Рет қаралды 125,953
RC MAKONDA Amtaka DUDU BAYA Atulie
SAKATA Ambalo linaendelea katika mitandao ya kijamii ambapo msanii wa muziki Dudu Baya Master Konk kuwataja waandishi wa habari ambao wanahusika na tuhuma za ushoga ametakiwa kutulia na kutuma majina hayo kwa njia ya namba za simu.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema Dudu Baya anachotakiwa kutulia na kutaja majina ya hao watu kama alivyoagiza mara ya kwanza.
#DUDUBAYA #RCMAKONDA #MASHOGA
SUBSCRIBE: Global TV Online: goo.gl/nQY3hy
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw
Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL
Website: www.globalpublishers.co.tz
FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers
Twitter: GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV
Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho