No video

Uungu wa Yesu.

  Рет қаралды 3,135

Sauti ya Uzima

Sauti ya Uzima

Күн бұрын

Ushahidi wa ndani na nje ya naandiko kuhusu Uungu wa Yesu Kristo.

Пікірлер: 66
@user-ox8pc5wu7u
@user-ox8pc5wu7u 22 күн бұрын
Pumbavu we mungu hajawahi kuonekana
@byoseasolokoci7257
@byoseasolokoci7257 Ай бұрын
Amen 🙏
@saadomar2480
@saadomar2480 2 ай бұрын
YESU ANAUUNGU GAN WAKAT YY NIMTU KAMAWEWE. WAONGOWAKUBWA MNAPOTEZA WATU.
@user-ox8pc5wu7u
@user-ox8pc5wu7u 22 күн бұрын
Mungu anashida gani mpaka aje kukaa na wAnadamu
@elishampoki8751
@elishampoki8751 2 ай бұрын
Ameni mtumishi wa Mungu,
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u Ай бұрын
mwalimu yuko vizuri sana ktk utuatu waMumgu kulikowaliojifumga kitambaausoniwenyewe. Mungu manabiiwote nimarehemu marehemu atahuku mujewafu wenzake?
@SaidiNyanga-ct8zq
@SaidiNyanga-ct8zq 2 ай бұрын
Mungu Akubarik mtumish
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 2 ай бұрын
Waalimu.vipofu
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 2 ай бұрын
Danieli.angaika.yesu.sio.mungu.wala.mungu.sio.yesu
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Nyinyi mmepotea na mnapoteza watu Yesu hawezi kuwa Mungu
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 ай бұрын
Yes Mwalimu upon sahihi hata yesu mwenyewe alisema Mimi na baba ni Kitu kimoja
@mwinyijuma2686
@mwinyijuma2686 2 ай бұрын
Bado hujaelewa yesu aliposema hivyo sababu umesoma sentence Moja tu katika kitabu Cha yohana 10:30 ukitaka kujua maana halisi soma kuanzia John (yohana) 10:23-34.
@filexbenefits5612
@filexbenefits5612 Ай бұрын
​@@mwinyijuma2686na hata mwambie John 10:30 na hata haisemi kitu kimoja, inasema tu umoja (are one) not (is one) adding words that are not in the bible is what gone finis hekima yenu kwenu
@mcndege9724
@mcndege9724 3 ай бұрын
John 3:16 Mungu akajituma...... Mungu akafa siku tatau.... Waubiri bubu waliopotoka hawaelewi maandiko wanawapotesha watu. Yesu ni mwana wa Mungu alie hai.. hiyo ndo wokovu..
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Mungu akafa sikutatu na ninani aliendesha dunia
@filexbenefits5612
@filexbenefits5612 Ай бұрын
​@@jumamnyonge2148confusion Babylon
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 ай бұрын
Wewe niMwalimu nimekukubali na Leo ndo nimeelewa kuwa dini zote zitahukumiwa Kwa haki
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Kwanza ukitaka kujuwa mmepotea towa andiko inasema tusamiyane kwa jina la yesu towa hapo yesu anesema Mathayo 11:29 tufunze kwake sasa wapi yesu alitowa iyo salamu ili tujifunze kwake
@emmanuelallankanumba5234
@emmanuelallankanumba5234 3 ай бұрын
Je ni Mambo gani yesu au Issa aliamulu umma wa waislamu wayashike na kumfuata yeye kama hakim ili wapate wokovu maana sisi wakrito inaeleweka asiyezaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa mbinguni,,mimi ndio njia na kweli na uzma huwezi kwenda kwa baba ila kwa njia ya mimi nk naomba unipe elimu kuhusu hawa ndg zetu nini hatma yao aksante
@jospinchance
@jospinchance 2 ай бұрын
Alina mutu Alina mungu wakati wowote ni mechack pa Sud Kivu Bukavu
@jospinchance
@jospinchance 2 ай бұрын
Akuna mutu alishaka ona mungu
@davidochiengbuoga7165
