Wonderful interview. Wow madam Rita what a wonderful personality you have. Salama u r an amazing interviewer. Well done
@davidnchoji2 жыл бұрын
My favorite show with my favorite Host...I love you Da Salama since then❤️😍
@clevermngao756510 ай бұрын
Wanaume Mungu anatuona!! Yaani uende kumchukua mtoto wa watu ili umuendeleze Shule kwa sababu ni mdogo na alishapewa mimba akiwa na umri mdogo! Then badala ya kumuendeleza shule unamtia mimba nyingine!! Je! Huu ni ukatili au sio ukatili? Pole sana Madam Rita kwa safari hiyo ya maisha uliyopitia!!!
@maryamtan68210 ай бұрын
Wanasema akili ku mkichwa😂😂😂😂
@roseruhuta332510 ай бұрын
Mada Rita ❤
@rashidopakwa62302 жыл бұрын
Salama you're one of the best presenters in Africa.👏👏👏. That's why I like your interviews. 🔥🔥🔥✔️🇰🇪👊
@fatmamwalim-ih4ku10 ай бұрын
Ki ukwe ukweli huyo Mama nanpenda sana sana*Allah ampe umri mrefu
@albogastmselejr45832 жыл бұрын
Jesca Leo Kabadilisha Nguo Kumbe Ana Kijitako Cha Bunduki 🤣🤣
@yusuphmligiliche83539 ай бұрын
Hongera sana Salama kwa hii platform ya mahojiano. Shukran kwa haya mahojiano na da Rita. Endelea na kazi bora!
@SaidChande-yl3wq Жыл бұрын
A pure administrator! All the best 👍 madam
@RuthBenjamin-vk8fd11 ай бұрын
God akulinde madam Ritha umeongea nimemuelewa Sanaa Sanaa endelea kubariki vijana wetu
@LivingMindfullyWithKwizera2 жыл бұрын
She’s a strong woman ! Started from the beginning, she has a beautiful soul ! 😭♥️
@doreendinamica34732 жыл бұрын
hii ni exclusive yaani ..........big up salama...!
@tumainkitundu10152 жыл бұрын
Madam Ritha wewe ni mtu na nusu nakubali kazi yako. Keep it up
@maryshirima12342 жыл бұрын
Icon...🔥 One among my favourite people...♥️ Thank you Ecejay!
@zakiakawese32222 жыл бұрын
Nakubari sana hizi Interview 👏👏✌️
@k.d.m832 жыл бұрын
Tusisahau kutuma Tip kupitia Mpesa aisee, kazi nzuri wanafanya😁
@Iamcameronboyce2 жыл бұрын
Madam is a whole different person. Her personality is 🔥
@halimalachpat192710 ай бұрын
Kupungua kwa uzuri inategemea na hali ya maisha ya kila siku ila nampenda sana huyu dada ana huruma sana mpenda watu mchapa kazi j say big up madam🎉
@DEBORAHMASANJA-yz3go10 ай бұрын
Hi Madam Rita nakupenda sana
@StephenKihula9 ай бұрын
Your story put me on point to look you in a very special manner. But all in all pole Sana kwa yote uliyopitia to where you're today.
@LivingMindfullyWithKwizera2 жыл бұрын
I love the fact she didn’t want to use the words “it was an accident” and changed it to “it wasn’t planned “🙏💯
@karutomdee3107 Жыл бұрын
Mada masha allah jamn nakupenda jamn sirias toka zamani sema nafasi nakosa kpzzzzzz jaman nakupenda eee nko mkoa eee
@ANASTAZIAMANGU2 ай бұрын
Good mother for your child
@carolineoyugi77712 жыл бұрын
Mek up ya Leo mbaya sana madam
@masturaabdul10072 жыл бұрын
😃😃😃😃😃sanaaaa. Mbaya mbaya mbayayaayyaa
@wennybarny16810 ай бұрын
Hiyi make inaitwa "nude" na ndo fashion ya wakati huu
Nami ni mmojawapo wa watu wanaotaka kukaa peke yangu muda mwingi.
