This tournament is not fair , a human being can't manage to eat such a food ,.. how can one person will eat 1kg of rice, 1kg of ugali + 10 chapatis and other stuffs like beans , meat and local ugali ..., Is too much for one person to finish or to eat half of eat ..., They could give little food for the competitor's with a limited time to finish up and it could be fair 🇹🇿😋👏👏👏👏
@vincentmushi12478 ай бұрын
Sawa ni mashindano ya kula...lkn wangesema kila mtu apewe chapati 3,nusu sahani wali maharage, ugali nusu sahani na mchuzi wa nyama au mboga za majani...halafu waambiwe mshindi anatakiwa amalize ndani ya dakika 15 au 20... na kuwe na kiingilio...hayo mavyakula ni mengi na ni uhalibifu na wala hayana mvuto sababu vimeshapowa...chapati zinalika vizuri zikiwa za uvuguvugu...zikipoa sio chapati ni jiwe...mashindano mazuri ila strategy zake ni mbovu
Jamani..uu ni upuzi sasa wakishindwa kuinuka hapo..jamani wanatafuta kufa hawa😢😢
@user-cheedycheedy8 ай бұрын
Yani chakula mpaka kinahamia mgongonii😂😂
@faidhamakubi92838 ай бұрын
Washindane na kutafuta pesa pumbavu zao
@Zenny898 ай бұрын
Acha wivu🤣
@baruthmussamuslim34348 ай бұрын
Kwan unadhan au awanan shuhuli zao embu elewa nn maana ya neno mashindano kwaiyo Kila shindano like la ngumi kula tuzo inamaana wanaoingia kunywnganyia hua wawana kazi oya tuachie kigoma yetu mzee hii ndiy tz ilobeba jina la Tanganyika nakuzaliwa Tanzania kama ujui sasa acha usese ww
@taibomar39267 ай бұрын
😂😂😂pole ndugu hta sisi hatuna hizo pesa bora washibe tu
@baruthmussamuslim34348 ай бұрын
Kibobe umenifanya nicheke 😅😅😅😅😅et matumbo ya mpira juma et chakula kama tambiko
@gracekagoma32318 ай бұрын
Elfu 30 NI hela ndogo sana😢😢
@MauFundiElectronics8 ай бұрын
Pesa ni ndogo mnooooo elfu 30000
@PaulinaSemindu-ob3de8 ай бұрын
Pesa ndogo lkn c kashiba kwa uroho wake 😂
@sharifamahamudu1828 ай бұрын
Sana yani imezidi adi gharama za uwandaaji
@mwasimujinja8 ай бұрын
Kweli ni ndogo sana maana ukibasti utumbo gharama ya kuushona
@emanuelmoshama38998 ай бұрын
Hahah yaani hela ndogo kuliko gharama za uandaaji
@godfreyrenatus20908 ай бұрын
Wajuzi wa hizi mambo apo unapiga mdogomdogo ukijifanya upo lesi ata chapati tano humalizi ushavimbewa
@myunaniniahmad64638 ай бұрын
Abasi ukawape masikini chakula.
@dayana5513story8 ай бұрын
Duh kweli hawa ndo wanaume wa mkoani 💪
@japhetadelard94658 ай бұрын
Wole wako akukamate umekwisha
@aminasaid93827 ай бұрын
Subhanaallah! Kukomeshwa kula mwenye njaa ashibe kazi ipo sioni km ni mashindano mazuri kivyangu mm maana vyakula maashaallah vingi
@EliasEsau.EsauDaudi.7 ай бұрын
Akk hii ni noma kama siulafi inatisha
@pennymahombo95288 ай бұрын
Asiyekua na kiasi ameshakufa ingawa yu hai,Ulafi ni dhambi,kuvimbiwa ni dhambi!!! Waandaaji na mnaoshindana, hamjui hayo?
@mtutulaclassic62078 ай бұрын
hapo kwenye chapati ndo shida! mana zinachosha kwenye utafunaji
@AwadhiAlfani-bd5pj8 ай бұрын
hahahahaaaaa
@RacherBakari-qh2gx8 ай бұрын
Watu wa kigoma wanakula sana hata ivyo
@gibsonjosephat63528 ай бұрын
Na wanavyakula vingi hawa jamaa. Maharage, mahindi,ndizi, Maharage dagaa, Samaki ni bei poa Sana nikifika masoko yao Kibirizi, Nazareti, Busebaseba na soko la Marungu mjii Kigoma. Ila nikifika pia Kasulu ( soko la Sofa) na Kibondo ( pale karibu na Hospitali ya Wilaya) vyakula nivyakumwaga. Hongereni watu wa Kigoma
@aisharamadhani19488 ай бұрын
Subhanallah kazi ipo jamanii kwa uĺaji huo nyumbani tutafilisika😂😂😂
@khadjaiddlis2838 ай бұрын
Mtakuja kuua watu 😂😂😂😂
@Boniphaceshayo58 ай бұрын
Njaa mbaya sana hawa ndo wanao tumaliziaga vyakula hadi vinapanda bei
@YusufLubangula-yn6tq8 ай бұрын
Kweli DUNIANI kilamtu na faniyake!🤣🤔
@chingaboy11498 ай бұрын
Nawewe funny yako nikuandika english kwakiswahili 😂😂😂😂
@immadeogratius22958 ай бұрын
Ukisikia kula mpaka kujinyea ndio hii sasa mmmh!!!!..😂😂😂
@AlfredAloyce-wh5nq8 ай бұрын
Hapo mtu anakula Cha asubui mchana na jioni duu sana
@issackathman8508 ай бұрын
huyo jamaa et me nimekuja kula😂😂
@issakingombe69918 ай бұрын
Watoto wa beach wanabalaa
@officialkdee358 ай бұрын
Dah aisee nimechekaa😂😂😂😂😂
@sauka96228 ай бұрын
Hapo inapambaniwa elf 30000 tu daa! Kwali watanzania tunahitaji ajira kwa wingi
@mariamdullazy81668 ай бұрын
😅😅😅
@sharifamahamudu1828 ай бұрын
Kwakweli
@sharifamahamudu1828 ай бұрын
Yan 30 elfu tu khaaa
@issackathman8508 ай бұрын
sasa si ilikuwa weekend wenzako wanafurahia we unapiga nyeto
@user-ch3ku3yx2z8 ай бұрын
Ata maera yawepo siwezi kusumbua masera kifara kama hivi boss buni ishu nyingine uitafute pepo
@nurumasha8 ай бұрын
Wengine kimewapeleka njaa sio mashindano
@user-xx8jx6tb7d8 ай бұрын
Duu kumbe ni hela kdogo hvyo nkajua ni mamilion hahahaa
@allygoodboytzsdoneintanzan39708 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😀😀😀😀🪘📻🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka Sana
@shakirashakira-gc2yw8 ай бұрын
Tz inavituko sana
@delsonandrea52238 ай бұрын
Hapo mijambo kama yote😂😂😂
@ellywajatelelli9168 ай бұрын
Kushindania 30000 ni ndogo sanaa.. Mmewanyonya, afu mavyakula mengi mnoo looh hamjui kukadilia kabisaa..
@RacherBakari-qh2gx8 ай бұрын
Wanabadilisha mikao tu
@nurumasha8 ай бұрын
😅😅😅😅
@vibetz99918 ай бұрын
Nimevimbiwa kwa kuangalia tu video😢😢
@edibilychaula.37538 ай бұрын
Hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
@edmundholida8 ай бұрын
😅😅😂
@Rogathe-Rogathe8 ай бұрын
😂😂😂😂
@ashaomary49228 ай бұрын
Nilichogundua ni kwamba Waha wanapenda sana chapati.
@sharifamahamudu1828 ай бұрын
Km clam naenda nyumabni kula chapati na maharage
@saeedalyahmadi17388 ай бұрын
Naomba hizo chapati ziwe hazikua za mawese😂😂tafadhali
@user-le2ox5ut1j8 ай бұрын
Na chai juuu 😂😂😂😂
@aminasaid93827 ай бұрын
Afu kila mshiriki wa shindano kakaa kwa style yke ,utajuwa hujuwi 😅😅😅😅 na vyengine zimefinikwa ila atokee mtu na fito watakavyokimbia sijui😅😅😅
@bahatimellita66198 ай бұрын
Vijana wa hovyoooooo
@meshachmbena87208 ай бұрын
😂😂😂 watu wamevimbiwa Macho yamewatoka
@jennifersongani27348 ай бұрын
😅
@rizikiabdalla25018 ай бұрын
Chapati ngumu kama maisha yao duuu
@banda773722 күн бұрын
Dah mimi ningekula hv namaliza na kufa juu Sio kwa kushiba huko😢
@ladyr.hamsini23118 ай бұрын
Chapati mbaya ngumu mtu hawezi kula hata mbili,mapishi ziro kabisa
@mangulimanguli39748 ай бұрын
Watajinyea
@MauFundiElectronics8 ай бұрын
Shindano zuri hila pesa ni ndogo sana yaani ndogo mnooooo yaani Elfu 30000 mmmhhh hapana ingekuwa elfu 50000 au kuanzia laki maana hiko ni kipaji
@SefuHabibu-sn8cx8 ай бұрын
Peleka chuga huko mtu anakula wiki nzima anakunya tu hapo hamna mlaji bwana hao wote wazushi tu
@zisisiisskksksks24248 ай бұрын
Matumbo ya mtumba😂 jamaaa kauwa
@user-bg9cr4pn2p8 ай бұрын
Pesa walooweka kuwapa nikidogo sana
@user-xx8jx6tb7d8 ай бұрын
Jaman kama kuna malpo naomben kaz
@ConfusedMoose-xs9mm4 ай бұрын
Mazunaaaa moseyobo wewe toka lin ukashindana 😂😂😂😂
@musicschool_tz70148 ай бұрын
Hawa wakiambiwa wafunge wataweza kweli?
