UMEVUJA USAJILI WA MO DEWJI BAADA YA KUREJEA SIMBA, SIMBA MPYA NI BALAA, MAMADOU SAMAKE,SERGIE POKUO
Пікірлер: 18
@charleskuyeko44004 ай бұрын
Mwamnyeto hatufai. Tumwache aende Coastal akawasaidie. Umri umeenda. Tusichukue zaidi ya umri wa miaka 27. Tunataka kuwatesa watu msimu huu.
@ShingolyoMipawa3 ай бұрын
Hongera mo
@harunaswai85144 ай бұрын
Naomba msipende kufanya usajili wa wachezaji bila cocha baadaye lawama kwa kocha
@harunaswai85144 ай бұрын
Tumuongezee mkataba baleke .Bado anatufaa sana
@ShingolyoMipawa3 ай бұрын
Simba ya moto mwaka huu mo kaamua
@ShingolyoMipawa3 ай бұрын
Tano zile za yanga zinarud mwaka huu
@LassonDominick4 ай бұрын
Uchambuzi wakijinga!! Munaonhea nyinyi kama akina nani! Sisi tunasubiri simba watamke wenyewe sawa eee
@UpendoKakata4 ай бұрын
Manara Bado au kalia amekaza
@JosephCharles-b8b4 ай бұрын
Huku simba kunaonekana kuna machawa na wapuuzi kwanini kila siku tarifa za usajili zinavuja na mara nyingi wanaposti wachezaji wakijinga ili wasikie mashabiki watasemaje na ili waendelee kupiga pesa
@namtingakassim55294 ай бұрын
Wachambuzi mbuzi Mwanyeto wakazi gani sibora Kenedy
@JosephCharles-b8b4 ай бұрын
Hawa wa ivi huwa wananunuliwa ili kuendelea kusifia ujinga na wachezaji wapuzi
@msurimtenukila67453 ай бұрын
Mwamnyeto wa nn duka lile
@harunaswai85144 ай бұрын
Mwamunyeto hapana ni garasha
@IbrahimPetroMollel3 ай бұрын
Ni mapambano makali tu
@alfredrutaguza75064 ай бұрын
Bado wachambuzi ambao ni washabiki wa simba mnaendelea kuiharibu timu yenu kwa propagander
@onesmomalifedha47094 ай бұрын
Siku zote mnaanzaga hivyo halafu kwenye msimu mnapiga yowee!??
@JohnJoseph-qq7ow4 ай бұрын
Umemwona mtu WA simba anaongea au unawashwa
@onesmomalifedha47094 ай бұрын
@@JohnJoseph-qq7ow John!!!,acha hasira basi kijana wa Mudi.