UKWELI KUHUSU NDOA YA MWIMBAJI ANGEL BENARD NA ALIEKUWA MUME WAKE GODSAVE SAKAFU....✍️

  Рет қаралды 75,492

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 129
@theopistamwayeya1764
@theopistamwayeya1764 Жыл бұрын
Unaehojiwa Mungu akubariki,una hekima,endeleeni kuwapokea wengine wanaotoka Tanzania na kufika huko.Mungu atawalipa.
@graysonkewe1004
@graysonkewe1004 Жыл бұрын
huyu Baba ana hekima sana, i like him aseee
@deborahrehema4066
@deborahrehema4066 9 ай бұрын
MCONGOMANI WETU GOD BLESS YOU ❤❤❤🎉🎉
@josephmandelapenet4587
@josephmandelapenet4587 Жыл бұрын
Very mindful and logical man.
@jukaelyelisha6311
@jukaelyelisha6311 Жыл бұрын
Umh kuna kazi kweli the Bible is say that kifo ndo kitakachotenganisha mtu na mkewe ama na mmewe hii imezidi penye ukweli lazima ukweli usimame sihukum lakini hapo bado yupo dhambini ni heri angebaki bila ndoa ingefaa zaidi maana hapo yupo ndani ya uzinzi bado hajaokoa kitu hata kama wao wanajua huko chanzo cha kufikia hapo lakini hyo sio ndoa ni uzinifu
@veronicasteven7116
@veronicasteven7116 Жыл бұрын
Exactly 💯
@mariamaloda5447
@mariamaloda5447 Жыл бұрын
Ni kweli anaangalia na kupiga pale Mungu anapoweka mkono na mahali penye baraka yako.😢
@JanethAlbert-bq8mm
@JanethAlbert-bq8mm Жыл бұрын
Kaka umeongea vyema tena kwa hekima kubwa sanaa🙌👏.Mungu azid kukuneemesha
@farfijahgibson6965
@farfijahgibson6965 Жыл бұрын
Mungu awasaidie watumishi wake wote kuishi kwa kufuata kusudu na kanuni za kiMungu hapa duniani.
@elizabethfrank4396
@elizabethfrank4396 Жыл бұрын
Duh,, Mungu awasaidie waimbaji
@TzwatotowetuAzina
@TzwatotowetuAzina 11 ай бұрын
Mungu awape uvumilivu katika kila jambo waimbaji wa nyimbo za injili
@WilfredLamaiMollel
@WilfredLamaiMollel Жыл бұрын
Nimefurahia sana hekima uliyotumia brothe Felis.
@yamungungendu4839
@yamungungendu4839 Жыл бұрын
Mwanamke ni Mtu usieweza kumuelewa sana.But every woman wants good life.Imeenda hyo
@evankya1955
@evankya1955 Жыл бұрын
Aisee hii kali! I never expected this. May God help us
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Mungu atusaidie sn
@mariethamtawa314
@mariethamtawa314 Жыл бұрын
This man, Mungu ambariki
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi Жыл бұрын
😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu turehemu
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Duh ila wadada 😢😢🙌🏻 mkaka wawatu anakusapoti unamuacha akikutaza unasema anakuonea mwee 🙌🏻🙌🏻
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
Wew angel ameachn na Gody?
@janethvincent7572
@janethvincent7572 Жыл бұрын
Hakuna anayejua nini kiliwakuta jaman usisimamie upande mmoja tu
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
@@messiasulleydidy2585 et mwayego ndo namm nimebaki nashangaa wameachana nayy ameisha olewa uko uko USA
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
@@janethvincent7572 ni kweli unacho sema ila waimbaji wa gospel wa KIBONGO wengi wanazingua wakifanikiwa tu wanawaacha waume zao
@AntonyDova
@AntonyDova Жыл бұрын
Maisha haya
@jennifermmanyema6693
@jennifermmanyema6693 Жыл бұрын
Narudia tena shikamoo waimbaji 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@fbr5113
@fbr5113 Жыл бұрын
NA WANAIMBA TU KAMA AJIRA LAKINI HAIMAANISHI MATENDO YAO. KWAMBA SIO KILA MUIMBA INJILI KAOKOKA KUTOKA MOYONI
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
😅😅😅😂
@zumasamson6603
@zumasamson6603 Жыл бұрын
Dah jamani Angel na mumewe ...what happened?...imeshindikana Kabisa kutatua changamoto zao ...dah maisha haya
@florenciajacob5463
@florenciajacob5463 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭nimeumia Sana jamani
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Dont judge kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake..hata Mungu anajua ndo sababu ya Yesu kuja ulimwenguni.
@janembalinga7074
@janembalinga7074 Жыл бұрын
Duh asee mungu aturehemu sana
@marrynaftali7969
@marrynaftali7969 Жыл бұрын
Nimeumia mno,sijui shida Ni Nini lakini angel kuachana na God kwangu huzuni mno
@hopesengo6972
@hopesengo6972 Жыл бұрын
Kaka unahekima Sana,ubarikiwe.
@estherndosi8100
@estherndosi8100 Жыл бұрын
Sana
@marthamkilema6244
@marthamkilema6244 Жыл бұрын
Sanaaaa
@abrahamkanuya1076
@abrahamkanuya1076 Жыл бұрын
Wanawake bhnaaa😢😢😢
@furahasanga2534
@furahasanga2534 Жыл бұрын
Watoto watatu baba tofauti sasa na mume wa NNE!! Na bado anaitwa mtumishi!! Mungu tusamehe😭😭.
@SuzanMoshi-m1s
@SuzanMoshi-m1s Жыл бұрын
Ndio Mungu wetu ni Mungu wa wasio wakamilifu ko mtu n lazima atafute furaha yake na sio afanye kisaya walimwengu
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
Kwa hyo anao watoto 3 now?
@pendolaison5478
@pendolaison5478 Жыл бұрын
@@messiasulleydidy2585 anao 5
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Жыл бұрын
Yesu mwenyewe hakuwa wa yusuf. Wewe mkalifu hongera yako
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
@@pendolaison5478 weweee na ni kweli mtoto na babake?
@dostovan5142
@dostovan5142 Жыл бұрын
Binadamu na waasi by nuture, Mungu atusaidie
@pastor_benjie
@pastor_benjie Жыл бұрын
Uyu jamaa anaye hojiwa Ana akili kubwa na uwezo mkubwa sana.
@everlyneomary7199
@everlyneomary7199 Жыл бұрын
0:10 w
@philipoburton3450
@philipoburton3450 Жыл бұрын
Hahahaa😂😂😂😂😂
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 5 ай бұрын
Mtu unamuacha mume wako au mnaachana tena wewe ni mtumishi halafu unaenda kufunga ndoa na mwanaume mwingine na unaamani kabisa na unaendelea na hudùma kweli.....ivi mnajua mnatupa uguu gani wakuhubiri au kutangaza neno la Mungu ukishakuwa mtumishi jaman unakua barua watu wanqkusoma wewe matendo yko mpk maneno yako ....unakua kiooo kwamataifa na nikitu ambacho kinaleta utukufu kwa Mungu ...aisee Mungu atusaidie sanaa
@EvaInnocent-nd2vg
@EvaInnocent-nd2vg 9 ай бұрын
Mungu wajua yote jaman uwiiii haya
@abrahamkanuya1076
@abrahamkanuya1076 Жыл бұрын
Mtu anaimba lakn afati maandiko Mungu atusaidiee😢
@happysimle991
@happysimle991 Жыл бұрын
Mungu Hapendi kuachana aiseee
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
KUIMBA HAKUMPELEK MTU MBNGUNI ASE
@evangelistdanielsenyagwa4018
@evangelistdanielsenyagwa4018 Жыл бұрын
Waimbaji wengi sana Wanaachika ase
@marianablessed7135
@marianablessed7135 Жыл бұрын
Shetani ni muongo sana, yaani ni kuzidi tu kumwomba Mungu atusaidie.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
Kwamba hatumombi? Tunamwomba jamaniiiiiii ila nass wanadam tupunguze tamaa na mihemko
@yustaishengoma8526
@yustaishengoma8526 Жыл бұрын
Duh! Mungu tuwezeshe jamani
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Жыл бұрын
Mmmh walokolo wengi hawajiombei ila wanapoteza muda mwingi kulaumu na kuwakosoa ambao hawajaokoka. Walokole jirekebisheni. Mnaturudisha nyuma kimaombi
@evodiaaloyce3670
@evodiaaloyce3670 Жыл бұрын
Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe. Wasikurudishe nyuma maana Kila mtu anawajibikia maisha yake
@danielkullwa1613
@danielkullwa1613 Жыл бұрын
Jesus...hsysa mambo yametokeaje tena...ok hakuna aliye mkamilifu but ...
@GraceSimba
@GraceSimba Жыл бұрын
Kaka, ulishawahi kuwa mtangazaji was prez power radio?
@macdonaldmwakisambwe6494
@macdonaldmwakisambwe6494 Жыл бұрын
Inatisha aisee Mungu atusaidie ila akumbuke hayo ni yadunia tu ila kuna mbingu, na mwisho wa mambo yote umekaribia
@happysimle991
@happysimle991 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@janetahmed6948
@janetahmed6948 Жыл бұрын
huo mwanamke anajificha eti kaokoka nyumba anatabia mbaya
@8019bm
@8019bm Жыл бұрын
Hamnaga ndoabya mfano. Kila ndoa ni unique.
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 5 ай бұрын
Waimbaji wengi wanatamaa
@evangelistdanielsenyagwa4018
@evangelistdanielsenyagwa4018 Жыл бұрын
Amejibu vema sana huyu mtu
@TullyDaudi
@TullyDaudi Ай бұрын
We kaka unahekima ila enje kama kweli umeachana na mume wako urudi kwa mungo up ya au umeenda kwa mungo singing
@aliethlwaitama9592
@aliethlwaitama9592 Жыл бұрын
Ninachokijua katika ukristo kwa maana katika ulokole ,Mke mmoja mume mmoja mpaka kifo kiwatenganishe,atakayeipenda nafsi yake ataiangamiza Bali atakeichukia nafsi yake ataiokoa
@deborahrehema4066
@deborahrehema4066 9 ай бұрын
Mungu wangu Angel ameolewa ndoa ya tatu ?? Ooh my God the enemy is at work kabisa
@MargaretMunyao-m3t
@MargaretMunyao-m3t Жыл бұрын
Naona huu mrembo anaeza bada olewa mara tena iwe tena ndoa tatu
@marrynaftali7969
@marrynaftali7969 Жыл бұрын
My wizo favie
@marymarie9941
@marymarie9941 Жыл бұрын
Tusihukumu jamani wanaojua ukweli kati yao ni wao wenyewe, usinyooshe kidole wakat vingine vinne vinakurudia, emb tumuache MUNGU ndie muhukumu sahihi
@upendojohn
@upendojohn Жыл бұрын
Kweli ndo ni ya wawili Siri ya kuachana wanaijua wenyewe
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Kweli
@ennykyambiki2680
@ennykyambiki2680 Жыл бұрын
So sad kwakweli,.angel,Shetani anamtumia sanaa.
@leticialubala9721
@leticialubala9721 Жыл бұрын
Usilolijua ni kama usiku WA giza
@bonniebaraka
@bonniebaraka Жыл бұрын
@@leticialubala9721we unajua ukweli nini ?
@jacklineanyumba5413
@jacklineanyumba5413 Жыл бұрын
Ni kweli haya
@hamisikibwana6642
@hamisikibwana6642 Жыл бұрын
SAFI SANA
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 Жыл бұрын
Duuu kweli
@nereaigogo4442
@nereaigogo4442 Жыл бұрын
What I can say is Don't judge
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
Huyu angle ajitathmn ase sjapenda mm,, kabla ya kuolewa alibeba mimba, akazaa mtoto, alipoanza kuwa maarufu akaolewa akazaa watoto wawili, so ameacha huyo mume ndo kaolewa na mwingne so sadness sjapenda hata kidogo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Alizaa na Nick shaboka kabla hajaolewa 🙌 Kumbe Kwa mumewe kazaa watt2? Sikujua ,nilidhani 1
@elizabethmabula6044
@elizabethmabula6044 Жыл бұрын
Mpendwa ni vita tuu wewe muombeee,, unapokuwa na kitu kikubwa zaidi ndo unazidi fatiliwa zaidiii
@gracemwita4167
@gracemwita4167 Жыл бұрын
Ila angle n too much,Mungu amusaidie asee
@tumainimsigomba4117
@tumainimsigomba4117 Жыл бұрын
duu angel bernad nimekosa neno la kuongeza
@ezzyzephania2597
@ezzyzephania2597 Жыл бұрын
MUNGU atusaidie wanaume!
@AileenMakungu
@AileenMakungu Жыл бұрын
Waimbaji wa kike wengi wanaachana na waume zao Shetani yupo kazini jamani sio wao ni roho ya uharibifu kwa kazi wanayofanya Kinachotakiwa ni wao wakae katika maombi ya kina ili kuepuka uovu ulioandaliwa na ibilisi dhidi yao.
@neypaul6416
@neypaul6416 Жыл бұрын
😭😭
@happysimle991
@happysimle991 Жыл бұрын
Huyu kaka anaonhea kwa upeo sana yupo rohoni, nilazima tuwe makini maana shetani pia yupo kazini
@hamisikibwana6642
@hamisikibwana6642 Жыл бұрын
HONGERA
@kiswahilimovierecaps2024
@kiswahilimovierecaps2024 Жыл бұрын
MADEM WAHUNI HAHAHA
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Kumbe uyu Dada anaishi Marekani sikuizi
@janetahmed6948
@janetahmed6948 Жыл бұрын
ee
@LovenessFedrick-cy9fh
@LovenessFedrick-cy9fh Жыл бұрын
Mda mrefu
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
Mmh hayaa
@ahuriladaniel9849
@ahuriladaniel9849 Жыл бұрын
Muda sana
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
😅ndio na kaolewa huko tena
@anessabinery5654
@anessabinery5654 Жыл бұрын
eehehehehehe
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Dada amesha ingia mjini ame pata mabawa 😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
😅😅
@josephatn5040
@josephatn5040 Жыл бұрын
Theologia ina evolve?!!!. Ni sawa na kusema Mungu anabadilika kulingana na wakati. Mie napita!
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
Wala hajakosea mana Mungu hapendwzw na hiyo kitu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Mungu ni yuleyule habadiriki Watu ndo wanabadirika
@linetwanjira4472
@linetwanjira4472 Жыл бұрын
Theology is not God just curriculum .God is the same yesterday, today and tomorrow.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
@@linetwanjira4472 good
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Жыл бұрын
Sijaelewa, ni nini?, ,Angel au mwingine?, Mbona ndo mwimbaji ambae nilikuwa nafikiri ana akili na anamjua MUNGU
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Yaani🙌
@denismabeyo3350
@denismabeyo3350 Жыл бұрын
Humjui Angel vizuri ww
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Жыл бұрын
@@denismabeyo3350 namjulia wapi kaka, basi tu nsikitika,
@mariammbwaga8463
@mariammbwaga8463 Жыл бұрын
🤦 Mungu tusaidie
@maryandason1815
@maryandason1815 Жыл бұрын
Hiv waimbaj wanawake asa wa gospel mko na shida gani???😢😢😢;,mkipta umaarufu tu kidgo kosaa mnakimbiaa ndoaa zenu?? Mbona mnatuimbiaa kuhusu ukuu wa MUNGU?? Anaweza kurejesha ndoa yko?? Inakuwaje ashindwe kusaidiaa ndoaa zenu???😢😢😢😢;waimbaj rudini magotin pa MUNGU hukumu inakuja uzinz wenu usifanye YESU atukukanwe n watu kisha muende jehanamu😢😢😢😢.tubun ufalme wa MUNGU umekujaaa??😢😢😢
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 30 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 60 МЛН
ISSUE YA ANGEL BENARD KUACHANA NA MUMEWE| FELIS MUBIBYA AFUNGUKA
6:26
BELLA KOMBO: Kuhusu Huduma yake | Kuhusu Ndoa yake | "Namfahamu Zoravo"
54:56
Bethel Radio Tanzania
Рет қаралды 65 М.
MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
17:07
Angel benard - Nikumbushe wema wako (Official Video)
7:21
Angel Benard
Рет қаралды 19 МЛН
Afya ya akili ni uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa muda sahihi, Stress ni sehemu ya maisha
30:26
J.D MEETS  FAMOUS AND ANOINTED ARTIST FROM TANZANIA ANGEL BENARD WAAH
10:08
Kenya Diaspora Media USA
Рет қаралды 3,8 М.
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 30 МЛН