@allykwaya8 ай бұрын
Ngumu
@katalinamvanga11998 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@TheFire_Gamer8 ай бұрын
Shida hiyo
@salimmalaka2568 ай бұрын
LABDA WAFUNGE KAMBA 😂😂😂😂😂
@aminasalim87088 ай бұрын
@@salimmalaka256😂😂😂🎉
@Boniphaceshayo58 ай бұрын
Wengine wameshiriki kisa njaa tu walivyo Shiba wakasepa hata hawakua kwenye. Kushindana
@eliyasanga63748 ай бұрын
Ata mimi ningefanya hivi nakula kidg nikishiba naondoka zangu
@baruthmussamuslim34348 ай бұрын
Daud dangote nakuona kibobe mtoto wa athuman Babu aise hii qali wanangu mmetisha kabondo kazaroo Livingston noma nanusu wanangu
@marthadanielgethro62168 ай бұрын
Kwenye kunyaaaaaaaa😢
@user-zs4qz4wm2n8 ай бұрын
Onyo: kujisaidia haja kubwa mbele ya umati hairuhusiwi katika mashindano😂
@elizabethswai77778 ай бұрын
😂😂😂
@emmylizzo82208 ай бұрын
Khaaa mtoa comment mbavu zngu mie
@dushudofficialnurudin97538 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@dushudofficialnurudin97538 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-zs4qz4wm2n8 ай бұрын
@@dushudofficialnurudin9753 Ndiyo tuwe serious kidogo😂
@Atb3008 ай бұрын
Ni aibu kwa kweliii tena wanaume😂hawajui kitu chchte kikiwa too much ni tatizo nonsense
@salimmalaka2568 ай бұрын
M'MUNGU AMREHEMU MZE MADO HIYO MISOSI ANGEILA YOTE PEKE YAKE KWA NUSU SAA TU NA MASUFURIA ANGEKWANGUWA.
@aminasalim87088 ай бұрын
😂😂🎉
@MasaweKiyage8 ай бұрын
Congralation
@mrrockboy95088 ай бұрын
Mnauwa vijana 😂😂😂😂😂
@user-ec4uz2mn3j7 ай бұрын
😂😂😂 ila ukiangalia apo hmn bonge ata mmoja😅😅😅sijui wembamba tuna matatizo gn jmn🎉🎉🎉🎉
@sleeprelaxation84318 ай бұрын
wange changua chakula kimoja au kama vingi basi una weka kwa udogo udogo,
@gracekagoma32318 ай бұрын
Wataugua kisukari hao😢
@Rozeey6108 ай бұрын
Duh chakula n kingi sana
@ramadhaniayoub81718 ай бұрын
Washamba hao hayo mashindano ya kula sasa una chagua chakula Sema hao walikuwa na njaa
@sukahnaothuman62478 ай бұрын
Eheee😂😂😂 mbn kuna mtu hapo hatafuni ugali😅😅😅 me naon anameza tu😅😅😅😅
@mr_convex7 ай бұрын
Kuangalia tu video nimevimbirwa 😭😂😊
@user-fy3cf1ri8m8 ай бұрын
😂😂😂😂 elfu 30 itaalibu koo
@user-iq7vy4oz3d8 ай бұрын
Wanawatanisha watoto tu hapo 😂😂
@jelixsonofficialtz90258 ай бұрын
ALOOO!!🙀🙀🙄🙄🤗🤗🥟🥟MUHA NA CHAPATI NI VIDOLE NA KUCHA😜🤣🤪🤪sio Kwa kuzipenda hukooo🏃🏃
@ConfusedMoose-xs9mm4 ай бұрын
Kibobe papaa Dangote moseyobo hemed Juma jux nyie toka lin mkawa na Fani hiyoo ila nawakubal saan blood zangu.
