Historia ya uislamu Tanzania Kabla na baada ya uhuru Mtoa Mada Ust Ilunga H Kapungu Prt 3 By Ahmed Sh Ahlusuna TV Mwanza Tz

  Рет қаралды 158,984

ahlusunawaltowhiid

ahlusunawaltowhiid

Күн бұрын

Пікірлер: 119
@salhidsalhida4151
@salhidsalhida4151 Жыл бұрын
Kiukweli sitachoka kukuombea maghfira akupokeee ilhal amekuridhia
@walidamour867
@walidamour867 Жыл бұрын
Allah akurehemu na pepo ya juu iwe makazi yako mzee wetu
@mbwanaathuman4544
@mbwanaathuman4544 7 жыл бұрын
Allah ajaalie kaburi lako liwe bustani miongoni mwa mbustani ya pepo
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 Жыл бұрын
ALLAHUMA AMIN
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA SHEIKH ILUNGA EEN YA RABI ALAMEEN IN SHAA ALLAH
@saidhamad7504
@saidhamad7504 4 жыл бұрын
Allah akupandshe daraja sheh wtu na akufungamanishe na matabiin. Amiin
@josephjosephat7826
@josephjosephat7826 5 жыл бұрын
Huyu jamaa Kama ameandka vtabu yanpasa nisome aise
@minaminaa1669
@minaminaa1669 6 жыл бұрын
Allah amrehemu na aturehemu na sisi tuliobakia
@sabralillah7070
@sabralillah7070 7 жыл бұрын
Allah akujalie pepo ya firdaus kwa history nzuri ya dini yetu watu wengi hawajui
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 7 жыл бұрын
Allah akuhifadhi akuondolee Adhabu ya kaburi
@tenseven4152
@tenseven4152 4 жыл бұрын
Nkv
@ashuramwenda908
@ashuramwenda908 3 жыл бұрын
Amina yarabal alamin
@abdallahesika8407
@abdallahesika8407 3 жыл бұрын
Allah akufufue miongoni mwa waja wema siku ya Qiyama, Nasi pia waislam wengne vilevile
@farijalamasonjo2977
@farijalamasonjo2977 Жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh wetu
@allyshomari7417
@allyshomari7417 Жыл бұрын
Allah Akbar!! Mungu akupe Nuru ktk kaburi Yako. Akupe mapumziko yaliyo mazuri. Ww ni true man of Muslim. Allah humma maskana fil janna aamin!!
@friesinger0963
@friesinger0963 7 жыл бұрын
Allah akufadhi akupe Nour katk kabri lako
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 2 жыл бұрын
Nisunna ya Allah killa ukisema ukweli unauliwa au unapotezwa
@josephjosephat7826
@josephjosephat7826 5 жыл бұрын
M Joseph mkristu lkn naunga mkono aslmia kubwa Sana maneno yako just kwa huelewa tu wa kawaida kabsa
@jaffarchimbuvu7499
@jaffarchimbuvu7499 3 жыл бұрын
Jackobo nime kukubari ikiwezekana njoo huku kwenye uiaslamu kaka zambi zako zote zina futwa,mimi nilikuwa kwenye uslamu👍
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 Жыл бұрын
Magufuli where are you??
@friesinger0963
@friesinger0963 7 жыл бұрын
mtoaa post tunaomba utumalizie Historia yote plez hii ni intrested kwa watu wote wanaopenda nchi yao
@ernestmichael5914
@ernestmichael5914 6 жыл бұрын
shekhe Ilunga wewenishujaa wetusisi waislam tutakukumbuka kwaushujaawako wakujiani nakuteteadiniyamungu.
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 2 жыл бұрын
kisha wanasema nchi hii haijamwagika damu
@omarykwasirisana6107
@omarykwasirisana6107 5 жыл бұрын
allah akureheemu shekh wetu
@abuunajat4450
@abuunajat4450 3 жыл бұрын
Ukisema ukweli unauliwa dah ! Viongozi wa Tanzania watafute majibu mazuri siku ya kiama
@nassorhemedjuma8743
@nassorhemedjuma8743 2 жыл бұрын
allah. atulinde
@faustinconrad2554
@faustinconrad2554 3 күн бұрын
Mambumbumbu na udini; waislamu wapiganie uhuru, halafu nchi apewe Nyerere, kirahisi hivyo? Tafakari mnaopandikizwa roho ya kuzimu.
@faustinconrad2554
@faustinconrad2554 3 күн бұрын
Huyu mzee alikuwa mchochezi wa kiimani, Mungu atampa haki yake kwa kile alichokipanda Kibiti na mkuranga.
