Рет қаралды 52,382
Mahindi 1kg
Ulezi 1kg
Granola 750g
mbegu za maboga na Nazi ( Coconut Flakes au nazi kavu) 500g ( unaweza kutumia kimoja wapo tu
iliki 200g
💜Ukimaliza kusaga Unga wako, hakikisha unauanika kwenye jua. uwe mkavu vizuri kabisa. Kisha uhifadhi au kupack kwa kuuza.