Heshima kwako Joti na mapacha wako, na mke wako mzuri Mungu azidi kuwabariki Sana nawapenda
@tintedmushz3074 Жыл бұрын
Kumbe kitombangile kitwango ako na wife poa
@lavuulovenes1682 Жыл бұрын
Ongera sana joti na.mkeo kwa.kutuletea watoto wazuri wow joti napenda sana vichekesho vako Mungu awabariki na abariki hao watoto nipo Kenya nawapenda sna
@kennyrogers47342 жыл бұрын
😂😂aliecheka kama mimi alipomuona Joti akiwa kwenye mavazi haya na akavuta picha ile anapokuwa na mavazi ya kazini gonga like wadau😂😂
@gudilachami41374 жыл бұрын
Hongera joti baba wawili upo serious ukiwa mpole unapendeza
@dotomohd91563 жыл бұрын
Ana amininmapacha Wana bahat agonge like hapa kwapacha aake
@mohammedkidody56186 ай бұрын
Mungu akubariki joti my legend na familia yako❤❤❤🎉🎉🎉
@asifiweedison82174 жыл бұрын
Dah mungu akutangulie joti na familia yako
@mackmillan28034 жыл бұрын
Mungu Naomba unirehem baba wambingun,,Naomba uje unipe na Mimi mapacha,,, Amen
@samwelisimon77154 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@musakaphu45814 жыл бұрын
Aameen ..In sha Allah 🙏
@hawasaid60244 жыл бұрын
Achage kusuka mke asuke nae kusukwa jmn
@sunshiku4 жыл бұрын
I
@scholacharles38874 жыл бұрын
Amen
@julietbeka73314 жыл бұрын
Joti kumbe akiwa serious yuko poa alafu ni handsome mashallah 👌👌👌👌
@tumainpallangyo78683 жыл бұрын
Hongera mmy joti kwawatt wazuri sana
@telaamtauta22274 жыл бұрын
Mashaallah nguo ninzuri sana zinaonekanatu shukran
@thirajessethira32434 жыл бұрын
Da kiboga hongera...from kenya
@daflozamwakalinga40443 жыл бұрын
Yaani joti! Yupo kawaida tuuu! Utafikiri anachekesha yaani kakaa ki comedy! Comedy tuuuu!
@elcasamwel33664 жыл бұрын
Eee mwenyezi Mungu tubaliki nasi tupate mapacha
@musakaphu45814 жыл бұрын
Aameen...in sha Allah
@diannvictoria4 жыл бұрын
afu uwapeleke wapi?
@fadraj68993 жыл бұрын
Amiin nataman mapacha
@rehemasahwi55303 жыл бұрын
Sio kwa kufanana uko na babaao mungu awatunze mapacha wa taifa
Siku hizi joti unajua kujieleza zamani ulikuwa huwezi.Hongera
@mariakayana99564 жыл бұрын
Alivyo serious sasa😂😂kama sio yeye vile anavyofanyaga ujinga😂😂😂😂joti bhna
@elizabetjmillel33514 жыл бұрын
Yaan acha tu😂😂
@bettyoluoch97744 жыл бұрын
Kabisa
@fainajaffary40704 жыл бұрын
😀😀😀
@dessertqueen77874 жыл бұрын
Hahahaha
@lydiamuli33284 жыл бұрын
Huwa yuko job🤣🤣🤣🤣
@najmaathumani2423 жыл бұрын
Mashaallah
@hawasaid25664 жыл бұрын
Mke Wa jot mpole sana tena mzuri
@jacklinerenson17084 жыл бұрын
I thought joti is single nitume cv... Now lemme focus on sopa🤣🤣tuzae pacha nne
@khadjamhozya5 ай бұрын
Mimi nampenda akiigiza kama mzeee😃😃😃 anapendeza😅😅😅
@aishaabdi56374 жыл бұрын
Mashaallah joti
@lemmywanjeh43663 жыл бұрын
Ana wife mzuri sanaaa
@majaliwamsigwa39744 жыл бұрын
Hongereni GSM kwa bidhaa bora,mi ni moja wapo wa mteja wenu wa misumali hapa Mbeya,big up kweni
@angelkawanga1074 жыл бұрын
Nice
@fadhilamathias97484 жыл бұрын
Waoooh
@ernestmwakalambo39383 жыл бұрын
Bg up sana Nishai
@mwanahamisiabdi33204 жыл бұрын
Walah jot utasema sii yeye hahahahaaa
@fetyalmasi89164 жыл бұрын
Jamaan nawapenda mapacha eee mwnyz mungu nawaomba hata wanne
@musakaphu45814 жыл бұрын
Aameen ..In sha Allah
@ngayokolekinanga63004 жыл бұрын
Na Mimi pia anipe 3
@janethpallangyo26334 жыл бұрын
Na mimi pia anipe 2
@edinahjoseph40514 жыл бұрын
Nakupenda bureeeee
@maryluke74994 жыл бұрын
Joti that baby girl is your photocopy,may God cover them with blood of Jesus. Mtoto wa nyoka ni nyoka bro concentrate on their talent na wekeza ktk hilo.
@leahmbeyumbeyu91673 жыл бұрын
Joti hunifuraisha sana na video zake zaniacha hoi 😂😂😂
@davidkims72864 жыл бұрын
Kumbe kiboga hana mwanya zameni kam kuko mwengin ambaye alikuwa akifahamu hilo naomba l'aile zeyu apa jamen
@ngassa194 жыл бұрын
Joti bhana😄 et yupo serious 😀😀😀😃
@prettyh75093 жыл бұрын
Mashallah nguo za watoto kuanzia umri gani
@siamlay71074 жыл бұрын
Good
@nusratbintabdullah57133 жыл бұрын
Beautiful kids
@muflarajabu52752 жыл бұрын
Muda wowote joti anayazua hapo hachelewi huyo akili zake anazijua mwenyewe🤣🤣🤣
@nizaelluka6274 жыл бұрын
Love
@kamaikangaiyoni19674 жыл бұрын
Duh! Kumbe joti ni handsome kiasi hiki sijaamini 😅
@cindychuma3763 жыл бұрын
Hata mimi nimeshangaa
@salmasingano61873 жыл бұрын
Kumbe tumeshangaa wengi
@zuhuraramadhan78833 жыл бұрын
Macho yako yanaona kama mimi hahaahha
@mussamwedadi43464 жыл бұрын
Nice
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
Kweli nguo zao ZIKO vzr
@jokhajuma53474 жыл бұрын
Nguo za bbyy shop naziaminia sna.. Zipo quality snaaa na unique... Nimeshawahi Kumnunulia mwanangu utapenda kwa kwel
@skipperkassim444 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥joti
@azizayassin36234 жыл бұрын
Cute
@ummunaaleicester43374 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@ymusic8034 жыл бұрын
Hahahaha joti Jembe langu aiseee
@lewiskombole2917 Жыл бұрын
Bro u made it
@keamikel19134 жыл бұрын
50/50 kwa joti na mkwewe somo limeeleweka
@ansilamtana56114 жыл бұрын
Kea m
@mohammedkidody56186 ай бұрын
Kabisa
@suleimanpandu89553 жыл бұрын
Fungueni na Zanzibar pia tuache kwenda Dubai na China
@fatmaamran13354 жыл бұрын
Joti vinywele😂😂😂
@aishasalum29634 жыл бұрын
Mtoto wakike anafanana sana nababa yake
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Sana yani adi raha
@evarchesse9354 жыл бұрын
Yaan jot bana we kiboko alaf namuona huyo baby boy Ni we kabisa Mambo yake
@annkabbz85444 жыл бұрын
Joti umeniroga... kila nikiona video yako na like.. mbona?
@angelamarlow5104 жыл бұрын
Muombe Mungu akupe mapacha na uwezo wa kuwatuza na Afya njema Kwa maana nao wanakazi
@rahmadizer17443 жыл бұрын
Amin
@mohammedkidody56186 ай бұрын
Amin
@anithaswalleh58374 жыл бұрын
yaan alivyotulia kama sio yeye vile alivyo na vituko😂😂
@clementinamolel12164 жыл бұрын
Such a sweet kids
@nasrahsamwely68714 жыл бұрын
Yani utazan sio wewe Kiboga 😂😂😂😂😂😂
@angelinamichael77424 жыл бұрын
Hahahaaa
@qaven43874 жыл бұрын
,😂😂😂😂
@priscafute82694 жыл бұрын
😆😆😆......mbavu zangu!!
@scholakilonzo2906 Жыл бұрын
Joti na suit😂😂😂
@pahopariritter17823 жыл бұрын
Joti poah xana aisee na ni baba Wa kuigwa aisee
@nusratbintabdullah57133 жыл бұрын
Ican't wait to visit baby shop
@hassanmaulid20183 жыл бұрын
Hongera jot nakupenda sana
@victorkivuyo61263 жыл бұрын
UKIRUDIA TENA UTATOA WATATU UKIJUMLISHA DU TAKE CARE, MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI NA MH, GAMBO
@kijangwazay77114 жыл бұрын
Kumbe unakua mpole hivyo hahahah
@shabanisaleeh4541 Жыл бұрын
Joti kammaindi mkewe ajampa mtoto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ww melete mtoto mana uyu anakalibia kuliaaaa mke kakaushaaa
@sawdasaid32204 жыл бұрын
yani joti hapo kama sio yeye akianza kuweka maziwa na matako hahahahaha
@michaeladoph18734 жыл бұрын
Make me mwanza mfungue baby shop
@KP-ou9zp4 жыл бұрын
Babyshop duka kubwa sana Dubai
@saitakitalika32933 жыл бұрын
Hongera joti
@dastanjohn8434 жыл бұрын
Nakukubalisana mpogolo $lukasi mhuvile
@esperancenathali4 жыл бұрын
Mbona joti ni mrembo kiasi kwamba nimemtamani vile 🤣🤣🤣
@elizabetjmillel33514 жыл бұрын
😂
@estherimbotsi75534 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mohammedkidody56186 ай бұрын
😂😂😂
@remigiuskateisaki45324 жыл бұрын
Kazi ipo
@kabulamanyangu47033 жыл бұрын
Akili zangu mimi nikajuaga joti hana jino moja kumbe hahahahahaha
@hellenmwengwa18254 жыл бұрын
Joti wangu... Ungekua na ile trouser yako
@damg43323 жыл бұрын
🙄🙆😂😂😂😂
@jacinthalaurent10563 жыл бұрын
Angalau
@momymood43414 жыл бұрын
Hongera joti vipacha jamn wazur
@annamasebo20614 жыл бұрын
Haaaa joti ona ulivo serous jamn kama so ww
@maishacenter-eastafricatv39764 жыл бұрын
Nishai😃😃
@ufanisuliotukuka55354 жыл бұрын
Hu jamaaa hawezi kuturia anafaa kua bodigadi
@carolynesyokau22083 жыл бұрын
Nawapenda bure
@zaudiakajeze83753 жыл бұрын
Hahahaaa kwakweli uno ndio linalegeza kitandaa😂😂😂😂yani hawezi kujishika na masihara yake
@lydiamuli33284 жыл бұрын
Yani Joti katulia tuli😁hata kile kicheko chako.hucheki tukakosikia🤣🤣🤣🤣anyway hongera lwa twins na mkeo ni.musupuu😃😃
@hosianatango29973 жыл бұрын
Hatari mmependeza
@victorkivuyo61264 жыл бұрын
ALA KUMBE JOTI ANAMENO ZOTE ZA MBELE, ILE PENGO IMEENDA WAPIIII?????, KUMBE JOTI HANDSAM , HONGERA KWA WATOTO👭 MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA FAYA SINON ARUSHA
@carolinemariki40294 жыл бұрын
huwa anaweka black colour ndio maana anaonekana hana meno