Nape Amwaga Machozi Nyumbani Kwao Lindi, Alichokizungumza Bofya Hapa

  Рет қаралды 488,976

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 130
@adelinemlimira1132
@adelinemlimira1132 7 жыл бұрын
Mungu!ndiye kila kitu ,hatatupa jaribu litakalo tuzidi uwezo wetu wa kibinadamu,tuombe atujalie moyo wa upendo kwa nchi yetu,uvumilive,hekima,busara na matumaini,hongera sana Nape.
@fatumahassan8212
@fatumahassan8212 5 жыл бұрын
Dalili za watu wenye upendo wa dhati kwako mheshimiwa nape, khakika mwanadamu mwenye mapenzi ya dhati yupo tayari kukuonyesha dhakhiry kwa vitendo , Mungu akusimamiye kwa kila hatuwa baadhi ya watanzania tunafahamu uwepo wako muhimu sana nikiongozi bora, changamoto vitu vya kawaida ktk majukumu.....👏👏👏👏🇹🇿
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 4 жыл бұрын
Kaka Nape nakupenda kaka yangu maana umekuwa mnyenyekevu kwelikweli. Umefata nyayo za Baba yetu na Rais wetu Magufuli .wewe sasa ni ndugu yangu wa damu. Mungu akubariki . Sifa ya uongozi ni Unyenyekevu kama hamuamini Muangalieni Mtoto wa Babu yangu Mwinyi. Kijana wake ni kijana meenye hekima nyingi na mnyenyekevu sana. Namkumbuka wakati alipata uwaziri mara ya kwanza kabisa alikuja kwa hotel fulani kubwa nilikuwa nafanya kazi. Sasa wakati wahudumu wa hoteli wanamhudumia na kunyrnyekea sana kama ilivyokuwa, desturi ya kali isiyosahihi ya kuamini kuwa kiongozi lazima anyenyekewe na wana nchi! Chakushangaza yule Kijana alisema NAWAOMBA MNIHUDUMIE KAMA MTU WA KAWAIDA SANA MIMI NI KAMA NYIE HATUNA TOFAUTI YEYOTE.NIMENUKUU!. HE tulibaki tukishangaa sana, maana hao wengine walikuwa wakija wanataka waonekane miungu watu. Ila kijana wa Baba wa awamu ya pili na baba yangu alikuwa wa tofauti. Hivyo basi siri ya kuwa kiongozi mzuri ni kuwanyenyekea walio chini yako!
@rinadismas4831
@rinadismas4831 6 жыл бұрын
Nape big up. Nakupa jina jipya "Nabii wa nyumbani"Mungu akutunze.
@salimliemba3458
@salimliemba3458 3 жыл бұрын
Mh waziri wa habar karibu Tena 🔥🔥🔥
@Purity493
@Purity493 7 жыл бұрын
Safi sana nimeipenda, may God be with you Nape
@salmaseif6073
@salmaseif6073 5 жыл бұрын
Nape nakupenda sana
@ibrahimharuna9821
@ibrahimharuna9821 4 жыл бұрын
NABII HAKUBALIKI KWAO LKN KWAKO NAPE UNEKUBALIKA HONGERA SANA BRO SASA UNA DENI KWA WATU WAKO,MUNGU AKUTANGULIE INSHA ALLAH
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 Жыл бұрын
Aa !! Hao ndiyo wanasiasa bwana utawaambia Nini,wananchi vumbi ,juakali na adha nyingi lakini wapi bwana 😅😅😅
@karundeomari3671
@karundeomari3671 4 жыл бұрын
Asante baba
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 7 жыл бұрын
Mungu yupo juu yako Nape kweli kipenzi cha watu wa mtama aliyekufanya ukatoa machozi Mungu anamuona
@mkude
@mkude 3 жыл бұрын
Naleo hii karudishiwa uwaziri mungu mkubwa
@lucymgulunde7329
@lucymgulunde7329 7 жыл бұрын
mwenyewe nampenda saana nape
@famaubafundi547
@famaubafundi547 6 жыл бұрын
Viva Nape
@skjjsj1889
@skjjsj1889 3 жыл бұрын
Nape Hilo tumbo karibu litashika jini kitambi😁😁
@abdalla967
@abdalla967 7 жыл бұрын
Dah maskini mpaka huruma kama unaona alivyofanyiwa nape hakistahili kabisa weka... Like za kutosha hapa
@mariammarco1554
@mariammarco1554 7 жыл бұрын
mode the mlitaka atolewe nani ili msiongee?
@mariammarco1554
@mariammarco1554 7 жыл бұрын
mode the mlitaka atolewe nani ili msiongee?
@abdalla967
@abdalla967 7 жыл бұрын
Mariam Marco sio swala la kutolewa mtu hapa ni swala la uwajibikaji yeye kafanya kazi yake kama waziri au mlitaka anyamaze kimya ili aonekane kama hajafanya kazi na pia kitendo cha vyombo vya usalama kukosa heshima na viongozi mpaka kufikia hatua ya kutoa bastola ni hatari Sana kwa nchi yeyote wewe unafkiri ile bastola ingefyetuka bahati mbaya kungekua na usalama kweli? serikali kwa ujumla wake ingewaambia nini wananchi ili waelewe na ilhali yule ni kiongozi mkubwa na Jana yake tu alikua waziri wewe kwa mtizamo wako unaona ingeleta picha gani kwa rais?
