MPOKI AVUNJA WATU MBAVU, KILA MTU HOI, KWELI HUYU BABA LAO..

  Рет қаралды 1,478,486

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

MPOKI AVUNJA WATU MBAVU, KILA MTU HOI, KWELI HUYU BABA LAO..
Mchekeshaji maarufu Bongo, Mpoki, anawavunja watu mbavu kwa kufanya stand up comedy yake katika ukumbi wa Regency Hotel Uliopo Mikocheni jijini Dar..
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255676229628)
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 622
@silverman6930
@silverman6930 4 жыл бұрын
Mpoki 😂😂😂😂🔥🔥🔥🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@kingbidder
@kingbidder 4 жыл бұрын
Ebwana mzimaa.. Tuna group la whatsaap hapa UK nione dm +447719640126 ni ku add.. Karibu
@silverman6930
@silverman6930 4 жыл бұрын
King Bidder cool bro add me 07412965765 🙏
@hassanrabii1102
@hassanrabii1102 4 жыл бұрын
Kwiiiiikwiiiikwiii
@danielcharles2076
@danielcharles2076 4 жыл бұрын
Tbc zilipendwa
@edisonrichard5049
@edisonrichard5049 4 жыл бұрын
Mwikailege
@albagreat5225
@albagreat5225 3 жыл бұрын
Aisee Mpoki nakukubali sana Mtani lakini angalia umeshavunja sana watu mbavu zao usije ukashtakiwa!😂😂
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 4 жыл бұрын
Mpoki noma sana.unajua mwanangu.comedy imefika.
@barnabalameck5902
@barnabalameck5902 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni fireeeee!!
@mastermindmastermind9046
@mastermindmastermind9046 4 жыл бұрын
Mpoki popote ulipo chukua hata bia tano nalipaaa,u made my day ,ur living legend
@dullazz233
@dullazz233 3 жыл бұрын
Umevaa kama wachezaji wa yanga ongera umejua kuvaa suti kixsa
@adensauka9887
@adensauka9887 2 жыл бұрын
💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻 jamaa wekwel kidali yan umeuwa mbaya mzee wangu mungu azid kukzidishia broo ?
@ericndikumana1504
@ericndikumana1504 11 ай бұрын
mpoki mimi ninatamani kukuleta inchi ya BURUNDI you're the best in stand up comedy i've ever seen
@rehemajuma9733
@rehemajuma9733 2 жыл бұрын
Tumeokoka tunampenda yesu na windohek juu hallelujah
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 Жыл бұрын
ni zawadi ...
@michaelgermany173
@michaelgermany173 4 жыл бұрын
Mpokiii ni nomaa anajua kweliii
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 4 жыл бұрын
Uko vizuri mpoki endelea hivyo hivyo
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
Hongera mpoki umejitahidi sana,nimeweka sana ninamaana kwamba umeweza std comedy si mchezo ni ngumu ila umeweza.👍🤝
@samwelysauly2875
@samwelysauly2875 4 жыл бұрын
😋
@allyhassan9718
@allyhassan9718 4 жыл бұрын
Mpiki safi
@muddykijo4576
@muddykijo4576 4 жыл бұрын
nimekubali sana mppok
@AbdulKarim-po5qg
@AbdulKarim-po5qg 2 жыл бұрын
Hhhhhhh huyu jama ni fundiiii wa kuchekesha
@queenandchill91
@queenandchill91 4 жыл бұрын
Mpoki ww pekee ndo the best kwny stand up comedy Tz...💯Keep it up
@hamadkombo9999
@hamadkombo9999 4 жыл бұрын
Unajua mpoki mimi cjaona kichekesho wewe unamaelezo mengi tu huna jipya na ao wapofu wa kucheka wana kunenepesha jichwa tu potea rudi kijijini kajifunze
@fatumakhalid2471
@fatumakhalid2471 3 жыл бұрын
anaweza mno 😘😘
@abubakarkhamishaji2849
@abubakarkhamishaji2849 2 жыл бұрын
kuna mc madevu kumbukeni
@salimsefu5710
@salimsefu5710 4 жыл бұрын
Mpoki super star ,weye ni🔥🔥🔥
@danielmpokasye6108
@danielmpokasye6108 4 жыл бұрын
Talented comedian. Mpoki fundiii.
@kipipakipipa5050
@kipipakipipa5050 4 жыл бұрын
Sana.
@ringoaskali7625
@ringoaskali7625 4 жыл бұрын
Dah hiyo ndo nikikua nasubiri mpoki baba lao yoh nimefurahi sana all the way from capetown
@isackezekiel2478
@isackezekiel2478 4 жыл бұрын
Uko vizur mpoki hongera kwako
@haidarykalyango8386
@haidarykalyango8386 4 жыл бұрын
Mpoki unaweza big up
@tendamutende7481
@tendamutende7481 4 жыл бұрын
You are the best brother Mpoki in east African comedy
@swalehekhoja1369
@swalehekhoja1369 4 жыл бұрын
Mimi nakukubali sana mpoki nakuamini toka mwanzo naomba uendelee
@uwasevalantine9206
@uwasevalantine9206 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄 mpoki ilike you
@sanga_the_actor
@sanga_the_actor 4 жыл бұрын
Kwasasa umekuwa no moja kwangu kama the best comedian
@josephmanyama435
@josephmanyama435 4 жыл бұрын
sindiria 3 duuuu hatari mpoki ujue wewe ni fireeeee
@chekeniaanyigulile4782
@chekeniaanyigulile4782 4 жыл бұрын
Mpoki mbona saizi umeaza kuwa mweupe🤗🤗🤗
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 жыл бұрын
Mpoki umetisha 👏
@penelopejimmy3009
@penelopejimmy3009 4 жыл бұрын
Haki ya Mungu ur such a comedian....! 🙌🙌🙌🙌🙌
@chudabad6539
@chudabad6539 4 жыл бұрын
Penelope Jimmy mambo
@fredricksakagabo5198
@fredricksakagabo5198 4 жыл бұрын
Wewe nihatari kabisa 🔥
@shamsimansury9172
@shamsimansury9172 4 жыл бұрын
Nakubali sana mpoki bonge la stand up comedy kama unamkubali mpoki gonga like
@sorwasoudy6256
@sorwasoudy6256 4 жыл бұрын
Nimeipenda show
@atikombogolo2356
@atikombogolo2356 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🙌🙌🙌Unashuka kwenye gari unapigwa Kibao unakumbuka siraha ipo kwenye gari wapi na wapi tena🤣🤣🤣😂😂😂😂
@husnahida5209
@husnahida5209 4 жыл бұрын
Uke wez
@deomwinuka1957
@deomwinuka1957 2 жыл бұрын
Daaaa!!!!!! Umetisha sana
@godympole367
@godympole367 4 жыл бұрын
Mpoki Umetisha Sana
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 4 жыл бұрын
Felicitation sana Mpoki, ulifanya bien👍🏾😁Respect from Congo🇨🇩
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 4 жыл бұрын
Genius of all time,mpoki hujawahi niacha salama😂🏁
@amidahfadhily7180
@amidahfadhily7180 3 жыл бұрын
Hhhh
@amidahfadhily7180
@amidahfadhily7180 3 жыл бұрын
Fireeee
@abigaelbukuru273
@abigaelbukuru273 4 жыл бұрын
Babaaaa imekataa😂😂😂😂😂😂😂
@atikombogolo2356
@atikombogolo2356 4 жыл бұрын
Hia My Wife shenzi kabisa aiseee😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@josephshangarima8005
@josephshangarima8005 4 жыл бұрын
Ahsante mpoki piga kazi. Yani nimecheka mpak bac
@ramadhanmbudo1596
@ramadhanmbudo1596 4 жыл бұрын
Naami hapa kuna watu walicheka hadi wakashindwa kuendelea na show.Mpoki anajua bhana🔥🔥🔥
@generosennko8343
@generosennko8343 2 ай бұрын
Mpoki hongera. Nimekipenda kipindi chako. Nimecheka sana. Sio tuu vichekesho bali umefanikiwa kuwashawishi wapenzi kuweza kufikia hatua ya kukata shauri kufunga ndoa. Pia kuwapa maua yao waliokwisha dumu ktk ndoa. Tunza kipaji chako. Una nafasi nzuri kwenye jamii yako
@emmanuelsalustianus3413
@emmanuelsalustianus3413 4 жыл бұрын
Aiseee kusema ukweli bila unafki mpoki unajua ,,keep it up utafika ndoto zako kutumia kipaji chako
@khalifaabdallah6078
@khalifaabdallah6078 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀 umenichekesha sana wallah Duuh mpoki eeeee we noma kulekiiiii
@captendunga1392
@captendunga1392 4 жыл бұрын
Hapo ndo anaiishi ndoto yake yani keshaifikia sasa unataka aweje tena zaid ya hivo alivo.
@josephmohagachi5867
@josephmohagachi5867 2 жыл бұрын
Mpoki popote ulipo mungu akubariki jamani nimecheka sna mbavu
@janeongala6684
@janeongala6684 2 жыл бұрын
Nakupenda mpoki
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 3 жыл бұрын
Huyu jamaa Ni shida kwel hahaha
@lucyjacob8039
@lucyjacob8039 4 жыл бұрын
Ongera my brother kumbe live show ata sisi tunaweza
@justinemartha193
@justinemartha193 4 жыл бұрын
Baba uko vizuri sana
@sebastiannyahuya8537
@sebastiannyahuya8537 4 жыл бұрын
Jaman hyo jamaa noma sanaaaa
@yussufhassan5179
@yussufhassan5179 4 жыл бұрын
Umemiliki jukwa Mr mpoki big up 👊
@richardabeli9070
@richardabeli9070 4 жыл бұрын
Mpoki umetisha
@abdoulquadirgagarukorera8297
@abdoulquadirgagarukorera8297 2 жыл бұрын
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 4 жыл бұрын
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nampenda sn ❤❤❤uyu jamaa💪✌✌✌✌✌✌👏💕💕👊👊👊
@francemwenda8977
@francemwenda8977 4 жыл бұрын
Sisi ambao hatuna hela ni shda
@francemwenda8977
@francemwenda8977 4 жыл бұрын
😉😁😁😁😁
@matayongwallo2270
@matayongwallo2270 3 жыл бұрын
sana mpoki kizazi mzeee
@yessekiselema4681
@yessekiselema4681 4 жыл бұрын
Kizazi Sana jomba
@davidstephano3659
@davidstephano3659 4 жыл бұрын
Hongera sana brother mpoki
@saidismail5043
@saidismail5043 4 жыл бұрын
😂😂😂😂 Nimekubali bro kazi nzur
@hemedisalim812
@hemedisalim812 Жыл бұрын
Huyu ni motivation speaker au Comedian 😂😂
@mwajumamachalila2928
@mwajumamachalila2928 4 жыл бұрын
Jamani mbavu zanguuuuuuuuuu mpoki weeeeeeeeee
@muhammedyussuf8406
@muhammedyussuf8406 2 жыл бұрын
Dah hatariii mpokii
@philemonsamwel7761
@philemonsamwel7761 2 жыл бұрын
Nakubali show mkali, we ni noma bro
@onesmomghamba2968
@onesmomghamba2968 4 жыл бұрын
mpoki chizi kweli aisee, sikujua kama anaiwezea stand-up kiasi hiki
@emmanuelwenga5467
@emmanuelwenga5467 4 жыл бұрын
Mpoki ww ni mwendawazimu big up sana
@washingtontheannointed9160
@washingtontheannointed9160 4 жыл бұрын
Nimekubali Mpoki uko juu kaka!!
@sudyslaa8278
@sudyslaa8278 4 жыл бұрын
mpoki.umetisha xn
@khamikhan5091
@khamikhan5091 4 жыл бұрын
jamaa umetisha mie namkubali na maneno yake ya kukera 😊
@chapoganzo7544
@chapoganzo7544 4 жыл бұрын
Mpoki Geneous
@wahidamohamed9965
@wahidamohamed9965 4 жыл бұрын
Hivi unafanyiaga wapi hizi live performance mie napenda sana
@dariushalala5888
@dariushalala5888 4 жыл бұрын
Nimekupata broo uko vzr
@tabithayohana8573
@tabithayohana8573 3 жыл бұрын
Mpoki nakupenda bure
@atikombogolo2356
@atikombogolo2356 4 жыл бұрын
Wewe unavopokea hela ulivaa groves😂😂😂🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@hadijadundo1183
@hadijadundo1183 4 жыл бұрын
Nimekipenda hiki kimsemo
@msafirimvura5370
@msafirimvura5370 4 жыл бұрын
Icho.kipengere.kigum
@ajirykyaman1006
@ajirykyaman1006 4 жыл бұрын
Hatar😂😂
@jessicamsolamsolamotto7975
@jessicamsolamsolamotto7975 4 жыл бұрын
Iko juu!!!
