PAUL MAKONDA: HISTORIA YAKE/NILIBEBA MCHANGA/UKWELI WA JINA LA MAKONDA/ELIMU NA UTAJILI WAKE

  Рет қаралды 70,725

SAN TZ MEDIA

SAN TZ MEDIA

Күн бұрын

#DULLYSANTZ#SANTZMEDIA#paulmakonda
FUATILIA HISTORIA YA PAULMAKONDA ELIMU YAKE NA NYOTA NA UTAJILI WAKE

Пікірлер: 72
@neemanziku5403
@neemanziku5403 11 ай бұрын
Nampe nda Makonda Eewe mwenyezi Mungu mpe wazfa mkubwa serikalin
@richardburengengwa6998
@richardburengengwa6998 10 ай бұрын
Siku moja uyu mzee mweshimiwa atakuwa RAIS wainchi ya Tanzania mimi siyo Tanzania alakini nakuaga namfatilia sana, MUNGU akuwezeshe mzee
@Santzmedia
@Santzmedia 10 ай бұрын
👊👊👊
@richardzakaria8669
@richardzakaria8669 5 ай бұрын
Siku moja atakuja kuwa rais makonda Mungu atupe uhai
@janechengula1733
@janechengula1733 2 ай бұрын
Makonda mungu akuvushe hata mimi unaniuma sanaa mungu akumbuke kazi yako akuponyee
@DaudiGavanage-c8v
@DaudiGavanage-c8v 6 ай бұрын
Nakupenda bure makonda
@pauloipanga7881
@pauloipanga7881 Ай бұрын
Huyu ni aina ya viongozi kama sokoine na nyerere mungu ampe maisha marefu huyu mwamba
@safiaothman5175
@safiaothman5175 7 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU SUBHAANAHU WATA'ALA AMWONGOZE KATIKA MAJUKUMU YAKE ,AAMIIN YAA RABBAL 'ALAAMIIN.
@sarahkingunza1516
@sarahkingunza1516 11 ай бұрын
Hongera makonda Mungu akutunze akupe uhodari zaid
@Santzmedia
@Santzmedia 11 ай бұрын
Usiache kutufuatilia SAN TZ MEDIA
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 7 ай бұрын
Historian hii ya Makonda sijui kama iko sawa 1998 alitakiwa awe kidato cha pili lakini yeye alikuwa tayari amemali shahada ya awali na ameanza kufanya vibarua?Nina mdogo wangu wa umri kama wake 1998 alikuwa kidato cha pili umri wake ulikuwa miaka 16 yeye makonda alikuwa anasoma sekondari na wakati huo anachimba shahada ya kwanza chuo kikuu basis ndiyo maana anamwakilisha Rais wetu kama mnavyomwona ni MTU pekee katika nchi hii na Africa kwa ujumla
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 ай бұрын
Mtani wangu ongera sana.Kumbe ni mwanangu wa kwanza ndio maana nakupenda sana.❤❤❤👍👍By Mngoni .
@Santzmedia
@Santzmedia 5 ай бұрын
🤝👍
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye Ай бұрын
mie siyo nabii inshaallah Paul makonda atakuwa Rais siku zijazo
@asanthlewanga3941
@asanthlewanga3941 2 ай бұрын
Kwanini mnasoma historia yake au amefariki mnatuficha jamani mimi naumia sana
@AlliyHamisi-z4k
@AlliyHamisi-z4k 2 ай бұрын
Jamani makonda mungu akuvushe kwenye atali
@CantiusBenedict
@CantiusBenedict 2 ай бұрын
Jaman jamn mtuweke wazi yuko wapi Rc makonda? Nanikwanini mnatusomea historia fupi ya mkuu wetu wa mkoa?????
@neemanziku5403
@neemanziku5403 11 ай бұрын
Nampenda makonda na ukoo wake wote mwaaa😍
@Santzmedia
@Santzmedia 11 ай бұрын
