Ushawahi kuharibikiwa na mimba?

  Рет қаралды 31,618

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Sema Wazi, leo unapata majibu kuhusu tatizo la mimba kutoka au mimba kuharibika.
Daktari Living Colman wa hospitali ya muhimbili Tanzania anaelezea kwa kina katika tarifa hii.
#bbcswahili #tanzania #afya

Пікірлер: 23
@gracegrace6510
@gracegrace6510 Жыл бұрын
Jaman dk wangu ulinizalisha mwangu G muhimbili uko vzry Sana dk unajali mgonjwa Mungu akuzidishie hekima na maalifa ktk Kaz zako da niliumwa saa nane usiku uliacha kitanda chako ukaja sitakusahau ,🙏🙏🙏
@EdinaDamas-jl4uq
@EdinaDamas-jl4uq Жыл бұрын
Habar doctor Mimi sikuend mwez moj hedh zng nashngaa mwezi huuu nimeingia alafu haitoki nyingi na tumb linajaaa gesi San napat shida Sana tatizo nn
@HusnaRashid-ur5wz
@HusnaRashid-ur5wz Жыл бұрын
Nimekuelewa. Vizur sana dactar. Namm nachangamoto izo
@user-ti4zw8pp9k
@user-ti4zw8pp9k Жыл бұрын
Ety kwa mtu ambaye ametoa mimba kwa kutumia vidonge vya misoclear vinne kwa mimba ya wiki3 alafu akatokwa dam matone mawili tuu he Apo mimba inakua imetoka au Bado haijatoka
@user-ud6yj3xh7h
@user-ud6yj3xh7h 11 ай бұрын
Kwakweli ichi ndicho kilicho nitokea kama ww
@happyalicko8571
@happyalicko8571 10 ай бұрын
Nenda kapime mimba bado IPO inakuwa tu
@user-rd4tu7xj2q
@user-rd4tu7xj2q 10 ай бұрын
Mimba ipo dear,
@user-jt7jj9lm1t
@user-jt7jj9lm1t 6 ай бұрын
Doctor ukiwa mjamzito ukatumia vidonge vya uzazi wa mpango unaweza kuharibu mimba
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 жыл бұрын
Asante
@enearobart-tv1ch
@enearobart-tv1ch Жыл бұрын
Dokta mimi niritoa mimba kwa kutumia vidonge je ninaweza kubeba ujauzito mwingine
@user-ct6mk2bo9r
@user-ct6mk2bo9r Жыл бұрын
Mm mimba iliharibika ikiwa na miezi miwili hadi wa leo miezi miwili imeisha sjapata siku zangu na nilipima sina ujauzito
@user-mj9uw5sg7e
@user-mj9uw5sg7e 7 ай бұрын
Ok ok
@salkhaJuliusfashion
@salkhaJuliusfashion Ай бұрын
Doctor mm nilitumia misoprost mala ya kwanz damu ilitok kidog na nilikuwa na mimb ya wiki mbili nkatumia ten miso clear ikatok kidogo na bonge la damu je mimb ilitok au bd ipo dct nisaidie apo sielewii
@user-rs5vi8wm2p
@user-rs5vi8wm2p 5 ай бұрын
Daktar mm niko na shida yakutokushika mimba nimeenda osptali nimepima wamenambia nina infection kwenye kizaz wamenipa dawa nikimaliza niende nikasafishwe je hio njia ya kusafishwa haitoniasili kizazi maana madaktar wengine wanasema kusafisha kizazi kunaongeza maraz je nikweli
@zuuhnassor6688
@zuuhnassor6688 7 ай бұрын
Me doctor mimbs yangu imearibika na nilikuwa sijijui kuwa namimba nilivyo pima kama leo usk huohuo mimba imetokaa ilikuwa na week mbili naweza pata mattz naogopaa ndy mimbaa yanguu ya kwanza😢
@rosetemu
@rosetemu Жыл бұрын
Mimba ikiharibika inauwezo wa kuaanao kwa muda gani mwilini bila kusafisha
@tumainimingo9103
@tumainimingo9103 6 ай бұрын
Mim jamani mdogo wangu kaforce kutoa mimba kwa kutumia miso na haikutoka mara ya pili tena akanywa miso damu zikatoka mabonge ila baadae kapima mimba bado ipo akaenda kusafishwa kama mara tatu hiv but saiv bado analalamika tumbo na matiti kuwasha na akijibinya maziwa yanatoka je ni kwamba mimba bado ipo?
@user-fb4pt4kn6n
@user-fb4pt4kn6n 11 ай бұрын
Unanisaidiaje
@NelsonKanuya-ls2zv
@NelsonKanuya-ls2zv 5 ай бұрын
Mtu aliyeses cku Moj iliyopita atafanyaje
@user-fb4pt4kn6n
@user-fb4pt4kn6n 11 ай бұрын
Dokta mimi ni mjamzito lakini nina p i d
@MaryamSaid-km7rw
@MaryamSaid-km7rw 10 ай бұрын
Dr habari nimeharibu mimba docter akanipa aspirin je Zina faida gani ?
@msafirially7864
@msafirially7864 7 ай бұрын
Hv mtu anawez kuzuia mimb km ixhpit ck mbl
@rosetemu
@rosetemu Жыл бұрын
Habari doctor ninamimba ya miezi mitatu ila ikiwa na miezi miwili nilipiga utrasound nikaambia mimba imeharibika ila sikukubali kusafishwa Sasa Ina miezi mitatu ila napata maumivu ya tumbo na kiuno.
How to use Misoprostol for abortion | Ami Explains Abortion
5:45
Ami Explains Abortion
Рет қаралды 1,7 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 41 МЛН
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 8 МЛН
LUKUVI NGORONGORO  AUSEMA UJUMBE ALIOAGIZWA NA RAIS SAMIA
5:54
Mwananchi Digital
Рет қаралды 8 М.
SAKATA LA NGORONGORO KABUDI ATIMBA,  ATAJA MAMBO MANNE
4:29
Mwananchi Digital
Рет қаралды 25 М.
AFYA YA UZAZI: Madhara yatokanayo na Kuharibika kwa Ujauzito
2:59
ELIMU YA AFYA ONLINE TV
Рет қаралды 381
TATIZO LA KUZIBA MIRIJA YA UZAZI NA TIBA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
21:45
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 6 М.
Dalili hatarishi kwa mama mjamzito.
21:38
EastAfricaTV
Рет қаралды 111 М.
NUTRITION: EP 17 |  UMUHIMU WA KARAFUU
6:27
VOAGTV
Рет қаралды 79 М.