MCH HANANJA ATOA NENO KUHUSU MANDAMANO YA CHADEMA, WATU KUPOTEA NA TABIA ZA KI "P DIDDY KWA DIAMOND"

  Рет қаралды 13,654

SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)

SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)

Күн бұрын

HUYU HAPA MCHUNGAJI HANANJA AKIZUNGUMZIA KUHUSU MAANDAMANO NA TABIA MBAYA ZA KIJAMII ZETU SIKU HIZI KUSABABISHA MAJANGA KWENYE JAMII

Пікірлер: 24
@RamadhanMbaraka-o3r
@RamadhanMbaraka-o3r 4 ай бұрын
Umetoa.ujumbe.mungu.akubaliki
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 ай бұрын
Kanisa ni hospitali ni kweli❤
@sylvesterkalagila4459
@sylvesterkalagila4459 4 ай бұрын
Mmmh! MCHUNGAJI HUYU ASIKILIZWE SIO KICHAA! Kauli zake ziko urari-balanced. Hamung'unyi maneno wala hatafuti yakunena/kuzungumza.
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 4 ай бұрын
HUYU JAMAA ALIPASWA KUWA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM
@samxx411
@samxx411 4 ай бұрын
Mie muislam ila huyu mzee mara nyingi husema ukweli tofauti na wengine
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 4 ай бұрын
Huyu jamaa namkubali sana Wakosto wange mwelewa huyu jamaa wange kuwa na kafaida
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 4 ай бұрын
Kweli tunaona vijana wengi wasomi ila maisha hawana , hivyo kuna wakati watachoka maana wana waswali mengi yasiyo na mtu wa kuyajibu. POINT MUHIMU.
@nozesybafikege8417
@nozesybafikege8417 4 ай бұрын
Uko sahihi Ndugu Ubarikiwe
@jumasaghida5492
@jumasaghida5492 4 ай бұрын
Safi sana mch
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 ай бұрын
Huyu ni mchungaji wa kweli🎉❤
@IsmailMjeshi-y6d
@IsmailMjeshi-y6d 4 ай бұрын
Namkubali sanaaaaaa, anasema shetwaaaaniii😅😂😂😂
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 4 ай бұрын
Mchungaji msema kweli
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 4 ай бұрын
Ukweli mchungu
@rabaniAmri
@rabaniAmri 4 ай бұрын
Nikweli sahihi kambisa❤
@NdayishimiyeLookman-g3w
@NdayishimiyeLookman-g3w 4 ай бұрын
Kweli kbc
@suleimansamweli7316
@suleimansamweli7316 4 ай бұрын
Shetwani😂😂😂😂😂
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 4 ай бұрын
Points 👉
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 4 ай бұрын
Sijawai kutoa kasolo kwa neno lako humng^nyi maneno
@simonnjovu586
@simonnjovu586 4 ай бұрын
Rum. 13:1-mamlaka ni mfumo na siyo mtu. Serikali inatakiwa kuitii Katiba iliyopo kwa wakati huo hata kama kiongozi mkuu hakubaliani na baadhi ya mambo yaliyomo humo ni lazima aitii. La sivyo kufanyika mabadiliko ya Katiba na siyo kutumua amri zake.
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 4 ай бұрын
Miaka ile kulikuwa na maandamano Julai mosi kila mwaka al-maarufu kama matembezi ya mshikamano. Tulikuwa tunahamasishwa tuandamane. Leo mambo yamebadilika tukitaka kuandamana tunakatazwa!
@germanusmtono6352
@germanusmtono6352 4 ай бұрын
Fikra tunduizi
@AllyUliza
@AllyUliza 4 ай бұрын
Viongozi wachukuwe madini hayo.
@yassinm69
@yassinm69 4 ай бұрын
Tatizo mhalifu ukimpa upenyo wa kupita atakushambulia .
@MakuoeJafary
@MakuoeJafary 4 ай бұрын
Nikukumbushe kilichosababisha wasitishiwe maandamano ni Neno Samia masti go
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
MCH. HANANJA AMUUMBUA KIBOKO YA WACHAWI NA WACHUNGAJI WA MAFUTA YA UPAKO
24:52
SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Рет қаралды 20 М.
MCHUNGAJI HANANJA: HAKUNA MTU ALIYEANZA NA MWANAMKE MMOJA HUYO MUONGO LAZIMA UNAPAPASAPAPASA KWANZA
59:37
Mchezakwao “mchezakwaoshow” Startv
Рет қаралды 137 М.
MCHUNGAJI HANANJA AMPA ONYO MASANJA KUISHI NA MWANAMKE MSALITI
16:56
SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Рет қаралды 112 М.
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН