Ukisema ukweli unauliwa dah ! Viongozi wa Tanzania watafute majibu mazuri siku ya kiama
@nassorhemedjuma87432 жыл бұрын
allah. atulinde
@faustinconrad25543 күн бұрын
Mambumbumbu na udini; waislamu wapiganie uhuru, halafu nchi apewe Nyerere, kirahisi hivyo? Tafakari mnaopandikizwa roho ya kuzimu.
@faustinconrad25543 күн бұрын
Huyu mzee alikuwa mchochezi wa kiimani, Mungu atampa haki yake kwa kile alichokipanda Kibiti na mkuranga.
@omarykimweri14936 жыл бұрын
Ee Mwenyezi mungu mwingi wa rehma mlehemu mja wako huko aliko amin
@faustinconrad25543 күн бұрын
Waliopigania uhuru kwa dua walipenda, maana uhuru ulikabidhiwa kwa awamu kwa nchi nyingi za Afrika na duniani kote, ilikuwa lazima uhuru tupewe.
@faustinconrad25543 күн бұрын
Msiojua dini kweli tatizo; tumwonbapo Mungu jambo siyo kazi yetu kujua ni wapi au nini Mwenyezi Mungu amfanyie mtu aliye kufa. Kuona au kuto ona pepo ni kazi ya Mungu.
Na wewe kwa nini huktpiga picha hukua na sim maneno mengii
@saidalmarjibi61125 ай бұрын
Uislamu uliletwa na Waomani…. Na Watanganyika walikuwa na imani nzuri kabla ya kuingia Uislamu, haikuwa vigumu kuwafahamisha fadhili ya mwenyezi Mungu. Wakaja wa European kukamilisha.. wengi tena wakaingia Ukristo--- na hao ndio wananchi wa Tanzania 🇹🇿 leo. ❤
@Rad079193 ай бұрын
Haukuletwa na wa omani, uislam ulikua ushaingia visiwani ila wao waliusambaza sehemu nyingi za East Africa.
@fasterwalker146414 күн бұрын
@@Rad07919 unaweza kutuambia hapo visiwan uislam ulifikaje?
@zainabuhemedy93525 жыл бұрын
Ayo ndio mambo ya kuzungumza mungu akupe kauli thaabiti
@sadikingonyani81245 жыл бұрын
Asalaam Aleykum Ust, naomba kujua kuna dvd ya hiyo histolia? kama ipo nitaipataje?
@dungayusufu19542 жыл бұрын
darasa zuri sana wasomi wakubwa wakisoma inje wanabadilisha fikira,shekh Olunga allah akuremu ishaalah
@MackameHassani4 ай бұрын
Hakuna alie mwema Kati ya mzungu na mwarabu kwa Muafrika hata siku Moja, dini hizi sis tumeletewa jmn sisi waafrika tusijazane chuki hapaa kila mtu aiheshimu dini ya mwenzie.
@MaryamIssa-y7v3 ай бұрын
Ss ulitakaje chaguwa kushuka au kunyowa mitume aliwachaguwa Allah kuja kuwatangazia njia aitakayo yeye na baada kuondoka kwao maulamaa ndio warithi WA mitume na Kila ummah unashahidi.kazi kwako kutia pamba sikioni au laa usisahau kaburi
@fasterwalker146414 күн бұрын
@@MaryamIssa-y7vhayo yawazungungu unajua ya waarabu lakin? Jinsi walivokata watu mikono na jinsi wavomuua kwa sumu mtemi Milambo wa Tabora hawa wote mashetani tu
@ramaissa48838 жыл бұрын
Allah akulipe shekh
@mohamedmtoi87738 жыл бұрын
TWAYBU
@hizzamtunguja81336 жыл бұрын
allaah akulipe kher
@mbarikiahamadjuma68242 жыл бұрын
Asante kwa darsa nzuri yenye mazingatio
@MwanaidMaulid-ou9sk5 ай бұрын
Pepo iwe makazi yako shekhe wetu
@feisal6592 Жыл бұрын
Shkh kutoka songea mapakka mahrge itachikuwa siku ngapi
@abdallahhadinani66605 жыл бұрын
Allah amjaalie pepo
@hmsrashd79102 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH
@shekhekassim64026 жыл бұрын
Alhamdulilahi Alhamdulilahi Allah akupe janna ya firdausi
@nassorhemedjuma87432 жыл бұрын
ah. tuwaombe dua
@rshidmwasa84934 жыл бұрын
R.i.p ilunga
@idrisabakari5849 жыл бұрын
Mwenyezmungu akupe kiwanja kizuri kuliko vyote katika viwanja vya peponi iwe ndio makazi yako ustadhi ilunga kapungu tulikupenda sana mno ila imeandikwa kua sote ni wa mwenyezmungu na kwake yeye tutarejea
@rashidothman62517 жыл бұрын
amiin
@omarymsangi50787 жыл бұрын
Rashid Othman poa
@omarshaaban91204 жыл бұрын
M.mungu akujalie pepo yafirdaus
@ramadhanikaogo50163 жыл бұрын
Vizuli avidumu
@oscarramazani12893 жыл бұрын
Wasio waisilaam walio hai no bora wasilim kabla ya umaut
@alhabibmkama3566 Жыл бұрын
Allah akbar. Subuhana llah. Hizi ndo darasa zinazotakiwa kwa waislamu wa zama hizi
@MohamedKasalama8 ай бұрын
Makubwa umetuachia na kutufungua Allah akuhifadhi mahali pema pepon Aaamin
@AfnanAfshan Жыл бұрын
Allah amraham
@alriyamy6133 жыл бұрын
Who's here 2021..?
