UTATA WAIBUKA, MAMA AGOMA MWANAE KUZIKWA, ATAKA APELEKWE KUOMBEWA AFUFUKE, NDUGU WAGOMA

  Рет қаралды 15,272

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 116
@magejay4715
@magejay4715 11 күн бұрын
SEMA Morogoro ni mji uliojaa ushirikina sana Bila Mungu uvuki mjii huu si kifamilia kiuchumi ata kiafya huu uji auna maendeleo pole mama
@ablashaffy2860
@ablashaffy2860 5 күн бұрын
Wew unaongelea kilombero labda
@magejay4715
@magejay4715 5 күн бұрын
@ablashaffy2860 kilombero Kuna ayo Mambo sana au mie kwa ninavoona huu mji unamuitaji Mungu sana sababu mikwamo ni mingi sana
@TausiMokiwa
@TausiMokiwa 11 күн бұрын
Kwani shida iko wapi hebu mlizisheni huyo mama kufiwa sikia kwajilan tu usiombe yakukute jaman
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 11 күн бұрын
Itakuwa kachanganyikiwa tu msiba usikie kwa jirani tu omba usikukute ingawa tumeumbiwa sisi😢😢😢😢
@Catty-e7o
@Catty-e7o 11 күн бұрын
Wacha wa mpeleke ajiridhishe Mungu mtetee
@bhokesaid3264
@bhokesaid3264 11 күн бұрын
Kabisaaaa
@LamaribamJumbe
@LamaribamJumbe 11 күн бұрын
Kabisa Wamlizishe Bi Mkubwa Mambo Mengine Yaendelee
@NaomiSanga-p5y
@NaomiSanga-p5y 11 күн бұрын
Ila kweli wangempeleka kanisani alizike mama ana uchungu mkubwa sana
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 11 күн бұрын
Mmmmmmmhhhh sina chakuandika ngoja tumuachie Mungu 🙏
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 11 күн бұрын
kifo kickie tu kwa mwenzio ucombe kikukute tena hasa ikiwa ni mama kupoteza mtoto na co mtoto kupoteza mama...weee huu mziki ucombe kuucheza 😢😢😢😢😢
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 10 күн бұрын
Wamwache mama ampeleke kanisani hii dunia ni mbaya sana
@JoyceSelemani
@JoyceSelemani 11 күн бұрын
Ambao halijawahi wakuta hawatamuelewa hyu mama Me baba ang kafark mwaka jana bado siamin had huwa na Google jins ya kumfufua m2 nyie achen2 Mungu akupe wepes mamang
@AmelitaKadudu
@AmelitaKadudu 11 күн бұрын
Yaan naelewa hii Hali kumbe c Mimi tu 😭
@JoyceSelemani
@JoyceSelemani 11 күн бұрын
@@AmelitaKadudu 💔😭
@Goodness683
@Goodness683 11 күн бұрын
Pole mwaya
@JoyceLuhasha
@JoyceLuhasha 11 күн бұрын
Pole sana
@JoyceSelemani
@JoyceSelemani 11 күн бұрын
@@Goodness683 Asant
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 11 күн бұрын
Pole sana mama uchungu uwo unapelwkea kuongea hayoyote naiimani. Inyewe ya mkonowakusho mtihani sana.Mungu ampe subra. Kwakufufuka. Haiwezekani.
