UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 03|AFRICAN COUSIN(TASUBA)-SAUTI ZENYE LADHA

  Рет қаралды 181,856

UnitalentShow

UnitalentShow

Күн бұрын

Ni msimu wa Tatu wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M Pamoja na kwenda Uholanzi kujiendeleza Kitaaluma
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Alhamisi Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season03

Пікірлер: 120
@shyneafya
@shyneafya 5 ай бұрын
Huyu jamaa ananitoa machozi amazing voice ❤ narudia rudia mpaka leo 12/9/2024
@imeldamtey8132
@imeldamtey8132 2 жыл бұрын
Yani kwakweli tusiwe waongo Kila mmoja hapo anasauti Kali sana ila iyo aliyeva koti jeusi nimeiyelewa sana👏👏👏👏👏👏
@wilsonmsilu1936
@wilsonmsilu1936 3 жыл бұрын
Daaah huyo mwana hapo kati ni 🔥🔥🔥🔥🔥 daah huu mziki kuna watu wanaudai sanaaaaa
@officialeunice7345
@officialeunice7345 2 жыл бұрын
Napenda huyo kaka anavoimba for sure anajua. 💘
@Joycenangonga
@Joycenangonga Жыл бұрын
Yan hyu kaka wa katikati anaimba mpaka anakeraaa daah big up
@saraissa9327
@saraissa9327 9 ай бұрын
haujui muziki
@rahmambugi1950
@rahmambugi1950 Жыл бұрын
Jamani kama sio mbongo maana unajua unajua mbaka unaniliza kwa raha dah mungu akutimizie ndoto zako zikatimie 🙏❤️🥰🥰
@beverlyndavids
@beverlyndavids 2 жыл бұрын
Brought here by TikTok♥️♥️
@jesselyimo3403
@jesselyimo3403 2 жыл бұрын
Unajitahidi saaana ila huyo jamaa na Coti jeusi daa viwango vyake sio vya hapa aisee anatisha hongera sana!
@lavijacy3378
@lavijacy3378 2 жыл бұрын
The first boy nailed it🔥🔥🔥
@tabithajohn8254
@tabithajohn8254 2 жыл бұрын
Yes.
@teddymaliatabu2039
@teddymaliatabu2039 2 жыл бұрын
Jamaa anakuaga na sauti ya radi...!!
@babadaboc2481
@babadaboc2481 9 ай бұрын
My brother wa Middle ure voice is blessed me Bella unniinspire
@Samwelezekiel001
@Samwelezekiel001 2 жыл бұрын
Uyo jamaa nimuuwaj aisee noma sana mr kimaso maso
@shohamagutu6165
@shohamagutu6165 2 жыл бұрын
Sema Jamaa wa kat anajuaa🤗🤗
@niyisyegekitta6160
@niyisyegekitta6160 2 жыл бұрын
He knows yet so humble mweeeh🔥
@ernestadriano9573
@ernestadriano9573 3 жыл бұрын
Nafikiri,,, amjajua Mana yakikundi kunasauti za kuitikia inamana wanajaza mziki uyo jamaha wakati Kati anajua lakin ao wengine lazima wawe wakwamana wanamsaidia uyo kuonekana anajua zaidi nazani anae fahamu mziki wanajua umuhimu wa ao wengine
@kakapsalmsofficial
@kakapsalmsofficial 2 жыл бұрын
Yani sauti hazija merge vile yafaa
@tabithajohn8254
@tabithajohn8254 2 жыл бұрын
I repeat and repeat,,, everyone there is unique 😩❤️❤️
@sayunilaizer7023
@sayunilaizer7023 3 жыл бұрын
jmn we kaka wa katikati unajua....cjui kwann hukuamua kuwa wewe kama wewe utapoteza kitu kikubwa brooh....wish ukue wewe kama wewe 😓🥰🥰.....
@YolandaMahenge-nf2gf
@YolandaMahenge-nf2gf 9 ай бұрын
Wacha wee huyo kaka wa ktkt htr ❤
@fredrickmsomba4123
@fredrickmsomba4123 2 жыл бұрын
The second boy killed it 🔥🔥🔥
@ElishajosephNjeje
@ElishajosephNjeje 11 ай бұрын
❤ nimependa
@edwardpaulo3351
@edwardpaulo3351 2 жыл бұрын
Weweweweweeee dogo unaua sanaaaaa🔥🔥🔥🔥
@DablickSimkoko-fp5bc
@DablickSimkoko-fp5bc Жыл бұрын
Kak mkubwa wew nibaraa haufah uo moto cio wakitoto sas inabidi unifundishe uo ufund kidog naongea na wew vocalist
@mariasalomelukosi6846
@mariasalomelukosi6846 Жыл бұрын
That's great ❤
@vinisondaudi2912
@vinisondaudi2912 3 жыл бұрын
Talented Bro Black Coat 🤣
@catherinejoram776
@catherinejoram776 Жыл бұрын
Gifted and talented bro keep it up Kikund kinakutegemea wewe
@thecounter1122
@thecounter1122 3 жыл бұрын
Damn wat de faaack vocal imekaa hii crew ipo Good
@princeajiraathedn8750
@princeajiraathedn8750 2 жыл бұрын
Amazing vocal
@issaathuman2447
@issaathuman2447 3 жыл бұрын
Oy weeeeeeee watoto wa baga alf moyo TASUBA👏🏿👏🏿✊🏿
@FridaJohn-y4y
@FridaJohn-y4y Жыл бұрын
waooooo❤❤❤
@tabithajohn8254
@tabithajohn8254 2 жыл бұрын
I’m so moved😩❤️
@mcwaya1
@mcwaya1 3 жыл бұрын
Huyo jamaa mwenye base aachwe mwenyewe unless sion hilo group linatoboa
@Rozeey610
@Rozeey610 2 жыл бұрын
Alie vaa miwani n uyo mdada🥺🥺🥺
@cashhommy91
@cashhommy91 2 жыл бұрын
Huu mfumo wa ma judge sio mzuri kwa kwelii
@tabithajohn8254
@tabithajohn8254 2 жыл бұрын
Sure
@mussahkilango5990
@mussahkilango5990 2 жыл бұрын
I can't stop listening dis performance gives me goosebumps
@naomikaaya4798
@naomikaaya4798 2 жыл бұрын
Even me🔥🔥
@winfridakavishe3539
@winfridakavishe3539 2 жыл бұрын
Jamn mmwaaaaah
@tabithajohn8254
@tabithajohn8254 2 жыл бұрын
Same ❤️
@gracemjungu9244
@gracemjungu9244 Жыл бұрын
So talented, stay blessed guy's
@catherinejoram776
@catherinejoram776 2 жыл бұрын
Noma sana hiyo brother
@sayunigoodluck3516
@sayunigoodluck3516 2 жыл бұрын
Am in love with them surely 🥰
@husnalema2069
@husnalema2069 3 жыл бұрын
Good work..nmependa sana
@barakachiboni3973
@barakachiboni3973 Жыл бұрын
Naujua mziki ila huyo jamaa wa kati nyeusi ni fire
@abdulkabila787
@abdulkabila787 3 жыл бұрын
Mbona saut soul bien ni mnyama ila aipendez kuwajaji ivyo unafanya mmoja ajisikie
@YwamDarEsSalaamTanzania
@YwamDarEsSalaamTanzania 3 жыл бұрын
Very talented tongues 🔥🔥
@benfo4716
@benfo4716 2 жыл бұрын
Great job 👍
@SUPERFRONTEAROFFICIAL
@SUPERFRONTEAROFFICIAL Жыл бұрын
The two middle guys are just another thing🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥I don't trust the ladys voice at this level of singing but nice they are
@brinnalevison7926
@brinnalevison7926 2 жыл бұрын
Wana voco wanajuaa🇹🇿🇹🇿🥰🥰
@deejeydaev
@deejeydaev 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mkaliiiiiiiii asee
@EnockKayanda
@EnockKayanda Жыл бұрын
Kweliii
@Kizzymelody722
@Kizzymelody722 9 ай бұрын
Good song
@MwakaHassan
@MwakaHassan 10 ай бұрын
Umeua-leornad
@emmilianlukaye3125
@emmilianlukaye3125 10 ай бұрын
Huo sio uimbaji mzuri. Hapo kuna rushwa tu au mchongo. Anaimbia kwenye mapua,eti jaji anashangilia. Uongo
@saraissa9327
@saraissa9327 9 ай бұрын
haujui muziki
@ledrummertv2267
@ledrummertv2267 2 жыл бұрын
this is awesome 👌 n lit 🔥
@rubaofficial7695
@rubaofficial7695 2 жыл бұрын
Rayvan kakaaaaaaa
@wahabuabdul1569
@wahabuabdul1569 2 жыл бұрын
Very good
@normanleslie4248
@normanleslie4248 3 жыл бұрын
Majaji waongo kinoma duh
@Magisc
@Magisc 2 жыл бұрын
Saruty sana
@teklakihade136
@teklakihade136 2 жыл бұрын
Leonard we hatar jaman
@jacklinemackline7512
@jacklinemackline7512 3 жыл бұрын
Dogo anajua
@labigal280
@labigal280 3 жыл бұрын
Especially dada anaharibu so poa
@normanleslie4248
@normanleslie4248 3 жыл бұрын
Anaimba off sanaaa
@angellwehela4303
@angellwehela4303 3 жыл бұрын
Umeona eeh😀
@zawadilutufyo231
@zawadilutufyo231 2 жыл бұрын
Kabisaa
@patricemmuni7919
@patricemmuni7919 Жыл бұрын
Mdada mweny blauz ya njano anafeel kinoma saut ya jamaa wa black koti😂😂
@MwakaHassan
@MwakaHassan 10 ай бұрын
acha kuwakatixha tamaa lo kama xiy Binadam
@twalibuabillah-tm5nj
@twalibuabillah-tm5nj Жыл бұрын
Huyo aliyevaa alizaliwa kuja kuimba duniani
@nissamwapoladi7345
@nissamwapoladi7345 3 жыл бұрын
Jamaa aimbe peke yake anaweza la sivyo atapoteza nafasi hyo.
@tabithajohn8254
@tabithajohn8254 2 жыл бұрын
Nmeirudia na kurudia tena. No these people knows. All of them wanajua 🥲❤️❤️❤️
@hamisasuman5717
@hamisasuman5717 2 жыл бұрын
Grand final season3 lini
@janethmosses9820
@janethmosses9820 2 жыл бұрын
Yaan huyu wa black coti angeiimba mwenywe
@Mzukaorgtanzania
@Mzukaorgtanzania 2 жыл бұрын
nzuri
@mariamhinda6710
@mariamhinda6710 3 жыл бұрын
Brother katisha sana
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 жыл бұрын
Huyo Leonard ni Shida
@Kizzymelody722
@Kizzymelody722 9 ай бұрын
👏💥💥💥
@chrispinchrisant1540
@chrispinchrisant1540 2 жыл бұрын
Huyu dogo ni balaa sana
@queenbhanji4152
@queenbhanji4152 3 жыл бұрын
Akiendelea na hilo group atoboi may be awe alone
@mohammedyahya972
@mohammedyahya972 Жыл бұрын
Ni kweli jamaa ni mkali ila lazima vipaji vingine vipewe nafasi
@sayimasanja5421
@sayimasanja5421 2 жыл бұрын
Mnaharbu nyimbo za watu
@achynyawale397
@achynyawale397 2 жыл бұрын
Kaharibu na ww
@Joycenangonga
@Joycenangonga Жыл бұрын
Kaharibu wap na wew 😟
@Rozeey610
@Rozeey610 2 жыл бұрын
Uyo alievaa mawani🤔🤔🤔
@jenfridachasuka4462
@jenfridachasuka4462 2 жыл бұрын
I like that
@abelharry_tz
@abelharry_tz 3 жыл бұрын
Broh najua kuwa upo na hii group labda Tu ni hukuamini ktk ww mwenyew hapo mwanzo. Lakini nnaamini Kwa SASA unaiona tofauti yako na hao wengine kabisa . Chaguo ni lako NOW. YU have a Thing Buddah
@aggiephen
@aggiephen 3 жыл бұрын
Wa katikati ndo anajua nyie wawili wawili wa pembeni muacheni mwenzenu aimbe peke yake
@faidahalisi2336
@faidahalisi2336 3 жыл бұрын
AmnA waimbaj hapoooo,labda huyo mdog na huyo koti la black
@rasoolymsafi3896
@rasoolymsafi3896 Жыл бұрын
We akili hauna
@preciousmohmed7372
@preciousmohmed7372 2 жыл бұрын
🙌🏼🙌🏼🥳🥳
@normanleslie4248
@normanleslie4248 3 жыл бұрын
Naomba harmony yenu muifanyie zoezi bado haijakaa poa
@mariasalomelukosi6846
@mariasalomelukosi6846 Жыл бұрын
Kaimba nani hii nyimbo jamani
@robertdominiko2667
@robertdominiko2667 2 жыл бұрын
Hawa wastahili kuwa wadhindi,kuwa 1 haki yao
@hajimainde1508
@hajimainde1508 2 жыл бұрын
Nc
@mohammedmolali8281
@mohammedmolali8281 2 жыл бұрын
💥💥💥
@yusuphsimon575
@yusuphsimon575 2 жыл бұрын
dah huyu jamaaa anafaa aimbe gospel Yuko viziri
@Joycenangonga
@Joycenangonga Жыл бұрын
yan wew ndo umeongea point
@mpokiibrahim8926
@mpokiibrahim8926 2 жыл бұрын
Black kot 🔥🔥
@esthersilas6580
@esthersilas6580 2 жыл бұрын
uyo wa koti la black kabeba group
@munyarugondabarishe2130
@munyarugondabarishe2130 Жыл бұрын
What's this guy like
@aggiephen
@aggiephen 3 жыл бұрын
Hilo group hamna kituuuu😐Muacheni huyo talented aimbe peke yake lah sivyo hamtotoboa
@karimchindema9823
@karimchindema9823 3 жыл бұрын
Unajua maana ya group dada
@esterabely2959
@esterabely2959 3 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo off key ni nyingi......anae weza hapo ni mmoja
@janethmosses9820
@janethmosses9820 2 жыл бұрын
Hasa wanaoback vocal
@danielmlaponi9235
@danielmlaponi9235 2 жыл бұрын
Uyo demu ni empty kabisa
@meshacknassary8023
@meshacknassary8023 2 жыл бұрын
Ahahahaha empty bottle
@esthersilas6580
@esthersilas6580 2 жыл бұрын
uwiii na kwel anahama key kinyama
@clarisatieno708
@clarisatieno708 2 жыл бұрын
Simwoni Mercy jamani kaenda wapi?
@rodgerskombo4403
@rodgerskombo4403 Жыл бұрын
Great voice tasuba...but backup ndio inaangusha
@barakaligoha978
@barakaligoha978 3 жыл бұрын
Waimbaji wa gospel utawajua tu jamaa anafanya gospel
@Joycenangonga
@Joycenangonga Жыл бұрын
Umeona eeeh? ni gosper
@cashhommy91
@cashhommy91 2 жыл бұрын
Synchronisation of the vocals 😣😣😣😣
@mussahkilango5990
@mussahkilango5990 2 жыл бұрын
You can't judge one person in crue you decline dat cruel judge as cruel and giv dem marks
@tayaripato762
@tayaripato762 2 жыл бұрын
Can someone tell me even it's the name of that boy plz I like this guy if I can get even her number I will be happy
@kihozanakilimobiashara7969
@kihozanakilimobiashara7969 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/gZDFfqGHZq6pp7c. Lima KILIMO chenye tija na SUPERGRO. NB:Tunakufikia popote ULIPO
@nasrazubery4391
@nasrazubery4391 3 жыл бұрын
😘
UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 03|AFRICAN COUSINS(TASUBA)-NEREA
14:42
BSS 2024 SE15 EP08 STUDIO 1 | FULL SHOW
1:35:50
BongoStarSearch
Рет қаралды 80 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
ALL PERFORMANCES From Abigail and Afronitaaa on Britain's Got Talent 2024!
19:59
Kipofu Awaliza Majaji; Tazama Hapa
4:15
Nyota Shine Tv
Рет қаралды 9 М.
FUMARISON MJEJE - KUPENDWA RAHA
3:53
UnitalentShow
Рет қаралды 177 М.
MAPACHA WENYE DREAD WAWACHANGANYA JUDGES
5:51
BongoStarSearch
Рет қаралды 754 М.
SENSA KWA DIAMOND - USWEGE MURDERER
8:05
Uswege Murderer
Рет қаралды 1,3 МЛН
Parlayan Yıldız Şahin Kendirci! ✨ | Yetenek Sizsiniz Türkiye
32:52
Yetenek Sizsiniz Türkiye
Рет қаралды 3,7 МЛН
MBOSSO - YAMAHA COME TOGETHER CONCERT SERIES | 11TH EDITION
54:30
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН