Рет қаралды 3,878
Katika njadala huu uliofanyika siku ya kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar, Wazanzibari walijadili uhalali wa mapinduzi hayo. Miongoni mwa walioalikwa kutoa mada ni pamoja na Tundu Lissu, mwanasiasa na mwanasharia maarufu nchini Tanzania pamoja na Mohamed Said, mtunzi wa vitabu na mwanahistoria maarufu nchini humo. Mwingine ni Wakili Awadh Said wa Zanzibar. Na katika video hii tunakuletea uchambuzi wa Profesa Ibrahim Noor, Sheikh Ibrahim Hussein, Zitto Kabwe, Bi Aisha na wengine kuhusu dhana nzima ya mapinduzi. Je, ni kweli yalilenga kumtoa mwarabu Zanzibar? Wasikilize ujue mengi ambayo hayasemwi kuhusu mapinduzi ya Zanzibar.