#DULLYSANTZ#SANTZMEDIA#paulmakonda FUATILIA HISTORIA YA PAULMAKONDA ELIMU YAKE NA NYOTA NA UTAJILI WAKE
Пікірлер: 72
@neemanziku540311 ай бұрын
Nampe nda Makonda Eewe mwenyezi Mungu mpe wazfa mkubwa serikalin
@richardburengengwa699810 ай бұрын
Siku moja uyu mzee mweshimiwa atakuwa RAIS wainchi ya Tanzania mimi siyo Tanzania alakini nakuaga namfatilia sana, MUNGU akuwezeshe mzee
@Santzmedia10 ай бұрын
👊👊👊
@richardzakaria86695 ай бұрын
Siku moja atakuja kuwa rais makonda Mungu atupe uhai
@janechengula17332 ай бұрын
Makonda mungu akuvushe hata mimi unaniuma sanaa mungu akumbuke kazi yako akuponyee
@DaudiGavanage-c8v6 ай бұрын
Nakupenda bure makonda
@pauloipanga7881Ай бұрын
Huyu ni aina ya viongozi kama sokoine na nyerere mungu ampe maisha marefu huyu mwamba
@safiaothman51757 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU SUBHAANAHU WATA'ALA AMWONGOZE KATIKA MAJUKUMU YAKE ,AAMIIN YAA RABBAL 'ALAAMIIN.
@sarahkingunza151611 ай бұрын
Hongera makonda Mungu akutunze akupe uhodari zaid
@Santzmedia11 ай бұрын
Usiache kutufuatilia SAN TZ MEDIA
@marcokaroje89807 ай бұрын
Historian hii ya Makonda sijui kama iko sawa 1998 alitakiwa awe kidato cha pili lakini yeye alikuwa tayari amemali shahada ya awali na ameanza kufanya vibarua?Nina mdogo wangu wa umri kama wake 1998 alikuwa kidato cha pili umri wake ulikuwa miaka 16 yeye makonda alikuwa anasoma sekondari na wakati huo anachimba shahada ya kwanza chuo kikuu basis ndiyo maana anamwakilisha Rais wetu kama mnavyomwona ni MTU pekee katika nchi hii na Africa kwa ujumla
@aminaomary55675 ай бұрын
Mtani wangu ongera sana.Kumbe ni mwanangu wa kwanza ndio maana nakupenda sana.❤❤❤👍👍By Mngoni .
@Santzmedia5 ай бұрын
🤝👍
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulyeАй бұрын
mie siyo nabii inshaallah Paul makonda atakuwa Rais siku zijazo
@asanthlewanga39412 ай бұрын
Kwanini mnasoma historia yake au amefariki mnatuficha jamani mimi naumia sana
@AlliyHamisi-z4k2 ай бұрын
Jamani makonda mungu akuvushe kwenye atali
@CantiusBenedict2 ай бұрын
Jaman jamn mtuweke wazi yuko wapi Rc makonda? Nanikwanini mnatusomea historia fupi ya mkuu wetu wa mkoa?????
@neemanziku540311 ай бұрын
Nampenda makonda na ukoo wake wote mwaaa😍
@Santzmedia11 ай бұрын
Usiache kutufuatilia Neema mengi mazuli yanakuja
@ekkymumba8566 Жыл бұрын
Awe kasoma hajasoma mie nampenda hivyo hivyo💯💯✅️
@Santzmedia Жыл бұрын
😂😂 umetisha sana,ila usiache kutazama SAN TZ MEDIA
@benjaminbill6727 Жыл бұрын
Huyu Jamaa nampenda buree 💯💯
@Santzmedia Жыл бұрын
Vzr Endelea kuufuatilia SAN TZ MEDIA
@PeterJackson-kk3by2 ай бұрын
Twambiani yuko wapi?
@AshuraMsangi-dl7ry11 ай бұрын
Hongera kaka yetu makonda mungu akutunze na kukulinda katika uongezi wako. Malaika wa mungu wakutunze
@Santzmedia11 ай бұрын
Endelea kufuatilia SAN TZ MEDIA pia usiache kubonyeza batani nyekundu iliyoandikwa subscribe
@NeemaJohn-q1r10 ай бұрын
Wasukuma hawanaga mbamba sababu niwasemakweli hawanatamaa hawatakidhuluma maana wahurumasana
@aminaomary556711 ай бұрын
Asante mtangazaji kwa kutuhabarisha,tupe na viongozi wengine.Makonda hoyoooo
@Santzmedia11 ай бұрын
Endelea kutufuatilia Amina ahsante kwakuwa nasi karibu sana
@Paulo-j1v2 ай бұрын
Yani daaa mungu yu nawe
@ShilaEliasi2 ай бұрын
Yup wapi
@ShilaEliasi2 ай бұрын
❤
@Nurdinimwakisale4 ай бұрын
Nahis kuwa rahisi uyu jamaa😊
@AnnalukasMartine2 ай бұрын
Yu wapi kamanda wetu imn
@zainabubalama8869 Жыл бұрын
Tumekumiss ukuu wa mkoa Dar 💯
@Santzmedia Жыл бұрын
👊👊👊💌
@LaurenceSanga-ft7ouАй бұрын
Hata mm nataka sana awe lais wa tz ila asiwanyanyase wapinzan
@songeza2 ай бұрын
Kwan kusoma nn kasoma kweli sawa yuki wapi???? Elezeni mmechukua moyo jama wanavyochukuliwa watoto kutolewa vungo nae katolewa viungo achilieni mabaki azikwe kwa heshima zake. Daaaah inauma jamani inauma mtoto wa mwenzenu mmmmh hatari
@epimackjohn4613 ай бұрын
Inasaidia nini Historia hii kama binadamu wote wana historia za aina zao na ni zao ?
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Naomba no.ya Poul Makonda tafadhari
@chescomolla555711 ай бұрын
Bashite
@costantineelisante85872 ай бұрын
Muguampe Maishamarefu bab yet po kristian makonda
@RamadhanMakunja-i5m2 ай бұрын
Kweli kizuli hakidumu😂😂😂😂😂😂
@Dorka12-n7b3 ай бұрын
Watu hutoka mbali but God's time is the best
@Santzmedia3 ай бұрын
Hakika!!!?
@RamadhanMakunja-i5m2 ай бұрын
Mmmh! Hii historia inamaana gani? au inamaanisha nini?! mbona inanichanganya😅😅😅😅
@hashimchaoga95665 ай бұрын
Kachoma mkaa Mbezi Luis??!!! Mtu ana digrii halafu achimbe mchanga miaka ile ya zamani?
@Santzmedia5 ай бұрын
Kwani kuchimba mkaa ni nini??
@hashimchaoga95665 ай бұрын
@@SantzmediaMkaa huchomwa misituni na Mbezi Luis ni jijini Dar hakuna misitu ya kuchoma mkaa. Mchanga wala hakuchimba kwani miaka ile ukimaliza digrii kazi nje nje. Fake news
@jonsondsflosa561911 ай бұрын
Jaman tuache mahixtoria hixtoria haya tufunduxhane jinxigani ya utaftaji wa pexa nyingi mahixtoria haya wara hayatujengi cho,chote
@Santzmedia11 ай бұрын
Swala lako zuri tunakuahidi kulifanyia kazi Johnson
@mungholomakalanga89583 ай бұрын
MUNGU mwema akutunze mwanangu
@jonsondsflosa561911 ай бұрын
Kuna baadhi ya vijiji wanajua bado raixi nyerere.
@DudddyWhyCant2 ай бұрын
😂😂😂
@JamesJuma-zy8cn11 ай бұрын
Wasukuma inaonyesha ndo nguzo ya nchi hii
@DudddyWhyCant2 ай бұрын
Si utani ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@hashimchaoga95665 ай бұрын
Mtu amalize chuo kikuu halafu achome mkaa na kazi za ajabu miaka ile???!!! Hizi habari zina mashaka .Ina maana Mhe Gwajima alimzingizia mengineyo?
@KidawaRashid26Ай бұрын
Tutaandamana
@CostaAntino2 ай бұрын
Tupeukweli isiwe ya magufuli
@ashaali7154 Жыл бұрын
Vyeti feki hivyo acha kutudanganya.
@Santzmedia Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mutalemwamarcelventure.mae205811 ай бұрын
Kwani wanachuo na Wana siasa Wanapatahaje hizo pesa ijapokua hawajawai Fanya kazi siku nyingi jamanii twambiheni na çc
@hashimchaoga95665 ай бұрын
Habari zingine ni feki
@JamesJuma-zy8cn11 ай бұрын
Hata mm nataman kuwa mwanasiasa kama ww
@FarajaelibarikiLaunoni2 ай бұрын
Iyo storia yako no ya uwongo kabisa
@prospergirimwa71202 ай бұрын
Achauongo mjinga wewe,makonda hakuwahi soma chuo kikuu mwanza . Makonda amesoma chuo cha uvuvi nyegezi na dipoloma yake alichukua mbegani bagamoyo kozi ya taaluma ya samki baadae ndo akaenda arusha kutafuta digrii .