Usiku wa July 7 2017 Saida Karoli amekutana na mashabiki wake Escape one Jiini DSM hapa nimekuwekea alichokifanya round ya kwanza
Пікірлер: 195
@galubaalebobjimmy75015 жыл бұрын
Nakupenda sana saida, maama wa Africa yeitu.Bob from Uganda
@mwandiadam54907 жыл бұрын
huyu ebitoke na ben paul Mungu anawaonaaaa
@hezronmagwesela94027 жыл бұрын
Nimependa sana Live Music band bila CD. I Feel Good with African rhythm s from Saida.
@erickhaule86807 жыл бұрын
saida wewe miaka 100 Mungu akuweke huru na afya njema hakika unastahili
@ericohmzalendo50287 жыл бұрын
Mungu na akutie nguvu za kusimama tena saida...Tokea Nairobi Kenya Twakupenda
@kwisa48997 жыл бұрын
Hongera sana Diamond kwa kujua mchango Wa mama na kufanya wengine wakamwona baada ya kupotea kwa zaidi ya mk 15
@aunirasheedy84437 жыл бұрын
True
@catherinemsofe80207 жыл бұрын
powerful voice, amependeza, show nzuri sana, tunapenda kumuona saida ana nyumba, gari, watoto wanasoma shule nzuri ana biashara na bank papendeze. ana kila sbb ya kupata vitu vyote hivyo na vya ziada, nimefurah sana, amerudi na nguvu ileile.
@blendabenny2717 жыл бұрын
😂 😂 wahaya wanajua kuchanganya makongoro
@jonasjme7 жыл бұрын
mwehu
@josephgomalo417 жыл бұрын
Saida Karoli the Tanzanian Diva.. aisee Saida we Mbayaaaa.. !! Sio mwanamuziki wa mchezo mchezo..ati..!!
@mwangithomas67137 жыл бұрын
this is a show and a half....hope saida comes for a live show in kenya
@aishamohd98527 жыл бұрын
woooooooooooh was amazing show... so lovely... 👌 go on saida karoli
@YamunguYb7 жыл бұрын
Raha sana kumuona mama karudi
@dogorasially53177 жыл бұрын
jamani wazamini nawaomba mama saida ackose kwenye tamasha la maonyesho bagamoyo mwezi wa tisa ackoese kabisa
@veronikamwamsimbi84127 жыл бұрын
nimeipenda sana
@jenivavedasto6367 жыл бұрын
nice performance!
@hoodparkinspiration55757 жыл бұрын
safi sana watu wamenyanyuka wenyewe dadadekiiii🔥🔥🔥🔥🔥 #Saida
@murielleharushamagara64617 жыл бұрын
Dancers wameweza pia. voice tangu nakua ni ile Ile mpaka nazeeka but n bado Ni ile Ile tu. heshima kubwa sana kwa Queen
@saifsaif30106 жыл бұрын
saida ni international singer .huyu mama m.mungu yupo naye daiman. special kabisa nimempenda sana
@Ebendentalclinic7 жыл бұрын
hiv unaonaje kama wimbo wa maria salome wangeperfome na diamond,wakaweka kama hybrid flan hivi?
@alibhaihabib33587 жыл бұрын
she is so bestfull I love u mama keep it up
@jasminembaraka96107 жыл бұрын
mashaallah kaua mama kweli rizki kama ipo ipo tu! kafunika hata hao vijana live perfomance zero go mama gooooooooooo
@ruthroberts46253 жыл бұрын
Loved it bad bad big tune. Bless
@alexandrinadomaino10857 жыл бұрын
Ebitoke namuona mumeeeee Benpol
@Rugemalilatv19947 жыл бұрын
heshima kwenu wasanii naona hampo nyuma kumsaporti mwenzenu nawashukru mchango wenu nimeuona japo nimeangalia utube kuna wale wanajiita team falani sijamuona hata mmoja hapo cjui walikuwa na shoo wapi mana wana misifa na miguu ile
@azaqzszs19727 жыл бұрын
mama nakubonfeza njooo basi burundi tunapenda chambuwa kma karanga
@munaongoeliebamongi81284 жыл бұрын
Many thx for your return back
@nellaneth5787 жыл бұрын
22:30 That was awesome! I wish i was there!