@fridadavid3416
@fridadavid3416 4 жыл бұрын
Mpoki 😂😂😂😂😂😂😂😂
@muusmart2015
@muusmart2015 4 жыл бұрын
hahahahahaha baba imekata hajahahahaha mpoki you kill mee
@jumaurambo9859
@jumaurambo9859 4 жыл бұрын
Mpoki hatar mzazi uko vzr
@zuwenaenock4202
@zuwenaenock4202 4 жыл бұрын
Hahahaha wewe nomaa ukweri unatupatia
@SalumAlly-ch6bu
@SalumAlly-ch6bu 10 күн бұрын
Uyo ndio fundi wa stendap comedy hao wengine wanaangalia kwake😮
@allymtamilwa6899
@allymtamilwa6899 4 жыл бұрын
Very talented mpoki
@jasminealmas6159
@jasminealmas6159 4 жыл бұрын
Hukoseagi Kaka,safi sana
@tumainibeda4344
@tumainibeda4344 4 жыл бұрын
Safi Sana mpoki
@fatmamdoekorogwe6141
@fatmamdoekorogwe6141 4 жыл бұрын
daaah mpoki unaweza
@vicentmaliki651
@vicentmaliki651 4 жыл бұрын
🤣😂😂😂 mpoki jamani
@agnesvintan1538
@agnesvintan1538 4 жыл бұрын
Nimempenda afande ana point😍😍😍😍
@mungamichael9354
@mungamichael9354 3 жыл бұрын
Always
@rhodabenz8412
@rhodabenz8412 4 жыл бұрын
Umetishaaaaaaa mpokiiiiii
@sabatoongara8763
@sabatoongara8763 2 жыл бұрын
Mpoki bana eti basi mpaka Nairobi, kujisaidia ni dakika 10 alafu watu 65 Kuna kufika kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@josephmanyama9012
@josephmanyama9012 2 жыл бұрын
Hahahahahah jmaaa ni htari sn
@muunganojosephat3629
@muunganojosephat3629 4 жыл бұрын
Ametisha sanaa 🤣🤣🤣🤣🤣
@rahmahamisi5135
@rahmahamisi5135 3 жыл бұрын
he is the best
@josephmgasi4973
@josephmgasi4973 4 жыл бұрын
Amefanya vzr sana
@mchinamweusitz.5575
@mchinamweusitz.5575 4 жыл бұрын
Ni hatar mpok
@ebbyramadhani
@ebbyramadhani 4 жыл бұрын
Jitahidini kidogo Mnapoandaa live streaming Na audience waonekane Yani mlengwa akitajwa aonekane on the spot
@hamadkombo9999
@hamadkombo9999 4 жыл бұрын
Mpoki unaendana na marehemu nyundo mungu amlaze mahali pema
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 4 жыл бұрын
Nakukbali mpoki nakupenda sana hongera unavijimambo wewe hahaaaa
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 4 жыл бұрын
mpoki unaweza kikubwa watu wa camera mpoki anapoongea na mteja haonekani sura vzr jitahidini hapo.
@mirajilikwawa6688
@mirajilikwawa6688 4 жыл бұрын
Mpoki fundiii
@beatricenyangasa8671
@beatricenyangasa8671 4 жыл бұрын
Hahahahaha mpok bahn
@Bitlontravels555
@Bitlontravels555 4 жыл бұрын
Hahahahaha Mpoki!!!
@hadijaselemani3848
@hadijaselemani3848 4 жыл бұрын
Kichwa kimekatika kumbe wigi😀😀😀😀
@anolddenismushi3265
@anolddenismushi3265 4 жыл бұрын
Mpoki is very talented
@aduanobella4671
@aduanobella4671 4 жыл бұрын
He is useless thwart!!
@evaristmrope
@evaristmrope 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 daah Mpoki upo juu saana
@eustadiuskalokola7363
@eustadiuskalokola7363 4 жыл бұрын
Umetishaa...
@thabitisimba1143
@thabitisimba1143 4 жыл бұрын
yaaan mpoki umenifanya nitazame kwa mara ya kwanza saa nzima na dk nilisema ngoja nifungue nitazame mamamaaaa nikawa nimejitusu hadi pindi limeisha ongera umejua kunishika aiseee unaweza hii k2 mkuu walio open kwa kujaribu kama mimi wakajikuta wametazama had mwisho gonga like
@jackleenmandary2632
@jackleenmandary2632 4 жыл бұрын
Kweli hata mm Nina usingizi lkn nashindwa kulala
@sarahflorence1112
@sarahflorence1112 4 жыл бұрын
thabiti Simba 😅😅😅hata mimi nimejaribu kuchungulia nikajikuta naimalizia kabisa
@bonygadiye1075
@bonygadiye1075 3 жыл бұрын
Mimi pia nimejikuta naangalia mpaka mwisho
@fidsongravity4502
@fidsongravity4502 4 жыл бұрын
Tisha sana.! Mwarabu wa dubai.!! Mgambile muganyizi
@sekelamwangosi3289
@sekelamwangosi3289 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣Baba dstv imekataa
@symphonymoid335
@symphonymoid335 3 жыл бұрын
Mpoki on 🔥
@leudkihanza898
@leudkihanza898 3 жыл бұрын
Sawa kaka umetisha sana
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 4 жыл бұрын
Nimecheka mpaka basi
@josephmahay1438
@josephmahay1438 4 жыл бұрын
Comedian nao sasa ivi wanachangisha sadaka kwa lazima...😁😁 real life is hard😄
@christopheramos4708
@christopheramos4708 4 жыл бұрын
Ulitisha babu
@zenamadhan2517
@zenamadhan2517 4 жыл бұрын
Hahaaaa lkn afadhali kuliko kuiba
@brysonnyembele5481
@brysonnyembele5481 4 жыл бұрын
Duuu eti ukilewa unarudi kwako unaanza kumuomba mkeo namba ya cm
@starshinetz
@starshinetz 4 жыл бұрын
We comedy ina zaidi ya lisaa ulichoona ww ni ni mchango tuu
@edwardyjuliusi1839
@edwardyjuliusi1839 4 жыл бұрын
Iko poa broo 🤣🤣🤣🤣🤣
@eliajacksoni8222
@eliajacksoni8222 4 жыл бұрын
Hahaha..Lyf iz very president
@justami2625
@justami2625 4 жыл бұрын
Mpoki big up
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
TANZANIA INACHEKA: KITUMBUA (Mpoki Stand up Comedy)
8:05
DOMO TENGA
Рет қаралды 17 М.
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 13 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1
35:15
YahStoneTown
Рет қаралды 461 М.
MC Madevu kwenye stage| Relationship Edition| CHEKA TU
7:29
Cheka tu
Рет қаралды 406 М.
MAULANA AND  REIGN LIVE PERFORMANCE AT SUNSET GARDENS
19:30
LUBALUSEEWA TV TV
Рет қаралды 82
SWETA
25:47
PEPFAR FILMS TANZANIA
Рет қаралды 92 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 248 М.
CHEKESHA : MSOMI ALIYEPITILIZA | MPOKI NA MASANJA
9:05
CHEKESHA
Рет қаралды 32 М.
NILAZIMA MTU APATE PESA NDIO AHESHIMIKE HII NAIROBI? BY: JASPER MURUME
11:50
Churchill Television
Рет қаралды 113 М.
#MOAWARDS2019: MSIKIE MPOKI ALIVYOTEKWA KAMA MO
8:51
Mwananchi Digital
Рет қаралды 487 М.
UTANI WA MCHEKESHAJI MPOKI KWA WANAWAKE WANAOVAA MAWIGI
10:26
Millard Ayo
Рет қаралды 382 М.
When You Get Ran Over By A Car...
0:15
Jojo Sim
Рет қаралды 11 МЛН
ЕМУ БОЛЬШЕ НЕ ПРИДЕТСЯ НИЧЕГО ВЫБИРАТЬ😂😂😂
0:39
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 1,4 МЛН
Where are you from?
0:13
ARGEN
Рет қаралды 4,2 МЛН
Когда Нашёл Нового Друга в Диснейленде ❤️
0:18
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 2,3 МЛН