@omarykimweri1493
@omarykimweri1493 6 жыл бұрын
Ee Mwenyezi mungu mwingi wa rehma mlehemu mja wako huko aliko amin
@faustinconrad2554
@faustinconrad2554 3 күн бұрын
Waliopigania uhuru kwa dua walipenda, maana uhuru ulikabidhiwa kwa awamu kwa nchi nyingi za Afrika na duniani kote, ilikuwa lazima uhuru tupewe.
@faustinconrad2554
@faustinconrad2554 3 күн бұрын
Msiojua dini kweli tatizo; tumwonbapo Mungu jambo siyo kazi yetu kujua ni wapi au nini Mwenyezi Mungu amfanyie mtu aliye kufa. Kuona au kuto ona pepo ni kazi ya Mungu.
@wachugypsumtz2061
@wachugypsumtz2061 5 жыл бұрын
Allah Akujaalie uingie peponi Sheikh Ilunga..
@hakeimfive6233
@hakeimfive6233 3 жыл бұрын
Llllllplpllppppllllllllllllpppppppppppppppppppppppp
@hakeimfive6233
@hakeimfive6233 3 жыл бұрын
pPppppplllllllllllpplpllpplllpppplpllppp
@hakeimfive6233
@hakeimfive6233 3 жыл бұрын
Ppppplp
@hakeimfive6233
@hakeimfive6233 3 жыл бұрын
Lllllp
@hakeimfive6233
@hakeimfive6233 3 жыл бұрын
P
@faustinconrad2554
@faustinconrad2554 3 күн бұрын
Sarafu ina pande 2, kwani wasingepigania uhuru huo hadi leo tungekuwa bado tunatawaliwa?
@faustinconrad2554
@faustinconrad2554 3 күн бұрын
Kwa asemavyo huyu mzee anamaanisha nini, wakati hao waislamu wanapigania uhuru huo, Wakristo na watu wa dini nyingine walikuwa Wapi?
@Allytemba88
@Allytemba88 2 жыл бұрын
Rehma za Allah ziwe juu yakoo
@Abcdz2835
@Abcdz2835 12 жыл бұрын
jazzakall kheir may Allah swt give you pepo fildausi
@abdul-azizsalim7692
@abdul-azizsalim7692 7 жыл бұрын
Abcdz2835 Amiin
@MohamedKasalama
@MohamedKasalama 8 ай бұрын
Akili zenu fupi hata kama jina ni la kiarabu huyo muarabu mkiristo anatoka wapi? Mtamuelewa tuu sheikh
@SaidKiponza-ni4fk
@SaidKiponza-ni4fk Жыл бұрын
Allah akuongoze akutilie wepesi huko uliko
@faustinconrad2554
@faustinconrad2554 3 күн бұрын
Kazi ya kulaani mutu siyo kazi yako, ni kazi ya Mungu 😂
@sakinajuma1135
@sakinajuma1135 2 жыл бұрын
Ahsante sana kwa mafunzo yako, Allah (SW) akujaalie mahali pema huko ulipo.
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын
NYERERE HE WAS VERY BAD MAN BUSTARD
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Anakula alichopanda huko
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Жыл бұрын
Mashallah mungu mjaaalie pepo shekh wetu
@MashalahathumanAthuman
@MashalahathumanAthuman Жыл бұрын
Ewe.moro.wetu.mjariye.janatt.firdawus.shkh.wetu.jemedari.
@manyandaramadhani5427
@manyandaramadhani5427 17 күн бұрын
Na wewe kwa nini huktpiga picha hukua na sim maneno mengii
@saidalmarjibi6112
@saidalmarjibi6112 5 ай бұрын
Uislamu uliletwa na Waomani…. Na Watanganyika walikuwa na imani nzuri kabla ya kuingia Uislamu, haikuwa vigumu kuwafahamisha fadhili ya mwenyezi Mungu. Wakaja wa European kukamilisha.. wengi tena wakaingia Ukristo--- na hao ndio wananchi wa Tanzania 🇹🇿 leo. ❤
@Rad07919
@Rad07919 3 ай бұрын
Haukuletwa na wa omani, uislam ulikua ushaingia visiwani ila wao waliusambaza sehemu nyingi za East Africa.
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 14 күн бұрын
​@@Rad07919 unaweza kutuambia hapo visiwan uislam ulifikaje?
@zainabuhemedy9352
@zainabuhemedy9352 5 жыл бұрын
Ayo ndio mambo ya kuzungumza mungu akupe kauli thaabiti
@sadikingonyani8124
@sadikingonyani8124 5 жыл бұрын
Asalaam Aleykum Ust, naomba kujua kuna dvd ya hiyo histolia? kama ipo nitaipataje?