@abdullazizmohammed7015 Жыл бұрын
Allahumma ghfirlahu warhamhu
@yahayasumbe40984 жыл бұрын
Allahumma ighifirillah warhamuhu
@sammarley14132 ай бұрын
Nyerere laanatullah alayhi
@fasterwalker146414 күн бұрын
Sasa nyerere kafanyaje nawewe
@nassorhemedjuma87432 жыл бұрын
mashallah
@munirayusra918 жыл бұрын
Ameen
@naifatkhamis28416 жыл бұрын
amin
@Kabeya410 Жыл бұрын
Allahu maghfirlahu warahmatu waskanahu filjanna
@mauloveamani65797 жыл бұрын
Allah akulipe kheir
@razamohammed2700 Жыл бұрын
Alibasaleh Speeches
@AkitakaHuwa9 ай бұрын
Shukran sana
@angelomalimi2444 Жыл бұрын
Jinga sana hilo shehe chochezi la vulugu
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Huna adabu,inaonyesha namna gani akili yako Giza Hadi unabishana na marehemu
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Sawa.., haya sema wewe usio uchochezi kuhusu hili jambo analoongea...
@hashimmakeha9586 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi Inshallah
@sprinasadro285 Жыл бұрын
Allah akuweke mahali pema peponi amaan
@charlesmazigo8106 Жыл бұрын
She anakosa hoja,atambue kwamba hizo ni zama uislam ulikuwa ndo dini yenye nguvu,maeneo mengi ya afrika,hiyo ni kabla ya ukoloni,ukoloni ndo ulisaidia kueneza ukristo,pili hao majimaji hata Kama walikuwa waislamu,hawakuwa wakipigania dini,walikuwa wakipinga ardhi Yao na nchi Yao kutwaliwa na wajerumani.dini yoyote ambayo ingekutwa na wajerumani Bado vita vingepigwa
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Sasa kuelezea Historia ndio kosa?
@charlesmazigo8106 Жыл бұрын
@@aminasaid6555 off course,ni kosa kupotosha kwamba waislam ndo waliopigana na mjerumani,hao walikuwa watanganyika
@abdulmlawa3024 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi
@ansapapi12 жыл бұрын
amin
@LamazanMuchaba7 ай бұрын
Manshaalllah
@abdulbarri59154 жыл бұрын
Magufuli
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Kafanyaje?
@godfreymwamaso2424 Жыл бұрын
Siyo majina ya kiislamu ni majina ya kiaraabu okey weka hoja yako vizuri mzee
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Vijiba vya roho chuki kwa waarabu zitawauwa
@adventsumari5776 Жыл бұрын
Kwaiyo unatakaje mbona mnapenda sana kutufatilia cc wakristo.
@msukuma12 жыл бұрын
Acha uchochezi ww
@libetztanzania-kiswahilina2845 Жыл бұрын
SUMU inapandwa 😂
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Yani mnabishana Hadi na marehemu loooh!
@deokasomambuto1288 Жыл бұрын
Ielezwe shule ili isaidie nini?
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Kwani inakuhusu?
@lazarusbasil1762 Жыл бұрын
Hakuna jina la kiislamu ....kuna majina ya kiarabu
@amourworldbeats Жыл бұрын
Unayajua Majina Ya Kiarabu Ni Yapi Na Kiislamu Ni Yapi?
@aminasaid6555 Жыл бұрын
Vijiba vya roho chuki uzanditi juu ya waarabu itawauwa