Usiache kutufuatilia Neema mengi mazuli yanakuja
@ekkymumba8566
@ekkymumba8566 Жыл бұрын
Awe kasoma hajasoma mie nampenda hivyo hivyo💯💯✅️
@Santzmedia
@Santzmedia Жыл бұрын
😂😂 umetisha sana,ila usiache kutazama SAN TZ MEDIA
@benjaminbill6727
@benjaminbill6727 Жыл бұрын
Huyu Jamaa nampenda buree 💯💯
@Santzmedia
@Santzmedia Жыл бұрын
Vzr Endelea kuufuatilia SAN TZ MEDIA
@PeterJackson-kk3by
@PeterJackson-kk3by 2 ай бұрын
Twambiani yuko wapi?
@AshuraMsangi-dl7ry
@AshuraMsangi-dl7ry 11 ай бұрын
Hongera kaka yetu makonda mungu akutunze na kukulinda katika uongezi wako. Malaika wa mungu wakutunze
@Santzmedia
@Santzmedia 11 ай бұрын
Endelea kufuatilia SAN TZ MEDIA pia usiache kubonyeza batani nyekundu iliyoandikwa subscribe
@NeemaJohn-q1r
@NeemaJohn-q1r 10 ай бұрын
Wasukuma hawanaga mbamba sababu niwasemakweli hawanatamaa hawatakidhuluma maana wahurumasana
@aminaomary5567
@aminaomary5567 11 ай бұрын
Asante mtangazaji kwa kutuhabarisha,tupe na viongozi wengine.Makonda hoyoooo
@Santzmedia
@Santzmedia 11 ай бұрын
Endelea kutufuatilia Amina ahsante kwakuwa nasi karibu sana
@Paulo-j1v
@Paulo-j1v 2 ай бұрын
Yani daaa mungu yu nawe
@ShilaEliasi
@ShilaEliasi 2 ай бұрын
Yup wapi
@ShilaEliasi
@ShilaEliasi 2 ай бұрын
@Nurdinimwakisale
@Nurdinimwakisale 4 ай бұрын
Nahis kuwa rahisi uyu jamaa😊
@AnnalukasMartine
@AnnalukasMartine 2 ай бұрын
Yu wapi kamanda wetu imn
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Жыл бұрын
Tumekumiss ukuu wa mkoa Dar 💯
@Santzmedia
@Santzmedia Жыл бұрын
👊👊👊💌
@LaurenceSanga-ft7ou
@LaurenceSanga-ft7ou Ай бұрын
Hata mm nataka sana awe lais wa tz ila asiwanyanyase wapinzan
@songeza
@songeza 2 ай бұрын
Kwan kusoma nn kasoma kweli sawa yuki wapi???? Elezeni mmechukua moyo jama wanavyochukuliwa watoto kutolewa vungo nae katolewa viungo achilieni mabaki azikwe kwa heshima zake. Daaaah inauma jamani inauma mtoto wa mwenzenu mmmmh hatari
@epimackjohn461
@epimackjohn461 3 ай бұрын
Inasaidia nini Historia hii kama binadamu wote wana historia za aina zao na ni zao ?
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Naomba no.ya Poul Makonda tafadhari
@chescomolla5557
@chescomolla5557 11 ай бұрын
Bashite
@costantineelisante8587
@costantineelisante8587 2 ай бұрын
Muguampe Maishamarefu bab yet po kristian makonda
@RamadhanMakunja-i5m
@RamadhanMakunja-i5m 2 ай бұрын
Kweli kizuli hakidumu😂😂😂😂😂😂
@Dorka12-n7b
@Dorka12-n7b 3 ай бұрын
Watu hutoka mbali but God's time is the best
@Santzmedia
@Santzmedia 3 ай бұрын
Hakika!!!?
@RamadhanMakunja-i5m
@RamadhanMakunja-i5m 2 ай бұрын
Mmmh! Hii historia inamaana gani? au inamaanisha nini?! mbona inanichanganya😅😅😅😅
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 ай бұрын
Kachoma mkaa Mbezi Luis??!!! Mtu ana digrii halafu achimbe mchanga miaka ile ya zamani?
@Santzmedia
@Santzmedia 5 ай бұрын
Kwani kuchimba mkaa ni nini??
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 ай бұрын
​@@SantzmediaMkaa huchomwa misituni na Mbezi Luis ni jijini Dar hakuna misitu ya kuchoma mkaa. Mchanga wala hakuchimba kwani miaka ile ukimaliza digrii kazi nje nje. Fake news
@jonsondsflosa5619
@jonsondsflosa5619 11 ай бұрын
Jaman tuache mahixtoria hixtoria haya tufunduxhane jinxigani ya utaftaji wa pexa nyingi mahixtoria haya wara hayatujengi cho,chote
@Santzmedia
@Santzmedia 11 ай бұрын
Swala lako zuri tunakuahidi kulifanyia kazi Johnson
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 3 ай бұрын
MUNGU mwema akutunze mwanangu
@jonsondsflosa5619
@jonsondsflosa5619 11 ай бұрын
Kuna baadhi ya vijiji wanajua bado raixi nyerere.
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 2 ай бұрын
😂😂😂
@JamesJuma-zy8cn
@JamesJuma-zy8cn 11 ай бұрын
Wasukuma inaonyesha ndo nguzo ya nchi hii
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 2 ай бұрын
Si utani ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 ай бұрын
Mtu amalize chuo kikuu halafu achome mkaa na kazi za ajabu miaka ile???!!! Hizi habari zina mashaka .Ina maana Mhe Gwajima alimzingizia mengineyo?
@KidawaRashid26
@KidawaRashid26 Ай бұрын
Tutaandamana
@CostaAntino
@CostaAntino 2 ай бұрын
Tupeukweli isiwe ya magufuli
@ashaali7154
@ashaali7154 Жыл бұрын
Vyeti feki hivyo acha kutudanganya.
@Santzmedia
@Santzmedia Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mutalemwamarcelventure.mae2058
@mutalemwamarcelventure.mae2058 11 ай бұрын
Kwani wanachuo na Wana siasa Wanapatahaje hizo pesa ijapokua hawajawai Fanya kazi siku nyingi jamanii twambiheni na çc
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 ай бұрын
Habari zingine ni feki
@JamesJuma-zy8cn
@JamesJuma-zy8cn 11 ай бұрын
Hata mm nataman kuwa mwanasiasa kama ww
@FarajaelibarikiLaunoni
@FarajaelibarikiLaunoni 2 ай бұрын
Iyo storia yako no ya uwongo kabisa
@prospergirimwa7120
@prospergirimwa7120 2 ай бұрын
Achauongo mjinga wewe,makonda hakuwahi soma chuo kikuu mwanza . Makonda amesoma chuo cha uvuvi nyegezi na dipoloma yake alichukua mbegani bagamoyo kozi ya taaluma ya samki baadae ndo akaenda arusha kutafuta digrii .
@jonsondsflosa5619
@jonsondsflosa5619 11 ай бұрын
Hii nchi nimaxkini burudani za nn
@karenstephen8738
@karenstephen8738 7 ай бұрын
Wewe kanjanja wahead unatuletea utopolo tupu
@kivyerabanduka1854
@kivyerabanduka1854 7 ай бұрын
Huu uongo
@peterbayo4677
@peterbayo4677 7 ай бұрын
Upishi
Mkasi | S10E13 With Paul Makonda
29:47
MkasiTV
Рет қаралды 14 М.
Azam TV - JPM azungumzia sakata la elimu ya Makonda
2:52
Azam TV
Рет қаралды 53 М.
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,3 МЛН
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 88 М.