@dungayusufu1954
@dungayusufu1954 2 жыл бұрын
darasa zuri sana wasomi wakubwa wakisoma inje wanabadilisha fikira,shekh Olunga allah akuremu ishaalah
@MackameHassani
@MackameHassani 4 ай бұрын
Hakuna alie mwema Kati ya mzungu na mwarabu kwa Muafrika hata siku Moja, dini hizi sis tumeletewa jmn sisi waafrika tusijazane chuki hapaa kila mtu aiheshimu dini ya mwenzie.
@MaryamIssa-y7v
@MaryamIssa-y7v 3 ай бұрын
Ss ulitakaje chaguwa kushuka au kunyowa mitume aliwachaguwa Allah kuja kuwatangazia njia aitakayo yeye na baada kuondoka kwao maulamaa ndio warithi WA mitume na Kila ummah unashahidi.kazi kwako kutia pamba sikioni au laa usisahau kaburi
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 14 күн бұрын
​@@MaryamIssa-y7vhayo yawazungungu unajua ya waarabu lakin? Jinsi walivokata watu mikono na jinsi wavomuua kwa sumu mtemi Milambo wa Tabora hawa wote mashetani tu
@ramaissa4883
@ramaissa4883 8 жыл бұрын
Allah akulipe shekh
@mohamedmtoi8773
@mohamedmtoi8773 8 жыл бұрын
TWAYBU
@hizzamtunguja8133
@hizzamtunguja8133 6 жыл бұрын
allaah akulipe kher
@mbarikiahamadjuma6824
@mbarikiahamadjuma6824 2 жыл бұрын
Asante kwa darsa nzuri yenye mazingatio
@MwanaidMaulid-ou9sk
@MwanaidMaulid-ou9sk 5 ай бұрын
Pepo iwe makazi yako shekhe wetu
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Shkh kutoka songea mapakka mahrge itachikuwa siku ngapi
@abdallahhadinani6660
@abdallahhadinani6660 5 жыл бұрын
Allah amjaalie pepo
@hmsrashd7910
@hmsrashd7910 2 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH
@shekhekassim6402
@shekhekassim6402 6 жыл бұрын
Alhamdulilahi Alhamdulilahi Allah akupe janna ya firdausi
@nassorhemedjuma8743
@nassorhemedjuma8743 2 жыл бұрын
ah. tuwaombe dua
@rshidmwasa8493
@rshidmwasa8493 4 жыл бұрын
R.i.p ilunga
@idrisabakari584
@idrisabakari584 9 жыл бұрын
Mwenyezmungu akupe kiwanja kizuri kuliko vyote katika viwanja vya peponi iwe ndio makazi yako ustadhi ilunga kapungu tulikupenda sana mno ila imeandikwa kua sote ni wa mwenyezmungu na kwake yeye tutarejea
@rashidothman6251
@rashidothman6251 7 жыл бұрын
amiin
@omarymsangi5078
@omarymsangi5078 7 жыл бұрын
Rashid Othman poa
@omarshaaban9120
@omarshaaban9120 4 жыл бұрын
M.mungu akujalie pepo yafirdaus
@ramadhanikaogo5016
@ramadhanikaogo5016 3 жыл бұрын
Vizuli avidumu
@oscarramazani1289
@oscarramazani1289 3 жыл бұрын
Wasio waisilaam walio hai no bora wasilim kabla ya umaut
@alhabibmkama3566
@alhabibmkama3566 Жыл бұрын
Allah akbar. Subuhana llah. Hizi ndo darasa zinazotakiwa kwa waislamu wa zama hizi
@MohamedKasalama
@MohamedKasalama 8 ай бұрын
Makubwa umetuachia na kutufungua Allah akuhifadhi mahali pema pepon Aaamin
@AfnanAfshan
@AfnanAfshan Жыл бұрын
Allah amraham
@alriyamy613
@alriyamy613 3 жыл бұрын
Who's here 2021..?
@abdullazizmohammed7015
@abdullazizmohammed7015 Жыл бұрын
Allahumma ghfirlahu warhamhu
@yahayasumbe4098
@yahayasumbe4098 4 жыл бұрын
Allahumma ighifirillah warhamuhu
@sammarley1413
@sammarley1413 2 ай бұрын
Nyerere laanatullah alayhi
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 14 күн бұрын
Sasa nyerere kafanyaje nawewe
@nassorhemedjuma8743
@nassorhemedjuma8743 2 жыл бұрын
mashallah
@munirayusra91
@munirayusra91 8 жыл бұрын
Ameen
@naifatkhamis2841
@naifatkhamis2841 6 жыл бұрын
amin
@Kabeya410
@Kabeya410 Жыл бұрын
Allahu maghfirlahu warahmatu waskanahu filjanna
@mauloveamani6579
@mauloveamani6579 7 жыл бұрын
Allah akulipe kheir
@razamohammed2700
@razamohammed2700 Жыл бұрын
Alibasaleh Speeches
@AkitakaHuwa
@AkitakaHuwa 9 ай бұрын
Shukran sana
@angelomalimi2444
@angelomalimi2444 Жыл бұрын
Jinga sana hilo shehe chochezi la vulugu
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Huna adabu,inaonyesha namna gani akili yako Giza Hadi unabishana na marehemu
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Sawa.., haya sema wewe usio uchochezi kuhusu hili jambo analoongea...
@hashimmakeha9586
@hashimmakeha9586 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi Inshallah
@sprinasadro285
@sprinasadro285 Жыл бұрын
Allah akuweke mahali pema peponi amaan
@charlesmazigo8106
@charlesmazigo8106 Жыл бұрын
She anakosa hoja,atambue kwamba hizo ni zama uislam ulikuwa ndo dini yenye nguvu,maeneo mengi ya afrika,hiyo ni kabla ya ukoloni,ukoloni ndo ulisaidia kueneza ukristo,pili hao majimaji hata Kama walikuwa waislamu,hawakuwa wakipigania dini,walikuwa wakipinga ardhi Yao na nchi Yao kutwaliwa na wajerumani.dini yoyote ambayo ingekutwa na wajerumani Bado vita vingepigwa
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Sasa kuelezea Historia ndio kosa?
@charlesmazigo8106
@charlesmazigo8106 Жыл бұрын
@@aminasaid6555 off course,ni kosa kupotosha kwamba waislam ndo waliopigana na mjerumani,hao walikuwa watanganyika
@abdulmlawa302
@abdulmlawa302 4 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi
@ansapapi
@ansapapi 12 жыл бұрын
amin
@LamazanMuchaba
@LamazanMuchaba 7 ай бұрын
Manshaalllah
@abdulbarri5915
@abdulbarri5915 4 жыл бұрын
Magufuli
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Kafanyaje?
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 Жыл бұрын
Siyo majina ya kiislamu ni majina ya kiaraabu okey weka hoja yako vizuri mzee
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Vijiba vya roho chuki kwa waarabu zitawauwa
@adventsumari5776
@adventsumari5776 Жыл бұрын
Kwaiyo unatakaje mbona mnapenda sana kutufatilia cc wakristo.
@msukuma1
@msukuma1 2 жыл бұрын
Acha uchochezi ww
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 Жыл бұрын
SUMU inapandwa 😂
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Yani mnabishana Hadi na marehemu loooh!
@deokasomambuto1288
@deokasomambuto1288 Жыл бұрын
Ielezwe shule ili isaidie nini?
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Kwani inakuhusu?
@lazarusbasil1762
@lazarusbasil1762 Жыл бұрын
Hakuna jina la kiislamu ....kuna majina ya kiarabu
@amourworldbeats
@amourworldbeats Жыл бұрын
Unayajua Majina Ya Kiarabu Ni Yapi Na Kiislamu Ni Yapi?
@aminasaid6555
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Vijiba vya roho chuki uzanditi juu ya waarabu itawauwa
WAKRISTO HAWANA UZALENDO WA NCHI YETU | UST. ILUNGA H. KAPUNGU
26:08
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 38 МЛН
Новый уровень твоей сосиски
00:33
Кушать Хочу
Рет қаралды 5 МЛН
VTS 01 3
40:40
Abd Binm
Рет қаралды 21 М.
Historia Ya Tanganyika Part 1
26:23
HUSSEIN WAZIRI (I T PROFESSIONAL)
Рет қаралды 99 М.
Waislam, Bakwata na Mfumokristo
1:27:33
Mwanahistoria MohamedSaid
Рет қаралды 52 М.
2 SAID MWAIPOPO    KWANINI NILIACHA UKRISTO 2/4
1:00:34
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 680 М.
KONGAMANO PEMBA 3 ~~ MFUMO KRISTO NA ZANZIBAR
32:05
Bin Seif
Рет қаралды 21 М.
SHEIKH ILUNGA
40:05
Chalamanda _
Рет қаралды 224 М.
VTS 01 2
40:41
Abd Binm
Рет қаралды 26 М.