Utamaduni wa kushangaza Zanzibar, haupo sehemu nyingine Duniani

  Рет қаралды 24,217

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Tembea uone au subiri usimuliwe...zipo TAMADUNI mbalimbali duniani ambazo hauwezi kudhani kama zipo na zinatumika sehemu fulani kwa sababu huwa ni tofauti sana na ulivyozoea kwa kuwa zinashangaza sana.

Пікірлер: 27
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 6 жыл бұрын
Mungu atuwekee utamaduni wetu wakizanzibari
@samsonmwijage5301
@samsonmwijage5301 7 жыл бұрын
Zanzibar is a beautiful place to visit
@salmaabdu5011
@salmaabdu5011 Жыл бұрын
MashaAllah zanzibar ilevokuwa mwanzo ilikuwa makka ndogo leo kila kona makanisa yametujaalia na wabara nchi imekuwa kama yatima wahamiaji kilakona
@hammerQ954
@hammerQ954 7 жыл бұрын
😊pia ndo watu pekee tunaomiliki magorofa yanayofanana na treni
@oopsm3574
@oopsm3574 6 жыл бұрын
Former east German yapo!!
@brisketkidari1623
@brisketkidari1623 6 жыл бұрын
msalaba mkubwa duniani kote
@saumujuma8217
@saumujuma8217 3 жыл бұрын
Hahaha
@idreamfoto
@idreamfoto 7 жыл бұрын
Beatiful Island For Real.
@dodomikleni9299
@dodomikleni9299 7 жыл бұрын
ni kweli asemayo..yaani kama hatujaskia honi basi unajiuliza kunani...pia honi ikilia saa 12 na nusu jioni ama jua kukuchwa ni time ya watoto wote kuingia majumbani,na wengine ndo time ya kuelekea tuition au darsa za madrasa..
@ahmedyoung7300
@ahmedyoung7300 7 жыл бұрын
beautiful island
@lilobooker2052
@lilobooker2052 7 жыл бұрын
hio si honi ni IDUVI kwa kiswahili cha asili na ukisema honi ni neno la kizungu.
@naimaabdallah9507
@naimaabdallah9507 6 жыл бұрын
Masha Allah
@user-pj3eb2bo4o
@user-pj3eb2bo4o 5 күн бұрын
Yaani rais mwinyi ukiweza kujenga mpaka huko beaches du utapiga pesa mpska huko nungwi
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 жыл бұрын
Honi iendelee hadi Yesu atakaporudi, msiacha utamaduni huo kwa ajili ya teknolojia. Kila nchi ina tamaduni zao na hawajaziacha kwa sababu ya teknolojia. Swiss wanapiga mlio mkubwa wa saa kila lisaa nilipotimia usiku na mchana, na hawajaacha kwa vile kila mtu ana saa au simu zenye saa, pamoja na teknolojia nyingine zote walizokonazo.
@oopsm3574
@oopsm3574 6 жыл бұрын
Damaris Zuckschwert : wewe bangi, yesu imehusu nini na honi jinga kubwa.
@omarkhamis9514
@omarkhamis9514 7 жыл бұрын
Kila mji ambao ulikuwa chini ya wakoloni ina hivi ving'ora. Hata kuna mtaa hadi leo Mombasa unaitwa King'orani, na ving'ora vinaendelea na ukikisikia kulia ghafla basi ujuwe kuna hali ya hatari inajaribu kutangazwa.
@aliboikerfitness1794
@aliboikerfitness1794 4 жыл бұрын
Kitaa changu icho
@oopsm3574
@oopsm3574 6 жыл бұрын
Inamaana mmekuja kutoka nje mmejifanya kuwa wenyewe basi rudini kwenu
@FatmaothmanFatmaothman-ch5oi
@FatmaothmanFatmaothman-ch5oi 9 ай бұрын
Mmmh nyny watu hamujaacha tu kuisu mba Zanzibar hamuna jema nyny watu kila mtu na dini yake au mmekatazwa musimuabudu Allah kisa honi na makanisa
@coogyelectrislabs
@coogyelectrislabs 7 жыл бұрын
millard hizoo honiii (VING'ORA) mpaka tangaa zipooo mbilii bandari na reli na sIKU ya mwakampya vinaliaaa pia kila saA moja na NUSU ASUBUH KILASIKUUU
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 7 жыл бұрын
NA AKIPITA RAISI VILE VILE KUAMKIA KWA KUSIMAMA LAZIMA ILIKUWA HESHIMA NZURI SANA KWA RAISI WA HAKI SIO KAMA HUYU WA KUBAMIZA BAMIZA TU NA WATANGANYIKA KWA KUMTUMIA KWA KAZIZAO ZA KITUMWA TUMWA KIUKOLONI WA NCHI YAKE
@nassorhilal9807
@nassorhilal9807 6 жыл бұрын
Kauli ya kwamba wao ni wenyewe,angalifafanunuwa "wenyewe "ni nani?.
@jmwalimutv5114
@jmwalimutv5114 7 жыл бұрын
nikweliunayo yasema
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 7 жыл бұрын
IKILIA HONI WATU WALIKUWA WANASIMAMA BADALA YA KUKAA KITAKO NI HESHIMA YA ZANZIBARI UKIWA HUSIMAMI POLISI WANAHAKI YA KUKUKAMATA NA KUSHITAKI KWA NINI HUKUSIMAMA ULIPOISIKIA HONI ULIZIA ZAIDI
@thabitmohamed8744
@thabitmohamed8744 6 жыл бұрын
Kuhusu honi na kuingia kwa sala ya magharibi hivi vitu haviendani hiyo sio kweli ukweli ni kwamba honi ya magharibi inafata saa za sala sio sala inafata honi si kweli,
@brisketkidari1623
@brisketkidari1623 6 жыл бұрын
zamani hata meli zikiondoka zilikuwa zinapiga honi na inaskika hadi michenzani ila sasa haziskiki
@emmabays9963
@emmabays9963 7 жыл бұрын
zanzibar kuzuri kuliko jijini mbona
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 119 МЛН
Dad gives best memory keeper
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 20 МЛН
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 15 МЛН
UKWELI WA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MWANDISHI WA MZEE KARUME
34:57
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
#YALIYOMO NDANI YA SOKO LA KWEREKWE ZANZIBAR
29:19
IsleBlogTv
Рет қаралды 30 М.
10 Things to do in Zanzibar Whilst on  Vacation
9:22
Displore
Рет қаралды 223 М.
HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR
10:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 820 М.
HISTORIA YA ZANZIBAR
16:54
USIKU TV
Рет қаралды 2,2 М.