@rerisamba
@rerisamba 10 күн бұрын
Pole sana mama ulikua usitangaza msiba ungeita waombaji wakaja hapa wakamuita
@ShabanMainde
@ShabanMainde 10 күн бұрын
.😅
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 11 күн бұрын
Masikini😢😢😢😢😢😢 ndini hizi jamani zinawapa watu mangonjwa ya akiri😭😭🥱🥱🥱😭😭😭😭😭
@reginamlay5263
@reginamlay5263 11 күн бұрын
Mwacheni apelekwe kanisani mama ajiridhishe kwani ni uchungu umemzidia mama haamini mwanae kamwacha
@SharonShibalia
@SharonShibalia 11 күн бұрын
Mama haamini amechanganyikiwa jamani
@MariyimJumanin
@MariyimJumanin 11 күн бұрын
Kabisa
@RosemaryMalya
@RosemaryMalya 11 күн бұрын
Kweli kabisa Mungu amtie vguvu😢😢😢
@gladnesswazir-zz9lk
@gladnesswazir-zz9lk 8 күн бұрын
Daah pole sana mamayng mama amechanganyikiwa jamani mridhishen tuu basi baadae atapokea hali😭😭😭🤲🙏
@sophianyemele7715
@sophianyemele7715 6 күн бұрын
Mama Kapata tatizo hayupo sawa kachanganyikiwa
@Aziza-w5h4z
@Aziza-w5h4z 11 күн бұрын
Duncan imefika mwisho tutaona mengì😢😢😢
@joycekalago532
@joycekalago532 9 күн бұрын
Mama amechanganyikiwabkwa maumivu Mungu amsaidie tu mwanae azikwe hakuna namna nyingine😢😢
@divahairshow7646
@divahairshow7646 11 күн бұрын
Jaman Irene... RIP mamaaa
@ZulfaMohamed-sx1it
@ZulfaMohamed-sx1it 9 күн бұрын
Atakuwa sio mzima kichwani mama
@ariphkimani3790
@ariphkimani3790 10 күн бұрын
Hiyu ni arch bishop
@candyboniface3493
@candyboniface3493 11 күн бұрын
Huyo mama Toka Jana niliskia hakuwa sawa kuwa aliamini mwanae hajafa na aligoma hata kwnd hosp kuona mwili so tusimlaumu kufiwa sio kitu rahisi na binti yake wa pekee inaumiza sana na watt wenyewe ndo hao tu 2 walikuwa lazima aumie sana tumuombee tu kwa kweli naamini yataisha salama
@Maya-bm9bu
@Maya-bm9bu 11 күн бұрын
Harikaa 😃
@MamuKemal-z3d
@MamuKemal-z3d 11 күн бұрын
Harikaaa avaee
@mariambwambo9885
@mariambwambo9885 11 күн бұрын
Ni ndimaa avae
@gililwise
@gililwise 11 күн бұрын
Shigha du hii ni ndima
@Maya-bm9bu
@Maya-bm9bu 11 күн бұрын
@@gililwise😄😄😄😄
@Yana_queen1
@Yana_queen1 11 күн бұрын
Sa si mumkubalie tu ..mwacheni ajiridhishe
@AminaLibisa
@AminaLibisa 11 күн бұрын
Yote kwa yote mpelekeni kanisani akifufuka tunaomba na bsba yetu magu wetu mfufueni kwa imani yenu please 🙏
@AmelitaKadudu
@AmelitaKadudu 11 күн бұрын
😅😅
@HaniffaOmary-v5r
@HaniffaOmary-v5r 11 күн бұрын
Namuelewa sana yani hamiini kabisaa
@zaitunimasangula4668
@zaitunimasangula4668 11 күн бұрын
Duh na kweli .Bibblia ilishajionea mengi "watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa"...."Enyi wagaratia mliopotea ni nani aliyewaloga?😢
@japhetnjovu853
@japhetnjovu853 11 күн бұрын
Mbona biblia hiyo hiyo ndiyo imeandikwa watu wanaweza mukufuliwa kwa maombi Acha mawazo mgando
@JanethKisuda
@JanethKisuda 11 күн бұрын
Ww u ajua kufiwa ww nyau ww
@Ambwene
@Ambwene 11 күн бұрын
Kawaloga mamaako mbwa wewe
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 8 күн бұрын
Anahaki huyu mama roho ya mtoto ni mama tusiwahi kukimbilia kuzika Kwani wengine wanawekwa misukule
@IlyasaJuma-cc3ee
@IlyasaJuma-cc3ee 11 күн бұрын
Mamae huyu mama😅😅😅
@tupegigwensajigwa2629
@tupegigwensajigwa2629 11 күн бұрын
Eee MUNGU msaidie mama huyu najua anapitia nini maana kiatu chake nakijua ila wapo wa kudhihaki
@SabihaibrahimRajabu
@SabihaibrahimRajabu 11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mama kafiliwa anauchungu na huyu mpotoshaji anamzidisha maumivu makubwa
@SwaumChawage
@SwaumChawage 11 күн бұрын
Kwaiy knacho kufrahsha nn mwenze 2
@SabihaibrahimRajabu
@SabihaibrahimRajabu 11 күн бұрын
Namcheka huyo mfufuaji wakati yeye kazika watu wengi kwenye familia yake halafu anataka kumuibia huyo mama
@Neema935
@Neema935 11 күн бұрын
Tanzania, mna vituko jamari. Uyo mchungaji, atiwe mmbaroni .kwa nini kuzalilisha nchi ???
@BenedictaMagantg
@BenedictaMagantg 11 күн бұрын
Ni uchungu mpaka unaleta kutoamini.
