Ahsante mh Tundu Lissu. Umeendelea kutowa elimu kubwa. I wish Watanganyika akina pole pole na baadhi ya wana chadema WATAJUWA nini maana ya muungano, mapinduzi na maslahi ya Zanzibar na kwanini wazanzibari wanadai mamlaka kamili. I m dare to say Watanganyika they dont like to understand our cry. Thus why many Zanzibar hate Tanganyikans government na Muungano
@ahmuhally44302 жыл бұрын
Watanganyika wote wanaujua ukweli ila wanauficha kwasababu ya Maslahi yao ya dhulma
@rockcitynative99852 жыл бұрын
Brother mnatukosea sana watanganyika. Hakuna mchadema anataka muungano na CHADEMA walishaga singiziwa na Lipumba eti hawataki muungano kwavile hawawapendi waislam Zanzibar. Kikundi kinacholilia Muungano ni CCM tu. CHADEMA hatutaki muungano huu tunataka Zenj huru alafu tukubaliane namna ya kuishi kama ndugu.
@raymondjohn379810 ай бұрын
Kuchukia watanganyika Kwa sababu hiyo,sio wao Ila wahusika wapo,lakini sio watanganyika wote.
@LusajoMwaipopo-bx1vp4 ай бұрын
@@rockcitynative9985😅
@ahmedmwinyi69358 ай бұрын
Nafatilia sana siasa za Zanzibari kwani kwetu. Fuko lamgu mimi ni Mpemba, Jambo la kusikitisha ni walio jitolea kujenga nchi anakuwa adui mkubwa kwa njia hio utulivu hautapatikana. M.A . Shungi
@salyali78072 жыл бұрын
Lissu is my favorite 👍
@parma786 Жыл бұрын
Sheikh mohd bin said ahsante kwa historia ulosema Allah akulinde kila uendapo na usemalo na akupe afya nzuri na maisha marefu inshallah slm alkm.
@allyabdallah17762 жыл бұрын
safi sana LISSU
@mbukumagiubukumagu4062 жыл бұрын
Tundu lisu ahsante sana nimekusikiliza kwa makini nimejuwa nini maana ya Mapinduzi
@BozaDizamile-u1d4 ай бұрын
Tupe Helimu Tundu Lissu Wewe Ndio Tegemeo Letu CCM HAWANA Ubavu Wakutumbia Ukwer Funguka Baba Lissu
@ibrahimallymohd36452 жыл бұрын
Lisu asante kwa kusema ukweli na tunakuombea mungu akuweke uje ubainishe baina ya Zanzibar na Tanganyika na sasa Zanzibar tunafahamu sote lakini tuna ogopa kwa sababu mapinduzi yanaendelea kufanyika kila uchaguzi
@piuskusenge-jf2ob Жыл бұрын
😊
@moxasaidi33988 ай бұрын
Laana ya Mungu izide kumuangamiza nyerere na wauwaji wote walio dhulumu wananchi wa zanzibar
@MohamedAbdallahSaid4 ай бұрын
Kweli Watanganyika ndio waliokwenda kupindua Serikali ya Zanzibar na Nyerere ndio aliyekuwa Kiongozi wao.Hiyo hutataja kuogopa kukosa kura. Leo Mzanzibar ndio Kiongozi wa Tanzania. Ndio malipo hayo.
@yahyadenny43684 ай бұрын
Lisu funguka vizuri kuhusu mwl nyerere kumleta john okelo toka uganda kuua watu zanzibar majumbani na misikitini ,leo watu wanashangilia mauaji ya raia wasio na hatia.
@BozaDizamile-u1d4 ай бұрын
MM CCM IKIANGUKA NAENDA MAHAKANI KUWASHITAKI CCM KWA KUNIFUNDISHA ISTORY YA UONGO WALITUFUNDISHA KARUME ALIWAFUKUZA WARABU KWA MAWE KUMBE WAONGO. NDIO MAANA HADI LEO CCM WAONGO SANA NDIO MAANA WANAOGOPA KATIBA NA TUME HURU WANAJUA WATAISHIA JELA KWA UONGO WAO WA MDAMLEFU
@jaanjaan1112 жыл бұрын
Allah ametulipia kwa mazalimu hawa na wao.wote walizulumiana.roho zao
@masterr2389 Жыл бұрын
Mapinduzi yalikuwa machafu na yamefanya ubaguzi ila hayo yamekwisha tunashkur allah
@DeusiMorisi4 ай бұрын
Huyu anafaa kuiongoza nchi
@brother_majesty2 жыл бұрын
SIRI NI NYINGI SANA HUMU...NA NDO MAANA CCM HAITOKAA IKUBALI KUTOKA
@AbdallahJumah-f1e4 ай бұрын
Sio kutoka bara , sema kutoka Tanganyika kwanini hamsemi Tanganyika ??? Sema Tanganyika bwana.
@1961nungwi4 ай бұрын
Bars na Tanganyika ndio hiyo hiyo. Simple really!
@rajabhussein77942 жыл бұрын
Lisu tuletee na historia ya uhuru wa Tanganyika maana tunadanganywa sana
@luganopondo61962 жыл бұрын
Huyu jamaa ni kichwa
@emanuelsinyinza4 ай бұрын
Watu wenye akili wote zanzibar wanampenda lisu kwa sababu anajuwa historia kuliko wazanzibari wenyewe.. na nimkweli kupita kiwango cha ukweli. Anaye mchukia lissu ujuwe ni shetani poleni wanzanzibari. Andikeni historia.
@SuleimanMussa-x5i2 ай бұрын
Istoria ss wzanzbar tuna ijua vizur
@ClementMakongoro4 ай бұрын
Lissu gombea Urais kura zote tutakupa
@hamilsaleh-zo3hp7 ай бұрын
Na tunaendelea kuandika kuhusu ukweli waache wapumbazike akili zao zimeshikiliwa, ila kizazi kinachokuja kitajuwa nini wafanye
@andersonshimbi13784 ай бұрын
Watu wameuawa kabisa
@bururemnanka7311 ай бұрын
Ni kweli kiongozi wa Taifa la Tanzania 🇹🇿 uliye baki
@nassirmohd68502 жыл бұрын
Hakuna mapinduzi ni mauwaji wa wazee wetu tu kwa chuki zisizo na msingi.
@bonnyngowo75672 жыл бұрын
Ndio maana Professor Babu alikimbilia Uingereza.Bintiye Abdalla Hanga anayejulikana kama Yelena Khanga ni raia wa Urusi(alikuwa T V anchor)😘😘😘😘😘😘😘😘Unadhani hawa wahanga watayaita Mapinduzi matukufu?
@mangofish90792 жыл бұрын
Huyo babu bora nayeye yangemkuta mana alikua mtu mmoja nae sswa mtu mwenye umahiri na ushawishi lkn alikua mnafiki tu mkubwa.
@1961nungwi5 ай бұрын
Lissu ana ufahamu mkubwa sana wa Historia ya Nchi hii
@nassirmohd68502 жыл бұрын
Mtatuelewa tu ndugu zetu wa Tanganyika kwanini sisi wazanzibar hatuutaki muungano.
@hilalal-busaidi40072 жыл бұрын
PASUA TUNDU LISU
@hilalal-busaidi40072 жыл бұрын
Toa UKWE WEWE NI MSEMA KWELI
@hurumajosephat63334 ай бұрын
Hata sie
@cyprianboniphace-oz5lw4 ай бұрын
Ungejua sisi watanganyika ndo hatuuelewi kabisa muungano usingesema, muungano umeshikiliwa na dora.
@gojvon1162 жыл бұрын
Ya laiti ingelikuwa Lisu ni muislamu basi bilashaka huyu angali kwenda peponi tu ya lait Allah akamuhidi na akamuosha haki na akaukubali uislam kwani huyu ni mtu anaekwenda katika njia ya haki na ukweli
@SalumKanju-ik1bk Жыл бұрын
Allah mjaalie lisu awe mwislam ili twende nae peponi.....Amen
@ahmedmwinyi69358 ай бұрын
Ndugu Lissu, Ulio yasema ukweli wazi, Malengo ya mapinduzi sio ilivyoni sasa bali ni ubinafsi wa watu waingie mamlakani tu.
@alialamoudi97296 ай бұрын
Ni kweli kabisa maneno yake huo jamaa anajua mkasa NA wengine wanajifanya hawaelewi NA huko kiama itawenekana tu
@alhamdulillahalhamdulillah75292 жыл бұрын
Sisi Wazanzibari tunajua yote haya vichwa vyetu vimebobea siasa tokea kwenye matumbo ya mama zetu dhulma zote zilopita Zanzibar tunaelezwa isipokua wewe mheshimiwa Tundu Lisu utatusaidia kuwaelimisha baadhi ya watanganyika wasijua ukweli kuhusu Zanzibar
@saidabdala49802 жыл бұрын
ZANZIBAR ingekuwa tajiri la AFRIKA. NA INGEKUWA KITUWO KIKUBWA KWA BARA LA AFRIKA. KUENEZA UISLAM. .NA TUKIWA HURU. TUTWAMBIYA WAZUNGU WOTE WALOKUJA KUISOMA HISTORIYA YA ZANZIBAR. KUWA MLIKUWA MNADANGANYWA. TUTASEMA UKWELI.
@ibrahimallymohd36452 жыл бұрын
Salaam ulingoni,sahihi uko sawa lisu Zanzibar mapinduz yanalindwa na watanganyika sio sisi wazanibara na ndio maana hatutaki CCM na tunaa amini ni Tanganyika
@mangofish90792 жыл бұрын
Hawa kila siku wanajisifu mapinduzi wee tumepindua weee kumbe ndio ukweli wenyewe huo mapinduzi yenyewe yalifanywa kwa ajili yao (yalifadhiliwa) ndio mana wakawa wanalipa fadhila mpaka hivi leo kupitia muungano.
@khamissaleh9212 жыл бұрын
Naomba muniulize kuhusu mapinduzi ya znz maana nimeyaina live toka risasi ya mwanzo kufyetuliwa na pia ku esacpa mauji hapo yalipo anzia bomani polise station
@abdulkibamba679 Жыл бұрын
Habari
@KijibaHaji4 ай бұрын
Kwa ww ulieona mapinduz je miaka ya Sasa hivi je Bado Kuna sababu kuendelea Kiya enzi
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Mapinduzi matakatifu ni kama vile wameua wayahudi Eti matakatifu
@raymondjohn379810 ай бұрын
Mimi before nilidhani mapinduzi hayakufanyika Kwa kumwaga damu!!!! Kumbe damu nyingi ilimwagika😢!!!!!!,Basi nihatari Sana.
@WeyaniTvonline9 ай бұрын
Wengi bado hawajui hilo. Asante kwa kuwa nasi
@yahyadenny43684 ай бұрын
Kuna siri kubwa kati ya kanisa katoliki na mwl nyerere kwa upande mmoja na viongozi wa asp zanzibar wakati huo na ndiyo chanzo cha mapinduzi.
Huyu Tundu mboga kiswahili chake ka cha kizanzibar... umeishi zanzibar? I really admire you Lissu
@saidabdala49802 жыл бұрын
Vipi kijana ukweli UNAUMA.. sasa subiri mara hii. Unafikiri mara hii. Samiya atamruhusu JASUSI SIRO. LIJE ZANZIBAR. MWISHO WENU UMEFIKA
@hassanomar71952 жыл бұрын
Muhimu sasa ni kujua Wazanzibari wangapi waliuwawa wakati wa mapinduzi ambayo yaliongozwa na mtu aliejuulikana kama Field Marshall John Okello ambae cku hizi hatajwi kabisa.Mimi amepotea kaka yangu tangu 12/01/64 jina lake ni Omar Ali Issa,ilivyo ameuawa lakini maiti yake hatukuiona hadi Leo, si hasha pengine aliliwa nyama yake na jamii ya Wamakonde ambao walikuwa mstari wa mbele katika mapinduzi hayo, mwengine nimjuaye ni mwanafunzi mwenzangu Salim Ali Amour, na yeye aliuawa siku hiyo hiyo na maiti yake haikuonekana hadi Leo. Sasa nadhani tuanze kuorodhesha majina ya wahanga ambao inasemekana walipindukia watu 10,000.
@fatmakhalef34502 жыл бұрын
@@hassanomar7195 subhanallah
@2002-h6c2 жыл бұрын
Tundu kweli mboga, analiwa Ubelgiji
@abubakarahmed3010 Жыл бұрын
Mimi nasema hayakuwa nimapinduzi Bali ilikuwa niuvamizi Kutoka tanganyika
@imsimk.khamis5742 жыл бұрын
Suali langu kwa Mh. LISSU. Ni lini Jeshi la Tanganyika litaacha kuwavamia Wazanzibari na kuwaua.? Lini Wazanzibari watakuwa huru kuchagua viongozi wanao wataka bila ya kuvamiwa na Jeshi na Polisi kutoka Bara?
@kassim12625 ай бұрын
Ss hilo suali c uwaulize ccm wanaosema mapinduzi daima na ccm haijawahi kushindwa lini uliskia tundu lissu anamiliki jeshi napolisi lini uliskia tundu lissu anaongoza serikali
@cyprianboniphace-oz5lw4 ай бұрын
Jibu la hapo sio lazima ajibu Lisu,ni pale mtakapoungana wazanzibar wote kudai Zanzibar yenu.
@MajiiIfande4 ай бұрын
Mimi nashauri Tundu Lissu angeandika kitabu kuzungumzia mambo haya kwa wazi ili vizazi vingi vinufaike.
@yahyadenny43684 ай бұрын
Sasa kwa nini viongozi wanadanganya eti mapinduzi yalikuwa dhidi ya waarabu? Propaganda gani hizi za kishenzi na za udanganyifu kwa watanzania, ni aibu kubwa sana kuendelea kuwadanganya raia wa nchi hii.
@josephbundala14755 ай бұрын
Kama wazanzibari wanafikiri Mapinduzi hayana maana basi wajaribu ubaguzi. Watakuwa kama Libya. Wawe waangalifu Lisu anataka madaraka kwa gharama yoyote. Zanzibaris should careful!!!
@deven.oauditx75475 ай бұрын
Kwa nini watanganyika ndio mna wasiqasi sana na ubaguzi utakaotokea Zanzibar muungano ukivunjika? Una maana nyie mnaipenda Zanzibar zaidi ya wenye nchi yao wenyewe?
Pamoja na kufundisha sana kuna siri juu ya jina la chama inajulikana walifanya Mapinduzi ni zanzibar na haijawahi kutokea Tanganyika kwanini chama chetu kiitwe chama cha mapinduzi wakati huku hatujawahi kufanya Mapindizi
@saidabdala49802 жыл бұрын
Wote walofanya MAPINDUZI filnarijahanam.
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Amin ya rab
@yahyadenny43684 ай бұрын
Allaah awalaani wote waliohusika na mapinduzi zanzibar na makaburi yao yawake moto na mchana wa qiyama waingizwe jahannam,lisu tueleze chama gani kilishinda 1963 dec.vikiwepo asp zppp na hizbu ikawa ndo sababu ya mapinduzi zanzibar.
@1978O32 жыл бұрын
John Okello naye amesahauliwa kabisa
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huo ni ukweli zanzibari ilivamiwa wala sio mapinduzi NA kutekwa nchi ya watu milele
@saidabdala49802 жыл бұрын
NYERERE katumiwa. Kapewa pesa awatumiye watu. Kapewa pesa na makatolik. Kuwauwa waislam.
@georgesikazwe59142 жыл бұрын
Mjinga sana ww huna elimu ...katoliki wanakuhusu nini..c uende ukajiunge na wenzio somalia mana mmezoea ugaidi
@saidabdala49802 жыл бұрын
@@georgesikazwe5914 NYERERE babaako ndio kapewa pesa na makotolik. Aje kuwauwa waislam ZANZIBAR pamoja na akina LUKUVI. Si mnaona mlivokuwa majambazi .mtakoma mara hiii. Tushakujuweni NYINYI wachawi
@josephmatiko87602 жыл бұрын
Akiliyako,said,ipo mkunduni,wallah,T,N
@mzeesaleh31362 жыл бұрын
@@josephmatiko8760 nendaaa ukoo mkatolikii mkubwa sisi waislam nyinyi wabara makafiri mumerubuni watu na ufrica kubwe lengo lenu kuondoa mila na desturi za znz ili tufanane na nyinyi sisi znz hatufanani na nyinyi cos znz watu wamechanganyaa na makabila mengi sasa mnatuonea chukii nyinyi wabaraa hamutuwez makafiri nyiee
Kinachosikitisha Sana kwamba waliouwawa sio jeshi, polisi au mwanasiasa. asilimia 99% waliouwawa ni raia wa kawaida tuu wakiwemo wanawake, watoto, pamoja na wazee. Hayo mapinduzi tukufu ya kuwaua raia? Inasemekana waliouwawa inafikia takriba 15,000.
@KhaleedHamad-vl7lz5 ай бұрын
Inauma sana
@eddynaeem67083 ай бұрын
wazanzibar sikilizeni karume alikuwa mshenzi kwanza kawauwa wazanzibari alokuwa akishirikiana nao baada ya kupata maelekezo kutoka kwa nyerere
@MohamedAhmed-ix3mf2 жыл бұрын
Moja katika zulma kubwa iliyofanywa znz ni force marriege ni haram katika uislam
@moxasaidi33988 ай бұрын
Mauwaji jee
@yahyadenny43684 ай бұрын
Baada ya kifo cha bwana mkubwa mmoja huko zanzibar liliwaka moto miezi 2 mfululizo
@hebronmalatila61862 жыл бұрын
Una akili Tundu! Mapinduzi hayo ni Wazanzibara (Citizens), chini ya ASP vz Wazanzibari ( Natives) chini ya HZIB.
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Zanzibari lmemezwa kutoka zamani zanzibari ni dola peke yake ina kiti katika umoja wa mataifa NA elikua NA pasport NA mabalozi duniani NA klikua NA bendera sasa imetekwa NA mjeshi ya tanganika
@msabahaali7582 жыл бұрын
Kazi inahitajika kuelimisha watu ukweli
@imsimk.khamis5742 жыл бұрын
Watu wakuel7m7shwa ni hao Watanganyika na jeshi lao la polisi
Hapo nimeelewa kwamba kumbe hata karume mwenyewe hakuwa mzanzibari halisi Alikuwa mtanganyika
@2002-h6c2 жыл бұрын
Tatizo ni Utanganyika au Uislam ? Uislam si lazima uwe Mwarabu au Mzanzibari, kwanini Mtanganyika akiwa Muislam Wazanzibari wa Kiarabu hawataki ?
@2002-h6c2 жыл бұрын
Kwani Uislam ni mali ya Waarabu au Wazanzibati tu, mbn hata Quran tukufu haijasema hivyo, Muislam can be anybody provided he believes in Allah and Muhammad as His Prophet.
@isaacelijah65162 жыл бұрын
They said. He was from Malawi original.
@2002-h6c2 жыл бұрын
@@isaacelijah6516 At least he is originally from Malawi and is an African, what about those originally from Oman and are not Africans ??!!
@jacksongabriel4693 Жыл бұрын
Alikua mmalawi
@TajewuoMoseka4 ай бұрын
Baba toboa watanzania wanakutegemea sana
@KhamisAbdallah-t3u Жыл бұрын
Jamaniia hamoni hii inarudisha yale machungu ya yaliyo pita
@mshikamanojames76109 ай бұрын
Kasherekee na ccm
@princemgambwa91432 жыл бұрын
Lisu wape elimu
@abiboseleman16492 жыл бұрын
Wewe lisu kwann hurudi nyumban na ela usalipwa kkk
@faustinebahenobi34122 жыл бұрын
Dahaaaa lissu bhana unajua mambo aisee
@mangofish90792 жыл бұрын
Huyu jamaa mpaka akataka kuuwawa ujue hichi kichwa sio mchezo
@Rukaiya-lt3hmАй бұрын
Ila wasiojielewa wanaita mapinduzi matukufu
@thanisaid50962 жыл бұрын
UJASIRI MKUBWA!!!!!
@DeusiMorisi4 ай бұрын
Huyu anafaa kuiongoza nchi
@yonazimpombe1160 Жыл бұрын
NA OKELLO JE
@ZuenaSharifu3 ай бұрын
Lissu hujakosea
@AmisseSulemane-sb4re11 ай бұрын
Tundu lisu kweli unayajua mapinduzi hakupinduliwa muarabu ndio maana wazanzibar hawapewi haki wametawaliwa
@kandorohussein68904 ай бұрын
At least Lissu umejitahidi kuelezea Historia yenye ukweli maana kuna upotoshaji mkubwa wa Historia nyingi Duniani kwa manufaa ya walio na mamlaka kwa wakati huo
@KhaleedHamad-vl7lz5 ай бұрын
Captain harusi
@CharlesMisungwi-f8t4 ай бұрын
Kwahiyo wewe hapo ulitaka waarabuwangeendereakutawala nduguzetu hadilini au kwakuwa nyie munatakakuitenganisha nchihii kwamatakwa yenu maananyiezanzibar hamukubariki n ndiyo maana munakazanakuvunjamuungano .
@bartholomewshirima7122 жыл бұрын
Said Abdalah ukiingiza udini hapa itakua shida kubwa.tuangalie tu pilitical history and the outcomes.
@georgesikazwe59142 жыл бұрын
Mwambie hyo mjinga elimu yake ndogo sana kichwani
@ahmedalbalooshi85182 жыл бұрын
Hapo sijaona udini uliotumika ila huyo Said kasema kuwa "waliofanya mapinduzi wataingia motoni" Kwani motoni watakaoingia ni wa dini fulani au wale wote ambao waliofanya dhulma,maasi na mambo mabaya yanayomchukiza Muumba wa ardhi na Mbingu.
@alialamoudi97296 ай бұрын
🎉Uslaam haina ubaguzi mtume mohamed alikuwa anawatembelea wayahudi nyumbani kwao NA kuwapa msaada ya kula uslaam dini ya uadilifu huruhusiwi kuwa hata akiwa sio muslaam
@machaggechacha243 Жыл бұрын
So what.????
@josephbundala14755 ай бұрын
Weusi wote walitambuliwa kama watumwa kabla ya mapinduzi. Leo unasimama na kusema mapinduzi hayafai hali weye ni mweusi. Kumbe kheri utumwa kuliko uhuru? Poleni sana. Fuateni ya Lisu ili mjute mkiwa mmechelewa.
@talibsaid88452 жыл бұрын
Wacha uhanisi wako uwo kwani miaka yote iyo ulikuwa wapi mpaka utowe hii story leo
@hassanally49602 жыл бұрын
Acha ujinga uo ndo nyny vibaraka
@gangmore9091 Жыл бұрын
Kwaiyo wewe ndio kwanza ujuwe history hii mupo wengi hamutaki kumiza akili kujua mmbo mengi yalotokea hamujiulizi kwann yametokea mapinduzi kila kitu kipo wazi now ku such t Lisu ametoa history hi mara nyingi
@hajikhatibhaji9434 Жыл бұрын
upo kigazani Kila mwaka hili lazima lizungumzwe
@gangmore9091 Жыл бұрын
@@hajikhatibhaji9434 huyo n wezake ndio mazezeta wa Ccm kufanya utafiti hawataki kujua ukweli bdo wapo n propaganda z Ccm wanazosoma school mana alichosema lisu yote yapo kwenye mitandao
@azizamri15228 ай бұрын
Nani kapanshishwa mahakamani kwa mauwaji ya hao kina Hanga na wenziwe? Weka pembeni hao Waarabu!
@RobertMandui11 ай бұрын
Lisu muongo hajui mapinduxi ya zanzibar
@deven.oauditx75475 ай бұрын
Amedanganya nini weka na wewe ushahidi wako tuone.
@abdulab62022 жыл бұрын
Rajab hussein karume si mtanganyika ni wazee wake ni watu wa malawi
@hamilsaleh-zo3hp7 ай бұрын
Watu wanasherehekea siku ya uhuru, eti zanzibar wanasherhekea mapinduzi, ujinga mtupu, hayakuwa mapinduzi yalikuwa mauwaji tu,ila hivi sasa tunajuwa kila kitu
@nantaembanusurupia56744 ай бұрын
Ni sawa na wale wenzetu washeherekee mauaji ya kimbali😪
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
@rajabhussein7794.Abeid Karume alizaliwa Nyasaland (Malawi) alikozaliwa baba yake na mama yake Abeid Karume alizaliwa Rwanda.
@deven.oauditx75475 ай бұрын
Mbona unachanganya mambo! Mara Karume kazaliwa Malawi mara kazaliwa Rwanda.
@khatibal-zinjibari69565 ай бұрын
@@deven.oauditx7547 HAPANA MCHANGANYIKO. NIMESEMA KARUME ALIZALIWA NYASALAND (MALAWI) SAWA NA BABA YAKE, LAKINI MAMA YAKE ALIZALIWA RWANDA. SOMA VIZURI. The Biography of President Abeid Karume (1964-1972) is as controversial as his birth of origins or nationality. The name KARUME is derived from his Chichewa language in Nyasaland (Now Malawi), the prefix KA- has a connotation as in KA-BURU (Boar) or U-KA-BURU (Apartheid), which was practiced in South Africa under the Dutch Reformed Church. From the APARTHEID in South AFRICA there is Z-APARTHEID in Zanzibar after the Union with Tanganyika. In Chichewa language, the word RU-ME is the amplification for DU-ME (Male) in the Zanzibar Swahili. According to THE ECONOMICS (May 12,1964), his two sons Amani and Ali studied in Nyasaland and stayed with Hastings Kamuzu Banda (1898-1997), later the Malawian President. The two brothers went to Zanzibar with Issak Abraham Sepetu and joined the Catholic Missionary School called St. Joseph Convent School (Now Tumekuja Secondary School), used to keep Slaves in the Dungeon. May be it was called St. Joseph in memory of Joseph who was dumped into a pit (Dungeon) as a Slave as reported in the Bible. (Genesis 37:20). Abeid Karume claimed that he was born at Pongwe in Zanzibar but his cronies and pundits stated that he was born in Zanzibar at Mwera. According to the State-Controlled Newspaper propaganda KWEUPE (August 8, 1967), Chipukizi (Young Pioneers) walked twenty miles to support the Arusha Declaration until they reached Mwera, the birth place of Karume. Others believed that Karume was born in Congo (Now the Democratic Republic of Congo) but the majority in Zanzibar contend that Karume was born in Nyasaland as reported in THE ECONOMICS (May 2, 1964).
@moxasaidi33988 ай бұрын
Wamewauwa waislamu wa zanzibar zaidi ya alfu 13 laki 9 ikisha wanasema mapinduzi matukufu?
@kassim12625 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@moodyzanzibar43362 жыл бұрын
wewe hujui KISWAHILI unapoambiwa YAZUNGUMZWE YASIYOJULIKANA sio nyie wazungumzaji si watu wote wanaofahamu historia KICHWA CHA HABARI KINAZUNGUMZIA KUWAJUZA WANANCHI wewe hujui kiswahili Umeelewa vengine
@hassanamour789410 ай бұрын
Apambane na HALI yake yeye yanamuhusu Nini.
@1961nungwi5 ай бұрын
Yeye ni Mtanzania ndio maana yanamhusu. Lakini ni msomi, kazi ya wasomi ni kuchambua mambo. Na kwasababu usomi upo ndani Yao, lazima waongee yatoke. Kama wewe si msomi, huna ujualo, hakika hutakuwa na la kusema, kwasababu huna uwezo wa kusema. Ulichobaki nacho ni mambo mawili: Moja, kutoelewa kinacho ongelewa, pili kuwasema wasomi wa Dunia wanaoyasema kuwa hayawahusu!
@hamisimuhunzi79162 жыл бұрын
Mohamed said maelezo yake siku zote ni ya kusikia au kuambiwa na siku zote huwezi kupata source ya maelezo yake
@mangofish90792 жыл бұрын
Kasome kwanza wewe huna credentials ya kuhoji umahiri wa kazi za mohamed said toa nakala umpinge kwa hoja basi tuone. Sema tu ukweli kuwa hupendi maandiko yanayoandikwa na mohamed said.
@jumannejuma7432 Жыл бұрын
Unaongea usichokijua
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Ni mkweli
@kassim12625 ай бұрын
Ndio nyinyi mnaoona kawida sana kumwagika damu zawatu ili chama kibaki madarakani lkn ndio kashasema ukweli mbona ww hutwambii huo ukweli
@jackson21202 жыл бұрын
zanziba ikijitenga na kilimanjaro tunaomba nchi yetu kila mtu alale kivya ke
@hassanimkuya37892 жыл бұрын
Kutokana na usiri uliotawala kwa wakati ule laajabu mzee karume hakushirikishwa katika mauaji Yale kajakujua wengi wao tayari wamesha uwawa Mauaji hayo yamefanwa vijana wa comred ambao ni washirika wkuu ASP Sasa ndio wenye majibi kamili Maana hata mwenye Mzee karume ameingia katika mkumbo wa huo huo wa mauaji yake baada wao kuaminiwa Kwani dhambi ya kuuwa imewareje wenye
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Hassan,Makomred waliuwa lakini mauwaji kwa kiasi kikubwa yalifanywa na wabara.Kwa namna watu walivokuwa wakiishi Zanzibar wakati ule,juu ya kuwa na ikhtilafu ya vyama vya siasa,wasingeuliwa watu kama ilivyotokea,imani ilikuwepo kwa kiasi kikubwa.
@jackson21202 жыл бұрын
uyu mjinga anazani zanzibar ikijitenga atabaki na tanganyika ,,atabaki singida tu ,,, killimanjaro tunataka nchi yetu ... kwani tanganyika sinikule kusini magharibi
@hassanally49602 жыл бұрын
Ww ndo mjinga mtu anaelexa ukwel ww shida nnkwko
@eliudikilongoeliudikilongo60112 жыл бұрын
Pop
@juliussilvestar89882 жыл бұрын
Ndio maana Magufuli alipenda bora watu mfanye kazi kuliko kuongea huu ujinga.Lissu ana matatzo
@mangofish90792 жыл бұрын
Kwa sababu uwongo unaanza unajulikana hivi sasa mumetueka gizani kwa muda mrefu sana na bado mengi yatakuja juu kukufedhesheni kwa uovu wenu washenzi wa roho za viumbe wenzenu.
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Julias,labda ni ujinga kwako wewe lakini kwa wale wasiojua yaliyotokea nyuma(history) ni taaluma kubwa kwao
@hawrajehan23984 ай бұрын
Huy jamaa kapotea dira kisiasa,mapinduz ya Zanzibar wwe yanakuhusu nni?anza na huk bara Julius alivyowafanya wasomi waliotishia utawala wake
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@2002-h6c2 жыл бұрын
Acheni hayo mambo ya unafiki, Waarabu ndiyo wanaoongoza katika kuuwana Waislam wenyewe kwa wenyewe, Syria, Yemen etc, Waisrail wanawauwa Wapalestina kila kukicha huku Waislam wenzao Saudi Arabia, Misri , UAE wanashangilia, halafu mnajifanya eti mnasikitika kuwa wakati wa Mapinduzi Watanganyika walisababisha Waislam kuuwana wenyewe kwa wenyewe, acheni ubazazi huo bhana, Zanzibar hamrudi tena.
@mzeesaleh31362 жыл бұрын
Huna unalojuwaa lolotee nyerer ndo master plan yote mkatolik haupend uislam na znz waislam kuwana akili ww
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Waarabu wanaongoza kuuana lkn jiulize??? Kabla ya vita walopelekewa na makafiri/ uvurugaji wa nchi zao walikua wakipigana???
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Sasa wazanzibari hawataki mungano huo achana NA kuuliwa wa zanzibari wa zanzi bar wa nataka uhuru wao sijui unaitaja saudi arabia NA Yemen falastin inawahusu nini zanzibari
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Mussa,Watanganyika hawakusababisha bali walishiriki katika mauwaji na mpaka leo wanashiriki.Subiri uchaguzi mkuu uje ,utaona watakavo uwa kama walivouwa huko nyuma katika vipindi vya chaguzi kuu.
@abdulab62022 жыл бұрын
Said unajuwaje walofanya mapinduzi filnar jahanam wewe ndo Mungu usijaji kitu usicho kijuwa
@mzeesaleh31362 жыл бұрын
Acha ujinga Abdul watu wameuwa watu wamedhulumu wamenajis watu halafu wakapate pepo nyaaaaau saana pepo kwani ya mkweo @Abdul Ab acha ujingaaaaaaa uooo karume kwaooo 🇲🇼malawi
@tituskalokola-xr7kp Жыл бұрын
Ni vyema pia John Okello akapewa heshima anayostahili kwa kuongoza mapinduzi
@mkoyitz24482 жыл бұрын
Acheni ufuku fuku mnataka madaraka na kuwafarakanisha watu komeni na uchumbi wenu, mmezoea vya bure vya kupewa na wazungu njooni huku mkione cha mtema kuni wananchi wanawasubiri kwa hamu
@ahmedalbalooshi85182 жыл бұрын
Mkoyi,wanaotafuta madaraka wanajulikana na ndio maana kila chaguzi hufanyika mbinu za kuhalalisha kile kisichokuwa halali. Hapa Lisu anaongea Historia na sio hoja ya kisiasa. Mwache aeleze anachokijua na kama kuna kasoro basi toka hadharani na umpinge anayosema
@hassanally49602 жыл бұрын
Acha upumbavu uo
@hgi66482 жыл бұрын
During Magafuli, I liked Tindu Liso. But now that we have Samia Suluhu, tell him to disappear
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Issue hapa sio magufuli wala samia bali mauwaji katika kipindi cha mapinduzi Zanzibar
@deven.oauditx75475 ай бұрын
Wewe utakuwa ni bendera fuata upepo.
@machaggechacha34222 жыл бұрын
Huyo msaliti ameishiwa kila point. Anahangaika kusemasema yaliyofanywa ambayo mengi ni uongo mtupu. Kibaraka wahedi.
@ahmedalbalooshi85182 жыл бұрын
Machagge,kama uwongo basi wewe tupe ukweli kama unaujua