@josephlorri43110 ай бұрын
Mtoto mzuri wewe, kwa nini ukae mwenyewe muda mrefu? Toa nafasi, nipo
@theresiarutagwaba10 ай бұрын
Even me dear
@wennybarny16810 ай бұрын
Mimi ni super loner hadi watu hawanielewi na wanahisi nataka kujiua
@Youngchimodzi82310 ай бұрын
Wanawake kweli kama maua,yanachanua na baadaye kufunga. True with time we decay,urembo wake wote mzuri sana umepungua sanaaa,daah wkt ni ukuta
@FiollaIsaya9 ай бұрын
Huyu madamu mara mbili siku tofauti nili msalimia shikamoo alikaa kimya nilijisikia vibaya sana afu nilikua shabiki yake sana
@mussakhamis23772 жыл бұрын
Good interview
@shyfettymtunda461910 ай бұрын
Kuna mambo mengi sikuwahi kuyasikia kwenye interview yoyote aliyowahi kufanya Ritha,ila leo nimepata majibu ya maswali yote niliyokuwa nikijiuliza. Umepitia mengi, lakini hukuwahi kukata tamaa pamoja na mapito yote.You are a super women🎉
@Chapesamedia2 жыл бұрын
Huyu mama wange mpa ile nafasi ya Stive nyerere kaleta vipaji vingi sana tena wakali.
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
True my dear 👍
@catenzeki6782 жыл бұрын
Nakubaliana na ww 100 kwa 100
@ngoshachaula1722 жыл бұрын
Chapesa sikubaliani naww ni tapeli
@Chapesamedia2 жыл бұрын
@@ngoshachaula172 sawa ila uliwahi kusoma mikataba yao au kujuwa makubaliano yao maana watanzania mara nyingi kusoma mikataba tunauvivu nako sana. Kwahio sote ukweli hatuujuwi tusimuhukumu.
@AngelAfrica-w5x2 жыл бұрын
Kabisa
@Mkanani3112 жыл бұрын
Salama mnoma
@HamadiBwakame9 ай бұрын
Salama twawapenda s punguzen kiizungu
@raphaelkessy736010 ай бұрын
Ki King'eng'e kimezidi banaaaa
@5starsmoviecenter7142 жыл бұрын
We call them over thinker they have smart mind, focoused, open minded and always think positive
@fatmebakar1315 Жыл бұрын
Yani nakipenda kipindi hichi San Kwanza mazingira yake uwandaaji wake Yani nimzuri sana
@LéontineVyizigiro-j9b10 ай бұрын
Kizungu jamani warundi hatuerewi
@letsgrowwithm46202 жыл бұрын
Thats me loneeeer🙏
@alawisaid2808 ай бұрын
salama jitahidi kuwaambia wapunguze kingereza siunajua wa tz tuna hiyo shida😅
@joycemuhoja4729 Жыл бұрын
Mwaka 2023 Nakuja Bss Natamani Sanaa
@AlbertShayo-i6v10 ай бұрын
Dada salama.. mimi binafsi naona uongozi ndani yako.. hebu pita kidogo huko alafu kuna watu watakushukuru kwa maamuzi utakayochukua
@mazartajmohamed143710 ай бұрын
Iron lady very difficult to understand her, genueas and confident this type of lady there are very few in this planet.
@AngelAfrica-w5x2 жыл бұрын
Kingereza kingi madam vp ? Kumbuka kuna ambao hawajasoma wanatizama kipindi hata hiyo english yako hawaijui so speak national language banaa, all in all uko good jasiri muonyesha njia 🔥
@rommelmauma80812 жыл бұрын
Hakuna ubaya endapo mahojiano yatakuwa kwa Kiswahili au Kiingereza; kuchanganya lugha hizo mbili kunaharibu mazingira ya maudhui ya mahojiano. Chuchumilieni kuongea Kiswahili!!
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
My favorite 😘
@cobrachristian36852 жыл бұрын
Kumbe wewe n mtu wa rwanda dada yetu kalibu nyumbani🇷🇼
@ngoshachaula1722 жыл бұрын
Uoni komweee hilo
@maidamhanje59932 жыл бұрын
Tupo wengi tunapenda sana kua pekee yangu nilijua ni ugonjwa
@beatricekitara58082 жыл бұрын
Iyo ni shida sio kawaida
@masturaabdul10072 жыл бұрын
Pole Madam ila sitaki kuwa mnafiki alokupamba kakuharibu kama hujatambuliswa nisingekujuwa😃 Madam achana na mpambaji huyoo
@salomewandya72572 жыл бұрын
Kabisaaa
@khadijahali48372 жыл бұрын
🔥🔥
@gracekagoma323110 ай бұрын
Dada ongea kiswahili bila kuchanganya kiingereza wengine hatuelewi😢😢
@yustersimon510410 ай бұрын
Hata hicho kiswahili kajifunza mwaya
@LunodzoMwinuka Жыл бұрын
Sauti za jamaa wanaopiga picha zinasikika. Mnaweza lifanyia kazi hilo pia.
@coneephraim77562 жыл бұрын
Salama...... you ar so good and fit on presenting a sessions with..... to me you ar not boaring in all of ur ukorofi questions....
@zarayusuf288210 ай бұрын
Who is madam Rita ?
@SalmaJuma-xv9qp Жыл бұрын
Nzurii
@bellabakera2 жыл бұрын
Wa kwanza leo
@abdulraufmohammedsalum68062 жыл бұрын
Wa kwanz mm tulia
@faithjonathan38452 жыл бұрын
Am a loner too..na ni kitu kizuri sana...unafanya hata maamuzi kwa iuyafikiria wewe kama wewe. Madam Ritha ni mtu poa sana. Nakumbuka the day I met her akanisifia mpaka nikajisikia raha sana👌😘😘
@aloyceshaban13482 жыл бұрын
Mmmmh
@itanzaniaAS10 ай бұрын
Mimi Nina makabila 9 yani sieleweki😂😂😂😂😂kila kits nipo tofauti
@emmanuelonyangoochola92289 ай бұрын
Apewe heshima yake huyu mama
@karimukalema46132 жыл бұрын
WHERE IS JESICA ????????? WE WANT HER BACK
@ZainabuMteti Жыл бұрын
Madam pole ulipitia
@halimalachpat192710 ай бұрын
Hivi mi nauliza ni nani aliwahi kuwa mtoto?nadhanni jibu ni wote usichana,umama,na uzee?je hali si inaenda kubadilika? Mangapi yamemtokea madam?linganisha jani bichi na njano uzri wake .maisha ni safari ndefu.
@shukurupaul5299 Жыл бұрын
Omg
@sasha-ri7tf10 ай бұрын
MAJIZI GROUP 😅😅😅
@ebbyramadhani2 жыл бұрын
jesca leo vipi?
@fatmebakar1315 Жыл бұрын
Yani madam rita story yako kwakweli inaendana Na yangu kabisa
@nereaigogo44422 жыл бұрын
Ila kiukweli hii ni moja ya interview ngumu sana ambayo salama amewahi kufanya Imagine anam interview boss wake na rafiki yake.
@wennybarny16810 ай бұрын
Alishawahi kumhoji kwenye kipindi chake cha zamani yeye Salama kinaitwa MKASI. Hii anamhoji ni mara ya pili.