@magigesabai8674
@magigesabai8674 11 күн бұрын
Wamkubalie akaombewe amna shda
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 10 күн бұрын
Wewe mchungaji chizi pumbavu sana
@AmaniManase-x1i
@AmaniManase-x1i 11 күн бұрын
Mpelekeeni jamani maana mama anaimani sana
@IsaackKileo
@IsaackKileo 11 күн бұрын
Mchungaji chiz kweliii
@stelayunami7779
@stelayunami7779 11 күн бұрын
Ni kama amechanganyikiwa haamini kama mwanae amekufa kweli
@mussaelias3535
@mussaelias3535 11 күн бұрын
Ww mchungaji ndiyo unachangia vurugu kwenye hiyo family
@celinamosha9420
@celinamosha9420 11 күн бұрын
Kachanganyikiwa mama
@Zuwenamchuzi
@Zuwenamchuzi 11 күн бұрын
Kwani shida ikoap mperekeni
@magdalenasirikwa517
@magdalenasirikwa517 9 күн бұрын
Si apelekwe kanisani?
@Andres-qt6kp
@Andres-qt6kp 11 күн бұрын
Tatizo la afya ya akili ni kubwa sana Mungu angilie tu
@bibitogo7789
@bibitogo7789 11 күн бұрын
Subuhanallah😢😢
@dayana5513story
@dayana5513story 11 күн бұрын
Makanisa ya siku izi jamani
@rahema907
@rahema907 11 күн бұрын
Nyinyi humjui maybe kuna siri ya uchawi kwa hii familia pengine anahisi kachukuliwa msekule
@pendo8082
@pendo8082 11 күн бұрын
Labda
@Yana_queen1
@Yana_queen1 11 күн бұрын
Kbs
@liberatharichard4556
@liberatharichard4556 11 күн бұрын
Nalo neno
@dorissmrosso7420
@dorissmrosso7420 9 күн бұрын
Mama Kuna kitu anawasiwasi kimefanyika. Na kwanini baba ndio anakataa .
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 10 күн бұрын
Mimi nasema tu wangemsikiliza mama wampeoeke wamuombee wakiona hafufuki basi azikwe atakujaga kufufuka baadae. Na hizo kanisa za kilokole nawaohaga wengi sana kama machizi yaaani wao kanisa wanaoha kila kitu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 11 күн бұрын
😢😢😢😢Pole sana mama
@magdalenasirikwa517
@magdalenasirikwa517 9 күн бұрын
apelekwe kanisani
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 11 күн бұрын
Mpelekeni jmn kanisani tuone kama atafufuka
@HadijaOman
@HadijaOman 11 күн бұрын
Mmmh
@HaniffaOmary-v5r
@HaniffaOmary-v5r 11 күн бұрын
Mchungaji siku hizi ukifa umekufa haufufuki kabisaaa mpumzisheni tuu apumzike na anamani
@LeoniaLyimo
@LeoniaLyimo 11 күн бұрын
Kwa nini wanaandikia mate wakati wino upo. Wampeleke asipomfufua atajua mama na mchungaji wake.😂😂😂😂😂
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 11 күн бұрын
Masikini mama kama kachanganyikiwa
@EstarPoul-e6u
@EstarPoul-e6u 11 күн бұрын
Wangempeleka uyo alizike maana inaonekana ajaamin kilichotokea baada ya apo wakazike
@Jamila-c7k
@Jamila-c7k 11 күн бұрын
Muachemi jamani inauma
@Pentecost598
@Pentecost598 11 күн бұрын
Sasa unuitaje marehemu wakati mnaamini atafufuka?😮😮😮😮
@DottoCharles-j9j
@DottoCharles-j9j 11 күн бұрын
Kufiwa kusikie kwa jilani tu ,utaweza kutafuta hata gaun zuri la kuvaa ,lakini yakikukuta looo
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 11 күн бұрын
Mchapeni fimbo huyu😢😢😢😢😢 au kelbu nzito😊
@Jimmywampinda
@Jimmywampinda 8 күн бұрын
Dah
@HalimaMayunga
@HalimaMayunga 11 күн бұрын
Tatizo la ugonjwa wa Akili
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 11 күн бұрын
Jamani Wapendwa! Kufiwa inauma mpaka kwenye maini,yaani unaita baba ili afufuke,uchungu utaisha baadae.