@user-kd4nl3tb3h8 ай бұрын
Nyinyi mnaosema ni mchezo ambao haumpendezi mungu nitajieni mchezo wowote wa kidunia unaompendeza mungu huu ni mchezo kama michezo mingine na sio tanzania tu nchi mbali mbali wanafanya
@fatmamsiliwa84858 ай бұрын
Bora huu kuliko kupigana au kukaa uchi au mipira
@kalamuyangu18 ай бұрын
Ila Kigoma! 😂😂😂😂Kila kitu wao
@sukahnaothuman62478 ай бұрын
Bongoo hapan😅😅😅😅 wenzentu wanapewa pizza ukoo c ugalii
@xaverisunday6997 ай бұрын
#aboi_4rm_makambako ww ungemaliza hayo mavyakula yote yahani muandaaji ni zero
@emmylizzo82208 ай бұрын
Wengine wamekuja kuleta ubishoo tu ata xo walaji
@user-it3dc1mg5o5 ай бұрын
Pesandogo sanaaaaa😂😂
@franciskomba80577 ай бұрын
Yani mimi hpo ata robo sitoboi😂😂😂
@FrancesTz8 ай бұрын
Kwenye umoja wa vyakula ukishaona na chai jua wewe hufurukuti 😅😅😅😅😅😅😅 Njaa za dakka huwa zinaweza kukupeleka pabaya kwa fikra
@Boniphaceshayo58 ай бұрын
Nyama ziko wapi nyama lete nyamaaaa kudadeki zao mbwa hao 😂😂😂
@verobecamfipa86558 ай бұрын
😂😂😂😂
@salimmalaka2568 ай бұрын
ULIMSIKAEE MKALI AJABU KUMBE ZIRO 😂😂😂😂😂😂😂😂
@anitarafa8 ай бұрын
Sijafurai.kwakweli.wala aipendezi.😢😢
@petrojoseph48178 ай бұрын
30000 ndio zawadi Kuna mashindano ni tatizo mh
@user-pt5nq8up8z8 ай бұрын
Yeye anaweza kumaliza
@shakirashakira-gc2yw8 ай бұрын
Jamani uyo atapasuka
@yasminoluoch1698 ай бұрын
Hawa wakiingia chooni kama ni choo cha ndani kumbia
@aminmohammed42498 ай бұрын
Sena ingetskiwa baba levo awe jaji mkuu😂
@Thisisgrace9798 ай бұрын
Si bora Hata mngesema Mshindi apewe laki3?, elf 30??!! Jamani
@zulfamwinyiathman54238 ай бұрын
Huu ni upuuzi kwa nni ,usiwe mlo mmoja ,Sasa mtu atakulaje machapati Kisha ugali ,huu ujinga uliotaradadi
@agustinohizza13958 ай бұрын
Hii niburudani kama burudani njingine sio kuaribu vyakula
@user-rf4yq9yj7u3 ай бұрын
Hicho chakula wapelekeeni watoto palestina wanakufa na njaa 😢
@ramboiddrambo30568 ай бұрын
aya ni mateso jmn kaaah ati nimeogopa baada ya kuona
@Boniphaceshayo58 ай бұрын
Wengine mavi yana gonga chupi hapo
@hajiabdalla57728 ай бұрын
Akili za njaa
@gilbertmathias75948 ай бұрын
Walaji hizo ni sifa za kijinga wao wanaona fahari. Pumbavu zao
@onesmotendega53048 ай бұрын
Pesa ya soda yataka kuuwa watu😂😂😂😂😂
@amanimatokeo91398 ай бұрын
Awo walimbukeni asa alfu salasin pesa ambayo ukitafuta unaipata ila nisaw kgm maisha magumu kwaiy upatikanaj wa pesa nimgumu iyo 30 kwao wanaona kama milion maan mim kgm naijua vizur kwajl ni home ila wajinga wote
@luganojohn26738 ай бұрын
Kimeumana 😂😂😂
@AlinanusweMwanyangala-ir6hp8 ай бұрын
Moto unawaka patachimbika atakufa mtu😂😂😂😂
@kamanda0077 ай бұрын
Utaratibu wa ovyo kabisa, rules lazima zieleweke kabla ya mashindano na zifuatwe, hapo wenye njaa wamekuja kula tuu, waandalizi wapuuzi kabisa
@sundawnsmedia66598 ай бұрын
Haya mashindano siyo ya kushiriki watu wa mjini 😢
@nancyg86648 ай бұрын
wasukuma wanaweza
@sundawnsmedia66598 ай бұрын
@@nancyg8664 😂😂😂 mbona wasukuma tena jamani, wasukuma tunasingiziwa nyie