Рет қаралды 62,834
SUBSCRIBE NOW / uwazi
Ilikuwa patashika nguo kuchanika jana jula 6, 2017 katika ukumbi wa Escape One mikocheni, kwenye hafla ya kusheherekea miaka 15 ya Mwanamama mkongwe kwenye tasnia ya muziki wa asili Tanzania, Saida Karoli.
Wasanii mbalimbali walijitokeza ukumbini hapo kwa ajili ya kumpa sapoti na kupata burudani , ambapo Jicho la GlobalTV lilimnasa msanii wa Bongo Fleva Sheta na muigizaji Steve Nyerere waliokuwa pamoja, wakicheza taratibu.
Hali iliyomaanisha kuwa wanafurahishwa na burudani kutoka kwa Saida Karoli.
Global TV imekuletea habari kamili, itazame video hii mpaka mwisho kujionea mwenyewe.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1