Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael

  Рет қаралды 139,819

Kalamutz

Kalamutz

7 ай бұрын

Пікірлер: 134
@HeriethChristopher
@HeriethChristopher 2 ай бұрын
Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 6 ай бұрын
Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
@MaridadiRashidilikwesoLikweso 26 күн бұрын
asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi
@MariamShabani-eb3oh
@MariamShabani-eb3oh 8 күн бұрын
Jazakallahu khayra
@AshuraZuberi
@AshuraZuberi 3 ай бұрын
Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
@hawashabani7896
@hawashabani7896 6 ай бұрын
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
@ahmadaali4605
@ahmadaali4605 6 ай бұрын
Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa
@user-nf8ku2bi9i
@user-nf8ku2bi9i 6 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida
@AminaMohamed-td2bi
@AminaMohamed-td2bi 10 күн бұрын
Ndomn nakupenda sana sheikh.ukomsafi sana wamaneno.
@AminaMohamed-td2bi
@AminaMohamed-td2bi 10 күн бұрын
Naje kama hukumjua aliekufanyia kijicho.tibayake Nini.
@arafaayubu
@arafaayubu 6 ай бұрын
Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri. Allah akupe ujira duniani na aakhera. Allahumma Amiin
@MaryAmaiza-th2fo
@MaryAmaiza-th2fo 6 ай бұрын
Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.
@josephndambo3714
@josephndambo3714 5 ай бұрын
mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana
@rania-xw1vk
@rania-xw1vk 5 ай бұрын
Karibu katika dini yetu​@@josephndambo3714
@MaryAmaiza-th2fo
@MaryAmaiza-th2fo 5 ай бұрын
@@josephndambo3714 nikweli kaka
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 5 ай бұрын
Karibu katika dini yetu
@mwamvitaibrahim8594
@mwamvitaibrahim8594 5 ай бұрын
Takbir….Allahuwa Akbar
@user-fl3yl4or3e
@user-fl3yl4or3e 6 ай бұрын
Mashallah Tabaraka llah
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 6 ай бұрын
Ma shaa Allaah
@abdulragmababdulsalam5107
@abdulragmababdulsalam5107 6 ай бұрын
Mashaallah shukran ❤❤❤
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 6 ай бұрын
SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.
@user-jk6xk7id3q
@user-jk6xk7id3q 6 ай бұрын
Jazakallau kheira
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 6 ай бұрын
MashaAllah ❤ shukraan sheikh
@user-mr1hk2ed2w
@user-mr1hk2ed2w 6 ай бұрын
Shukran Sheikh
@user-wq8lp4th2b
@user-wq8lp4th2b 5 ай бұрын
Maa shaa Allah ❤❤
@user-yr8ib5ni7c
@user-yr8ib5ni7c 6 ай бұрын
Mashaa Allah
@user-uw4cw2uc3u
@user-uw4cw2uc3u 5 ай бұрын
Jazakallaukher
@SwaumuJuma-bc9se
@SwaumuJuma-bc9se 6 ай бұрын
Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah
@seiflugendo7141
@seiflugendo7141 6 ай бұрын
Allah akbar
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y 6 ай бұрын
Allahu Akbar.
@swabiaa1489
@swabiaa1489 6 ай бұрын
Allah akuhifadh ❤
@RamadhanCongera
@RamadhanCongera 2 ай бұрын
Ahsante chekhe allah akukinge nahao
@HileHile-ns9xv
@HileHile-ns9xv 6 ай бұрын
Tabaraka Allah
@user-mx4wi8ic5e
@user-mx4wi8ic5e 6 ай бұрын
Allah Akbar
@user-ok8uh3hh3w
@user-ok8uh3hh3w 6 ай бұрын
Mashaa Allahu karibu kigoma.
@drmussa1220
@drmussa1220 6 ай бұрын
Hasbun Allah wa nimal wakeel ) Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲
@user-hj7io6qy9n
@user-hj7io6qy9n 4 ай бұрын
Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako
@user-il8un5ft9e
@user-il8un5ft9e 6 ай бұрын
Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤
@SmilingCherryBlossoms-ce8md
@SmilingCherryBlossoms-ce8md 6 ай бұрын
Maashallaah
@user-dc2nv3lu9l
@user-dc2nv3lu9l 6 ай бұрын
Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2
@user-qq3gf9xn2c
@user-qq3gf9xn2c 5 ай бұрын
Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 6 ай бұрын
Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.
@ArseneKyallo
@ArseneKyallo 6 ай бұрын
Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki
@aishamohamed4823
@aishamohamed4823 3 ай бұрын
Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo
@abdilahally6340
@abdilahally6340 6 ай бұрын
Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya
@user-ec8ig8nn2y
@user-ec8ig8nn2y 6 ай бұрын
Allah atuhifadhi
@asmahasanirashid5059
@asmahasanirashid5059 6 ай бұрын
Maashallh maashallh
@user-gx9hg3dp1e
@user-gx9hg3dp1e 6 ай бұрын
Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️
@nuruabdi7806
@nuruabdi7806 6 ай бұрын
Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows
@majomasliman7856
@majomasliman7856 6 ай бұрын
Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y 6 ай бұрын
Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.
@sebarua
@sebarua 6 ай бұрын
Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah
@AishaNIYONKURU-xd2qb
@AishaNIYONKURU-xd2qb 3 ай бұрын
Aminiii
@user-ou2og1ze9d
@user-ou2og1ze9d 4 ай бұрын
Shekhe hongera sana Allah akubarik
@ramaaman4020
@ramaaman4020 2 ай бұрын
Shukran Sana Shekh wetu.
@salmaassed
@salmaassed 5 ай бұрын
Mashallah
@rachelmnyimwa4192
@rachelmnyimwa4192 6 ай бұрын
Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na
@DaxMarioo-rq9rs
@DaxMarioo-rq9rs 6 ай бұрын
Ni kweri ostazi wangu
@user-rx9lq6kw4v
@user-rx9lq6kw4v 6 ай бұрын
Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje
@user-qg5yb7sj1s
@user-qg5yb7sj1s 5 ай бұрын
Asante baba
@bentybenty2343
@bentybenty2343 6 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 6 ай бұрын
Shukran
@user-hy8yp9qt2o
@user-hy8yp9qt2o 6 ай бұрын
Mashaallah Allah Awe Pamoj Naw Inshallah Shekh Wang
@tatutatu1570
@tatutatu1570 6 ай бұрын
Mashallah 🙏🤲☝️
@LeilaShah-ib4td
@LeilaShah-ib4td 6 ай бұрын
Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh
@twalibutwaha1632
@twalibutwaha1632 6 ай бұрын
Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo
@asianramadhani8315
@asianramadhani8315 4 ай бұрын
Hongera sana shekhe
@KIMOCHA1
@KIMOCHA1 2 ай бұрын
Allahuma Ameeen
@user-le7lh1ou2d
@user-le7lh1ou2d 6 ай бұрын
Dah Atari sana
@estheretori3855
@estheretori3855 6 ай бұрын
Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?
@TALLUBOY
@TALLUBOY 6 ай бұрын
Leo nimepata somo kubwa sanaaaa
@josphinengugi4978
@josphinengugi4978 12 күн бұрын
Mimi naulisa nakama yule alikuwa anakusitukia anakwambia maneno alikufa nifanye aji Mimi ni mkenya
@user-ol3pb6gt9e
@user-ol3pb6gt9e 6 ай бұрын
A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@mamuumuu4999
@mamuumuu4999 5 ай бұрын
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
@MuniraYahaya-y9n
@MuniraYahaya-y9n 14 күн бұрын
Yaalabi tuepushe na mitihani yakuchukiwa
@emmanuelmudachi6508
@emmanuelmudachi6508 5 ай бұрын
Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.
@HassanLastman-hh9sw
@HassanLastman-hh9sw 6 ай бұрын
Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote
@SamiraBhazizane
@SamiraBhazizane 6 ай бұрын
Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje
@smadon5638
@smadon5638 6 ай бұрын
Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu
@TwaliathAndrea-dm3dy
@TwaliathAndrea-dm3dy 3 ай бұрын
Mswalie mtume mara nying
@naswiharashid7166
@naswiharashid7166 6 ай бұрын
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 6 ай бұрын
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
@hamisimtusi1796
@hamisimtusi1796 4 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah
@JohnMalengua-jh6ps
@JohnMalengua-jh6ps 5 ай бұрын
Je tufanyeje kujilinda na hayo yote
@user-yl2ju4oc9c
@user-yl2ju4oc9c 3 ай бұрын
Kweli
@MwanajumaSaria
@MwanajumaSaria Ай бұрын
Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani ili nisaidike
@user-ol3pb6gt9e
@user-ol3pb6gt9e 6 ай бұрын
A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@TwaliathAndrea-dm3dy
