#PART

  Рет қаралды 117,828

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

#PART 1: MCHUNGAJI HANANJA - ''KUZAA SIO KIGEZO CHA NDOA, NILIOA NIKIWA NA MIAKA 40'' | HARD TALK
KWENYE HARD TALK ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu nchini Lilian Mwasha amezungumza na Mchungaji Richard Hananja ambaye ameeleza mengi juu ya maisha ya ndoa na mahusiano huku akiyajibu maswali mazito kama vile, umri wa mwanamke/ mwanaume kuoa ama kuolewa pia amejibu juu ya kupishana umri kwa wanandoa ni sahihi au sio sahihi?
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 113
@globaltv_online
@globaltv_online 2 жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@LiveTrader5686
@LiveTrader5686 2 жыл бұрын
Ma yt studio open kar ka dako ga ok
@solangebagal149
@solangebagal149 2 жыл бұрын
Unaweza Ku zarau mtu kumbe haujui kinacho kuwa ndani kwake past hongera sana🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌💪💪
@zenassylvester125
@zenassylvester125 2 жыл бұрын
Yani Mchungaji unavyoshusha vifungu vya biblia ni raha sana, hapa ndipo watu wajue Biblia ni mfumo wa maisha ya DUNIANI na MBINGUNI unapata kila kitu yani ni ful package. ... tusome Biblia tuzidishe viwango vya hekima na uchaji MUNGU. Asante Hananja na Mwasha. Mungu wa mbinguni awalinde
@vickydan2869
@vickydan2869 Жыл бұрын
Amen
@novatusmataba-bg3rt
@novatusmataba-bg3rt Жыл бұрын
Napenda maswali ya dada na vile mchungaji anavyojibu.hakika najifunza zaidi🥰
@marywairimu5682
@marywairimu5682 2 жыл бұрын
Muchaji ajengewe bangooo......he always speak the truth....in and out i wish all postar would be like him .......Hua unafunza vizur sana mpaka mtu anaelewa
@milliardere9177
@milliardere9177 Жыл бұрын
Wanasifiwa wakisha Kufa
@bryfrancis7879
@bryfrancis7879 2 жыл бұрын
One of the Best Interviews alizowahi fanya Mchugaji Hananja,Congrats kwako dada Lily,Mungu akaendelee kukuogoza na kukubariki.🙏
@mtawali2002
@mtawali2002 Ай бұрын
Lilian ametumia Kiswahili chetu cha Kenya. Mungu amenionekania.
@safiahassan6121
@safiahassan6121 2 жыл бұрын
Mchungaj ana majibu yanayoeleweka na lily unauliza maswali mazuri sana👏
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 2 жыл бұрын
It’s very easy to listen to this man, he is very easy to talk to also
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 2 жыл бұрын
MCH RICHIE BILLIONAIRE mzee Asante kwa mafundisho yako mazuri hususani kupitia mifano ya maisha yako(kuishi kwako ni kitabu tosha)
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 2 жыл бұрын
Napenda mazungumzo yako mchungaji. Naangalia kipindi hiki nikiwa Scandinavia.
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 2 жыл бұрын
MY PASTOOOR AND FRIEND RICHYYY NIMEFURAHII KUKUONA KWENYE TALK NA MY FRIEND LILIAN. NIMEONA GHAFLA ON YOU TUBE BAADA YA KUMWANGALIA DR ELIE...NIKASEMA LET ME LISTEN TO IT TOO. GOD BLESS YOU BOTH
@mayungaagnes5660
@mayungaagnes5660 2 жыл бұрын
Amina.Kipindi kizuri na kinamafundusho Mungu AWATUNZE wapendwa ❤️❤️❤️
@marymachibya630
@marymachibya630 2 жыл бұрын
The most realistic man I’ve seen 🙌🏾🙌🏾
@mako331
@mako331 2 жыл бұрын
This Pr God bless him abundantly, he’s very really and direct to the point, sio mnafiki, tunamuhitaji US huyu
@Tonyezekiel639
@Tonyezekiel639 Жыл бұрын
Baba anaongea kweli ❤nmejifunza mengi shukrani Mchungaji 😊
@miriamumbwilo164
@miriamumbwilo164 2 жыл бұрын
He is so realistic 🙏
@maishakisunzu391
@maishakisunzu391 Жыл бұрын
Sema tu Lilian Mwasha hautakiwi kuwa kufanya kazi platforms hizo, unatakiwa kufanya kazi na platforms za kimataifa kama BBC, VOA, DW n.k. You are so so so talented Mwasha hakuna mwingine tz. Interviews zako lazima zimuongezee mtu akili
@hosianathomas6309
@hosianathomas6309 2 жыл бұрын
Halleluya Mungu wa mbinguni awabariki sana sana, mnatubariki sana
@kizadina6448
@kizadina6448 2 жыл бұрын
Jamani uyo baba Mungu hahendelea kumlinda ❤❤
@alearn2714
@alearn2714 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana..nakufuatilia sana siku zote nikiwa qatar.
@Coachsamwel
@Coachsamwel 2 жыл бұрын
Daah! Huyu pastor balaa unajifunza huku unacheka jaman😂... Barikiwa Hananja na Lilian
@fatufatu5754
@fatufatu5754 2 жыл бұрын
Nimependa kwakweli kumbe hizo roho ni za kustawi Asante baba
@eliwitnessjoseph4350
@eliwitnessjoseph4350 2 жыл бұрын
Kwakwel mchungaji hananja, unasema mambo makubwa , na yanatibu maisha yetu!
@JacqueJoseph
@JacqueJoseph 6 ай бұрын
Mungu akubariki Mshungaji
@aureliayuktankabebwa5066
@aureliayuktankabebwa5066 2 жыл бұрын
Sis Lily,Asante kwa hardtalk ya Leo nimejifunza vingi sana ✍🏽🙏🏾,yaani Imenitouch sana tena sana .UBARIKIWE SANA NA WATU UNAOTULETEA WENYE HEKIMA WANATUFUNZA SANA SISI MABINTI🙏🏾.MUNGU ATUSAIDIE KUWA WATU SAHIHI KWA WATU SAHIHI NA KUPATA WATU SAHIHI🙏🏾.
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 2 жыл бұрын
Ahsante sana dada pamoja na mchungaji kwa Elimu hii
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji kwa elimu kubwa, hakika tunasaidika sana.
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 2 жыл бұрын
Sijawahi kuachwa ninagopa sana kuachwa.mungu amenipauwezo kwa kusoma red flag na kuamini my instict.nimerudisha posa tatu ya nne ndio nikaolewa naye lakin wale wote watata niliowaacha nilikuwa sahihi kabisa
@samwelikahema2090
@samwelikahema2090 Жыл бұрын
Amen mchungaji wangu asante kwa somo
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 2 жыл бұрын
Nakukubali mchungaji Hananja bb Mungu akupe maisha marefu 😘
@SalumuHasan-us6kk
@SalumuHasan-us6kk Жыл бұрын
Genius hanajaaa
@dhahiriwaseka1526
@dhahiriwaseka1526 Жыл бұрын
Nmeipendaaa saaan hii interview😋
@olivabutoyi434
@olivabutoyi434 2 жыл бұрын
This was so nice, blessings Mchungaji Hananja 🙌 🙏. And kudos Mwasha kwa kutuletea insightful people 👏
@SophiaPatson
@SophiaPatson 7 ай бұрын
Nashukulu nimepata kitu hapo Roho ya kustawi
@olivaerasto6669
@olivaerasto6669 2 жыл бұрын
Kwa kiha tunasema uwumusi ni leo.kutachimbika💜💜💜
@maryschroeder521
@maryschroeder521 2 жыл бұрын
Oh lord what i was waiting for ❤❤❤❤❤
@mr.kaporo2479
@mr.kaporo2479 Жыл бұрын
God bless poster
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Bahati nakataa..,sisi watu wa Mungu hatukutani kwa bahati.,tunakutana kwa neema na mapenzi ya Mungu. Nikikutana na mtu ni neema ya Mungu siyo bahati. Waachien wa dunia waendelee na hilo neno lao la kila kitu ni bahati...,watu wa Mungu tusonge kwa neema na mapenzi ya Mungu. Ni maneno mawili tofauti hata kwa maana.
@ninenine7169
@ninenine7169 2 жыл бұрын
Neema ni jambo zuri(baraka) kutoka kwa Mungu, Na bahati ni jambo zuri linalopatikana kutoka kwa Mungu.
@marendegodispansary4911
@marendegodispansary4911 2 жыл бұрын
Mwamba huyu hananja anapiga nondo za kiroho na binafsi namuelewa
@eliachalamila2259
@eliachalamila2259 2 жыл бұрын
Bahati ndiyo neema hiyo. Usitutoe ktk reli wewe
@rahmaabdalla7643
@rahmaabdalla7643 2 жыл бұрын
Shukran sana,
@oscanyakunga
@oscanyakunga 2 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana😍😍😍😍😍😍
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 жыл бұрын
very bright 👊
@AgapeandGlorySingersTz
@AgapeandGlorySingersTz 6 ай бұрын
Amina
@isaackchumba8655
@isaackchumba8655 Жыл бұрын
I love this hard talk
@mensahmansour9408
@mensahmansour9408 2 жыл бұрын
Mzee anaakili sana
@Thatgurl-l8n
@Thatgurl-l8n 2 жыл бұрын
Nakuelewa sana Mchungaji 😢 ubarikiwe😊
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 2 жыл бұрын
Ubarkiwe sana babaangu
@saraphinalupondo1115
@saraphinalupondo1115 2 жыл бұрын
Love baba nimekuelewa sana
@milliardere9177
@milliardere9177 Жыл бұрын
Sister ubarikiwe hujajicubuwa
@Bbwaoy
@Bbwaoy 2 жыл бұрын
Ni kweli aise. Mwanaume akitoa kitu huwa ana ambatanisha na maneno machafu moyoni mwake. Laiti wange yasikia wasinge vipokea.
