaita watumishi wa Mungu
@madoshisita61654 жыл бұрын
Dah kama umesikia nabii simu ya nn gonga like😁😂😂
@salmayusuph24354 жыл бұрын
Nabiii Tito bado nii mzigo kifikira haonii mbarii kiukweliii tumuombee kwa mungu amrudishie akili yake
@abedkirway86684 жыл бұрын
Mm namshukuru sana masnja mwana wa Mungu
@asherhamidu79404 жыл бұрын
Masanja usidunte SNA juu ya mgogo was Aridhi,Aridhi inalalamika.
@mahamedabdi18814 жыл бұрын
Dada angu jamaa ni kafiri atajuaje
@simonmdune90663 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏😂😂😆😆😆😆watanzania hapaaa mnamgonjwa akiii au saai alibadilika jamniii
@DrMbonea4 жыл бұрын
Wa Kwanza kucheki like zenu jaman
@zedianagasper94753 жыл бұрын
Hatareee
@moshialois54994 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Tito fully commedian
@vincentauxerbius75544 жыл бұрын
Kazi ya bangi inaonekana,,,,,masanja mbona umemtega vibaya mwenzio halaf nabii kanasa😃😃😃😂😂😂😂😂
@Feelfreechurch4 жыл бұрын
Vincent Auxerbius Hahahaha
@nickomlimbila2174 жыл бұрын
HAKI YA KWELI NIKIFIKA MBINGUNI NIKAMUONA NABII TITO KULE SIO SIRI MI NATOKA ZANGU
@chrissmea7104 жыл бұрын
Ha ha ha
@amosbugomola54 жыл бұрын
Nmecheka
@lucyjoseph51784 жыл бұрын
Hahahahaha
@floridajonhmatata43653 жыл бұрын
naenda zangu kwa mr shetan
@haggaiwingstone22844 жыл бұрын
Hiyo Kali Emmanuel
@issamustafa84784 жыл бұрын
Uyu nabii tito taila 😂😂😂😂😂😂
@ibraah76794 жыл бұрын
Taila kiwango cha lami😁😂🤣
@seifsharrif44614 жыл бұрын
Mimi mwenyewe ananishangaza
@rechoalmasi21074 жыл бұрын
Unmwitje binadmu mwenzko tahira jmn wot Ni bnadamu hat kma anmakosa yke hakun binadamu mkamlilifu
@kelvinmbena57964 жыл бұрын
Hatari sana halooooooo
@lamsonkilave57503 жыл бұрын
Vichaa wamekutana😂😂😂
@michaelsiweya65004 жыл бұрын
ILa ogopeni sana kumdhihaki Mungu.. Adhabu yake haielezeki...
@emmanuelmwakabana62624 жыл бұрын
MASANJA. ZABURI 1:1-3. MAANDIKO HAYO HAUSOMAGI???? Mbona Umeikumbatia sana mizaa. Mizaa kwako maana yake ni nini?
@g-luwetv13773 жыл бұрын
Mtumishi wa Jehovah kweli, Jehova wanyonyi sawa
@ruthaloyce10124 жыл бұрын
Msilichezee Neno LA Mungu , mtapigwa, wewe ndugu unayejiita tito utapigwa acha!
@mashujaatv80232 жыл бұрын
Hahahahahaha nabii simu ya nni
@jorgesarahchannel30824 жыл бұрын
Jamani muogopeni MUNGU ,!!!hayo maandiko matakatifu kuyachanganya na CCM??
@angellamwanri84144 жыл бұрын
Mnasikitisha sana du..
@abigaellcharess63704 жыл бұрын
Aweeee masanja jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@smartcharles4923 жыл бұрын
Abidael nitafute
@salmaathuman91564 жыл бұрын
Kumshilikisha mungu na huu upumbavu msiba mzito
@mtumishitv32104 жыл бұрын
Hahahahahhahaaaaa,, hiyo ni vituko show
@kulwamussa25823 жыл бұрын
hahahaahhahahahahahahahahahahahaha jamani kweli kuachizi sikazi kubwa
@sofiasofia75574 жыл бұрын
Masanja yupo kama kioo ukichemka na yy anacheka ukinuna na yy ananuna ivo yaani maisha yanaenda😂😂😂 ila nabii katoroka mirembe
@gunnerboykingboy80083 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana masanja mkandamizaji
@neemakawogo71534 жыл бұрын
This man is not NORMAL OOOH km ameathirika saikolojikali
@griffinsomondi3974 жыл бұрын
Uyu Jama anaakili Sana... Anajuwa ukiisifia ccm tu ulinzi tosha...
@manjichadema4 жыл бұрын
fact
@charlesjonathan73534 жыл бұрын
You support to change brother
@allanheguye27224 жыл бұрын
Kweli anaongea pumba tu
@emanuelmwanga44 жыл бұрын
Mmmmmmmmh ndo maana siwaamini manabii waongo uyu nae nabii au chizz mmmmmmh vichaaa wengne sy
@gabriellyadam94154 жыл бұрын
Ya Mungu Mpeni Mungu na ya Kaisary.....Amen.
@brownsebastianmwibi56474 жыл бұрын
Huyu nabii Tito bado sana anahitaji ushauri wa kisaikolojia pengine atakuwa na akili
@samsonloveness27034 жыл бұрын
Hahahaa nimeipenda hyo
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Eti Mtumishi wa Jehova Hivi Huyu Mpumbavu anamchezea Mungu
@peterngwinzalubi49304 жыл бұрын
Mungu Anisamehee bure namchukia bure huyo Tito 😏😏
@marwalzzy59834 жыл бұрын
Hata mm
@amiryally6604 жыл бұрын
Yaani bora nyie sasa Mimi!? Yaani simpendi siyapandi matendo maneno yake.
@amiryally6604 жыл бұрын
Shetani kawa maraika.
@clausemsemwa2974 жыл бұрын
Usimchukie muombee
@tutindagarobert45713 жыл бұрын
Ima umetisha
@mayalalusana38554 жыл бұрын
Huyu siyo mzima
@happynesskimt62492 жыл бұрын
Khaa😲, kweli duniani tunapita! Tumwaminini Mwenyezi Mungu Muumba Wa Mbingu na Ardhi, Binaadamu tunapapungu yetu.
@samwellwiza53394 жыл бұрын
Sasa kama ccm ni mti Wa uzima wengineo ni mti mgani?....