HECHE ASIMULIA ALIVYOKOSA POSHO ya MIL1 kwa SIKU - BUNGE la NDUGAI TIMUATIMUA ya WABUNGE wa UPINZANI

  Рет қаралды 31,894

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 71
@globaltv_online
@globaltv_online 7 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 6 ай бұрын
Asante sana mwanaharakati Heche kwa kutukumbusha kazi ya mbunge: 1. Kutunga sheria. 2. Kukosoa na kusimamia serikali. 3. Kuhakikisha serikali inapeleka maendeleo kwa wananchi. 4. Kufukuza kazi serikali ambayo inashimdwa kupeleka maendeleo kwa wananchi. 5. Kumfukuza kazi (impeach) rais. Natumai nimekuwa mwanafunzi mzuri na nimepata maksi nzuri leo katika mafundisho (somo) la leo la mwanaharakati Heche.
@deogratiusdonald5123
@deogratiusdonald5123 7 ай бұрын
Kolumba Lebabaz. Mshauri Mh. Heche agombee uenyekiti wachama taifa. Mwamba yupo vizuri balaaaaaaa!!!! Mbowe ana vichwaaa hatari sanaaa...
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 7 ай бұрын
Sana
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 7 ай бұрын
Umeonaa eeh
@jumamalekela463
@jumamalekela463 6 ай бұрын
Brorher heche nakukubali sana unamaono halisi yauongozi namna yakuwatoawatu mahaliwalipo kusonga mbele namaisha yenyeunafuu kupitia malitulizokuwanazo,big up mybrother iposiku💪🏻💪🏻
@deogratiusdonald5123
@deogratiusdonald5123 7 ай бұрын
Hongereni sana global kwa kuvialika vichwa makini kwenye studio zenu. Kuna studio zinapenda kualika wale wanaosifia kila kitu. Waalikeni sana upinzani maana hao ndio wanaotusemea wananchii. Wanatutoa porini na kutuleta bara barani. Big up sana global TV. Ninyi mnaongoza wengine wanafuataaaaaaaa!!!!
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 7 ай бұрын
👏
@bensonmwabulambo9663
@bensonmwabulambo9663 7 ай бұрын
Kichwa kizuri hiki, SEMA watu makini ubezwa ❤❤
@apostelgodwin
@apostelgodwin 6 ай бұрын
I proud to be with You Brother in Home sit Tarime ...God lord bless You we play for u.. You do best and greater pokea maua yako🎉❤nipo dar nafuatilia hotuba yako daily points tupu
@josephmantago2837
@josephmantago2837 7 ай бұрын
Aisee inauma sana kuona watu mhimu kama mh HECHE hawako madarakani kuiongoza nchi badala yake tunatawaliwa na machawa aisee mi naumia sana
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 7 ай бұрын
Ni Hatari Akili Ndogo Kuongoza Akili Kubwa, Huyu Alifaa Kua Mtu Mkubwa Sana Wizi Wa Kura Nakukosa Tume Huru ya Uchaguzi Vinatunyima Mchango Watu Wa Maana Kama Heche, Katiba Mpya Ni Sasa.
@corporatethugsent7380
@corporatethugsent7380 7 ай бұрын
Inauma saaanaaaa aseee
@shabanadam4476
@shabanadam4476 7 ай бұрын
Brother John Big Respect Big brain long lifetime 🙏
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 7 ай бұрын
Brother your very smart
@msabahaali758
@msabahaali758 7 ай бұрын
mh heche akili kubwa sana ccm wana kariri wamekosa ubunifu
@deogratiusdonald5123
@deogratiusdonald5123 7 ай бұрын
Mh. Mbowe kwakweli vijana unao kweli uliwapika wakapikika kamanda.
@peterantony5890
@peterantony5890 6 ай бұрын
Sifa za Watanzania walio wengi ni kuwa waongo, wanafiki na kujipendekeza.
@aminimushi6945
@aminimushi6945 6 ай бұрын
Watanzania tunatakiwa tumuombe sana Mungu,hatuwezi kumpata spika wa bunge kama marehemu Sitta,Mungu amuweke pema huko aliko.
@PauloJigwa
@PauloJigwa 7 ай бұрын
Jamaa yupo vizuri sanaa
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 7 ай бұрын
Yaani Heche Mungu amjalie maisha marefu aisee.
@alexmnogi1822
@alexmnogi1822 7 ай бұрын
Jamaa kichwa snaa...Hana anaposoma anavyokichwan akili kubwa sna asee! Dah!
@veronicanabina3380
@veronicanabina3380 6 ай бұрын
Saf sana uko vzr
@osiakita8693
@osiakita8693 7 ай бұрын
Kuna vitu vingi sana vya kumuinua mwananchi wa chini leo hii muwekezaji akija nchini anakuja na bajeti ya kuwalipa wafanyakazi wake malipo mazuri kabisaa lakini akifika hapa akionyesha malipo ya kuwalipa wafanyakazi anaambiwa hizo hela nyingi sana kuwalipa hawa watu wanaanza kupewa hela kidogo kabisaaaaa ambayo haiwezi kumuendeleza mfanya kazi ila wangesimamia watu wa sekta binafsi walipwe vizuri nchi hii ingekuwa inamelemeta sana
@recenttechnologiestanzania2703
@recenttechnologiestanzania2703 7 ай бұрын
Kabisa kaka umesema ukweli watu wazima wanalipwa lakimoja na nusu
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 7 ай бұрын
Mungu bariki hii hazina ya taifa....hakika Mbowe una watu makini sana
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 7 ай бұрын
Ahsante Heche Kwa Haya Madini.
@MussaKulanga
@MussaKulanga 7 ай бұрын
Heche ni noma sana jembe kweli
@faridmnyamike556
@faridmnyamike556 5 ай бұрын
Mhe.Heche ni Akili kubwa sana
@kambamazig02024
@kambamazig02024 6 ай бұрын
Posho za namna hiyo wakati wananchi wanaumia! This is so sad!
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 7 ай бұрын
VIVA MH. HECHE....WAKATI WA MABADILIKO UMEFIKA!
@MwatijaFikoti
@MwatijaFikoti 7 ай бұрын
Heche unaakili sana Kwa mambo unayoongea ni kweli kabisa ila kijana hawaelewi kabisa.
@triphoniamapunda
@triphoniamapunda 7 ай бұрын
Tanzania bwanaaa!!!
@feisalkhamis9445
@feisalkhamis9445 7 ай бұрын
heche insha'Allah tukutane bungeni 2025
@PascleShayo
@PascleShayo 7 ай бұрын
Heche nakukubal mbaya nafuatilia kile video yako napenda uzalendo🎉
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 6 ай бұрын
Upinzan mko vizur sana sana ila kwakukosa ktba mpya na uchaguz huru na haki tumehuru.
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 7 ай бұрын
Kumbe hii inchi Kuna watu wanakula maisha wengine tunasurvive.Yaani kumbe mnalipwagwa milioni 12 Kwa mwezi halafu posho kila siku laki nne.Bado Tena mkistaafu mnalipwa dah!!
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 7 ай бұрын
Ahahaaa usiumue sio ww tu sote mioyo yetu inaumia ndo Tanzanian yetu iyo nchi ya kazi na bata
@alexmnogi1822
@alexmnogi1822 7 ай бұрын
Mpka jmaaa ( kurumba Hana chakuhoji) tunawashkru kwa kutuletea watu wenye akili kubwa kama hawa
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 7 ай бұрын
Ndugai alilewa ukereketwa mpaka akajivua uSpika wake na elimu yake kwa faida ya siasa za maji taka wakati wa Magufuli,kiasi cha kujidharaulisha kwa wananchi kabla hajajitumbua mwenyewe kwa ujinga uleule....!
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 7 ай бұрын
Big brain always speak the fact
@NorbertusNyamuga
@NorbertusNyamuga 7 ай бұрын
Mugaka mungu nakuona
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 7 ай бұрын
Madam President sikiliza watu wenye akili timamu
@allyshaban406
@allyshaban406 7 ай бұрын
Bunge ni idara ya chama Cha mapinduzi
@kelvinmboya5846
@kelvinmboya5846 7 ай бұрын
Akili nyingi ndio kama hizi.
