HAYA NDIO MAJIVUNO YA WAPEMBA

  Рет қаралды 82,210

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Жыл бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 137
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 11 ай бұрын
Hao ndio wapemba na raha zao Allah aibariki Pemba na watu wake najivunia kua mpemba❤
@Foodgrower112
@Foodgrower112 8 ай бұрын
Nami pia amiii
@othmanhamad7887
@othmanhamad7887 10 ай бұрын
Maashaallaah,halua ya Wete naikubali sana hapo, nilipofika Wete nikaambiwa hapa mpk twende ukanunue halua ya Wete ndo utakw umefaidi kuja Wete,na hiyo halua kila ikizidi kukaa mda mrefu badala ya kuharibika ndo inazidi kuwa tamu,mm nikiichukua hiyo huwa siili cku ileile naiweka cku kadhaa ndo nakula ni tamu hatariiiiiii, Pembaaaaa Maashaallaah
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 11 ай бұрын
Yaani machozi yamenitoka ninavyoipenda kwetu one day nitarudi nyumbani Pemba home is sweet❤
@user-gl6ep3xp9s
@user-gl6ep3xp9s 11 ай бұрын
Allah aibariki pemba na watu wake. Mtu ni kwao jamani, dhiki za maisha tu humuweka mtu mbali na kwao
@abdillahali836
@abdillahali836 Жыл бұрын
Masha Allah naipenda sana nyumbani pemba Allah aijalie amani na neema telee
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
Amiin❤❤❤
@nassorali5143
@nassorali5143 Жыл бұрын
❤❤amiin
@moa4122
@moa4122 11 ай бұрын
Amiin
@b2kmohammed202
@b2kmohammed202 10 ай бұрын
Ameen
@jitukorofi9517
@jitukorofi9517 10 ай бұрын
Wengi wanaipenda pemba ila hawataki kuishi pemba
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 11 ай бұрын
Naam haluwa ya wete ni tamu kuliko asali hongereni sans🎉❤
@nasirhamadi8027
@nasirhamadi8027 9 күн бұрын
Wapemba wenzangu gonga like apa
@DaudiJuma-oo7kx
@DaudiJuma-oo7kx 11 ай бұрын
Nimekumiss nyumbani eti mpaka natamani kulia 🥺 yaa rabil tulindie pemba yetu 🤲 Inshallah nitarudi nyumbani 🇸🇦🇸🇦
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Ulifukuzwa kwani si uende tu 😅
@faridyshaame4705
@faridyshaame4705 11 ай бұрын
Amiin
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 4 ай бұрын
Home sweet home naipenda pemba najivuniya kuwa mpemba proudly pemba pemba ww ni mzazi wangu popote niendapo daima upo akilini mwangu love you mom love you pemba mwaaaaaaaah ❤❤❤
@faridyshaame4705
@faridyshaame4705 11 ай бұрын
Nyumbani kwetu 😢 Allah atulindie kwetu amiin
@aliali-ng4de
@aliali-ng4de 11 ай бұрын
Sio kila kitu uanze na utangulizi mrefu,badilika bro. shukran sana kwa kutujuvya mambo ya nyumbani
@zaitunimsangi1442
@zaitunimsangi1442 11 ай бұрын
Hongereni sana kwa utayarishaji wa hakua maashallah
@abdallaameir3153
@abdallaameir3153 Ай бұрын
Ila jaman kupakuliwa sio matusi kwa watu wapemba musije mukamfikiria vibaya mzee wetu
@guyogalora2736
@guyogalora2736 7 ай бұрын
❤Masha Allah shukran jazeelan somo zuri sana
@mohdkhamis5687
@mohdkhamis5687 11 ай бұрын
Najivunia Kuzaliwa Pemba Ilove You Pandani Tupo Pamoja Wakuu
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah nimefarajika nipo.saudiya
@alijuma7476
@alijuma7476 11 ай бұрын
Mashallah
@eshasalim5496
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! In Shaa ALLAH ❤
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ sina cha kusema ispokuwa ni upendo tu kwamba nawpenda sana ❤❤❤❤❤
@binmawanja1252
@binmawanja1252 Жыл бұрын
Mungu aibariki pemba yetu nakutaman san 🇰🇪
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Unaitamani kivipi yaani, kwani uko jela nje ya Pemba😂
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@issakassimsaid9097
@issakassimsaid9097 10 ай бұрын
​@@salma0000jmn tuko mbali twataka sana kurudi ila ishtighali
@salma0000
@salma0000 10 ай бұрын
@@issakassimsaid9097 😂
@user-gk3wz8wb3t
@user-gk3wz8wb3t Жыл бұрын
Maashaallah..namuona kijana mwenzangu IBRAHIM mahalua big up sana
@hajjism
@hajjism Жыл бұрын
Naam hongereni kwa coverage yenu ya kila mada.
