Allahu Akbar laa ilaha illa allah, Muhammad rasulu allah
@hafidhmussa78873 жыл бұрын
Mm ningaliomba huumsahafu ukawawa wakuapishiwa maraisi wazanzibar iliwakienda kinyume uwarudi.
@zahorsalum6632 жыл бұрын
Hahahaha subutuu. hawatakii ht uwauwe.
@mwanaishakhamis80692 жыл бұрын
🤭🤭🇰🇪
@r-g-bchanal49632 жыл бұрын
Na.wabunge.pia
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Umeongea pwent
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
@@zahorsalum663 😅😅😅😅😅
@a.8563 жыл бұрын
Jazakallah khayran
@adislahlovo74092 жыл бұрын
Subhana llah huo ni ukubwa wa allah msahafu hakuzama wala haukuroa
@user-og6jy1lq7w8 ай бұрын
🤔🤔🤲🤔🤔
@yasalaam5903 жыл бұрын
Assalamu alaykum Mh msije mkajaribu kuutoleshs pesa kwa ajili ya maonesho waacheni watizame buree hio qur. Ani ni ya allah
@sulhiyasuleiman69042 жыл бұрын
Hakika
@user-ou9wu4lm3e2 ай бұрын
Mungu mkubwa
@HamidKhan-sb2xk Жыл бұрын
Zawadikutoka kwa mwezi mungu we wataka kuigeuza biashara. Nja gani hiyo. Si wafanye kazi kama wale mababu walivyo fanya.magorofa na magari za kfahari zina sehemu zake. Hapo ni aamani tupu halisi.
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Hapo lbilisi amesha fanya Fitna Kupitia Msahafu huo hata hiyo Kamati ya Msikiti Kuna Hatari ya kuhusudiana kutokana na Pesa ipatikanayo Kupitia huo Msahafu.
@kassimomar75893 жыл бұрын
Wingwi mtakaooo
@zeanamohamed40722 жыл бұрын
Subhanallah mwenyezi mungu mkubwa
@maryamabdullah91692 жыл бұрын
Subhana llah
@munamohd9633 жыл бұрын
Subhana lwah
@shaksbinsalim4532 жыл бұрын
jamani kama nimaneno ya allah kweli huwahayafanyiwi utali kwa wasiyokuwa waislamu hatawaislamu maana kuna aya hatamoja inasema kama maneno ya allah yakukuwa ya utali hata yafike karine kumi wacheni mzaha naallah waislamu munapotea
@HamidKhan-sb2xk Жыл бұрын
Asalam waleikum hapo ni jambo la muhimu sana tuwasikiliza???ila hiyo neno katumia ni chafu sana na haifai kabisa. ??? Lugha akajifunze kwenza huyo mototo afu aingia kazi. Tafadhali sana. (Allhamdullahi takatifu kuran sheriff haiku OKOTWAA". elewa iyo na kwa vyovyote mpaka siku yu kiama haitakua hata kwa sekunde moja. (Ni NURU KUTOKA HAZINA WA MOLLA) WALEIKUM SALLAM.
@husseinfaki73802 жыл бұрын
Allwahu akbar
@hajiameir86882 ай бұрын
Huo sio msahafu wa kawaida msahafu wa kawaida hauuwi hicho ni kitabu cha kichawi tu kama ghazzal jaushani na seif qatil haruob qatil na vyenginevyo msinasibishe quraan takatifu na vitabu vyenu vuengine vya kichawi na kiganga
@ZamzamHassan-hz4nr2 ай бұрын
Mwandishi uko kifedha zaidi.. Jua Quran haiuzwi. Pia hii habari imekaa ktk sura ya kishirikina mambo ambayo hayakufanywa na mtume wala Maswahaba
@issahassan8361 Жыл бұрын
Sio kweli mnadanganyana tu Km msaafu ndani yke kuna maneno ya Allah na km itakua ni hivo Misaafu ipo mengi na maneno ya Allah ndio yale yale , sema nyie mnaufanyia itikadi za kishirikina na ukiitakidi kitu chichote bc kinakudhuru Na hao wanaohojiwa wanabahatisha hio storia kwaio ni uongoo.
@dulaseif50013 жыл бұрын
WEE MTANGAZAJI HUFAI
@jicholetu71762 жыл бұрын
Kwann sifai mtangazaj wa msaada maana nipe sababu nieke sawa 0776197488
@jicholetu71762 жыл бұрын
Hustahili kumtoa maanani Mwandishi na hata kama ungekua unahitaji kumuelekeza basi ulitakiwa utumie lugha mzuri na sio kejeli
@abdullatifhassan93992 жыл бұрын
Kakosea wap brother
@wardatothman2881 Жыл бұрын
@@jicholetu7176mtangazaji hiyo ndio namb yako nikutafute
@hemedsalummbarouk78012 жыл бұрын
Sasa hu msafu ubora wake ni nini?kuuwa watu ndio jambo la msingi au vipi mbona sijaelewa
@KhamisShetani-pg3ws11 ай бұрын
Kwankni ikiwa unatumika Kwa ajili ya Tina usiendelee kutumika Nils ya kufanya shiriki
@thedon84675 ай бұрын
Kuna kitabu kina itwa ghazali isije ndio icho
@mshengavuai50043 жыл бұрын
Hmmmmmm
@saidissa8273 Жыл бұрын
hamjapata manufaa yote kwayo.zaidi ya hasara.hebu kuweni kisasa zaidi
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Ipo haja Wasomi, Masheikh (Maulamaa) wa Kiislamu waache Kuchambana (Radi) Mitandaoni wajikite zaidi kutowa llmu ya Dini (Imaan/Taqwa) sahihi Kwa Mujibu wa Uislamu. Jamii inapotea Kwa kufanya Kufuru/Shirki ya waziwazi. Innalillahi Wainna llahiyl Raj oun 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@dulaseif50013 жыл бұрын
Wewe MTANGAZAJI unarukia rukia mtu hapati kuelezea chochote mara usharukia yani unaemuhoji nawe muandishi bora weye munazungumza sawa sawa
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Msahafu au kitabu cha kichawi mbona una alama za kimasonic
@humuodkindi49263 жыл бұрын
Ni makosa kushajiisha kipato hio ni Qur'an
@hamadifaki98272 жыл бұрын
Mtakuj apoooooo
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
hebu mambo yenu ya kishirikina.msiyaingize Kwenye.dini.nyie.iteni Kua ni kitabu sio.msahafu wala msiweke msktini
@hamidakondo45793 жыл бұрын
Quraan haiuzwi ni vibaya
@omarybissa86933 жыл бұрын
Jaman
@rasadsaid18182 жыл бұрын
Huu ni ushirikina tuu
@machetebogota4218 Жыл бұрын
Kabisa na wat wapemba ni washirikina mno hawana tofaut nawatu wakule Tanga
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Akili zenu zipo katika ushirikina tu ndio maana umaskini na ufukara isiondoke wanga wakubwa
@saidissa8273 Жыл бұрын
HAO sio maskini hata ukiwapa mamilioni utawaona HIVYOHIVYO.hawana hata hicho unachokiona wewe ktk akili zao.
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Haji, usipotoshe jamii.Watu wa Pemba ni walioridhika na hali zao na wala hawana tamaa kama ilivyo jamii zingine.Umasikini wao ni bora kulilko utajiri wa wengi wanaodhulumu na kuiba mali za umma. Kuhusu ushirikina,hakuna jamii,ndani ya Tanzania,ambayo hawafanyi hivyo.
@machetebogota4218 Жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 Ila wapemba ndo kiboko wenyeew wanakukimbia kwao na wakija UNGUJA hawataki rudia kwao wamejazana hapa na ushamba wao mpaka ote twaitwa wapemba fyuuu
@dulaseif50013 жыл бұрын
Weye muandishi vipi akili yako ipo kwenye pesa
@hemedsalummbarouk78012 жыл бұрын
Tuonnyesheni jinsi munavyo ingiza kwanye maji ni kweli au mnazingua
@mkongwekhamis4331 Жыл бұрын
Itaq llaha.
@snsonlinetv8432 Жыл бұрын
Jina lako la kiisalam ila maneno Yako ni tafauti kabisa
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Je, yaliyomo ktk hicho Kitabu (Msahafu) ni Qur'an sahihi?! Kama ni Qur'an sahihi kabisa basi huo Msahafu utunzwe vema na uzingatie kivitendo Kwa Mujibu wa Mafundisho ya Uislamu na si kufanya miongoni mwa Chombo Cha Utalii na kuapizana tu! Tufuwate taratibu sahihi za kuapizana tuapizane Kwa kufuata Utaratibu wa Kiislamu. Bila shaka hiyo Qur'an ni Mwongozo, Ukumbusho, mwonyaji na Shufa/Ponyo Kwa Nafsi na Kiwiliwili. Hivyo tusiweke Kipaumbele ktk Kipato/Uchumi Kupitia kuionyesha Kwa Watalii na Kwa Kuapizana na kuwacha Makusudio/Malengo Mhimu ya Qur'an.
@dulaseif50013 жыл бұрын
Serikali inawahusu nini na huo msikiti
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Kwanza Serikali Haina Dini, zaidi watageuza Kitega Uchumi Cha Kuwaingiza Kipato kutoka Kwa Watalii na kukiuka Lengo/kusudio kuu la Qur'an/Msahafu.
Ukimuona mtu anakwambia ni ushirkina uyo ni salafi wabaya sana salafi kwa kujiona wawo ni wasafi
@machetebogota4218 Жыл бұрын
@@nabillkhamis8188 Bora salafi au ushirikina maana nyie washirikina hamtaki kuambiwa ukwel
@abumuhammad2572 Жыл бұрын
@@nabillkhamis8188 Usiite watu wabaya kwa sababu ya maoni ya mtu mmoja, unawajua salaf wote wa uliwenguni, inaonesha weye ndio mbaya na huyo alie comment humjui kwann umnasibishe na salaf, soma dini yako Nabil usikurupuke tu