Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa "Nina Makabila Matatu" | SALAMA NA MADAM RITA PT 1

  Рет қаралды 151,860

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

Пікірлер: 135
@Iamcameronboyce
@Iamcameronboyce 2 жыл бұрын
They’re the Definition of Independent Women ♥️
@sistersade9039
@sistersade9039 2 жыл бұрын
Wonderful interview. Wow madam Rita what a wonderful personality you have. Salama u r an amazing interviewer. Well done
@davidnchoji
@davidnchoji 2 жыл бұрын
My favorite show with my favorite Host...I love you Da Salama since then❤️😍
@clevermngao7565
@clevermngao7565 10 ай бұрын
Wanaume Mungu anatuona!! Yaani uende kumchukua mtoto wa watu ili umuendeleze Shule kwa sababu ni mdogo na alishapewa mimba akiwa na umri mdogo! Then badala ya kumuendeleza shule unamtia mimba nyingine!! Je! Huu ni ukatili au sio ukatili? Pole sana Madam Rita kwa safari hiyo ya maisha uliyopitia!!!
@maryamtan682
@maryamtan682 10 ай бұрын
Wanasema akili ku mkichwa😂😂😂😂
@roseruhuta3325
@roseruhuta3325 10 ай бұрын
Mada Rita ❤
@rashidopakwa6230
@rashidopakwa6230 2 жыл бұрын
Salama you're one of the best presenters in Africa.👏👏👏. That's why I like your interviews. 🔥🔥🔥✔️🇰🇪👊
@fatmamwalim-ih4ku
@fatmamwalim-ih4ku 10 ай бұрын
Ki ukwe ukweli huyo Mama nanpenda sana sana*Allah ampe umri mrefu
@albogastmselejr4583
@albogastmselejr4583 2 жыл бұрын
Jesca Leo Kabadilisha Nguo Kumbe Ana Kijitako Cha Bunduki 🤣🤣
@yusuphmligiliche8353
@yusuphmligiliche8353 9 ай бұрын
Hongera sana Salama kwa hii platform ya mahojiano. Shukran kwa haya mahojiano na da Rita. Endelea na kazi bora!
@SaidChande-yl3wq
@SaidChande-yl3wq Жыл бұрын
A pure administrator! All the best 👍 madam
@RuthBenjamin-vk8fd
@RuthBenjamin-vk8fd 11 ай бұрын
God akulinde madam Ritha umeongea nimemuelewa Sanaa Sanaa endelea kubariki vijana wetu
@LivingMindfullyWithKwizera
@LivingMindfullyWithKwizera 2 жыл бұрын
She’s a strong woman ! Started from the beginning, she has a beautiful soul ! 😭♥️
@doreendinamica3473
@doreendinamica3473 2 жыл бұрын
hii ni exclusive yaani ..........big up salama...!
@tumainkitundu1015
@tumainkitundu1015 2 жыл бұрын
Madam Ritha wewe ni mtu na nusu nakubali kazi yako. Keep it up
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 жыл бұрын
Icon...🔥 One among my favourite people...♥️ Thank you Ecejay!
@zakiakawese3222
@zakiakawese3222 2 жыл бұрын
Nakubari sana hizi Interview 👏👏✌️
@k.d.m83
@k.d.m83 2 жыл бұрын
Tusisahau kutuma Tip kupitia Mpesa aisee, kazi nzuri wanafanya😁
@Iamcameronboyce
@Iamcameronboyce 2 жыл бұрын
Madam is a whole different person. Her personality is 🔥
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 10 ай бұрын
Kupungua kwa uzuri inategemea na hali ya maisha ya kila siku ila nampenda sana huyu dada ana huruma sana mpenda watu mchapa kazi j say big up madam🎉
@DEBORAHMASANJA-yz3go
@DEBORAHMASANJA-yz3go 10 ай бұрын
Hi Madam Rita nakupenda sana
@StephenKihula
@StephenKihula 9 ай бұрын
Your story put me on point to look you in a very special manner. But all in all pole Sana kwa yote uliyopitia to where you're today.
@LivingMindfullyWithKwizera
@LivingMindfullyWithKwizera 2 жыл бұрын
I love the fact she didn’t want to use the words “it was an accident” and changed it to “it wasn’t planned “🙏💯
@karutomdee3107
@karutomdee3107 Жыл бұрын
Mada masha allah jamn nakupenda jamn sirias toka zamani sema nafasi nakosa kpzzzzzz jaman nakupenda eee nko mkoa eee
@ANASTAZIAMANGU
@ANASTAZIAMANGU 2 ай бұрын
Good mother for your child
@carolineoyugi7771
@carolineoyugi7771 2 жыл бұрын
Mek up ya Leo mbaya sana madam
@masturaabdul1007
@masturaabdul1007 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃sanaaaa. Mbaya mbaya mbayayaayyaa
@wennybarny168
@wennybarny168 10 ай бұрын
Hiyi make inaitwa "nude" na ndo fashion ya wakati huu
@TaarabChannel
@TaarabChannel 10 ай бұрын
Mupitie na kwangu wapenzi..sapoti kusapotiana❤
@neemaalbert2731
@neemaalbert2731 2 жыл бұрын
Madame ritha mnyamwezi sanaaa🤪❤️
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 2 жыл бұрын
Kazi nzuri 👊🏿
@mustafaameir8186
@mustafaameir8186 2 жыл бұрын
She is a strong woman !
@florakaria3793
@florakaria3793 10 ай бұрын
Madam Rita pls naomba niwe rafiki yako ! ❤nitapata mengi kwako
@rukiachamani1101
@rukiachamani1101 2 жыл бұрын
Nami ni mmojawapo wa watu wanaotaka kukaa peke yangu muda mwingi.
@josephlorri431
@josephlorri431 10 ай бұрын
Mtoto mzuri wewe, kwa nini ukae mwenyewe muda mrefu? Toa nafasi, nipo
@theresiarutagwaba
@theresiarutagwaba 10 ай бұрын
Even me dear
@wennybarny168
@wennybarny168 10 ай бұрын
Mimi ni super loner hadi watu hawanielewi na wanahisi nataka kujiua
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 10 ай бұрын
Wanawake kweli kama maua,yanachanua na baadaye kufunga. True with time we decay,urembo wake wote mzuri sana umepungua sanaaa,daah wkt ni ukuta
@FiollaIsaya
@FiollaIsaya 9 ай бұрын
Huyu madamu mara mbili siku tofauti nili msalimia shikamoo alikaa kimya nilijisikia vibaya sana afu nilikua shabiki yake sana
@mussakhamis2377
@mussakhamis2377 2 жыл бұрын
Good interview
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 10 ай бұрын
Kuna mambo mengi sikuwahi kuyasikia kwenye interview yoyote aliyowahi kufanya Ritha,ila leo nimepata majibu ya maswali yote niliyokuwa nikijiuliza. Umepitia mengi, lakini hukuwahi kukata tamaa pamoja na mapito yote.You are a super women🎉
@Chapesamedia
@Chapesamedia 2 жыл бұрын
Huyu mama wange mpa ile nafasi ya Stive nyerere kaleta vipaji vingi sana tena wakali.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
True my dear 👍
@catenzeki678
@catenzeki678 2 жыл бұрын
Nakubaliana na ww 100 kwa 100
@ngoshachaula172
@ngoshachaula172 2 жыл бұрын
Chapesa sikubaliani naww ni tapeli
@Chapesamedia
@Chapesamedia 2 жыл бұрын
@@ngoshachaula172 sawa ila uliwahi kusoma mikataba yao au kujuwa makubaliano yao maana watanzania mara nyingi kusoma mikataba tunauvivu nako sana. Kwahio sote ukweli hatuujuwi tusimuhukumu.
@AngelAfrica-w5x
@AngelAfrica-w5x 2 жыл бұрын
Kabisa
@Mkanani311
@Mkanani311 2 жыл бұрын
Salama mnoma
@HamadiBwakame
@HamadiBwakame 9 ай бұрын
Salama twawapenda s punguzen kiizungu
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 10 ай бұрын
Ki King'eng'e kimezidi banaaaa
@5starsmoviecenter714
@5starsmoviecenter714 2 жыл бұрын
We call them over thinker they have smart mind, focoused, open minded and always think positive
@fatmebakar1315
@fatmebakar1315 Жыл бұрын
Yani nakipenda kipindi hichi San Kwanza mazingira yake uwandaaji wake Yani nimzuri sana
@LéontineVyizigiro-j9b
@LéontineVyizigiro-j9b 10 ай бұрын
Kizungu jamani warundi hatuerewi
@letsgrowwithm4620
@letsgrowwithm4620 2 жыл бұрын
Thats me loneeeer🙏
@alawisaid280
@alawisaid280 8 ай бұрын
salama jitahidi kuwaambia wapunguze kingereza siunajua wa tz tuna hiyo shida😅
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 Жыл бұрын
Mwaka 2023 Nakuja Bss Natamani Sanaa
@AlbertShayo-i6v
@AlbertShayo-i6v 10 ай бұрын
Dada salama.. mimi binafsi naona uongozi ndani yako.. hebu pita kidogo huko alafu kuna watu watakushukuru kwa maamuzi utakayochukua
@mazartajmohamed1437
@mazartajmohamed1437 10 ай бұрын
Iron lady very difficult to understand her, genueas and confident this type of lady there are very few in this planet.
@AngelAfrica-w5x
@AngelAfrica-w5x 2 жыл бұрын
Kingereza kingi madam vp ? Kumbuka kuna ambao hawajasoma wanatizama kipindi hata hiyo english yako hawaijui so speak national language banaa, all in all uko good jasiri muonyesha njia 🔥
@rommelmauma8081
@rommelmauma8081 2 жыл бұрын
Hakuna ubaya endapo mahojiano yatakuwa kwa Kiswahili au Kiingereza; kuchanganya lugha hizo mbili kunaharibu mazingira ya maudhui ya mahojiano. Chuchumilieni kuongea Kiswahili!!
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
My favorite 😘
@cobrachristian3685
@cobrachristian3685 2 жыл бұрын
Kumbe wewe n mtu wa rwanda dada yetu kalibu nyumbani🇷🇼
@ngoshachaula172
@ngoshachaula172 2 жыл бұрын
Uoni komweee hilo
@maidamhanje5993
@maidamhanje5993 2 жыл бұрын
Tupo wengi tunapenda sana kua pekee yangu nilijua ni ugonjwa
@beatricekitara5808
@beatricekitara5808 2 жыл бұрын
Iyo ni shida sio kawaida
@masturaabdul1007
@masturaabdul1007 2 жыл бұрын
Pole Madam ila sitaki kuwa mnafiki alokupamba kakuharibu kama hujatambuliswa nisingekujuwa😃 Madam achana na mpambaji huyoo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Kabisaaa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
🔥🔥
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 10 ай бұрын
Dada ongea kiswahili bila kuchanganya kiingereza wengine hatuelewi😢😢
@yustersimon5104
@yustersimon5104 10 ай бұрын
Hata hicho kiswahili kajifunza mwaya
@LunodzoMwinuka
@LunodzoMwinuka Жыл бұрын
Sauti za jamaa wanaopiga picha zinasikika. Mnaweza lifanyia kazi hilo pia.
@coneephraim7756
@coneephraim7756 2 жыл бұрын
Salama...... you ar so good and fit on presenting a sessions with..... to me you ar not boaring in all of ur ukorofi questions....
@zarayusuf2882
@zarayusuf2882 10 ай бұрын
Who is madam Rita ?
@SalmaJuma-xv9qp
@SalmaJuma-xv9qp Жыл бұрын
Nzurii
@bellabakera
@bellabakera 2 жыл бұрын
Wa kwanza leo
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 2 жыл бұрын
Wa kwanz mm tulia
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 жыл бұрын
Am a loner too..na ni kitu kizuri sana...unafanya hata maamuzi kwa iuyafikiria wewe kama wewe. Madam Ritha ni mtu poa sana. Nakumbuka the day I met her akanisifia mpaka nikajisikia raha sana👌😘😘
@aloyceshaban1348
@aloyceshaban1348 2 жыл бұрын
Mmmmh
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 10 ай бұрын
Mimi Nina makabila 9 yani sieleweki😂😂😂😂😂kila kits nipo tofauti
@emmanuelonyangoochola9228
@emmanuelonyangoochola9228 9 ай бұрын
Apewe heshima yake huyu mama
@karimukalema4613
@karimukalema4613 2 жыл бұрын
WHERE IS JESICA ????????? WE WANT HER BACK
@ZainabuMteti
@ZainabuMteti Жыл бұрын
Madam pole ulipitia
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 10 ай бұрын
Hivi mi nauliza ni nani aliwahi kuwa mtoto?nadhanni jibu ni wote usichana,umama,na uzee?je hali si inaenda kubadilika? Mangapi yamemtokea madam?linganisha jani bichi na njano uzri wake .maisha ni safari ndefu.
@shukurupaul5299
@shukurupaul5299 Жыл бұрын
Omg
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 10 ай бұрын
MAJIZI GROUP 😅😅😅
@ebbyramadhani
@ebbyramadhani 2 жыл бұрын
jesca leo vipi?
@fatmebakar1315
@fatmebakar1315 Жыл бұрын
Yani madam rita story yako kwakweli inaendana Na yangu kabisa
@nereaigogo4442
@nereaigogo4442 2 жыл бұрын
Ila kiukweli hii ni moja ya interview ngumu sana ambayo salama amewahi kufanya Imagine anam interview boss wake na rafiki yake.
@wennybarny168
@wennybarny168 10 ай бұрын
Alishawahi kumhoji kwenye kipindi chake cha zamani yeye Salama kinaitwa MKASI. Hii anamhoji ni mara ya pili.
@wennybarny168
@wennybarny168 10 ай бұрын
Salama alishawahi kumhoji huyu bosss wake kwenye kipindi chake cha MKASI kabla ya hiki
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 2 жыл бұрын
Hapo kwenye sura zake mbili nimeziona hiyo sura yake ya kazi unaweza usiamini kama ni the same person 😂😂
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
🤣🤣
@romanarosemedard2551
@romanarosemedard2551 10 ай бұрын
Be specific Sasa kitambulisho cha NiDa umejaza hayo makabila ya baba zako 3 Siku zote tunafuata ukoo wa baba Aliyeweka mimba kwa mama yako Halafu wewe unajulikana kama hata shule umepia Huko ni kujikaa Ritha
@mack_B.
@mack_B. 2 жыл бұрын
Hivi ukisema kua hupend mtu muongo mnafiki sjh nn na nn hiv inakuaje kwa upande wako wewe mwenyew hivyo vtu u didn't get au manake uongo kuuepuka Ni Mara chache Sana same tu unafiki jmn tusiwe waongo katka ilo🤣🤣🤣
@asmaathmani440
@asmaathmani440 2 жыл бұрын
Madam nakupenda but kuhus age umetudanganya
@ruu6592
@ruu6592 2 жыл бұрын
I lv madam Rita but she looks very difficult ☺
@AliySaid-i2t
@AliySaid-i2t 10 ай бұрын
Alikua anaupenda tu huo mchezo
@amirymdee4259
@amirymdee4259 2 жыл бұрын
***Napajua Umurushaka,Nkwenda,Kaisho,Murongo Kona kumi na mbili,****
@tausiabdalla9904
@tausiabdalla9904 Жыл бұрын
Kumbe hata kama u unahela mambo ni magumu tu😅
@albogastmselejr4583
@albogastmselejr4583 2 жыл бұрын
Aisee Mbona Heleni Za Madame Kama Ni Mzigo 🤣🤣 Au Basi Itakuwa Kakata Nyororo Ya Mbwaaa
@catenzeki678
@catenzeki678 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙆‍♀️🙆‍♀️
@petermanala6138
@petermanala6138 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂dar sawa bwana
@wennybarny168
@wennybarny168 10 ай бұрын
Jamani watu wanapenda kuongea vibaya
@wennybarny168
@wennybarny168 10 ай бұрын
Jamani hiyo ni fashion ya make inaitwa "nude" Naona watu hawajailelewa ila iko namna hiyo Wakati prince Harry anaoa mjukuu wa Queen Elizabeth, mtoto wa prince Charles (ambaye sasa ndo king wa uingereza) watu walisema bi arusi hajatumia makeup kabisa, kumbe alitumia makeup ya milioni 30 za kitanzania. Ni make ya nude ambayo rangi zake ziko kimya. Rangi hazi-shout.
@tiffanyakramJr814
@tiffanyakramJr814 2 жыл бұрын
Me hivyo viti mlivyo kalia , hata sijavielewa kabisaa.. Khaa🤗 ukihojiwa na mtu anaekujua ngumu kuficha ukweli Asante Salama
@fidelitekarigirwamuyangwa973
@fidelitekarigirwamuyangwa973 10 ай бұрын
Kama Mimi nimezaa14 nikateseka
@mtilimsita6675
@mtilimsita6675 10 ай бұрын
Nimependa mama
@LaurenceKagoma
@LaurenceKagoma 10 ай бұрын
Inawezekana akawa ni mhaya wapenda English.
@KhadijaMiteya-hh8xl
@KhadijaMiteya-hh8xl 10 ай бұрын
Amesha kwambia msukuma na mjerumani ujasoma comment?
@prudencemushi6948
@prudencemushi6948 2 жыл бұрын
The Accent is boring.... juzi tuu the accent was well booom it has changed
@naturelle1097
@naturelle1097 10 ай бұрын
Where is the camera interviewer is looking away..we see legs n shoes can u be serious
@dianerditto
@dianerditto 2 жыл бұрын
Madam Ritha mimi pia sio mnafki, nikuombe tu umfukuze kazi huyo makeup artist wako aliekufanya hvo uson kwenye interview hii
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 2 жыл бұрын
😆😆😆😆
@masturaabdul1007
@masturaabdul1007 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😯😃😃 kweli age imeenda ila makeup mbaya sanaa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Hahaha kweli aiseee🤣
@tuliadamson3422
@tuliadamson3422 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣✌
@neemaalbert2731
@neemaalbert2731 2 жыл бұрын
Heshma Kwa mama Samia kurudisha wajawazito shulen
@mikhitaryankombo9604
@mikhitaryankombo9604 2 жыл бұрын
Mm binafsi nakubali hiki kipindi lkn kwauchunguz wangu nimebauni wanaongea kingereza Sasa kuliko kiswahili ndio hua siku mbaya ya kipindi
@magorymara5515
@magorymara5515 10 ай бұрын
Ni lugha ya pili Tanzania kama hujui moja lazima utajua moja huko ndo ukweli
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Rita Paulsen (Kwa sauti yake mwenyewe)
12:45
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 59 М.
Salama Na Jokate Ep 3 | KAMISHNA Part 1
26:24
YahStoneTown
Рет қаралды 322 М.
Mkasi - S02E06 with Rita Paulsen
28:00
MkasiTV
Рет қаралды 158 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 347 М.
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН