Рет қаралды 510
Tazama hapa namna Serikali ya Awamu ya Sita inavyotekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika miradi ya kimkakati ya ujenzi wa vivuko vipya vinavyokwenda kutoa huduma maeneo mapya kabisa ambayo hayakuwahi kuwa na vivuko. Miradi hiyo inasimamiwa na kutekelezwa na TEMESA kupitia Wizara ya Ujenzi.