@MrMwinyi
@MrMwinyi 7 ай бұрын
Akili kubwa hii, CCM haitaki watu wenye akili
@johnmligo6966
@johnmligo6966 7 ай бұрын
Kwani hawa akina heche walisemaje juu ya Lowasa na baada ya kuhamia kwao WALISEMAJE? KWELI NYANI HALIONI 😂😂😂
@PhilipoMwita-ge2oj
@PhilipoMwita-ge2oj 7 ай бұрын
Nakukubali mbunge wangu wa sirari wewe nijembe alafu nijembe tena
@tobiaspaul9203
@tobiaspaul9203 7 ай бұрын
Àkili kama hizi ni adimu hongera heche
@davidami7980
@davidami7980 7 ай бұрын
Heche kichwa sana
@godfreymrosso2051
@godfreymrosso2051 7 ай бұрын
ukweli usemwe tuu huu jamaa ana IQ kubwa sana ni mtu wakumtumia
@alexmnogi1822
@alexmnogi1822 7 ай бұрын
Hvi hawa watu wapo selekalin? Mbna watu wenye akili ndo wnachukiwa hakika Dunia hii haipo sawa
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 7 ай бұрын
Kiongozi hakuna kitu kibaya kama unawabunge wa ugonjwa wa Akili Kwahiyo CCM wote wana ugonjwa wa Akili
@rajabumtuga7372
@rajabumtuga7372 7 ай бұрын
Ingia darasani nod utaelewa hilo swali lako
@gabrielmahala9848
@gabrielmahala9848 7 ай бұрын
Yani natamani ccm iondoke madarakani leo, heche hongera ipo ccm watakuelewa
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 7 ай бұрын
Mh wanavyo kataa katiba mpya wanajua
@SostenesMabala-tt8pt
@SostenesMabala-tt8pt 7 ай бұрын
Katiba mpya ndo kilakitu
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 ай бұрын
👊✌️👍.
@AlexMakala-s7k
@AlexMakala-s7k 7 ай бұрын
Namwona mwenyekiti hajae chadema
@bahatisaimon6019
@bahatisaimon6019 7 ай бұрын
Yaan wewe hakri yako ni sawa wabunge 200 ya wale wa kile chama Cha ndiyooo Kila kitu Wao ni uchawa nahuku inateketea
@karimmveyange280
@karimmveyange280 7 ай бұрын
Mal Rushwaa hugeuzwa kuwa mtumwa wa Mtoa RUSHWA. Ndiyo walivyo VIONGOZI walio saint mkataba ya madini kisha WANANCHI WAKASHANGILIA SAAANA.
@gilbertmathias7594
@gilbertmathias7594 7 ай бұрын
Sasa tumweleweje huku anapinga ujenzi wa viwanda na mawazo ya jpm alokuwa nayo upande mwingine anasema vingejengwa viwanda watu wapate ajira na vitu vitengenezwe hapa . Nadhani Rais jpm ndo suala alokuwa anaubili sana kuwa hata madini yaongezwe thamani hapa nchini. Lkn sawa ndo kipindi cha kuanza kujifagilia njia mwakani.
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 7 ай бұрын
Viwanda vipi niambie hata vitatu tu muhim
@Jal210
@Jal210 7 ай бұрын
Kichwa hewa tu mpuuzi huyu kazi kubeza serikali hamna lolote na Chadema yenu
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 7 ай бұрын
Ww unaumwa akili sio bure
@Jal210
@Jal210 7 ай бұрын
Wewe ndiyo mgonjwa kumsaidia mpuuzi
@reginas1832
@reginas1832 7 ай бұрын
Delete ccm
@hajihassan5433
@hajihassan5433 7 ай бұрын
Unafiki ndio kazi yenu nyote wanasiasa, hata Wapinzani walituambia Lowasa fisadi baadae mkamsifu. Ni upuuzi kusema Mbunge wa Tanzania amuwondoe Rais wakati Rais ni 51% ya Bunge, yaani Rais anaweza kufanya lolote bila Bunge wakati Bunge haliwezi kufanya lolote bila Rais. Utamfukuza je?
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 7 ай бұрын
Mbuna hueleweki uone hata aibu
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 7 ай бұрын
Haya mambo huwezi kuyaelewa ingali bado unaishi kwa shemejio subiri siku ndoa ya dadako ikivunjika ndio utaielewa dunia ikoje😢
@triphoniamapunda
@triphoniamapunda 7 ай бұрын
Tanzania bwanaaa!!!
Nini kifanywe kuliokoa jahazi la serikali ya ubia Zanzibar?
3:47
BBC News Swahili
Рет қаралды 8 М.
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 115 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 86 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 105 М.
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 12 М.
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 115 МЛН