Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏
@fatmaalnabhani36096 ай бұрын
Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲
@MaridadiRashidilikwesoLikweso26 күн бұрын
asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi
@MariamShabani-eb3oh8 күн бұрын
Jazakallahu khayra
@AshuraZuberi3 ай бұрын
Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
@hawashabani78966 ай бұрын
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
@ahmadaali46056 ай бұрын
Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa
@user-nf8ku2bi9i6 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida
@AminaMohamed-td2bi10 күн бұрын
Ndomn nakupenda sana sheikh.ukomsafi sana wamaneno.
@AminaMohamed-td2bi10 күн бұрын
Naje kama hukumjua aliekufanyia kijicho.tibayake Nini.
@arafaayubu6 ай бұрын
Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri. Allah akupe ujira duniani na aakhera. Allahumma Amiin
@MaryAmaiza-th2fo6 ай бұрын
Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.
@josephndambo37145 ай бұрын
mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana
@rania-xw1vk5 ай бұрын
Karibu katika dini yetu@@josephndambo3714
@MaryAmaiza-th2fo5 ай бұрын
@@josephndambo3714 nikweli kaka
@imanmohamed22155 ай бұрын
Karibu katika dini yetu
@mwamvitaibrahim85945 ай бұрын
Takbir….Allahuwa Akbar
@user-fl3yl4or3e6 ай бұрын
Mashallah Tabaraka llah
@faridaally-jp1gx6 ай бұрын
Ma shaa Allaah
@abdulragmababdulsalam51076 ай бұрын
Mashaallah shukran ❤❤❤
@habibaramadhani-xv2ed6 ай бұрын
SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.
@user-jk6xk7id3q6 ай бұрын
Jazakallau kheira
@halimamfaume19256 ай бұрын
MashaAllah ❤ shukraan sheikh
@user-mr1hk2ed2w6 ай бұрын
Shukran Sheikh
@user-wq8lp4th2b5 ай бұрын
Maa shaa Allah ❤❤
@user-yr8ib5ni7c6 ай бұрын
Mashaa Allah
@user-uw4cw2uc3u5 ай бұрын
Jazakallaukher
@SwaumuJuma-bc9se6 ай бұрын
Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah
@seiflugendo71416 ай бұрын
Allah akbar
@user-mt4sd6cj5y6 ай бұрын
Allahu Akbar.
@swabiaa14896 ай бұрын
Allah akuhifadh ❤
@RamadhanCongera2 ай бұрын
Ahsante chekhe allah akukinge nahao
@HileHile-ns9xv6 ай бұрын
Tabaraka Allah
@user-mx4wi8ic5e6 ай бұрын
Allah Akbar
@user-ok8uh3hh3w6 ай бұрын
Mashaa Allahu karibu kigoma.
@drmussa12206 ай бұрын
Hasbun Allah wa nimal wakeel ) Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲
@user-hj7io6qy9n4 ай бұрын
Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako
@user-il8un5ft9e6 ай бұрын
Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤
@SmilingCherryBlossoms-ce8md6 ай бұрын
Maashallaah
@user-dc2nv3lu9l6 ай бұрын
Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2
@user-qq3gf9xn2c5 ай бұрын
Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah
@FatimaFatima-bx8ez6 ай бұрын
Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.
@ArseneKyallo6 ай бұрын
Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki
@aishamohamed48233 ай бұрын
Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo
@abdilahally63406 ай бұрын
Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya
@user-ec8ig8nn2y6 ай бұрын
Allah atuhifadhi
@asmahasanirashid50596 ай бұрын
Maashallh maashallh
@user-gx9hg3dp1e6 ай бұрын
Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️
@nuruabdi78066 ай бұрын
Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows
@majomasliman78566 ай бұрын
Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani
@user-mt4sd6cj5y6 ай бұрын
Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.
@sebarua6 ай бұрын
Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah
@AishaNIYONKURU-xd2qb3 ай бұрын
Aminiii
@user-ou2og1ze9d4 ай бұрын
Shekhe hongera sana Allah akubarik
@ramaaman40202 ай бұрын
Shukran Sana Shekh wetu.
@salmaassed5 ай бұрын
Mashallah
@rachelmnyimwa41926 ай бұрын
Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na
@DaxMarioo-rq9rs6 ай бұрын
Ni kweri ostazi wangu
@user-rx9lq6kw4v6 ай бұрын
Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje
@user-qg5yb7sj1s5 ай бұрын
Asante baba
@bentybenty23436 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@ftimaramadan47486 ай бұрын
Shukran
@user-hy8yp9qt2o6 ай бұрын
Mashaallah Allah Awe Pamoj Naw Inshallah Shekh Wang
Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo
@asianramadhani83154 ай бұрын
Hongera sana shekhe
@KIMOCHA12 ай бұрын
Allahuma Ameeen
@user-le7lh1ou2d6 ай бұрын
Dah Atari sana
@estheretori38556 ай бұрын
Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?
@TALLUBOY6 ай бұрын
Leo nimepata somo kubwa sanaaaa
@josphinengugi497812 күн бұрын
Mimi naulisa nakama yule alikuwa anakusitukia anakwambia maneno alikufa nifanye aji Mimi ni mkenya
@user-ol3pb6gt9e6 ай бұрын
A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@mamuumuu49995 ай бұрын
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
@MuniraYahaya-y9n14 күн бұрын
Yaalabi tuepushe na mitihani yakuchukiwa
@emmanuelmudachi65085 ай бұрын
Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.
@HassanLastman-hh9sw6 ай бұрын
Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote
@SamiraBhazizane6 ай бұрын
Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje
@smadon56386 ай бұрын
Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu
@TwaliathAndrea-dm3dy3 ай бұрын
Mswalie mtume mara nying
@naswiharashid71666 ай бұрын
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
@user-mg9fg6vc9w6 ай бұрын
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
@hamisimtusi17964 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah
@JohnMalengua-jh6ps5 ай бұрын
Je tufanyeje kujilinda na hayo yote
@user-yl2ju4oc9c3 ай бұрын
Kweli
@MwanajumaSariaАй бұрын
Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani ili nisaidike
@user-ol3pb6gt9e6 ай бұрын
A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@TwaliathAndrea-dm3dy3 ай бұрын
Haohao
@hawaamabrouck24564 ай бұрын
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
@mwajumaally33836 ай бұрын
Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku
@imanmohamed22155 ай бұрын
Muombe Allah
@user-wr6uz1rx1o6 ай бұрын
Nina maongezi yangu kidogoo
@kharifasanto33833 ай бұрын
Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga
@Ahmed261712 ай бұрын
Pole ndugu Yangu...
@khadijamohammed78113 ай бұрын
Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje
@JonathanKebaso-yk8le6 ай бұрын
Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏
@user-pk2km5nj3f4 ай бұрын
Ukimpiga gongo je haifai
@casualteenfashions87906 ай бұрын
Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.
@fabssaleh72736 ай бұрын
BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU. JE ikiwa si Waislamu?
@zitoncombo13176 ай бұрын
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
@user-do8hi3oo1d6 ай бұрын
Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?
@maryammakata78496 ай бұрын
Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu
@user-zn4bo2vk8l5 ай бұрын
Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe
@princessryan56766 ай бұрын
A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?
@bihayisefu8810Ай бұрын
Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?
@ahmedmuhiddin51076 ай бұрын
Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo
@mwajumaally33836 ай бұрын
Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako
@user-hi7ry5bc9t6 ай бұрын
Assalaam Alaikum Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?
@user-kp7gj9xq4b5 ай бұрын
Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee
@user-wr6uz1rx1o6 ай бұрын
Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako
@angle36006 ай бұрын
Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi
@aminasaid65556 ай бұрын
Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh
@smadon56386 ай бұрын
Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani
@user-pu6pr5jt4n6 ай бұрын
Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww
@emmanuelmudachi65085 ай бұрын
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
@imanmohamed22155 ай бұрын
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
@TwaliathAndrea-dm3dy3 ай бұрын
Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur
@OmanOman-dn6dj6 ай бұрын
Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh
@mwajumaissa23586 ай бұрын
Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa
@samsonhamery38096 ай бұрын
Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula
@MojamojaMojamoja-lw2ph6 ай бұрын
Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