Historia ya Tanzania inafichwa sana! Hawa watu ni muhimu sana kwny historia ya nchi
@chidiwarashidi56582 жыл бұрын
kabsa yan dah akija kufariki ssa ndyo wanamjali
@saidjuma97822 жыл бұрын
Kuna Dhulma nyingi zilifanyika ndio maana wanaficha hao Washenzi
@rubensaitoti68392 жыл бұрын
Pole sana babu yagu Mungu akuponye ishala naamini kwamba Mungu yupo nawe
@ramadhanimbulu49412 жыл бұрын
Malipo ya wema wake akawekwa kizuizini!! kweli tenda wema nenda zako.Mzee Bilal Rehani Waikera historian iliyofichwa.Mungu akuponye inshaallah!!
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Wako wengi mno, kuna waliomkaribisha Mwl ktk harakati, Mzee tambaza, Mzee Dossa
@ramadhanimbulu49412 жыл бұрын
@@ndukulusudikucho_ historia ya nchi hii kuna mengi yamefichwa.
@saidjuma97822 жыл бұрын
Kuna Dhulma nyingi zimefanyika
@SaSa-n2t1w Жыл бұрын
Dini tatizo Islam ungejijenge bs nchi ingehalibika
@Gilbert-w9eАй бұрын
Mungu akupe wepesi mzee wetu, inshallah!! Tumuombee heri na moyo wake na maisha aliyopitia yanabidi kufanyiwa andiko na ikibidi kumpendekeza kuwa Mwenye Heri!! Hakuna namna yoyote ya kumlipa fadhila ni kumsaidia yeye na familia wanaomhudumia..😮💨🙏
@meshackntoga15662 жыл бұрын
Siasa ya Tanzania Inasumbuliwa na Ubinafsi na Wivu wa Uchamaaa na Umimiiii. Historia hii ni njema na nzuri saana.
@marryg42352 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu mwing wa rehema,mponye babu ye2 wa taifa hili,laana nyingine 2nazipata kwa kuwasahau wa2 km hawa waliojitoa kwa moyo naku2fanya cc 2we na aman.mungu mponye mzee we2.
@lutenganocharles71942 жыл бұрын
Nyerere had 2022 alikua awe na Miaka 100, Huyo Mzee ana 90 so Nyerere alimzd Huyo Mzee Miaka 10 Sio mbaya inawezekana ni kweli kabisa wamsaidie jaman
@rayisadesigns26462 жыл бұрын
huyu alikuwa mpigania uhuru, andika jina lake KZbin utaona anaelezea kwa mdomo wake hatua kwa hatua namna walivyokuwa wakipambana ktk kutafuta uhuru. wapo wenzie kina Abdulwahid Sykes, Ally Sykes na wengineo. Huyu ni mtu muhimu sana tofauti na unavyofikiri. NB: NCHI HAIWEZI KUKOMBOLEWA NA MTU MMOJA PEKEE!! wapo wengi waliojitoa kwa ajili ya ukombozi wa nchi hii.
@b-creative46622 жыл бұрын
@@rayisadesigns2646 na Dully sakys sema nini nahis hata mkuu wa enzi hizo hakutaka wajulikane!!
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Mungu amponye babu yetu inshaalla
@nasoroabdallah62532 жыл бұрын
Aamiin
@yousuphnzira32092 жыл бұрын
Mzee Muhimu sana kwa Taifa
@kurshidsaleh14992 жыл бұрын
Allah azidi kumpa shifaa..na amjaaliye mwisho mwema aamiin
@hajiramadhanihaji3552 жыл бұрын
Historian ya kweli ya nchi hii huwa inafichwa.
@IbrahimKuhunguru2 ай бұрын
Mungu amponye mzee wetu shuĵaa
@simonmwandu22142 жыл бұрын
Historia huwa inafichwa sana kwa sbb waliopigania uhuru walikuwa ni waislam ndiyo maan historia imefichwa n'a kueneza historia za uongo, kama tu ilivyofichwa historia ya mtu mweusi.
@amoschaina81902 жыл бұрын
Wewe ni mpumbavu, kwan historia inasema waliopigania Uhuru ni wakristo
@simonmwandu22142 жыл бұрын
@@amoschaina8190 huna akili ww hujuwi historia y nchi hiyo vzur kilaza wew
@hatujuaniimani44252 жыл бұрын
Mungu amfanyie shifaa apone mpigania Uhuru wetu jamani ,kwa Mimi maona na yeye amehusikia ktk kupigamia Uhuru wa Tz na inatakiwa auguzwe pia akisha pona serikali imtengenezee mifumo mizuri ya kuishi angalau kwa kipindi alicho baki nacho.
@joejoshua77912 жыл бұрын
Julias alikuwa hataki mtu mwingine awe maarufu zaidi yake
@badymedia96482 жыл бұрын
Mkundu wewe angekua mbinafsi ungekua waning'iniza pumbu zako huru saizi,pili Kama nimbinafsi hao wano mjua wamemjuje ,mbwa Tako wwwe
@ashadonge35562 жыл бұрын
Mungu akupe shifaa babu yng tumekubakiza wewe tu babu hatuna mwingine
@nipautago85742 жыл бұрын
Mungu amjalie apone!
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Daah mtu muhimu sana katika kukomboa nchi ya Tanzania, na nyinyi wanahabari kwasababu gani mmechelewa kutoa habari zake mpaka mnasubiri aumwe??
@salimmalaka2562 жыл бұрын
WALIWAHI KUITOWA NIMEIONA KWENYE MTANDAO.
@edinawilliam29432 жыл бұрын
❤️
@mayusay12252 жыл бұрын
Rip mzee bilali waikela Allah akupe kaulidhabit
@abuumkumbalu91232 жыл бұрын
Akifa ndio utakuta watu wanajifanya kujitokeza kwa wingi katika msiba
@veronicasulle18492 жыл бұрын
Mungu akuponye babu yetu
@rashidramadhan77082 жыл бұрын
Nchi ina MIAMBA hii halafu hairingi wala nini
@siriyangu47242 жыл бұрын
Allah ampe shifaa ya araka
@rachelkakala22732 жыл бұрын
Apewe tiba
@reganshao2 жыл бұрын
Kinachoumiza ni kuwaibua watu hawa wakati muda wao wa kuishi umeshakwisha , inauma sana , wapo watu ambao waliipigania sana tanzania na saivi wana hali mbaya kwann wasihudumiwe kabla hali zao hazijawa mbaya ? Ni laana hii na itaitesa sana nchi na viongozi ole wenu.
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mpeni tiba
@brownasia57872 жыл бұрын
First👍💪
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
utayasikia mafisad makina nape na kinamakamba na wazazi wao awen wao ndi wenye tenzania na ccm wakat hawa ndi wenyewe na waliyopigania uhuru kwa hao maqaafir waliokuwa wanawatesa wafrica yaani hili group la kikwete na winzake kina nauye na kinamakamba niwahuni na wafilisi wa inchi wakubwa hata aliye ikomboa tanzania aliwaona ni wasalit wa inchi
@jeanmusamba32532 жыл бұрын
alitumia gari, lake,ila kufikia walipewa nyumba jirani na waikela wakilindwa na bantu group.Mzee waikela ana mchango mkubwa ndio na ana stahiri zawadi ila tuileta historia katika uharisia wake
@emmadeprincetv61332 жыл бұрын
Nchi ina siri kubwa sana!!!
@marionntomola16862 жыл бұрын
Historia ni muhimu inawezesha vizazi kujitambua na kumjua nani ni nani.
@salimmalaka2562 жыл бұрын
WALIOLETA UHURU AMBAO NI MUHIMU SANA WAPEWE HESHIMA ZOTE LAKI HAWAJULIKANI ANAPEWA MAGU ALIE JENGA KWA PESA ZA MKOPO KUNA WAJINGA WENGINE WANASEMA ATI PESA ZAKE IMEKAZANA RIP MAGU WACHENI UJINGA FANYENI KAZI MLIPE MIKOPO YA WATU.
@musason16802 жыл бұрын
Hawa ndo watu wa kuwalinda ila taifa linawapgania vigogo na watoto wao
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
hapo sasa vigogo wenyewe hta nyerenyere alikataa wasipewe madaraka ya kuongoza inchi wataumiza watu na kuifilis inchi ila ndi kilichotokea baada kufa nyerere kikwete akajifanya tanzania niyake na family yake
@sakinaamani14862 жыл бұрын
Mmmmmm ssa mambo mengine yanaskitisha mpaka yani mtu muhimu huyu amesahaulika eti ssa nfo anasaidiwa nn ssa? Mungu msaidie tu
@dintazdintaz73112 жыл бұрын
Mzee mfichaji wa taifa
@florameza10282 жыл бұрын
Leo hii watu wanadiriki kuwapenda wawekezaji na kuwatetea kuliko Wa TZ
@neemajulius12562 жыл бұрын
Msaidieni
@sandalalutubija2352 жыл бұрын
Watu kama hawa serikal iwaone jicho la huluma
@VEVOTV-d1z2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/b2jUm62eaMmml8U Simu ya raisi Kutoka kwa konk Don
@sandalalutubija2352 жыл бұрын
Hizi ndo media tunazozitaka tanzania soyo kichwa cha habal kigine maneo cyo
@jeanmusamba32532 жыл бұрын
mwalimu hakupenda historia iandikwe katika uharisia wake,you must go and make a study on why?
@kipigapasilisungu25812 жыл бұрын
.
@Muuzambuzi2 жыл бұрын
Dar kweri jamani haipendezi kabisa
@Dr.manyaunyau2 жыл бұрын
Bc uyo mzee achukii mda anakata kamba sijui kwa nini