@ahmadjuma-xx5nd
@ahmadjuma-xx5nd 11 ай бұрын
Mashaa allah allah ibariki pemba yetu
@ummohammed8380
@ummohammed8380 Жыл бұрын
Masha allah Na kumis pemba nyumbani Wete
@hydarkim4990
@hydarkim4990 10 ай бұрын
MASHAA ALLAHU
@zuhuramuarabu9711
@zuhuramuarabu9711 10 ай бұрын
Mashallah najivunia kuwa mpemba❤
@suleimansaid769
@suleimansaid769 Жыл бұрын
Ma sha Allh
@user-fx9ii9ke1v
@user-fx9ii9ke1v 11 ай бұрын
Mashallah ALLAh AWABARIK AMiN
@mohdalwaili5289
@mohdalwaili5289 11 ай бұрын
Mie mwananchi wa Oman nineowa Pemba Sababu watu wa Pemba wengi watu wazuri
@lusakaone7782
@lusakaone7782 9 ай бұрын
Karibu sana
@sameersabran5351
@sameersabran5351 11 ай бұрын
Mashaallah ❤
@thuriyabarwani5111
@thuriyabarwani5111 11 ай бұрын
MaShaaAllah .Mbona munatutamanisha? Allah awabariki na awazidishie neema watu wa Pemba Ameen!Hebu fanyeni mtuletee biashara hiyo huku Arabuni !
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Amin
@barwani890
@barwani890 11 ай бұрын
Ni kweli wanatutamanisha watuletee oman
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
@@barwani890 bora uifate Pemba
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 11 ай бұрын
Ilov you Hom mkoani
@arafamke
@arafamke Жыл бұрын
Masha Allah
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 Жыл бұрын
Mashallah ❤
@MohdKhamis-iq4um
@MohdKhamis-iq4um 11 ай бұрын
Mashaallah allah ailinde pemb yet
@mohdmaha7438
@mohdmaha7438 Жыл бұрын
Masha allah
@sleyumomar3637
@sleyumomar3637 11 ай бұрын
Mashallaah nampenda pemba,, home pandani ❤❤❤
@mohdkhalfan1380
@mohdkhalfan1380 11 ай бұрын
Mm wa piki lkn nipo dar
@saidhamadkhamis8445
@saidhamadkhamis8445 10 ай бұрын
Mashaallah
@firdaus7428
@firdaus7428 Жыл бұрын
‏ما شاء الله
@MsaudiaShabani
@MsaudiaShabani 11 ай бұрын
Maasha Allah
@TunauzaSimu-fn2ff
@TunauzaSimu-fn2ff Ай бұрын
Najivunia kuzaliwa Pemba lakini sikupendi kama Unguja
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 10 ай бұрын
Popote nitaenda au nitaishi ila pemba is my real home,i like there
@user-xv4tl8iv4l
@user-xv4tl8iv4l 4 ай бұрын
TUWE WAKWELI SISI WAPEMBA TUNAPENDA SUKARI KULIKO WATU WOWOTE DUNIANI. HIYO HALUA NI KISINGIZIO TU SISI NI WATU WA SHIRA KWENDA MBELE
@saidmohamed1938
@saidmohamed1938 11 ай бұрын
Nasema mashaallah haluwayawete nimzurisana lakinimahasidi uchawi.nachoyo kinaiuwa pemba.wengi wanakimbiakwa ubaya wawajinga
@IddySimba-fp2cc
@IddySimba-fp2cc 22 күн бұрын
Naona wezangu wamepakumbuka kwao me mpemba nipo dar na sijawah fika visiwani
@salasturky4844
@salasturky4844 Жыл бұрын
Inapswa kuwekwa katk tunu za Zanzibar sbbu ni ya kipekee
@sophiaissay6307
@sophiaissay6307 5 ай бұрын
Pemba mashaallah pazuli me napenda munavo ongea 😂😂😂😂 pemba oyeee ila wazee mupunguze🤐🤐🤐🤐🤐🤐
@hhajimohamad8212
@hhajimohamad8212 11 ай бұрын
Mashaala takuja Pemba.
