Unajua kwanini mti wa Mbaazi unachukiwa na wachawi? Behind the scene Sheikh Othman akiwa Porini

  Рет қаралды 178,867

Kalamutz

Kalamutz

Жыл бұрын

Sheikh Othman Michael na Jaafar Abdulrahman wakiwa kazini Porini

Пікірлер: 183
@paulinakiria7918
@paulinakiria7918 Ай бұрын
Mimi shekhe Othman Michael huwa ananifanya niipende uislam nampenda kwasababu ni mnyenyekevu sana huyu kaka mungu akutunze akupe umri mrefu kwa unyenyekevu aliokupa mungu
@mshauriibrahimu-ov5fq
@mshauriibrahimu-ov5fq 4 ай бұрын
allah awaongoze inshaallah muendeleee kutupa elmuu inshaallah
@suleim505
@suleim505 Жыл бұрын
MASHALLAH : Ndiyo maana mimi maishani mwangu mimi najivunia kuwa muislamu,, MASHEKHE WETU : ALLAH AWAPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA,, na kila atakaeitikia amin
@KASSIMSAMAMBO
@KASSIMSAMAMBO Жыл бұрын
Hii video hata wachawi wanaangalia kwaiy wanachukua tahadhar
@saidothman4527
@saidothman4527 2 ай бұрын
Amin
@KhadijaMaginya-ie1ir
@KhadijaMaginya-ie1ir Жыл бұрын
Allah amrehemu Huyo mzee ampe Nuru njema ktk Kaburi lake . Nawe na ustadh awape nyingi heri
@makebakelly9935
@makebakelly9935 Ай бұрын
Shehe mimi ni mkenya naumba duwa biashara yangu sipati wateja,,,mambo yangu yote yamekwama.mtoto wangu pia akaa msisha ya kung'ang"ana hadi hawezi nisaidia .naomba dua kwa heshima zote milango yangu ifunguke.
@jumamwamreko4683
@jumamwamreko4683 Жыл бұрын
Asalam alaykum, shukran sana masheikh wetu kwa kutuonesha dawa za kiasili lkn hamkutuambia jina la mti huo mliouchuna! Tafadhali ningependa mtuambie jina la huo mti. Asanteni.
@mrokay1time958
@mrokay1time958 Ай бұрын
Nihatariii poleeeeniii saaaanaaaa saaanaaa
@user-de2xb8ic1v
@user-de2xb8ic1v Жыл бұрын
Mimi natamani nikuone mwanangu lakini mie ni mgonjwa sijui nitafanya nini
@user-uz1er8xp6h
@user-uz1er8xp6h Жыл бұрын
Mashallah nimeipenda sana hii Allah awape umri mrefu mashekhe wetu amin.
@user-de2xb8ic1v
@user-de2xb8ic1v Жыл бұрын
Aslam aleyku sheykh othman mungu akuhifadhi inshaa allah❤
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
mashaallah ni kweli Jamani tuisome quran na tuifanyie kazi yani kunasehem ukisoma hata kama ulipon kuna wachawi wengi vihi hawahuwez kwa idhini yake Allah kupitia quran
@meekman1805
@meekman1805 Жыл бұрын
Jazakumullahu kheyr. Allah akulipeni kheri mufanye tiba kwa ajili ya Allah. Aaamin
@ashalaurent2465
@ashalaurent2465 Жыл бұрын
Mashaallah Mwenyzi awahifadhi mpaka pumzi zenu za mwisho inshaallah
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Жыл бұрын
Aamin
@saidothman4527
@saidothman4527 2 ай бұрын
Amin
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Mashallah tabaraka llah 🥰🌹❤️❤️❤️
@josianemavukiro4386
@josianemavukiro4386 Жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah Allah akuhifadhi Sheikh Osman
@piliramadan875
@piliramadan875 Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah shekh athman
@assinaassina1177
@assinaassina1177 Жыл бұрын
Shukran ma sheikh Allah awazidishiye kila lakheri
@user-mk8ph8qc9k
@user-mk8ph8qc9k Ай бұрын
Shegh othman Allah bless you ❤ukiongea huna papara mardhia mashaallah nakupenda bure kaka
@mommywarda5529
@mommywarda5529 Жыл бұрын
Aa shukran jazakallah kheir nahitaji sanaa tu kufanyiwa dawa sijui lini muniambie sheikh Othman na sheikh jaffar
@hassansammy1076
@hassansammy1076 Жыл бұрын
Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
@badihamisi1012
@badihamisi1012 Жыл бұрын
Sheikhuna, assalaam aleiqum, w,llahi wabaraqaatuh, shuqran wallah kwa tiba nzuri kabisa na nazidi kufwatilia ila nna swali kidogo, je huu mbaazi wenye wamaanisha nihuu wenye sisi wakenya twaufahamu au nigani labda kiuhalisia, afwan.
@jasminyabdully499
@jasminyabdully499 Жыл бұрын
Maashallah tabaraqallah
@lallylasly2074
@lallylasly2074 Жыл бұрын
Asalam.aleykum shukrann sn SHEIKH othmann ila nashid naww nakupataj
@aminaamina3972
@aminaamina3972 Жыл бұрын
Asante Sana Allah akulipeni Duniani na akhera inshallah
@amenamaashaallahyasheikh3457
@amenamaashaallahyasheikh3457 Жыл бұрын
Maa sha Allah
@MwaishambaKipanga-bu9sz
@MwaishambaKipanga-bu9sz Жыл бұрын
Allah mubariq shehe wang
@aminatakhamis3390
@aminatakhamis3390 Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@kyaraal2155
@kyaraal2155 Жыл бұрын
Mansha Allah
@rashidimrangi1953
@rashidimrangi1953 Жыл бұрын
Shekhe nakupnd san ndugu yangu kwajili ya allah jalla jallalli allah akupe uzima na umri mrefu inshaalalh
@mealii5793
@mealii5793 Жыл бұрын
Assalamualaikum warahmatulah wabarakatuh shekhe naomba utuonyeshe na majani yake pia😢😢😢😢😢😢😢😢
@HassanNgao_254
@HassanNgao_254 Жыл бұрын
Kweli kwa sababu hatujui huo mti vzr
@faridaiddi104
@faridaiddi104 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi vipenxi va Allah
@khadeejahrashid3177
@khadeejahrashid3177 Жыл бұрын
Masha Allah, sheikh mm nahitaji unitumie huo mti Kenya, ama nije tz kuonana nawe na kuuchukua
@SamaduIdrisa-kp6uh
@SamaduIdrisa-kp6uh Жыл бұрын
Masha allah
@HalimixHamix
@HalimixHamix Ай бұрын
Shehe nakuelewa Sana katika tiba kuliko dr sule wallah,,,na Alhamdulillah haina majigambo
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
Shukraan sana mashekhe zetu Allah awajaalie pepo❤❤❤
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Жыл бұрын
Aamin na ss
@alimzee
@alimzee Жыл бұрын
Shukran 🙏🙏
@SamuelKobia-iy3fs
@SamuelKobia-iy3fs 6 ай бұрын
mashaallah,allah,awalipe,ningepeda,dawa,yenu
@aminabdalla7824
@aminabdalla7824 Жыл бұрын
Aslm alykum warahamtulah wabaraktuh masheikh wetu ...naomba mtufungue macho huo mti mkuu jina lengine ...unaitwaje,,,tumeskia mkunazi Masha Allah iko tele kwetu Kenya ila huo mti mkuu kwa jina lengine mutuambie tafadhalini ili tukomeshe wachawi apa kitaa Cha kwangu balaa atari wako tele....
@SalimSalim-ec9jo
@SalimSalim-ec9jo Жыл бұрын
Mbaazi
@aminabdalla7824
@aminabdalla7824 Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo Shukran sheikh salim
@HassanNgao_254
@HassanNgao_254 Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo mbaazi unaozaa mbaazi ama
@emmysam7938
@emmysam7938 11 ай бұрын
Amen watumishi wa MUNGU ❤
@mejumaashabani203
@mejumaashabani203 Жыл бұрын
Asalam aleyku sheykh mungu akulinde
@rashidswalehmwanjama3404
@rashidswalehmwanjama3404 Жыл бұрын
Assalamu Alykum warahmatulah waabarakatuh n mbaaz gani huu
@TijaraJuma
@TijaraJuma 3 күн бұрын
Axalaam alyekum jaman ni mbaaz upi huu tunay Pand au Kuna mbaaz mwingin
@salmashinna7705
@salmashinna7705 Жыл бұрын
MashaAllah Allah awazidishie Kila la kheir
@user-nu7qx2td1t
@user-nu7qx2td1t Жыл бұрын
Asalamu alekum sheikh athuman sheikh jaifar nikepenada sana kumualeza sheikh athaman sheikh mm nimejaribi sana kuwasiliyana na ww hatanikafukasafari kujahuko lakini nalupofika Dar salam mawasiliyano mm na ww ikabadilika sauti ikawa si ww na nalio abiwa nifane yalinishaza sana so vip kukupata
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын
Bismillah maishaallah Asanteni kwa elimu masheikh zanguu,lakini Kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu kuoga maziwa sio Haram?kwa akili yangu Naona kama chakula naharibu,😢nitoweni huu wasiwasi inshallah
@latifaSeleman-bh8lz
@latifaSeleman-bh8lz Ай бұрын
Mashaallah
@wardawardaarshad
@wardawardaarshad Жыл бұрын
Asalam aleykum Allah awahifazi nakila shari nauliza kidogo jee huo mti dukani unapatikana na km upo unaitwaje
@maryamhamad3485
@maryamhamad3485 Жыл бұрын
Allah qareem
@tawadudihaji3907
@tawadudihaji3907 Жыл бұрын
Situnambiwa tiba hyo ni ushirikina vp leo watupo elmu hyo niweke wazi sheikh kipenzi wetu mwalimu wetu
@ALLYMTAWATAWA
@ALLYMTAWATAWA Ай бұрын
Assalam alaykum Allah awalipe heri
@salmashinna7705
@salmashinna7705 Жыл бұрын
Asalmkum shekh hapo kuoga na maziwa ya faa
@neemahassan5726
@neemahassan5726 4 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh naomb jina la huo mti naomb sana
@naomiapoko9404
@naomiapoko9404 Жыл бұрын
Marshall
@salmamohammed2986
@salmamohammed2986 7 ай бұрын
Asalam aleikum mawaidha mazuri❤❤❤❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉
@piliramadan875
@piliramadan875 Жыл бұрын
Tumeona mambo ya dawa Masha Allah
@assfzainab912
@assfzainab912 Жыл бұрын
Kweli kila maradhi yana dawa naamini sana hilo hata ukimwi unadawa zake za kiasili
@mateusvianovaaraujo
@mateusvianovaaraujo Жыл бұрын
@user-xu8qj4by3u
@user-xu8qj4by3u 11 ай бұрын
Mungu awajalieni kwakutufahamisha mungu atupe maisha malefu
@emaMateru
@emaMateru 3 ай бұрын
Ninaamini sheh wachawi wabayasana
@AhmedNaswagi
@AhmedNaswagi 22 күн бұрын
Jina lamuti sheikh
@blueberrypotatogames7950
@blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@nasilmatichomes1949
@nasilmatichomes1949 Жыл бұрын
Masha'allah jazaka'allah kheyr,Allah awaongezeni umri
@MohamediMvungi
@MohamediMvungi 11 күн бұрын
Tunajiungaje ili kupata elim hi kupitia group ama hata whatssap
@user-gf5tw7fw7t
@user-gf5tw7fw7t Жыл бұрын
Allah akuongoze
@meekman1805
@meekman1805 Жыл бұрын
Sheikh tueleze matumizi ya mbaazi kufukuzia majini au wachawi.
@user-iw6ut6sp8f
@user-iw6ut6sp8f Жыл бұрын
Shekhe. Unga wakutowa jini mahab nko Mombasa ni pesa ngapi tafadhali
@nuriahussen2160
@nuriahussen2160 Жыл бұрын
Assalam caleikum sheikh tuletee huu mti Kenya iA
@neemahassan5726
@neemahassan5726 4 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh Allah barik
@mrokay1time958
@mrokay1time958 Ай бұрын
Kwa mihangahiko ya dawaaaaa
@aminasuleimanmohammed4487
@aminasuleimanmohammed4487 Жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah shekhe jafar mm Nina matatizo lkn sio sahiihi kuongea ktk public media nahitaji no yako au ya shekh maiko
@Shumy-nw6rm
@Shumy-nw6rm 10 ай бұрын
Asalam aleikum unaweza kuchemsha mizizi ya mbaazi ukanywa ikasaidia kuponesha tumbo la chango
@user-rk9vj7rl8g
@user-rk9vj7rl8g Ай бұрын
Usthad mm niko na mwanangu yuko na shida ya kuongeaakiongea leo ywaeza chukuwa siku tano ndipo aongee je naezafanyaje naomba unisaidiye
@iphermayd
@iphermayd Жыл бұрын
Mtu mkuu n mvujee ama
@rehemaedward9494
@rehemaedward9494 Жыл бұрын
shekhe Othuman nkufuatilia sana ,naomba namba zako nauguliwa na mzaz wangu Baba,ili umsaidie
@jasminyabdully499
@jasminyabdully499 Жыл бұрын
Namba yake ni hio insyoonekana katika screen
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 Жыл бұрын
Namba zake si hizo hapo kwenye video? Au wataka namba gani?
@AtilioKigahe-pp1ep
@AtilioKigahe-pp1ep Жыл бұрын
@@mswakisaid2320 hizo namba Hadi matapeli wanatumia video hizi za watu wa mungu kutapeli watu
@rashidmohamed4051
@rashidmohamed4051 Ай бұрын
Sasa huu kwtu Kenya tuaupata VIP na hatujui
@hidayah3405
@hidayah3405 Жыл бұрын
Hawa anatesema sana na nyinyi mwajua fumbuo la maradhi yake na nimuuislamu kama nyinyi 4yrs kila siku maumivu tuu hana raha kabisa tunachanga anabasuliwa kila siku lakin hakuna matumaini mbona musiende mujamsaidia na kama mwataka pesa tuko tayari kuchanga tuwalipe basi lakin muokoeni
@mwajabuhassan4673
@mwajabuhassan4673 3 ай бұрын
Anasumbuliwa na nini huyo hawa?
@fabianmkimbu880
@fabianmkimbu880 Жыл бұрын
Hayo mambo ni ya kishirikina na nimpango wa shetani siyo mpango wa Mungu,mtafuteni Mungu wa kweli uchawi au mapepo hayatakupata.jina la Yesu linatosha maana yeye ndiyo kila kitu.
@thesonstv786
@thesonstv786 Жыл бұрын
Akili yenu sijui mnapeleka wapi
@user-ip3vq7rg1n
@user-ip3vq7rg1n 11 ай бұрын
Imenibd nicheke😂😂😂
@faiqaanwar7268
@faiqaanwar7268 Жыл бұрын
Jina la mti huo kwa kiswahili unaitwaje nasi tulo mbali tujisaidie tafadhali sheikh wangu naomba utujimbu tujue maana nasi pia tuna madhila sheikh please.
@drpaulfullstop1332
@drpaulfullstop1332 Жыл бұрын
Mnadaganya nyinyi io ni mti ya mbaazi mmeshika ama doo kumbwa sana
@tobiusjtz7607
@tobiusjtz7607 Жыл бұрын
Ukwl mtupu
@annalugano5246
@annalugano5246 3 ай бұрын
Mbona hamtaji jina la mti
@aminabdalla7824
@aminabdalla7824 Жыл бұрын
Tunaomba mtupe jina lengine kuhusu huo mti mkuu masheikh wetu wachawi washenzi Sana ili tuwachepe vibao usiku na wao..... Allah anatulinda twashkuru 🙏......... Allah awalipe kheri fii dunia Wal akhera 🤲
@rahmahabibu1432
@rahmahabibu1432 Жыл бұрын
Kwel tunateseka n mti hatujaujua
@user-eg4yo8fr3q
@user-eg4yo8fr3q Жыл бұрын
Jina lake ni mkuyu
@user-wf6nq2oc8p
@user-wf6nq2oc8p 3 ай бұрын
Mkuyu hapana bana
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 ай бұрын
Jamani mm najua miti paka basii yani nimewafwatilia Sana wataalamu ni mchanganya madawa mpaka yani mm Leo waganga na piganao tu story
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 2 ай бұрын
Amiin waallay daaaa wanaboa
@blueberrypotatogames7950
@blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын
Tunaomba number za simu
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 Жыл бұрын
Mie nipo Songea naomba namba ya simu niweze kuwasaidia nawe
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 2 ай бұрын
Sasa huo mti mkuu mlouzungumzia hapo ni m,baazi? Au ni mtihuo mloufata huko porini hamjaeka wazi hapo
@IssaAlly-lj3iq
@IssaAlly-lj3iq 3 ай бұрын
Tunawaomba mututajie jina lake
@Mposa-ds5yq
@Mposa-ds5yq Ай бұрын
English please
@nehemiaayo9527
@nehemiaayo9527 Жыл бұрын
Mmmm hii siyo ni uchawi tu Kama uchawi mwingine Ukweli ni kwamba jina la Yesu ni top katika ushirikina asilimia kubwa uwo Ukweli amtaki kuusikia ila ndivyo ilivyo
@ramadhanshabani9736
@ramadhanshabani9736 Жыл бұрын
Ukweli gani?.
@user-ez4df7qg2f
@user-ez4df7qg2f 3 ай бұрын
Na huuu ukweli wa kua issa n prophet si mungu kwa mana mungu hakuzaa wala hakuzaliwa kwanini usiuamini
@user-dc7do7dv8k
@user-dc7do7dv8k Жыл бұрын
Huo mkunazi ndio unaitwa mti mkuuu
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 Жыл бұрын
Mti mkuu hauna jina lengine
@user-cz6mr1wd4p
@user-cz6mr1wd4p Жыл бұрын
Nahisi mti mkuu ni mbaazi
@samiath-hr6mt
@samiath-hr6mt 2 ай бұрын
tunaomba jina la mti
@Alicia12343
@Alicia12343 Жыл бұрын
Nawezaje kupata kuwasiliana nanyi nahitaji msaada wa dawa hiyo
@MaaneML
@MaaneML Жыл бұрын
Mbona mti wenyewe hamuuonyeshi
@barakamwamba288
@barakamwamba288 Жыл бұрын
Haaa
@kabayesankula7895
@kabayesankula7895 Жыл бұрын
Shekhe Namba ya simu nahitaji
@kalamuMedia
@kalamuMedia Жыл бұрын
+255784122858
@bwanajared9254
@bwanajared9254 Жыл бұрын
Msaada wako ni upi sisi tunataka hiyo dawa
@user-uz1er8xp6h
@user-uz1er8xp6h Жыл бұрын
yenye kheri na baraka ?
@user-to5pz8tu6f
@user-to5pz8tu6f 4 ай бұрын
Huo mti unaitwa na unapatikana wap na wap samahan naomben majibu
@nawandafamito500
@nawandafamito500 Жыл бұрын
Mwanga jini ni, kivumbasi.
@athumanidido3038
@athumanidido3038 3 ай бұрын
Muinga jini
@hasinaalrahbi6681
@hasinaalrahbi6681 Жыл бұрын
Kwa mtizamo wangu huu sio mbaazi
@kimamybeautypoint9656
@kimamybeautypoint9656 Жыл бұрын
kweli kbs nmebaki naukagua
@HassanNgao_254
@HassanNgao_254 Жыл бұрын
Ata sielewi pia mm ama ni mbaazi gani 🤔🤔
@glorysilvan6167
@glorysilvan6167 9 ай бұрын
Mnamaanisha mbaazi zipi hapo mpo porini mbona sijaona mbaazi hapo
@NicholousRoman-xi3hy
@NicholousRoman-xi3hy Жыл бұрын
Shekhe naweza nikapata namba yako
Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael
27:26
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 43 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,5 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 72 МЛН
Kisa Cha Mfalme na Nyoka wawili
16:06
Kalamutz
Рет қаралды 29 М.
KISA CHA MKE WA SHEIKH MZINIFU -  SHEIKH OTHMAN MICHAEL
40:00
Kalamutz
Рет қаралды 131 М.
Unataka jua una majini au la? fanya hivi -  Sheikh Othman
10:12