@wennybarny16810 ай бұрын
Salama alishawahi kumhoji huyu bosss wake kwenye kipindi chake cha MKASI kabla ya hiki
@sumayaishengoma45432 жыл бұрын
Hapo kwenye sura zake mbili nimeziona hiyo sura yake ya kazi unaweza usiamini kama ni the same person 😂😂
@khadijahali48372 жыл бұрын
🤣🤣
@romanarosemedard255110 ай бұрын
Be specific Sasa kitambulisho cha NiDa umejaza hayo makabila ya baba zako 3 Siku zote tunafuata ukoo wa baba Aliyeweka mimba kwa mama yako Halafu wewe unajulikana kama hata shule umepia Huko ni kujikaa Ritha
@mack_B.2 жыл бұрын
Hivi ukisema kua hupend mtu muongo mnafiki sjh nn na nn hiv inakuaje kwa upande wako wewe mwenyew hivyo vtu u didn't get au manake uongo kuuepuka Ni Mara chache Sana same tu unafiki jmn tusiwe waongo katka ilo🤣🤣🤣
@asmaathmani4402 жыл бұрын
Madam nakupenda but kuhus age umetudanganya
@ruu65922 жыл бұрын
I lv madam Rita but she looks very difficult ☺
@AliySaid-i2t10 ай бұрын
Alikua anaupenda tu huo mchezo
@amirymdee42592 жыл бұрын
***Napajua Umurushaka,Nkwenda,Kaisho,Murongo Kona kumi na mbili,****
@tausiabdalla9904 Жыл бұрын
Kumbe hata kama u unahela mambo ni magumu tu😅
@albogastmselejr45832 жыл бұрын
Aisee Mbona Heleni Za Madame Kama Ni Mzigo 🤣🤣 Au Basi Itakuwa Kakata Nyororo Ya Mbwaaa
@catenzeki6782 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mwajumalubunga15342 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙆♀️🙆♀️
@petermanala613810 ай бұрын
😂😂😂😂😂dar sawa bwana
@wennybarny16810 ай бұрын
Jamani watu wanapenda kuongea vibaya
@wennybarny16810 ай бұрын
Jamani hiyo ni fashion ya make inaitwa "nude" Naona watu hawajailelewa ila iko namna hiyo Wakati prince Harry anaoa mjukuu wa Queen Elizabeth, mtoto wa prince Charles (ambaye sasa ndo king wa uingereza) watu walisema bi arusi hajatumia makeup kabisa, kumbe alitumia makeup ya milioni 30 za kitanzania. Ni make ya nude ambayo rangi zake ziko kimya. Rangi hazi-shout.
@tiffanyakramJr8142 жыл бұрын
Me hivyo viti mlivyo kalia , hata sijavielewa kabisaa.. Khaa🤗 ukihojiwa na mtu anaekujua ngumu kuficha ukweli Asante Salama
@fidelitekarigirwamuyangwa97310 ай бұрын
Kama Mimi nimezaa14 nikateseka
@mtilimsita667510 ай бұрын
Nimependa mama
@LaurenceKagoma10 ай бұрын
Inawezekana akawa ni mhaya wapenda English.
@KhadijaMiteya-hh8xl10 ай бұрын
Amesha kwambia msukuma na mjerumani ujasoma comment?
@prudencemushi69482 жыл бұрын
The Accent is boring.... juzi tuu the accent was well booom it has changed
@naturelle109710 ай бұрын
Where is the camera interviewer is looking away..we see legs n shoes can u be serious
@dianerditto2 жыл бұрын
Madam Ritha mimi pia sio mnafki, nikuombe tu umfukuze kazi huyo makeup artist wako aliekufanya hvo uson kwenye interview hii
@abdulraufmohammedsalum68062 жыл бұрын
😆😆😆😆
@masturaabdul10072 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😯😃😃 kweli age imeenda ila makeup mbaya sanaa
@salomewandya72572 жыл бұрын
Hahaha kweli aiseee🤣
@tuliadamson34222 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mwajumalubunga15342 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣✌
@neemaalbert27312 жыл бұрын
Heshma Kwa mama Samia kurudisha wajawazito shulen
@mikhitaryankombo96042 жыл бұрын
Mm binafsi nakubali hiki kipindi lkn kwauchunguz wangu nimebauni wanaongea kingereza Sasa kuliko kiswahili ndio hua siku mbaya ya kipindi
@magorymara551510 ай бұрын
Ni lugha ya pili Tanzania kama hujui moja lazima utajua moja huko ndo ukweli