@JumamjakaMjaka-yx5vw
@JumamjakaMjaka-yx5vw Жыл бұрын
Ahsante kwa kutuonyesha nyumbani pemba nkwetuu🤣
@attunelson8828
@attunelson8828 11 ай бұрын
Naomba kujua uwanga ni nini au kwa lugha ingine.Huwa naipenda sana halua
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 11 ай бұрын
Uwanga ni mfano wa viazi mbatata kuna mimea inaotaga mabondeni huko unachimba chin nd unapata hich kiazi kisha unakiani baada ya kukauka unatwanga na kupata unga
@user-kk6hs7ds8n
@user-kk6hs7ds8n 11 ай бұрын
Mashallah
@kairatiswahilli7024
@kairatiswahilli7024 10 ай бұрын
Home sweet home 🏡❤
@salwamohammed4787
@salwamohammed4787 Жыл бұрын
Jaman nimekumis kwetu
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Kama hujaonja halua ya wete hujala halua bado
@pesangwasalim5258
@pesangwasalim5258 10 ай бұрын
Wete n kwetu kweli nyumbani n raha
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 11 ай бұрын
Kwel kbs nitam sana
@hamedhemed7190
@hamedhemed7190 Жыл бұрын
Utaweza kweli kupika
@MasruruAbuuYasr-gs8xd
@MasruruAbuuYasr-gs8xd 10 ай бұрын
Allha anijalie nimpate mke wa kipemba/ Zanzbr
@MbaroukKhalifa
@MbaroukKhalifa 3 ай бұрын
Allahuma amiin 🤲🤲
@SelemaniDowile-mk1wm
@SelemaniDowile-mk1wm 11 ай бұрын
Kwetu raha sana huko ndio kinapatikana halwa😋
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@allyelbusaid9888
@allyelbusaid9888 10 ай бұрын
Pemba n'kwetu.. Na Halua ni Yetu..
@biubwakhamis1032
@biubwakhamis1032 11 ай бұрын
Home sweet home
@hassanmwahigo5427
@hassanmwahigo5427 10 ай бұрын
Pemba n tz au kenya
@nassor8819
@nassor8819 3 ай бұрын
Halwa tamu ile madhara yake ni makubwa
@MasudiSuleman-ui5wh
@MasudiSuleman-ui5wh 9 ай бұрын
Eh mung tunakmba Kwa tahma zako utujalie kuitoa Zanzibar kwny Mikono ya utawala wa watu weus
@sayeedbinazan
@sayeedbinazan 10 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-bs6ri7cs4s
@user-bs6ri7cs4s Жыл бұрын
Halwa ya Wete poa
@user-sw6wu7rp6h
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Sio ya bakhresa ya unga wa ngano
@RahmaAbdulla-uw6jg
@RahmaAbdulla-uw6jg 11 ай бұрын
Mie nataka kujua Uo uwanga ndonini?
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 11 ай бұрын
Kuna halua ya wete halafu kuna ugali sasa Kama hujui jichanganye !!!
@user-nw7hr2qi8u
@user-nw7hr2qi8u 4 ай бұрын
Yani. Wapemba tupewe. Mauwa. Yetu t
@user-fs5lm7kp3j
@user-fs5lm7kp3j 11 ай бұрын
😢
@anasmakame-ph2yu
@anasmakame-ph2yu 11 ай бұрын
❤I love you very much at home, by the power of Allah, there will be a day when I will return, Inshaallah
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
What is stopping you😂
@Zanzibar-LandOfBlacks
@Zanzibar-LandOfBlacks Жыл бұрын
nikapike halua yangu sasa
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Si rahisi kama unavyodhani
@RahmaAbdulla-uw6jg
@RahmaAbdulla-uw6jg 11 ай бұрын
Vp unguja inapatkana iyo haluwa ya wete?
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Hongera, jasho linaingizwa wakati gani au siri ya jikoni.
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 Жыл бұрын
asante baba haahaa unatoa siri za watu
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Kaona 📷kaporoja yote pengine alikua ana hamu aonekane
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
jasho liko wapi si umeona ni maneno tu moto wenyewe upo nje
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 11 ай бұрын
😢😢😢
@husnamadai7052
@husnamadai7052 11 ай бұрын
Ntambo wa shira
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Ulijengwa Unguja wakaufilisi
@nassorahmed7956
@nassorahmed7956 11 ай бұрын
Halua yawete haitokei kwengine kokote
@hidayahidaya-vd3ze
@hidayahidaya-vd3ze 11 ай бұрын
Najivuniya kuwa mpemba
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
👍🏼
@alibaraka6699
@alibaraka6699 11 ай бұрын
Huyo mpika halua wakati wa kupika hiyo halua, jee huwa anaitembeza wapi?
@Rumaysabint
@Rumaysabint 11 ай бұрын
😂😂😂 c anaitembeza hapo jikoni huoni
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
kwenye sufuria
@user-fj9qu5pj6b
@user-fj9qu5pj6b Жыл бұрын
Mashallah lakini huyu mbona anatoa code zetu hapo alitakiwa kusema kilakitu unaweza kiasi tuu kama walio mtangulia😅
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Naoan ilikua afungue mapishi pemba
@user-sw6wu7rp6h
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Hawezi kutoa password zote
@user-sw6wu7rp6h
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Kafanye wewe uone km hutapika uj😂
@sabihasalim942
@sabihasalim942 11 ай бұрын
​@@user-sw6wu7rp6h😂😂😂
@omarmakame3027
@omarmakame3027 11 ай бұрын
Pemba nkwetu
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 11 ай бұрын
Hamna ishu nyinyi vurugu tu kila kitu nyinyi
@fatumasaleh8048
@fatumasaleh8048 11 ай бұрын
Wacha wivu wwe😏😏
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
kimekuwasha
@user-ic7iw2dh7o
@user-ic7iw2dh7o 11 ай бұрын
Eee Wete iyo baba
@khalidkhamis8002
@khalidkhamis8002 11 ай бұрын
Nimefurahi kuiona pemba
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 Жыл бұрын
ami panaulizwa habar ya jasho kilo ngap
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Jasho gani acha uzushi, boflo ndio lina jasho na unakula asubuhi na jioni😅
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 11 ай бұрын
@@salma0000 ha jamaayang wajitia upofu kias gan moto wote huo yuko chin ya chiko utanambia kaz yke nkuona barid tu twala tuu majasho nkila pahala
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
@@mhrmahir3756 usile halua, kanunue soda ktk machupa yasiyokoshwa
@Muhammad-el9iz
@Muhammad-el9iz 11 ай бұрын
Tatizo suali linaulizwa "jasho kilo ngapi" hv kimiminika kinapimwa kwa kilo????
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 11 ай бұрын
@@Muhammad-el9iz sas wataka dibet mana sis twazungumza mas hara tu apo
@seifhabib5987
@seifhabib5987 11 ай бұрын
Haluwa Tam Malindi peke yake Al-Kudaimy
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
subutuu ugali wa masika
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah nimefarajika nipo.saudiya
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah
@shuuabdallah6921
@shuuabdallah6921 10 ай бұрын
❤❤❤❤
HII NDIO HATARI YA KUWASHIRIKISHA WATU WA NJE KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
21:24
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 28 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 21 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
KIJANA WA PEMBA MWAMBE AVUMBUA UMEME WA JANGWA
11:31
Bin Nyange Media
Рет қаралды 7 М.
KITOKA NYUMBA _Dongo/Kiswabi/Bi Kidecha/Naomba
15:04
Jufe Film Production
Рет қаралды 769 М.
FURAHA PEMBA KUA KAMA FORODHANI SASA(FURAHA BEACH)
9:27
P-AFRICA 60 subscribers•2ok views
Рет қаралды 1,7 М.
UONE MSAAFU WA MAAJABU ULIOPO KISIWANI PEMBA
34:31
Jicho Letu
Рет қаралды 39 М.
HII NDIO DAWA YA MWANAUME MWENYE GUBU (HUBBUL HALAL)
23:22
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 7 М.
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 28 МЛН