@barikiarastus87707 жыл бұрын
Kukosa hii show naumia Sana,, kweli kipaji cha ukweli hakipotei,, asante Sana mama saida karol
@egidiusdenis87132 жыл бұрын
Nakukubali dada yangu kipenzi
@ibrahbaila61747 жыл бұрын
I love her voice for real
@hakimhamis74367 жыл бұрын
Ben pol yuko juu simu ameaka kando kuna mijitu peleka dem kila saa macho ganda kwa simu
@mwambirekwamboka95257 жыл бұрын
Hakim Hamis u r right
@domtilawakesho30307 жыл бұрын
Hakim Hamis hahaha wanimaliza kaka
@erickhaule86807 жыл бұрын
Hakim Hamis hahaha ndio hapo sasa
@salvinalibongi12617 жыл бұрын
si mchezo
@CollinsKhalumiАй бұрын
Good song
@jovnatajonathan40992 жыл бұрын
Bonjo hii nyimbo inanikumbusha mbali jaman mwakola
@benardmunna91947 жыл бұрын
kina nshomile wana yarudii balaa
@geofreygodifrey34857 жыл бұрын
am happy that umerud mama. ulimweng wa mziki ulikumiss mmoo
@EMMANUEL425417 жыл бұрын
ben pol na ebi pol nawaona nawaona
@mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын
Emmanuel Frank hehehehe
@kimwelanakhumicha63207 жыл бұрын
Din't Ben Pol is that cute,alaaah!!! mmetisha
@samuelndoveni46607 жыл бұрын
Emmanuel Frank nawapenda Ben na ebitoke wawaache miaka mia name na said Mungu akuongoze
@samsan95tvlaizer597 жыл бұрын
good job Mama I'm laizer
@verdianasteven3047 жыл бұрын
wakola owaishe
@dolphineramah11417 жыл бұрын
#254 Welcome back to stage mummy God give you strength
@godfreymarley.11247 жыл бұрын
nice job karoli one love frm kwapole
@ashameyomfatma3474 жыл бұрын
Huyo dancer Super ruder/ American height ameweza ❤❤🙊🙊
@bienamapanje81087 жыл бұрын
yaan my nakupend mpk nalia mungu hakubar San katika kaz zako
@halimamasai22347 жыл бұрын
Saida karoli maashaallah kazi nzuri hongera sana
@innocentmatoju74427 жыл бұрын
Walio kuwa wamemterekeza mungu anawaona
@bonchrisgissey69757 жыл бұрын
Best show ever
@aggreymgalla56347 жыл бұрын
I love you mama yetu saida karoli
@oliviakidosho6420 Жыл бұрын
🥰🥰watu wanajua job zao
@ombenivasha73617 жыл бұрын
mwandish ana mbwe mbwe kweli said a umetisha sana dada
@amnejulle77687 жыл бұрын
love you saida caroli
@alexmulwa78447 жыл бұрын
Team kujipaka mafuta Ben Pol na Ebitoke√√
@bisekoc.k.jenjela79364 жыл бұрын
Saida Karoli safisana, Mziki mnene.
@erickmoses63957 жыл бұрын
OG voice
@privalibent33113 жыл бұрын
Aiseee bonge la show
@kessykazimana91037 жыл бұрын
nimeipenda xana iyo
@4realstudio7287 жыл бұрын
Nice show saida njooni Dodoma
@marychiwanga30237 жыл бұрын
Very Nice
@eliuthamangula1791 Жыл бұрын
2022 💖
@johntogoro61917 жыл бұрын
Show imependeza sana dada, komaa 2
@rwegasirairene85697 жыл бұрын
Good
@josephhenry33987 жыл бұрын
uko vizuri mama kurudi kwako wenye wivu watajinyonga Kweli
@hadassperez4947 жыл бұрын
show ya ebipol&bentoke😂😂😂.mama katisha👏👏
@amanichanga34487 жыл бұрын
Keep going Tanzania
@zenaali42557 жыл бұрын
asante kwa mond kumrudisha mama kwa game.
@tauskasimu91007 жыл бұрын
👍👍
@mwanaishambili2417 жыл бұрын
mma saida karibu xna uko juu sauti yke haijabadilika
@boniphacewambura20427 жыл бұрын
nice performance
@jasminisaidi51737 жыл бұрын
Ikopoa sana
@aminaombuya85657 жыл бұрын
Big up mama
@ommythegreatblog70407 жыл бұрын
dah.....natamani ningejoin with these crowd of people
@RamazaniMulongeca7 жыл бұрын
NICE PERFORMANCE #SAIDA Waliokua nakodoa kwa #BenPol na #Ebitoke give me some feedbacks....!!
@vivianrobert71367 жыл бұрын
Waooo hadi raha jamni...hongra Mma yetu... wanachza Hdi natmni ningekuepo lol🙈🙈
@roseshiombo14507 жыл бұрын
Amazing
@roseshiombo14507 жыл бұрын
happy mallya Thanks sanaa
@mkwechemedy99297 жыл бұрын
Tuko pamoja sana mama kaza vilevile
@godmysaviour22327 жыл бұрын
wakola omurungi mama.....ndagukunda chaneee
@godfreykanelela94487 жыл бұрын
goog sound
@sarahkabwelile36197 жыл бұрын
nice
@user-yv4ku7fn5o10 күн бұрын
Mandar um forte abraço a Tanzânia yote.
@mwambirekwamboka95257 жыл бұрын
madee ndani
@newkhamza13397 жыл бұрын
asante sana umenikosha sana daida
@DIAMANTE1999 Жыл бұрын
Wuuuhuuu bk Town to de word
@wardalward36937 жыл бұрын
laknii hizo gita zina leta kelele sauti yako hatoki vizuri
@pettyjoffy93816 жыл бұрын
we mbona unakosoa sana embu zakwako zikoje
@faridmobji7 жыл бұрын
Our Identity bk stand up
@sadikimaira55673 жыл бұрын
Hello
@zarymassmasuma25387 жыл бұрын
show kali kinoma
@johngasto93847 жыл бұрын
nan aliedislike hapo kubafu sakee
@habarizauhakika93767 жыл бұрын
HAJUI MAANA YA HIVYO VIDOLE HAPO JUU YE ANABONYEZA BONYEZA TU
@marimarimu36977 жыл бұрын
John Gasto umeiyona labda alikosea huyu mama hana ubaya na mt
@marimarimu36977 жыл бұрын
Evar Samndeli uhhhhh mbavu zang
@mwanaidiabdallah65047 жыл бұрын
wengine awajui maana ya hizo alama
@wardalward36937 жыл бұрын
wana haribu
@gracerosi61795 жыл бұрын
Nyimbo zako zinamaadili mazur
@coldernolas51837 жыл бұрын
saida umebarikiw sauti nzuri
@josephmakofia97167 жыл бұрын
Iko poa sana
@sethstiven33937 жыл бұрын
OK anatsha yuko vzr
@faridarahma99967 жыл бұрын
vizuri said a
@happyjohn18956 жыл бұрын
wow penda sana saida
@talantap49667 жыл бұрын
mkufunz legend
@wardalward36936 жыл бұрын
Said we hatari mama
@suleimanaula4477 жыл бұрын
love your voice..hit the gym a little though..
@kingdeniscrocodile3 ай бұрын
Sijamuona mwingine zaid ya ebitoke kw ben paul
@privalibent33113 жыл бұрын
Dance wake mbona hawapo
@mukhtarisaidi17767 жыл бұрын
bentoke na ebipol, nawaona nawaona, Mmetisha xana
@justinemalima67017 жыл бұрын
mbona wamejaa wahaya?
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
Justine Malima sisi ndio watemi kabila teule Tanzania nzima.