@kalekela-j1e
@kalekela-j1e Ай бұрын
UNAWEZA KUMPENDA MTU KWA KUFUATA MISINGI IFUATAYO: Katika somo la Theolojia, ili umpende mtu, zipatikane hatua 3:~ 1/ Mtambue 2/ Mpende; 3/ Mfuate
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 2 жыл бұрын
Hivi ndio vipindi vya kusikiliza
@edwarddaud6785
@edwarddaud6785 2 жыл бұрын
Leta.part 02 mwasha
@solangebagal149
@solangebagal149 2 жыл бұрын
Aki mimi ni binti Ila nitowa shauri nyingi katika hii interview
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 2 жыл бұрын
Nakupenda Sana 💋💋💋
@ambrosmtupili4668
@ambrosmtupili4668 2 жыл бұрын
More inspired
@eliwitnessjoseph4350
@eliwitnessjoseph4350 2 жыл бұрын
Baba unahekima sana, mm napenda kuuliza maswali hayo, alijiandaa kabla au amekutana nayo hapo? Maan ni maswali magumu lakin father anapiga tu.
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 жыл бұрын
Mchungaji ana akili ndefu sana, Mungu amtunze. Tuletee part 2 haraka
@barakamatovu4277
@barakamatovu4277 2 жыл бұрын
Hii jamaa ni sheeda. Namkubali sn
@user-exauceimani
@user-exauceimani Жыл бұрын
Amen
@lucyemichael7814
@lucyemichael7814 2 жыл бұрын
Asante Da Lilian🙏🏻🥰
@peterkichochi7510
@peterkichochi7510 2 жыл бұрын
Bora turudi KWENYE Agano la Mungu. Haya mambo ya 50 kwa 50 yatawamaliza hichi kizazi Hakina hata msahuri WA maana..kipofu hawezi kumiongoza kipofu mwenzake.
@issayasosolo6033
@issayasosolo6033 Жыл бұрын
Wachungaji Kama huyu kaniisa huwa haliwataki linawalima barua ya kuachishwa huduma yake, Hapo ndipo Mungu anawaumbua mtumishi anatoa masomo yenye kufundisha jamii, Wàcha makanisa yaongozwe na wapenda sadaka na kudema beans asifiwe na ibada ndiyo imeisha hapo!
@beckasmile762
@beckasmile762 Жыл бұрын
Uyu dada ni kama ametumia kipndi kuelezea situation zake binafsi
@elizaberthpius4511
@elizaberthpius4511 2 жыл бұрын
May God bless my pastor 🙌😍
@bmdele5816
@bmdele5816 Жыл бұрын
Mtu simple, Maneno simple lakini mazito na ya thamani kubwa
@shakiraally2821
@shakiraally2821 2 жыл бұрын
Asanteee Kwa somo
@victorphilibert1629
@victorphilibert1629 2 жыл бұрын
Umeona ee
@pendomartin3504
@pendomartin3504 2 жыл бұрын
Amen 🙌🙌
@vivianbampikya4484
@vivianbampikya4484 2 жыл бұрын
Aisee ninasubiri part 2...ni moto
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Lily ‘ mimi pia nataka baba ‘ jamani Kuna vitu vigumu sana kwenye haya mambo.
@leticiaharry8229
@leticiaharry8229 2 жыл бұрын
Nimejifunza kwenye ustawi
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 2 жыл бұрын
Mtangazaji tatizo we mwenyewe hujikubali maana hata kope ulizopewa na mungu umeona hazifai ukaweka zakwako
@Mfundo272
@Mfundo272 Жыл бұрын
Watangazaji Hamna maswali Wala topic nyingine zaidi ya mahusiano ( mnakwama wapi)
@melisamasawe4565
@melisamasawe4565 2 жыл бұрын
Part 2 iko wapi sasa mnakera
@simonmollel2727
@simonmollel2727 Жыл бұрын
Nilikuwa simwelewi Mchg Hananja lakini sasa naanza kumwelewa
@kilimajohn5600
@kilimajohn5600 2 жыл бұрын
Noma sana hii 😂😂😂😂
@mamydidaammar6660
@mamydidaammar6660 Жыл бұрын
😂 Kazi kweli kweli
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 2 жыл бұрын
Mtangazaji huwa unabia.una.maneno.mengi.mnooo unaboa
@soplisjoachim5884
@soplisjoachim5884 Жыл бұрын
Wewe mama kila mada unazungumzia mahusiano tu ? Hebu uliza maswali yanayohusu topics nyingine bwana ........
@farida7645
@farida7645 2 жыл бұрын
Yaani humu Moto utawaka💃💃💃❤️😘
@Fabio-qx2ns
@Fabio-qx2ns 2 жыл бұрын
Sababu ya kuoana ni kuzaa ndoa bila kuoana wakati hutaki kuzaa ni uzinifu
@lovenesslukas5360
@lovenesslukas5360 2 жыл бұрын
Uwiiiiiiiiiiiii
@marryathumani1398
@marryathumani1398 Жыл бұрын
Baba amemeza mistari mpka Raha.... Yaani biblia imekaa kichwani... Mafundsho mazuri Sana
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kama nyau ana mume lakini hajui kaolewa umenichekesha baba mchungaji
@greenermichael2057
@greenermichael2057 2 жыл бұрын
HIV hamjagundua MCH Hananja Ni hazina hapa nchini kwetu? Jamaa anaongea AMENYOOKA mno
@KoimereckjumenneJumanne
@KoimereckjumenneJumanne Жыл бұрын
Huyu hananja ajengewe sanamu yake
@jacklinenziku4865
@jacklinenziku4865 2 жыл бұрын
😘😘😘
@HabibuHababu
@HabibuHababu 5 ай бұрын
Et mchungaji samahan Nina swali apa eti kupata Dem Kwa umri WA miaka 20 ilikujipoona kuepukana na his zakutaman taman s ni saw kufanya ivyo
@mohamedaden8483
@mohamedaden8483 2 жыл бұрын
Mi mwenyewe nilioa nikiwa na Miata 40
@abdulyayubu-jg5lw
@abdulyayubu-jg5lw Жыл бұрын
Wewe mchungani Yani wewe nihatali Sana
@shakiraally2821
@shakiraally2821 2 жыл бұрын
Uyu mwenzangu 🤣🤣🤣🤣🤣
@ayubuamli3348
@ayubuamli3348 Жыл бұрын
Hapo kwenye kushika mzigo na kukuingizia 😂😂😂
@balljmushi9599
@balljmushi9599 2 жыл бұрын
Mmekosea,,kutokutaja---mapepo ya ngono. Malango hayooo,,,
@madeleineniyoyankijije5332
@madeleineniyoyankijije5332 Жыл бұрын
mchugaji huu awekewe ulinzi wakutosh
@leonardsolomon8458
@leonardsolomon8458 Жыл бұрын
Mananja 😂😂😂😂 kubatuana.
@kalekela-j1e
@kalekela-j1e Ай бұрын
Lakini hata hivyo unaweza kupoteza au usimfahamu ambaye ni chaguo lako kwa Ujinga, tamaa na Roho ya shetani ukaja kuangukia pua
@mwansi
@mwansi 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri saaana
@alphashayo2323
@alphashayo2323 2 жыл бұрын
Bilashaka huyu Mwandishi/Mtangazaji yuko too emotional with stress zake binafsi kutokana na kuumia au kuwa majeruhi wa maisha ya ndoa yake..very poor Unprofessional.
@vickydan2869
@vickydan2869 Жыл бұрын
Yes kitu kama hicho
@catherinesembeka1417
@catherinesembeka1417 Жыл бұрын
Ndoa Haina mwenyewe msomi na mbumbumbu wote chet kimoja . Chezea ndoa ww.
@jeannettenyabitanga9999
@jeannettenyabitanga9999 Жыл бұрын
Mucungaji ubalikiwe
@saidmajeba9791
@saidmajeba9791 2 жыл бұрын
Utaniona mfupi kitandani 😂😂 Ufupi wa maandamano😂😂
@qualiamaxwell6305
@qualiamaxwell6305 2 жыл бұрын
She’s desperate 😮😅
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН
🔴#LIVE:ACHA KUTEMBEA NA HABARI MBAYA NA. MCH. RICHARD HANANJA
1:05:02
Mchungaji Hananja akiwa na Vijana-Morogoro
45:25
KKKT-DAYOSISI YA MOROGORO
Рет қаралды 808
JCM MERCIFUL SUNDAY || THEME: ON THIS ROCK SEASON 2
muthee kiengei
Рет қаралды 7 М.
MCHUNGAJI HANANJA: HAKUNA MTU ALIYEANZA NA MWANAMKE MMOJA HUYO MUONGO LAZIMA UNAPAPASAPAPASA KWANZA
59:37
Mchezakwao “mchezakwaoshow” Startv
Рет қаралды 137 М.
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН