UNDANI WA KIPIGO CHA BARAKA SHAMTE ZANZIBAR

  Рет қаралды 35,455

Zanzibar Kamili TV

Zanzibar Kamili TV

Күн бұрын

Пікірлер: 70
@rayaali7551
@rayaali7551 2 жыл бұрын
POLE YA NINII NA WATU WASIOJULIKANA NI WENU WENYEWEE NA NDIO NYIE NYIE WENYEWEE MUSIBABAISHE WATU HAPOOO
@lamecksalim6052
@lamecksalim6052 2 жыл бұрын
Ha ha ha nilitegemea hayo Mungu akutangulie mzee Shamte
@mosesndahani3315
@mosesndahani3315 2 жыл бұрын
Hebu sana ccm tuamke
@yasirwabosi7481
@yasirwabosi7481 2 жыл бұрын
Kweli hawajulikani 😂😂😂afu mnatoa pole mashallah 😂😂
@suleimansulesh8152
@suleimansulesh8152 2 жыл бұрын
Mmmmh! Hakuna Jipya..
@mwanaishakhamis8069
@mwanaishakhamis8069 2 жыл бұрын
Ukiwa wamempiga Mambo ni mawili wamuogopa ama wamuonea wivu🙆🇰🇪
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Waongo wanafiki wakubwa hamna Lolote waongo wakubwa
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 2 жыл бұрын
amepigwa na maccm wenzake ambao ndio hao wasiojulikana
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 2 жыл бұрын
Laana iwe juu yenu waongo wakubwa mnauwa watu baadae mnatoa pole mungu yupo na hadanganywi wajinga wa siasa
@suleimanmazrui6942
@suleimanmazrui6942 2 жыл бұрын
Maoni yangu kwa Serikali ituruhusu endapo tukiwaona Hao Watu wasiojuilikana na Mavazi yao na hizo Gari wanazo zitumia kwa Shughuli zao ituruhusu tizihujumu kwa hata Mawe.
@yasirwabosi7481
@yasirwabosi7481 2 жыл бұрын
Yaaan hiii nchii 😂😂😂😂 khaaa
@sharifjuma1220
@sharifjuma1220 2 жыл бұрын
Niile ile weee ni ile ile wee. Yajayo yanafuhisha. Mtaka nyingi Naswabwa!!!!!!
@zanzibarspice8686
@zanzibarspice8686 2 жыл бұрын
WATANZANIA SI WAJINGA
@isaliisu3408
@isaliisu3408 2 жыл бұрын
Kwani aliyepigwa na wasojuilikana ni shamte tu
@dullagolo2950
@dullagolo2950 2 жыл бұрын
kwan watu wasio julikana wanaishi wapi jamni
@jescajohn6619
@jescajohn6619 2 жыл бұрын
Yani wampige wao ,alafu wafanye uchunguzi wao 😁😳
@muddyhamad2159
@muddyhamad2159 2 жыл бұрын
jaman manatumiza akili kusema ukweli mbn siku zote hajipingwa mpk alipoachiwa zamana ndo kapata kipigo mbn kichwa kinauma
@makameally1962
@makameally1962 2 жыл бұрын
Hayo ni mazombi yaliyompiga shamte
@imubabimu5305
@imubabimu5305 2 жыл бұрын
Wanatufanya sisi mazuzu Hawa polisi au mungu atawalipa ndomana mwisho wa siko wanapoza na kutoka mikojo ovyoo haiwezekani apigwe bila ruhsa viongozi mungu atalipa hapa duniani kuongea ukweli tu imekuwa kosa achawaongee
@najashdawood9680
@najashdawood9680 2 жыл бұрын
Wekeni famila zenu bora.
@enocksosthenes4505
@enocksosthenes4505 2 жыл бұрын
Baada ya kutoa maoni yake mmeamua kumpiga na kisha mnajifanya mnamuonea hurma na kusema mtamkamata mhusika na huku ni ninyi wenyewe. Mwananchi gani na kwa madlahi gani ya kufanya mtu wa kawaida kumpiganmzee kikomgwe wa miaka thannini na kitu kama sio ninyi msio na huruma
@amemasudi5735
@amemasudi5735 2 жыл бұрын
Kwni anayoyazungumza si ukweli tatizo hamtaki kuambiwa ukwli ila mtaambiwa tu
@meekman1805
@meekman1805 2 жыл бұрын
Ndo wale wale tushawazowea. (Wahuni wadaiwao hawajuilikani) lakini mkumbuke Allah anawajuwa, na anawaona
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 2 жыл бұрын
Kweli kabisa hili halitaki tochi hata wajitetee vipi ukweli haufichiki tusijisahau kuna malipo kwa mungu....
@meekman1805
@meekman1805 2 жыл бұрын
@@rahmaabdallah4514 Naam!
@mkijilukali2010
@mkijilukali2010 2 жыл бұрын
Kesi ya nyani ahamui ngedele
@safinamiki100
@safinamiki100 2 жыл бұрын
Rais samia
@soudothmanmuhammed2553
@soudothmanmuhammed2553 2 жыл бұрын
Yalijulikana hayokuayatatokea
@mozakhamis7253
@mozakhamis7253 2 жыл бұрын
kama sikweli mbona kinawauma
@muddygaston1671
@muddygaston1671 2 жыл бұрын
malipo ni hap hapa duniani haki yake uyo shamte siku zote unavuna ulichokipanda
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 жыл бұрын
Inasikitisha kila anaetoa fikra au maoni yasiowapendeza wakubwa basi hupigwa au hata kuuliwa na wasiojulikana. Huu imekuwa ndio mchezo wa kuwanyamazisha wenye kauli zisizopendeza kwa viongozi. Walipigwa wengi na hata kuuliwa katika kipindi cha uc haguzi wa 2020 na wasiojulikana,ni kweli hawajulikani?
@nassirmeddy9715
@nassirmeddy9715 2 жыл бұрын
🧠
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 2 жыл бұрын
Desipline
@jumamkalamba4829
@jumamkalamba4829 2 жыл бұрын
Ccm kupiga kuua nomajakatila serazao
@fikirinyanda6805
@fikirinyanda6805 2 жыл бұрын
Watu gani sasa wasio julikana
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Nyie nyie polisi na jamaa zenu wa kishamba munaowafuga maskani zenu za CCM ndio mulompiga
@fatmasaid9074
@fatmasaid9074 2 жыл бұрын
waongoooooo
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 2 жыл бұрын
Uongo upi
@fatmasaid9074
@fatmasaid9074 2 жыл бұрын
@@aliabdalla9297 wako
@bekaashbai1781
@bekaashbai1781 2 жыл бұрын
Yote mitego iyoo tumeshanza kuamini watu hawajulikani kivipi bora basi naunga mkono hoja
@khamisame5703
@khamisame5703 2 жыл бұрын
😷😷😷
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 2 жыл бұрын
Hii Ndio Afrika
@tamimtours6934
@tamimtours6934 2 жыл бұрын
BAAADATU YAKUTOWA SIRI NAKUMKOSOWA RAISI NDOKAPIGWA NAWATU WASOOJULIKANA..HAHAHA MBONA SIKU ZOTE HIZO HAJAPIGWA ALIPOKUWA CCM. MMEMDUNDA KWANZA HALAFU NDOOMMEMFUKUZA.. CCM KWELI KWELI SIWATU SERIKALI NA YAVIPOFUUHII .. HATUFIKI.
@jumafundi2871
@jumafundi2871 2 жыл бұрын
Munatufanya ss niwatoto wadogo ,akipgwa alokua munamtaka hua majeruhi anapelekwa spitali na huku walopiga wanakula kichapo rumande ila musiemtaka utasikua wasiojulikana ivi hamuoni aibu kusema hivyo tena ukizingatia wakuu wa polisi .
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 жыл бұрын
Malipo duniani ahera hisabu
@dullysavage5939
@dullysavage5939 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Mmm hawajukani 😭
@jumamuhd620
@jumamuhd620 2 жыл бұрын
Kila anae kosoa serikali anapigwa na watu wasio julikana ,je mpigaji ni nani km si huyo alie kosolewa?
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 2 жыл бұрын
Kwhyo mnapiga alafu mnawapa pole
@misscoast3174
@misscoast3174 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 2 жыл бұрын
Ujinga huuu sipendi eti watu wasio julikana ni majini ss basi. Huu ujinga nilijua kua imeisha tokea afe magufuli
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Wanafiki wakubwa CCM hawana ukweli madhalim wakubwa
@saidabdala4980
@saidabdala4980 2 жыл бұрын
Hahahaha LISSU
@salumhabibu9595
@salumhabibu9595 2 жыл бұрын
Vp
@stonetown578
@stonetown578 2 жыл бұрын
😱
@nassirmeddy9715
@nassirmeddy9715 2 жыл бұрын
(👀🧠)
@imubabimu5305
@imubabimu5305 2 жыл бұрын
Wanatufanya sisi mazuzu Hawa polisi au mungu atawalipa ndomana mwisho wa siko wanapoza na kutoka mikojo ovyoo haiwezekani apigwe bila ruhsa viongozi mungu atalipa hapa duniani kuongea ukweli tu imekuwa kosa achawaongee
@dulla9195
@dulla9195 2 жыл бұрын
Ujinga hautoweza kuisha kamwe hapo kwetu nivile watu wamenyamaza Tu ,hivi vitu sio mfano nzuri kabisa
@dulla9195
@dulla9195 2 жыл бұрын
Kwa umoja wetu wote tunatakiwa kukemee kabisa huu ni ujinga
@hindisaid2413
@hindisaid2413 2 жыл бұрын
Hutokea haya kama kina soraga na wengine.wako watu hujificha siasa lakini ni waovu kuliko shetani
@hindisaid2413
@hindisaid2413 2 жыл бұрын
Soraga alimwagiwa tindikali na wasiojulikana lakini Mungu atawafedhehesha
RELI NA MATUKIO | NDANI YA ZANZIBAR ILIKOZALIWA RELI YA TZ
26:28
ЗНАЛИ? ТОЛЬКО ОАЭ 🤫
00:13
Сам себе сушист
Рет қаралды 3,6 МЛН
UFC 308 : Уиттакер VS Чимаев
01:54
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 806 М.
BAKHRESA AVUNJA REKODI ZANZIBAR
6:42
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 44 М.
DR.MWINYI AING'ARISHA MICHEWENI
8:32
OFISI YA RAIS IKULU PEMBA
Рет қаралды 4,3 М.