Je ukisafiri nilazima usali sala za safar au ikiwa hutaki unaweza kusali kawaida
@IzudinAlwyDin8 ай бұрын
unaweza kuswali kawaida . kusali safari nirukhsa sio lazma.
@mohamedbadi77428 ай бұрын
Basi jamani niafadhali tuateni Taraweh lkn Duudumishe umoja wetu wa uislamu kwa hivo situateni Maulidi ili tuudumisheni umoja wetu wa uislamu kama nikweli tuangalieni MAULIDI Na umojawetu wa uislamu nilipi la Muhimu???????
@IzudinAlwyDin8 ай бұрын
sio kuacha maulid ni kusameheyana kwenye hilo wasomao wasiwatukane wasio soma na wasio soma wasiwatukane wasomao . ndio kuhishimiyana kutapatikana. naumoja utaendelea.
@mohamedbadi77428 ай бұрын
@@IzudinAlwyDin Hasante kwa majibu yako ulio nijibu kwa njia mzr shukran ustadh Japo mm si twarika Ila wallahi Nakupenda kwa ajili ya Allah japo kuna unao yakubali mm siyakubali lkn kuna mengi ninao faidika nao kwako yadini nisioyajua Allah atupe mapenzi na kuhishimiana kwa ajili yake na kwa ajili ya uislamuwetu Asalamu aleykum
@IzudinAlwyDin8 ай бұрын
@@mohamedbadi7742 wajua tatizo lipo katika kuhukumiyana nahaitakiwi tumhukumu mtu tuache kazi yakuhumu kwa alio tuumba . ww ukiona mm nafanya jambo ww halikuridhishi niachie na unaweza kuniambia kwa njia ilio mzuri na mm kadhalika . na usinichukie kwa kua sijafuata utakalo wala mm nisikuchukia kwa kuniambia aw kunikataza . natakiwa nihishim mauni yako na ww unihishim mauni yangu . madam sijambo ambalo limekatazwa wazi wazi kaatika Quraan aw hadithi sahihi . mola atujalie tupendani kwa ajili yake . tushikane katika tukubaliyanao tusameheyane katika tutafautianayo.