@mwitaagness455
@mwitaagness455 11 күн бұрын
Achaaa, mpk Leo kaka angu WA damu alinifilia mikinoni, huwa naamini walimzika mzima, msiba usikie kwa jiran jamani😢😢😢
@Maya-bm9bu
@Maya-bm9bu 11 күн бұрын
Atiiiii atafanya nini??? Mchungaj tuache bana 😢! Kaanze na wale wa mochwari kwanz
@janengowi-lt9gu
@janengowi-lt9gu 11 күн бұрын
Kwani mngemuacha ampeleke kanisani wafanye maombi akiona imeshindikana atazika mtoto wake kufiwa jamani kusikieni tu huyu mama bado hajaamini
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 11 күн бұрын
Mtu ingekuwa anakufa nakufuguka mbona ndugu wazazi wetu wote tungekuwa nao mpaka leo hio imani hakuna bwana 😢😢 acheni mambo yenu wee ndugu zako walio kufa umeweza kuwa fufua kwann msimfufue huyo dorikas
@IsaackKileo
@IsaackKileo 11 күн бұрын
Huyo mama ana utahira kichwani alafu mm namtamani huyoo, chizi kweli maiti ikaombewe ifufuke?? Kweliiii
@Salomeigigo
@Salomeigigo 11 күн бұрын
Kaka uliwahi kufiwa mtu waumuhimu kwako?? Kufiwa mtoto kusikie tu,unaweza ukawehuka hata usijue unazungumza nini
@kakagift8356
@kakagift8356 11 күн бұрын
Afya ya akili
@AmeenaBulilo
@AmeenaBulilo 11 күн бұрын
Hahahahahahaha uwiii
@Lucianaludovickmaro
@Lucianaludovickmaro 11 күн бұрын
Mwacheni abaki naye akishaharibika ataelewa
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 11 күн бұрын
😭😭😭😭
@memehhhahshshdhdhd
@memehhhahshshdhdhd 11 күн бұрын
Sasa kwanini wanakataza asiombewe? Si wamuache aombewe asipofufuka basi wenyewe shida yao nini?
@Jamila-c7k
@Jamila-c7k 11 күн бұрын
Mpelekemni huko kanisani jamani inauma kufiwa
@subiralema
@subiralema 11 күн бұрын
Mpeni iyo maiti akaweke ndani kweke siku tatu akianza kuoza atazika
@pendo8082
@pendo8082 11 күн бұрын
😂😂
@subiralema
@subiralema 11 күн бұрын
Watu wamekuwa vichaa kweli sijuwi ni maisha magumu eti aombewe afufuke ata mkijikusanya dunia nzima mkiomba ata jicho alifunguki😂😂😂😂
@FatumaMsuya-j5u
@FatumaMsuya-j5u 11 күн бұрын
Kama kachukuliwa msukule ataamka ila Kama nimpango wa mungu sahau
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 11 күн бұрын
​@@FatumaMsuya-j5u toa neno msukule weka aliyekufa ndo anamaanisha uyo bibie uko mbona misukule wapo na ukibahatika wanakuwa wazima. Apo neno kufa alafu aombewe na kufufuka 😢 Mungu Atuongoze na kujua alipangalo Mungu akuna wa kupangua 🙏
@magigesabai8674
@magigesabai8674 11 күн бұрын
Vaa viatu vyake ulishawahi kufiwa na mtoto wako ?
@NechLove
@NechLove 11 күн бұрын
Shida ya lulishwa izalimu
@adamzachariakinyekile6948
@adamzachariakinyekile6948 11 күн бұрын
nasoma coment tuu
@Juma-qd5eq
@Juma-qd5eq 11 күн бұрын
Hiki kijij tukikiwah kwa viboko hatatokea mwingine kusema atafufuk !! Swali la kujiuliza tangu Yesu alipoondika kuna alie fufuka au ndo ataanza huyu ??
@yasintajoseph7495
@yasintajoseph7495 11 күн бұрын
Wapo wengi tu we ndio hujui
@NeemaMasala-o7c
@NeemaMasala-o7c 11 күн бұрын
Kha
@NoviaRaphael
@NoviaRaphael 11 күн бұрын
Nyie wachungaji wa mchongo achaneni kudangana watu eti mtu akifa anaombewa anafufuka 😂😂😂nacheka kama mazuri Mwenyezi MUNGU amupunguzie adhabu ya kaburi marehemu sisi sote kwake tutarejea 😢
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 11 күн бұрын
Wajinga hao kama hazinduki serikali iwashike
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
В Филадельфии разбился медицинский самолет
0:36
Euronews по-русски
Рет қаралды 14 М.
В Швеции ищут, кто разорвал подводный кабель
1:01
Euronews по-русски
Рет қаралды 44 М.
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН