Kituo cha Tanzania kinachojengea uwezo walinda amani wa UN

  Рет қаралды 4,096

Habari za UN

Habari za UN

Күн бұрын

#HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili
Kwa kutambua juhudi zinazofanywa na Chuo cha Ulinzi wa Amani cha Tanzania (TPTC) pia kwa kuzingatia kuwa Tanzania ni moja ya nchi 10 zinazochangia zaidi vikosi vya ulinzi wa amani, Umoja wa Mataifa umeipa fursa Tanzania kuendesha programu mbalimbali za mafunzo ambapo Chuo cha ulinzi wa amani kwa kushirikiana na wataalamu kutoka ‘UNITA’ na Idara ya Umoja wa Mataifa ya Operesheni za Ulinzi waliandaa mpango wa ufundishaji. Katika mahojiano yaliyofanikishwa na Laurean Kiiza wa UNIC Dar es Salaam na Kapteni Mwijage Francis Inyoma wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kusimuliwa na Flora Nducha wa Idhaa hii…Brigedia Jenerali George Itang’are ambaye ni Mkuu wa chuo hicho anaeleza.

Пікірлер: 2
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 3 күн бұрын
Well and good
@magrethlucas5505
@magrethlucas5505 7 күн бұрын
Merci
Umoja wa Mataifa  wazungumzia mafao ya wanajeshi waliouawa DRC
16:33
Habari za UN
Рет қаралды 251 М.
24 Часа в БОУЛИНГЕ !
27:03
A4
Рет қаралды 7 МЛН
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
9:03
Boxing After Dark
Рет қаралды 12 МЛН
Young Lionel Messi Was Actually INSANE
14:20
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 462 М.
Ushahidi unaoonesha Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23
4:31
BBC News Swahili
Рет қаралды 100 М.