Safi Saana ALLAH Awabarki Zaid Naaawalinde Kwaklabaya Lajuu na Lachini.🙏🏽
@mundhiraliy13072 жыл бұрын
Wanawake wanaweza. Mungu awapariki mama zetu
@salimramadhani740 Жыл бұрын
Sawa from 🇧🇮🇧🇮 Burundi in Cape Town
@NiniOman-lx5lg5 ай бұрын
Masha Allah
@suzanalyatuu60742 жыл бұрын
Safiii Sana Ile dhana kwamba kazii hii anaweza mwanaume mwanamke hawezi fanya kazi hii hapa ndo majibu yake
@manasadunia34582 жыл бұрын
Safi sanaa kazi Allah azidi kiwalinda
@alalwialalwiii81942 жыл бұрын
Maashallh mungu awalinde katika kazi zenu
@uswegemwamakula6101 Жыл бұрын
Nimefurahishwa saaana.ongezeni speed dada zangu
@iddyramathan45072 жыл бұрын
Hongereni wadada Kama wanawake wangekuwa na maamuzi Kama yenu wangejenga heshima KUbwa Sana serikali iwaanzishie umoja wao.
@marykibwana94132 жыл бұрын
Wadada nimewapenda sana.Mungu awalinde!
@ntiliyothomas51462 жыл бұрын
👏👏👏 safi Mungu akawe mlinzi wenu
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Wanawake tunawez Mashallah kila lakher katk kazi zawo 🙏
@salumbujjo23202 жыл бұрын
Hongereni sana dada zangu nyie ni mfano wa kuingwa
@AsendeNyota Жыл бұрын
Mbona mashahala mdogo saana
@aminaathumani68322 жыл бұрын
MashaaaIIaaah 🤲🤲🤲🤲🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿❤❤❤❤💃💃💃💃💃haiyaaa
@soudabdulrahman93592 жыл бұрын
Hongera mabaharia wanawake wa shoka
@zaidihussein43112 жыл бұрын
Hongera sana
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Vizur mashaalah
@neemamasudi7988 Жыл бұрын
Ongera dada
@prettyh75092 жыл бұрын
Mashallah wamama tuchape Kaz ya halali , wengine njooni huku uarabuni
@saramss72622 жыл бұрын
Pretty akili zako zipo chiniiii
@joyce557272 жыл бұрын
Mmi Nipo uarabun kuna hela pia mm nimesoma nikaishia dalasa la saba kila mwez mshahara laki saba yan namshuku Mungu
@ismailnassor7852 жыл бұрын
Mbona naona mnaenda mpaka nje ya nchi ila mshahara mdogo
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Ka someyeni meli vizur sana
@didamanyanya48932 жыл бұрын
Wanawake unaweza Mungu awalinde
@laurentraphael54702 жыл бұрын
Mshahara ni mdogo compared na risks wanayochukua.
@Joe-tr2vk2 жыл бұрын
Mdogo sana. Ila kwa elimu ya darasa la 7 siyo mbaya.
@adaboychibu16592 жыл бұрын
@@Joe-tr2vk kwani darasa la 7hana haki ya kuishi hapo kinachozungumziwa risk sio elimu uwe la 7au phd risk ni risk tu kwasababu kifo hakina elimu
@Joe-tr2vk2 жыл бұрын
@@adaboychibu1659 Wapi uliona mzamiaji wa mgodini analipwa sawa na Engineer wa mgodini eti kwa kuwa anakuwa kwenye risk muda mwingi?Kazi zenye risk hufidiwa kwa kuwa na insurance siyo mshahara mkubwa eti kwa kuwa kuna risk,elimu inahusika popote pale. Haihitaji tochi kuona hiyo 😀
@adaboychibu16592 жыл бұрын
@@Joe-tr2vk kwani uyoo injinia wa madini kazi yake anaifanyia wapi wee unafikili kwakuwa injinia ndo anakuwa hayupo kwenye risk hakuna mtu ambaye yupo kwenye risk mbaya kama uyo engineer wako wa madini uliyemtaja ! Na ndomana iyo sekta inalipa vizur kutokana na risk yake kuwa kubwa haijalish kuwa wewe mwanaapolo au engineer mwenye digree yako
@Joe-tr2vk2 жыл бұрын
@@adaboychibu1659 Engineer hawezi kukaa huko chini kama wale ma-operator maana yake kama ni risk wale wengine wanachukua risk zaidi kuliko mkaguzi (Engineer). Kama huelewi Engineer anakuwa na wasaidizi (foremen) kwa hiyo yeye huwepo pale inapobidi kutoa maelekezo hashindi kule kama hao operatators na foremen lakini ndiye anayelipwa kuwazidi wenzake. Elimu ndugu, haihitaji tochi hiyo kuona 😁
@arafaomari18322 жыл бұрын
Napenda mie
@yudamwinami60112 жыл бұрын
Kigoma mmetisha
@winfridaphilbert65112 жыл бұрын
Selina nmesoma nae jamani
@sylviermuhonjah84112 жыл бұрын
Mash Allah wanawake hoyee
@salimharrasy70472 жыл бұрын
Safi sana. Allah awalinde.
@emanueliamosi95032 жыл бұрын
Ongeleni wadada Kwa ujasili mlioonesha, na mmetaja mshaara wazi, kweli wajasili.
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Someni ndenge na meli mkubwa
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
Ni mfano mzuri nawashauri wanawake wengine wathubutu kufanya kazi zakiume kama hizi
@issamwalimu2 жыл бұрын
Kila kitu kina risk yake ni kumuomba mungu siku zote
@habonimanadeo66862 жыл бұрын
Hongera Sana dadazangukwakujituma.munitumihenamba zenuzasimu..asante.
@gingermarie17602 жыл бұрын
God loves you so much that He sent His Holy Son Jesus from heaven to earth, to be born of a virgin, to grow up and die on a cross for our sins, and to be put into a tomb 3 days and rise from the dead the third day, and He (Jesus) went back up to heaven. We must receive Sinless Jesus sincerely to be God's child(John 1:12).After we get saved by grace through faith in Christ, if we truly love the Lord Jesus Christ, then we will obey Jesus(John 14:15). Mark 1:15 "And saying, the time is fulfilled, and the kingdom of God is at hand: Repent ye, and believe the gospel." Jesus said in John 14:15 "If you love Me, keep My commandments. "There's a real hell. It says in Revelation 21:8 "But for the cowardly, and unbelieving, and abominable, and murderers, and immoral persons and sorcerers and idolaters & all liars, their part will be in the lake that burns with fire and brimstone..." Please sincerely receive Holy Jesus and put your true faith and trust in Him today and please repent.
@nyotaasende92252 жыл бұрын
Ni wacongo hao
@nyembomajidi30272 жыл бұрын
yaani wewe unapenda sana ubaguzi Tanzania inaupaka na inchi nyingi kuna familia pande lingine na pande lengine.