SUBSCRIBE CHANNEL HII BOFYA HAPA / @jicholauswazitv
Пікірлер: 108
@joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын
Waaa bado wana panga afadhali mimi ni House girl but namiliki yumba yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣patamu apo 😂😂😎😎
@hassansalum53623 жыл бұрын
Wewe unamiliki nyumba au banda
@mizemize88943 жыл бұрын
@@hassansalum5362 bora yy alie na banda ww una nn labda pia waishi majalalani😏
@hassansalum53623 жыл бұрын
NIISHI KWENYE BANDA KWANI MIE KUKU
@aminaamiri76843 жыл бұрын
@@hassansalum5362 ss kwa nn wauliza nyumb au banda kwan tofaut ni nn
@susanejd77753 жыл бұрын
@@hassansalum5362 banda lkn la kwake hadaiwi kodi ww una nn zaidi ya kundu lako mfyuuuuu
@nasranoti083 жыл бұрын
Huyu jamaa anaongea ukwel big up kwake🙏🏿
@kibibisafi33313 жыл бұрын
Big up dalali kwa kuchapa kazi hauna bifu na mtu
@dalovebazuka28063 жыл бұрын
Wana force
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Allah akufanyie wepes bro❤❤❤🇪🇭🇪🇭🇪🇭
@josesombo7643 жыл бұрын
Wacheni kutafuta umaarufu mkitumia harmonize, harmonize yupo vizuri sana kama kaweza kumiliki label atashindwa kodi. Wanafki wakwende huko
@philemonmagesa55483 жыл бұрын
Hizo pesa wanazopata sijui kwann wasijenge au kununua nyumba wasanii wanapenda kupoteza pesa kwa ajili ya umaarufu wakati ni mambo ya personal life!!!!
@dottnatt71103 жыл бұрын
Iv awaigi mfano wa Ally kiba
@maryammarham28623 жыл бұрын
Aho
@fadhilmohamoud3 жыл бұрын
Saf sana
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Yule baba aliesema kess ilifika mahakamani inabidi akutanishwe na huyu dalali ili kieleweke.
@ashaali71543 жыл бұрын
Jicho la uswazi udaku na umbea sio intertainment kama unavyoeleza. Hamna kazi ila kufuatilia maisha ya watu tu tena kwa ubaya wala sio mazuri. Acheni hivyo.
@hadija8463 жыл бұрын
Pamoja sana dear wangu Harmonize😘 Wasiokupenda kazi kwao
@emableelias66913 жыл бұрын
Changanya picha kuendaa na stori ww mtangazaji..unamuhaho
@hadija8463 жыл бұрын
@@emableelias6691 Jitaidi kumuelewa watu wengi walikuwa wanasema mengi kuwa Harmonize kafukuzwa kwenye nyumba ya Sarah hapo kesha tujulisha hajafukuzwa hii nyumba kesha hama tokeb miaka 3 iliyopita na alikuwa kapanga tokea alipokawa wcb sijuwi umenielewa kuhusu mtangazaji kichwa chake cha habari👍
@muanashaswaleh51103 жыл бұрын
Kwani jamani wapange wasijenge kilasiku kujitangaza wana pesa
@mkalimwanza77263 жыл бұрын
Hivi wasani hawana hakili san kama mtu analipa miloni 2 kwa mwezi tu moja je ni kwa nini wasijege tu
@sharinv88643 жыл бұрын
Huo ni ujinga heri hizo pesa akajenge yake sasa aja gani kujisifu na nyumba za kupanga .
@pilichumu93313 жыл бұрын
Bongo ni nchi ambayo inasopoet sana ujing hamonize anauwezo wa kununuwa kumi km 50.akazipanga mjini
@mohamedmatogoro40673 жыл бұрын
Kwa pesa gani aliyokuwa nayo
@emanuelmajele72372 жыл бұрын
Harmonize pigana vita maana wasio kupenda niwengi kuliko wanao kupenda
@anna John Hapo sasa 🤣🤣🤣🤣🤣anatia uruma labda anaumwa ugonjwa wa kusahau kiswahili Hahaaaahaaaaa🤭
@ashanzeyimana10633 жыл бұрын
Kwani harmonize hamaga nyumba yake yake Ao
@natashabula44013 жыл бұрын
Hata diamond anaishi kwenye nyumba ya kupanga
@samiauwamahoro50193 жыл бұрын
@@natashabula4401 wanatia haya
@rashidahmed80713 жыл бұрын
Diamond ananyumba mpaka sauzi
@richardmapunda5593 жыл бұрын
Huyu jamaa anatafuta kiki sn yeye kila siku kesi za nyumba wa mastar mpk anakela
@fatimamowa81663 жыл бұрын
Si ndo dalali?😂😂
@flavourboyke3 жыл бұрын
jamani
@sylivesterkiligi13693 жыл бұрын
Ok
@eiddamiri92333 жыл бұрын
Mi napita tu sina maneno 🚵
@fabianmainchanyangachika50173 жыл бұрын
Hivi kwanini wasanii wengi wanapanga badala ya kujenga?
@zakariamachibula4883 жыл бұрын
Aliye na nyumba ni alikiba tu bora yeye kajenga
@khalfanibobewe42783 жыл бұрын
Kujenga sio mchezo na kama umeshajenga kumbuka maumivu ya kanyumba kako kadogo, na kama bado anza uone mziki wake ndo uludi ku comment
@zakariamachibula4883 жыл бұрын
Alikiba ndiye msanii pekee anayejielewa maana yuko kwake hasumbuliwi na mtu
@muanashaswaleh51103 жыл бұрын
Misioni ufaari wanyumba yakifahari afadhali kununua ama kujenga lakini sifa zakupanga azinishtuii
@dandola93233 жыл бұрын
We nishatani bwana tafuta kotu kongine chakufanya Harmonize huwezani naye ban
@badymedia96483 жыл бұрын
Inshallah ,imekujaje apo🤣🤣🤣
@nasrafadhili89413 жыл бұрын
Wakati wengine tunawza kumalizia vibanda wengine wanapanga majumba mazuri yn mshauri bhn ajenge mjengo wake
@valencevenance73383 жыл бұрын
Tumeshaona simu ya dalali
@rashidsaad79483 жыл бұрын
💪💪💪🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🔥🔥🔥
@muanashaswaleh51103 жыл бұрын
Sasa hawa wasanii wakupanga mbona kazi mnashindwa niwatu wawarabuni wanao lipwa pesa namakelele nao wana miliki mijengo yao
@omarizuberi23003 жыл бұрын
Angetafuta mahali pa chini but ingekua vizuri akanunua nyumba yake
@wilfredsimba78183 жыл бұрын
mwambie dalali natafuta noah
@d.a.t33833 жыл бұрын
Nyumba kubwa Sio ufahari. Nyumba kubwa hivyo nunua ndogo nzuri au jenga
@itekakainairan31303 жыл бұрын
sielewe Harmonize anapanga???
@ELISSKGTV3 жыл бұрын
Ata diamond anapanga
@khadijashaban32183 жыл бұрын
Kwan sio yake
@hassanhamudy66393 жыл бұрын
Nani naelewa kinachoendelea kwenye hii clip????
@yusufwewe86003 жыл бұрын
Hi
@lutwfiyyahmkonga80933 жыл бұрын
izo siyo sifa niujing tu sas kupang au kujeng dh.
@wozanawewoz9793 жыл бұрын
Harmonize please Jenga mdogo wangu kama unasoma comments...🙏
@felisterjames97703 жыл бұрын
Hamo wanyoshe hawalali juu yako ngulue hao
@eiddamiri92333 жыл бұрын
🙅🙅🙅
@user-wo8go6wc3d3 жыл бұрын
Hamoniz jafari sanamabaya yanammrudia ogopa sana mtu ambae unapga vita akawa kmya n mbaya sana
@mgm4123 жыл бұрын
Anaejua biashara anapanga,kuwa na jengo lako la miliona 500 ni hasara na matumizi mabaya ya pesa,matajir kibao wanakaa apartments za kupanga duniani kote..so wako sahihi kibiashara
@rukkysayid66133 жыл бұрын
Ujinga tu hakuna kitu kizuri kama kuwa na pako lkn ww kila leo unahangaika makaazi tu, maisha yana kupanda na kushuka jiwekee chako mapema hata wazee wake bado hajawajengea hv inakuwaje kwa hawa wasaniii wao kazi kuhonga tuu
@ndekenichuma43733 жыл бұрын
Hela za masharti hizo
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Ngoma za kike hizo au mabarazuli .
@hamisimsikite21523 жыл бұрын
Haowanaosema hana pesa hawana akili
@msalimsali69893 жыл бұрын
Sema tangia yuko na sara
@ibrahim_adrier_kalenga3 жыл бұрын
Konde Gang 4everybody
@ffaa47443 жыл бұрын
Iyo pesa yooote sibora ujenge utulie kwako hta km siyo ya thaman kubwa ila kwako ni kwako hamjionei uruma mipesa yote iyo ss twateseka Tu huku
@sharinv88643 жыл бұрын
Watu tumsifie mungu tuwache kusifia binadamu.
@jay4mrinternationalsaide703 жыл бұрын
Acha ujinga Weweeee
@mutwalesylvie74433 жыл бұрын
Mh mtapata tabu sana kwenye game
@eladiuspeter5863 жыл бұрын
Huyu jamaa anajiskia utadhani anamiliki real estate developers firm. Ila in short shule yake ndogo
@victormushi66413 жыл бұрын
WENYE SHULE NDOGO BONGO NI WASUMBUFU SANA
@dottnatt71103 жыл бұрын
Mbona mi c msumbufu jamenii
@wivinemwamini91103 жыл бұрын
Shirole nikweri unachosema namiyenaonaka
@hadija8463 жыл бұрын
Wabongo bana eti alipangiwa na Sarah Hahaaaahaaaaa 🤣🤣🤣Sarah kwani anafanya kazi gani?
@mariammbodze26493 жыл бұрын
Sarah ni mzungu na ana urithi wa babake uko kwao Italy
@hadija8463 жыл бұрын
@@mariammbodze2649 sawa nimekuelewa inamaana urithi wa baba yake wote atarithi yeye wakati anao ndugu zake na urithi wa nchi za nje baba hakifa mrithi ni mama na mgawanyo wanapata watoto hivi wataliano wanautajili sana? Huyo baba yake alikuwa tajiri kiasi gani? Sisi wabongo tunapenda sana kufuata mkumbo hata kama hakuna tunalo lijuwa
@mariammbodze26493 жыл бұрын
@@hadija846 ndio mtoto pekee kwa mamake na babake that's why na mamake Ana pesa pia mfanyi biashara
@hamadabdullahkhamis9773 жыл бұрын
Mmmmmm...
@hadija8463 жыл бұрын
@@mariammbodze2649 Haujawaona ndugu zake kwenye harusi? Na mama yake anafanya biashara gani?
@felisterjames97703 жыл бұрын
Mnamsema tu hamo wakat hata uyo Simba wenu kapanga
@jojobrown80643 жыл бұрын
Dalali alivoshikilia iyo cm 😂😂
@rafaelyernest52313 жыл бұрын
Uo niuongp na umbea
@niceminja54923 жыл бұрын
Wasanii bhn 😂
@omansohar22453 жыл бұрын
Kma anayo hela c ajenge anae panga cku zote ni fukara🤣🤣🤣🤣mwemwejo mwe usiyapindingulanye mambo baa
@frankngoloka25893 жыл бұрын
Jengeni nyumba zenu wasanii
@melaniajuma18683 жыл бұрын
Wote washamba kumbe Bado mpangaji
@meshajoni56623 жыл бұрын
Atakama nimpangaji tunawajua wachafu na tabiazenu zakununuawatu ilikuwachafua watuu
@walaaabdallah32363 жыл бұрын
@@meshajoni5662 kwaiyo kila mtu anaye mponda harmo amenunuliwa na wcb? Kwaiyo awo wcb watanunua watu wangapi? Nawanao mponda diamond nao wamenunuliwa na akina nani?
@meshajoni56623 жыл бұрын
@@walaaabdallah3236 umeumiaa auuuu,
@walaaabdallah32363 жыл бұрын
@@meshajoni5662 Mimi tena siyo wewe 😂😂unakichaa nini