Wimbo wa dada Namsifu unatia moyo sana kwa wote ambao bado tunapambana na dhambi... Vita kweli ni kali ila Yesu ni mwaminifu hatatuacha kamwe!
@johnluhega6421Ай бұрын
Hizi Ndizo nyimbo za injili. Ujumbe Mzuri wa kuwatoa watu dhambini Ubarikiwe sana🙏
@onesmopeter-n7xАй бұрын
Kiukweli nimejifunza Jambo kubwa ndani ya wimbo huu nikiwa main character.... Songa mbele dada NAMSIFU na Mungu akupiganie katika uimbaji wako
@franleytv6131Ай бұрын
Wimbo mtamu sana huu, una ujumbe, nyimbo zake huyu dada ni za rohoni❤😊
@upendoramadhan9222Ай бұрын
Mungu akubariki dada wimbo mzur usonge mbele
@monicaanselmi6992Ай бұрын
Hallelujah now❤❤❤
@adv.benedictpiusАй бұрын
Mungu akuinue zaidi dada Namsifu
@Chosen_generation2050Ай бұрын
Mungu akubariki sana dada angu
@amosMtatiloАй бұрын
Hongera kwa ujumbe mzur sana
@hosanastudioz852Ай бұрын
Nice work To God be the Glory
@mwitajoshua51629 күн бұрын
Barikiwa wimbo mzur
@amanaaleniАй бұрын
Mungu akubariki Sana madam Maana wimbo mzuri sana na unatia moyo sana
@Tish969Ай бұрын
Dada Namsifu, Ubarikiwe kwa wimbo huu. Kila ninapousikiliza nasogea miguuni pa Yesu❤
@erickmsuguli2225Ай бұрын
Great Item! With a solemn message 🎉
@chachasilassilas2113Ай бұрын
Mungu azidi kukubariki kupitia karama hii kufanya kazi yake. Wimbo mzuri unaturejesha kumtafakari Mungu.❤🔥🔥
@JacksonSingano-zk3elАй бұрын
barikiwa mtumishi
@thebrightenvoices-zl9xl3jp7vАй бұрын
Amen 🙏
@amosyjohnson4125Ай бұрын
Ubarikiwe sana magic voice
@DerickBakalemwa-fl3vfАй бұрын
Great song
@JanethjandwaАй бұрын
Barikiwa sana Dada wangu mzuri MUNGU akubariki sana unanibariki sana
@eliassilas8751Ай бұрын
Amen, what a blessing, comforting and encouraging song!🙏, ●Usivunjike moyo ●Ushindi ni halali yako ●Yesu yupo kutupigania Mungu akubaliki - Ufike mbinguni
@stepheneomondi6252Ай бұрын
What a blessing song❤❤
@ngetatv3475Ай бұрын
Am blessed with the song. May God Bless You Singer Sister Namsifu
@abelkorerimanaАй бұрын
Wimbo Mzuri sana 😢😢😢
@pilisospeter26 күн бұрын
Barikiwa my twin
@yockebedjoram8427Ай бұрын
sina ata cha kusema, ila huu wimbo una mguso wa pekee🙏😢
@musamkumbo5029Ай бұрын
Nabarikiwa.❤
@mwlsoap8593Ай бұрын
Yes my sister unanibariki mnoo
@user-iw3vs2xb3pАй бұрын
Nabarikiwa sana na wimbo huu
@FeliciaKiangiАй бұрын
Wonderful 👍
@LabanMaxАй бұрын
Amina
@elibarikitulla629122 күн бұрын
Ushindi ni halali yangu,......amen
@marykihede675718 күн бұрын
Wimbo unanibariki Sana huu
@SilviaMsola-j7q17 күн бұрын
My sister be blessed accordingly 🙏 I remember one day you came at duce tucasa and you performed this song I liked it from the moment I heard ❤❤❤❤
@agustinokagera119Ай бұрын
This song is absolutely lovely! It touched my heart and made me feel blessed despite all the challenges I'm facing. It makes me feel incredibly strong.❤
@namsifuelisaАй бұрын
Amen 🙏
@amosyjohnson4125Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@ivanbusumbiro642914 күн бұрын
Hii ni karama toka juu
@rosemgaya8552Ай бұрын
Asante dear
@mwijagemindset14 күн бұрын
Ubarikiwe
@brogwakisa8094Ай бұрын
God bless ya gal
@minzamsumule8731Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@priscapeter4836Ай бұрын
❤❤
@user-xo9cn9yq5sАй бұрын
Jaman unanibariki sana Naomba utuwekee na instrumental Yako basi
@amosiperesi6547Ай бұрын
Barikiwa dada angu unatubariki sana
@yohananyamaruri9105Ай бұрын
Dada siku Hizi bana uko kimyaa na nyimbo zako nazimiss
@namsifuelisa27 күн бұрын
Nyimbo ziko humu tangu November nimekuwa naweka. Nyimbo Mya ingia andika NAMSIFU ELISA utaona nyimbo zangu mpya
@yohananyamaruri910527 күн бұрын
@@namsifuelisa nakupenda Dada angu Mungu akutumie
@TheGloriousMelodiesChoirАй бұрын
This incredible melody will stand as a powerful reminder and a symbol of hope and happiness on our journey to eternal life.❤❤