@davidochiengbuoga7165 3 ай бұрын
Amina,ningependa mfanye hii majadiano moja kwa moja na mwalimu kutoka Kenya 🇰🇪,jina lake ni Ndacha.Anasema Yesu sio Mungu ila ni malaika MKUU ZAIDI.Mbarikiwe watumishi
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
Kinacho watatiza ni kukalilishwa yesu sio mungu hila ana uungu
@davidochiengbuoga7165
@davidochiengbuoga7165 3 ай бұрын
@@msemakweli243 Hiyo uungu wa Yesu Kristo ndo inamfanya awe Mungu (Isaya 9:6; Wafilipi2:5-11)
@JESUSISLO891
@JESUSISLO891 3 ай бұрын
Ndacha hajielewi anafaa kurudi Kwa Imani ya kweli
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
@@davidochiengbuoga7165 kwahyo mungu watakuwa wangapi?
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
@@JESUSISLO891 wewe ndo fikira zako
@niyoaze
@niyoaze 2 ай бұрын
mukibishasana birauthurivu nakusikiriza kwamakini utakbuzi haupati wendekwaumakini kwakuwa mdanwingi hufafawa naroho wamungu anayekuwa ndaniyethu
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 3 ай бұрын
Ukisikia watu wa moton wakiwa duniani
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Ndiyo hawa
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
Hapo mnapotosha watu mungu haonekani, yesu ana uhungu
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Iyo tito ni Paul ndiyo anasema yesu ni Mungu
@lastpage488
@lastpage488 Жыл бұрын
nimepata kitu kingine
@geoffreykomu9782
@geoffreykomu9782 3 ай бұрын
kama yesu ni yule mungu mmonja ambaye haonekani, nashidwa ibilisi katokea wapi kuja kuwadanganya watu, kisha huyu mungu ajifanye mwanadamu ili apambane na huyu ibilisi.
@dennismasira8992
@dennismasira8992 2 ай бұрын
Muulize tena kwa sauti
@nehemiekwizera1277
@nehemiekwizera1277 3 ай бұрын
Kwanza maneno ya Daniel anajichanganya mwenyewe, eti huwezi kutofautisha neno na mwenyenalo, basi ukasema Kwamba John 1:1 , Neno alikua, then ukaja ukabadisha eti Neno lija , si unaona unajichanganya.
@dennismasira8992
@dennismasira8992 2 ай бұрын
Mwalimu bado elimu yako katika uungu wa Yesu ni ndogo njoo kenya nikufundishe maandiko
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Oyo missionary ndiyo wale tu wa catholic imani zao
@victorponera1572
@victorponera1572 3 ай бұрын
Nakuelewa sana ,,,mwalimu!!!.
@jemimanzombo9808
@jemimanzombo9808 Жыл бұрын
Amina🙏🙏🙏
@djskadi7355
@djskadi7355 3 ай бұрын
Kenya kwa ndacha atachukuwa nusu saa anabadilika uyoo anadanganya Yesu ni Mungu kwa Nature sio Mungu mkuu kwa sababu ni mtoto wa Mungu ndo maana anakuwa mungu kuna Mungu mkuu na Bwana Yesu soma imani Yohan 7-3 huu ndo uzima wa milele hii andiko alitaki kachumbali uyu mwalimu wa utatu ni uwongo kabisa akuna andiko linasema Mungu baba Mungu mwana Mungu roho kama lipo watoe kunyeshe mvua ya damu 😅
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 ай бұрын
Safi utatu
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 3 ай бұрын
Asante mtumishi kwa kutueleza na kutufundishaa mengii Tusiyoyajua MUNGU wa mbinguni akubariki sanaaa
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Sasa Mungu wambinguni Gani Tena uyo mna jichangana Yesu ni Mungu Sasa uyoemwine wa mbinguni Gani tena
@nehemiekwizera1277
@nehemiekwizera1277 3 ай бұрын
Then akasema eti Thomas, alimuita Yesu Mungu ....mbona hakusoma waebrania 1:7,8 ambapo Mungu Baba Mwenyewe akumuita Mwanawe Mungu.
@kelvinmpanda-ms2ik
@kelvinmpanda-ms2ik 3 ай бұрын
Kuna Yesu na Mungu ila Yesu sio Mungu
@julyuzkemei5754
@julyuzkemei5754 3 ай бұрын
Umepotea kabisa...soma biblia kwa makini brother
@davidochiengbuoga7165
@davidochiengbuoga7165 3 ай бұрын
YESU Kristo ni Mungu kwa utukufu wa Mungu Babaye (Isaya 9:6; Wafilipi2:5-11)
@davidochiengbuoga7165
@davidochiengbuoga7165 3 ай бұрын
Je, unafahamu kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, vile vile, Mtoto wa Mungu ni Mungu. Yesu Kristo ni Mtoto wa Mungu,tena mzaliwa wa kwanza wa Mungu na yupo pamoja na ndugu zake hapa duniani.Ndungu zale Yesu Kristo ni 'miungu "(Zaburi82:6; Yohana 10:30-37)
@nehemiekwizera1277
@nehemiekwizera1277 3 ай бұрын
Nyie wote bado wanafunzi kabisa
@nehemiekwizera1277
@nehemiekwizera1277 3 ай бұрын
Then akasema eti Emmanuel maana yake ,hakfu akaweka maneno yake. Jamani
@filexbenefits5612
@filexbenefits5612 Ай бұрын
Actually nada to listen here unless somebody is intent to waste time
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
2wakorintho 12:7 Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi Kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili mjumbe wa shetani ili anipige nisije nikajivuna kupita kiasi
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Sasa uyo ndiyo na shetani ndiyo wame wangiya nyinyi ote kuleta imani yesu nimungi
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Warumi 3:7 Lakini ikiwa kweli ya Mungu imezidi kidhihirikasha utukufu wake kwa sababu ya Uongo wangu mbona mimi ningali nahukumiwa kuwa mwenye dhabi
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 3 ай бұрын
Paul najiita Muongo na Mwenye Dhabi nakila anaye mfuta wote motoni Aliwanda nganya kuwa yesu ni Mungu nanyi wajinga hapo studio mkaamini
@amedesamki425
@amedesamki425 2 ай бұрын
Yesu wa biblia siyo isa wa kurani
Mch Moses Magembe - UUNGU WA YESU
44:31
Rev Moses MagembeTv
Рет қаралды 10 М.
5A. MPE MUNGU MOYO WAKO AUANDAE KWA YALE YANAYOKUJA  || Mwl Christopher Mwakasege || KAHAMA
33:51
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 25 М.
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 23 МЛН
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 11 МЛН
MBINU ZA KUOMBEA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege
1:23:21
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 150 М.
1 IJUE NGUVU YA MUNGU YA MSALABA ITENDAVYO KAZI ILI UNUFAIKE NAYO || Mwl Christopher Mwakasege.
1:19:08
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 50 М.
Uungu wa yesu, baada ya wimbo
34:27
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 2,7 М.
MWL. CHRISTOPHER MWAKASEGE - TAMBUA YESU KRISTO NI NANI KWAKO?.
2:27
MARANATHA ONLINE TV.
Рет қаралды 4 М.
UKWELI JUU YA UUNGU WA YESU KRISTO NI HUU?
13:10
NABII ELIYA ILYAAS
Рет қаралды 2,5 М.
KUKUA KIROHO
48:20
Sauti ya Uzima
Рет қаралды 73
Quiet Night: Deep Sleep Music with Black Screen - Fall Asleep with Ambient Music
3:05:46
CASSIAN ALIONYA CANISA LA WASABATO LIMEPOTOKA KUJIUNGA NA MNYAMA 666 EV PASCHAL CASSIAN
1:02:18
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 47 М.