@TwaliathAndrea-dm3dy 3 ай бұрын
Haohao
@hawaamabrouck2456
@hawaamabrouck2456 4 ай бұрын
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
@mwajumaally3383
@mwajumaally3383 6 ай бұрын
Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 5 ай бұрын
Muombe Allah
@user-wr6uz1rx1o
@user-wr6uz1rx1o 6 ай бұрын
Nina maongezi yangu kidogoo
@kharifasanto3383
@kharifasanto3383 3 ай бұрын
Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga
@Ahmed26171
@Ahmed26171 2 ай бұрын
Pole ndugu Yangu...
@khadijamohammed7811
@khadijamohammed7811 3 ай бұрын
Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje
@JonathanKebaso-yk8le
@JonathanKebaso-yk8le 6 ай бұрын
Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏
@user-pk2km5nj3f
@user-pk2km5nj3f 4 ай бұрын
Ukimpiga gongo je haifai
@casualteenfashions8790
@casualteenfashions8790 6 ай бұрын
Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.
@fabssaleh7273
@fabssaleh7273 6 ай бұрын
BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU. JE ikiwa si Waislamu?
@zitoncombo1317
@zitoncombo1317 6 ай бұрын
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
@user-do8hi3oo1d
@user-do8hi3oo1d 6 ай бұрын
Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?
@maryammakata7849
@maryammakata7849 6 ай бұрын
Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu
@user-zn4bo2vk8l
@user-zn4bo2vk8l 5 ай бұрын
Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe
@princessryan5676
@princessryan5676 6 ай бұрын
A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?
@bihayisefu8810
@bihayisefu8810 Ай бұрын
Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?
@ahmedmuhiddin5107
@ahmedmuhiddin5107 6 ай бұрын
Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo
@mwajumaally3383
@mwajumaally3383 6 ай бұрын
Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako
@user-hi7ry5bc9t
@user-hi7ry5bc9t 6 ай бұрын
Assalaam Alaikum Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?
@user-kp7gj9xq4b
@user-kp7gj9xq4b 5 ай бұрын
Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee
@user-wr6uz1rx1o
@user-wr6uz1rx1o 6 ай бұрын
Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako
@angle3600
@angle3600 6 ай бұрын
Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi
@aminasaid6555
@aminasaid6555 6 ай бұрын
Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh
@smadon5638
@smadon5638 6 ай бұрын
Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 6 ай бұрын
Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww
@emmanuelmudachi6508
@emmanuelmudachi6508 5 ай бұрын
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 5 ай бұрын
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
@TwaliathAndrea-dm3dy
@TwaliathAndrea-dm3dy 3 ай бұрын
Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 6 ай бұрын
Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh
@mwajumaissa2358
@mwajumaissa2358 6 ай бұрын
Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 6 ай бұрын
Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula
@MojamojaMojamoja-lw2ph
@MojamojaMojamoja-lw2ph 6 ай бұрын
Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,6 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
KISA CHA MKE WA MTUME MWENYE MKONO MREFU //SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:07:12
arkas online tv
Рет қаралды 34 М.
SIRI YAKO NDIO NGUVU YAKO - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
14:26
Kalamutz
Рет қаралды 15 М.
USIKU SAA9 SWALI HIZI RAKAA2 KISHA OMBA DUA HII INSHALLAH MAMBO MAZURI
47:28
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 104 М.
NAFSI YAKO NI ADUI MKUBWA KULIKO IBILISI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
24:24
arkas online tv
Рет қаралды 13 М.
KABLA YA KUUMBWA DUNIA ALLAH ALIKUA WAPI?// SHEIKH OTHMAN MAALIM
42:18
arkas online tv
Рет қаралды 398 М.