Angel Bernard salute. Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri sana. Wanawake tujifunze. Wanawake wengi wanakufa ktk ndoa zao kwa kuogopa macho ya watu watawaonaje huko mtaani. Mwisho mtu anakufa na kuwaacha watoto. Inasikitisha sana. Nahisi umemaliza kila kitu Angel
@salvinahassan8778 Жыл бұрын
Sio tunaogopa watu, tunamuogopa MUNGU
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
Dah yani inaskitisha,subhanna 🙏🙏🙏mwenyezi Mungu atulinde wanawake wote na atupatie ujasiri wa kupambana na wanyonyaji na wanyanyasaji wetu ,tusimame imara
@blessingfamily42532 жыл бұрын
I love the message God bless you
@nicolenabintu25092 жыл бұрын
kaandika vya kiroho na Hekima 💎👏🏾
@evelinemsaki20572 жыл бұрын
Dada Ana hekima sana
@زوهرها2 жыл бұрын
Asante Enjo maana natamani waliokuwa wananisema na kunichukia hadi leo kama ningewasikiliza huenda ningewhakufa maana ilifikia wakati naamka usiku namkuta mume kashika panga kipigo ndio yalikuwa maisha yangu kila nikitafuta msaada naambiwa vumilia ila nilipoamua kusikia sauti ya Mungu niliamua kuchukua hatua na sasa niko huru..asante Mungu
@aishaabdul91302 жыл бұрын
Mungu mwema mpendwa ataendelea kukupigania
@hopechidera2 жыл бұрын
Angel Bernard kamalizia yote kabisa,nimesha sikiza interview ya Bahati Bukuku pia aliongeaga hili jambo la wanawake wengi wanakufa kimya kimya kwenye ndoa za shida na wanangangania tu eti ajili ya watoto kisha mwishoe wanapoteza maisha kama kilicho mpata marehemu dada Osinachi😭😭😭😭Mungu tujalie Baba🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@vickydan28692 жыл бұрын
Maskini hasa hawa waimbaji hunyanyaswa na waume zao na hukaa kimya wanaona aibu watasemwa vp najamii wanateketea sana
Kweli kabisa. Ata ukiwa umekosana na mme wako uwende kwa mjungaji atakwabia fumilie tu. Tutaomba hiyo shida itaisha 😢😢
@hadijasaidi3312 жыл бұрын
RIP mama 😭😭😭 Ifike mahali tusikubali kufa na taishingoni tuamke kuzuia vifo,ulemavu na kuwatesa watoto Alichosema Angela ni kweli kabisa uvumilivu unamipaka Toa taarifa chukua maamuzi God bless you
@neemakarisa14962 жыл бұрын
Yani ukweli kabisa Asante sana kweli kabisa
@jeniphachabili45172 жыл бұрын
Inauma Sana hizi ndoa 😭😭😭
@asharamadhan10902 жыл бұрын
unapigwa unavumilia tu jamani tuvumilie mengine sio mateso.inaumaaaa Mungu amlaze mahala pema.peponi.Aminaaaa
@ruthmbagi2 жыл бұрын
Eeeeee MUNGU tuteteee wanawake katika dunia hiii kila mtu anaishi kwenye dunia hii nasili zake😭😭😭😭😭😭
@evelinachristopher13362 жыл бұрын
It happened to my mother et anavumilia ili kutulea nilimzuia na kumuomba aondoke hakunielewa lastly kaishia kufa tumebaki bila mama sijui sasa faida ikoapi kukaa kwa ajili ya watoto na kufa na kuwaacha watoto yatima au kuondoka na kupata uhuru wa kuwalea watoto ukiwa mbali na mume abusive
@revinaedward66162 жыл бұрын
Asant kipenz changu iko hvyo mungu ndio pekee tu na syo mwanadmu
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Prayers cannot change a demon or monster...,siyo kila pepo inatoka kwa maombi tu. Tunaangamia kwakukosa hekima.
@sharifajuma99452 жыл бұрын
Mimi aiseee mapemaaa nasep cjuagi kuangalia nani atasem nni uuuw
@dggxxxxfgff38762 жыл бұрын
Nimekipenda bureee
@veronicasteven711611 ай бұрын
Hakika atafitwa machozi osinachi na bwana YESU
@3kings632 жыл бұрын
Thats real
@gigwaswai65272 жыл бұрын
Kuogopa watu kunaleta mtego
@sashahauke20322 жыл бұрын
True true
@annamsigwa57562 жыл бұрын
Uko sawa dada kutengana kumerusiwa ktkt biblia
@neemaalpher87982 жыл бұрын
Yani ata me siwezi kuvumilia kwenye kipigo Bora wani cheke hee jamn mungu atu hurumie kunyanyaswa kwenye ndoa Bora niachane mapemaa
@tinangimba89092 жыл бұрын
Umesema kweli. Yote, siwezi kuteseka nikiwahofu watu, Mimi namhofu na kutetemeka yesu Ali's kufa kwAajili YANGU tu
@rabiamngazija65322 жыл бұрын
Ni kweoi kabisa yani huwa watu wanataka mpaka mabaya yatoke ndiyo waanze kusema bora angeondoka ilaukiondoka bila matatizo bado wanakusema mimi ni muhanga wailo ila tunateseka sn😭😭😭😭😭
@khadijakdj86402 жыл бұрын
Yaani ukiishi kwa hofu ya mwanadam utaumia sana
@a.8562 жыл бұрын
😭🙏
@eneamligo79192 жыл бұрын
unakuta kwenye hiyo ndoa mama yupo vizuri kwenye uleaji wa watoto kuliko baba ndo maana mama anaamua kuvumilia, anahofia kua akiondoka huenda mume akashindwa kulea watoto,
@marthamashinji68302 жыл бұрын
Yuko sawa
@isaisa83652 жыл бұрын
dah
@jescajulius80232 жыл бұрын
Kufeni tu mana hamsikii
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌🙏
@adamsanga0622 жыл бұрын
HUKO WANAWAKE UKWELI NIKUFA KIJINGA KSBISA KABISA SIO MAMA YAKO WALA BB YAKO
@wivinemwamini91102 жыл бұрын
Unanicheka kusemanife
@shingiropapin23352 жыл бұрын
Ndoa ni kiapo Cha kutenganishwa na Kifo kwa sisi Wakristo . Kama Mungu ameandika wewe Kifo chako ni ndowa Yako, basi Dio msalaba wako huo huo
@josephinemlay26962 жыл бұрын
Sio kweli,
@shingiropapin23352 жыл бұрын
@@josephinemlay2696 ni kweli please
@ramadhanseleman1572 жыл бұрын
Nipe kifungu kwenye bible cha maneno yako kama hujatoa kichwan mwako
@shingiropapin23352 жыл бұрын
@@ramadhanseleman157 Matthew 19:9
@nightwishisthegreatestband63552 жыл бұрын
Na biblia yenyewe imesema ndoa sio lazima
@adamyasin40892 жыл бұрын
Thi women is hypocrite why she didn't talking to her during her life the after her death then you come to expose it now
@mignonneabagirinka64322 жыл бұрын
Kwani ame expose Nini apo you are very stupid kbsa wewe soma before uandike
@adamyasin40892 жыл бұрын
@@mignonneabagirinka6432 you are stupid too Kama alikuwa anajua anapitia magumu before hayamkuta kwann asinge expose mapema is like mgonjwa akiumwa huchangii akifa ndo unakuwa mbele kutoa mchango
@tatumluv60542 жыл бұрын
@@adamyasin4089 hajasema chochote kuhusu marehemu dear ana waasa wamama tuwe macho
@sidrasidra86162 жыл бұрын
Kupigwa nammewe hadi kufa ni sababu yakifi chake
@adamsanga0622 жыл бұрын
Ujinga huo moe siwezi mtu ikiishi namami nikikupiga tu jiondokee wangu kufa kijinga sana