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 4 жыл бұрын
Pamoja mkuu
@ZainabZainab-ok8tm
@ZainabZainab-ok8tm 7 жыл бұрын
mashallah napee ucjal mungu yu pamoja nawee
@Amuka_SaSA
@Amuka_SaSA 7 жыл бұрын
This man can becoming the future president of TZ
@sirfabiano767
@sirfabiano767 5 жыл бұрын
Mzuka sasa Forget
@sirfabiano767
@sirfabiano767 5 жыл бұрын
Mzuka sasa never happen
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 4 жыл бұрын
Ndo hakarabati barabara kwa kiwango Cha Rami c kupita kwenye mavumbi km hayo
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Pole sana!!!
@nzomukundafatuma5364
@nzomukundafatuma5364 7 жыл бұрын
mungu akulinde baba
@getrudemax9770
@getrudemax9770 7 жыл бұрын
Tutakukukumbuka kwa kutuzimia bunge live 😞😞😞😞😞😞😞
@magynzioka1122
@magynzioka1122 7 жыл бұрын
mimi mkenya na mpenda sana siasa zake ni zakujenga tz amina
@mashakathomas9992
@mashakathomas9992 4 жыл бұрын
Kalibu tz utafikia hata kwangu kwa muungwana mwenzako
@janewacera7812
@janewacera7812 7 жыл бұрын
We love nape
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 7 жыл бұрын
wimbo ume dogea mpaka vikongwe MWANDA WAZIMU KAINGIAJE CHEZEA CHIBU DANGOTE KIBOKO YA VIKONGWE
@rahapaulina1451
@rahapaulina1451 7 жыл бұрын
mungu akupe miaka mingi
@tamtam2589
@tamtam2589 7 жыл бұрын
walllah rahaaaa nakupenda nape pleas gombea uraisi
@johnjeremiah3957
@johnjeremiah3957 7 жыл бұрын
Tanzania model 2016
@azaniamsuya6301
@azaniamsuya6301 4 жыл бұрын
Usiwasahau ktk ufalme wako ona watu wanavokupenda alaf mkipata mnadharau jamani mungu atawaona
@priskaboma7827
@priskaboma7827 4 жыл бұрын
Duh inauma Sana
@mwajumabakari3730
@mwajumabakari3730 4 жыл бұрын
Yaan mm huo nampenda Sana nape toka awali toka 2015 enzi alipokua mwenezi
@brotherkayu1990
@brotherkayu1990 7 жыл бұрын
duh
@georgekagiraffe783
@georgekagiraffe783 7 жыл бұрын
I Appreciate Yu My Broooh
@hadnahhohammed38
@hadnahhohammed38 6 жыл бұрын
bon m musik
@maimunaseleman1442
@maimunaseleman1442 7 жыл бұрын
kiukweli wapigakura wengi wa chama chamapinduzi ni wakina mama ndiomaana unawaona wamejaateleeeeeeh apana chezea watoto wa kucni bhana
@speciozakisukulu3197
@speciozakisukulu3197 7 жыл бұрын
big up nape
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 7 жыл бұрын
Okay
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
ulistahili heshima hiyo MHE.NAPE daima unapendwa hata mimi nakukubali jembe
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 жыл бұрын
Athony Francis m ndo zaid yaa namkubal sna huyu baba
@andarsonungani2160
@andarsonungani2160 7 жыл бұрын
Athony Francis
@jumaaomary3080
@jumaaomary3080 7 жыл бұрын
Indiasong
@godfreymwakipesile1999
@godfreymwakipesile1999 6 жыл бұрын
daimondi
@godfreymwakipesile1999
@godfreymwakipesile1999 6 жыл бұрын
daimodi
@mariyammohammedjuxnakukuba9791
@mariyammohammedjuxnakukuba9791 7 жыл бұрын
hadi rah jmn
@halimamohamedy3571
@halimamohamedy3571 7 жыл бұрын
mashallah lnapendeza kwakwel
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 6 жыл бұрын
home sweet home
@saulmwakyusa1001
@saulmwakyusa1001 7 жыл бұрын
salute nape
@selemanamtwe1191
@selemanamtwe1191 7 жыл бұрын
jogo
@florachogo5537
@florachogo5537 4 жыл бұрын
safi raisi mtarajiwa
@tanzaniakwanza9564
@tanzaniakwanza9564 7 жыл бұрын
ni jambo zuri kupendwa ila cjapenda ulivyo wakanyaga watu unapita juu yao hata kama ni kwa hiyari yao lkini kwa busara zako kama kiongozi hukupaswa kufanya hivyo kwani ni udharirishaji wa hali yajuu Mfano Rowasa pamoja na kukubalika kwake kipind cha uchaguzi hakuwahi fanya hvo, chaajabu wao hawajalia cuz hawakujua maana yake ila ww ulowapandia unalia eti upendo!!!! Sijapenda kwa udharirishaji huu Mh.
@abdulmtausi6672
@abdulmtausi6672 7 жыл бұрын
acha vita ieendeleeee,hapa kazi tu,hakuna kuangalia makunyaziiiiii,ukimwaga mboga namwaga ugali,hongera nape,home sweet home
@roselugendo6943
@roselugendo6943 4 жыл бұрын
Mtu kwao. Nyumbani ni nyumbani
@officialmologa
@officialmologa 7 жыл бұрын
kwenye jamaa kinamama wakikupenda bas ume win....
@trophainamagogwa7966
@trophainamagogwa7966 5 жыл бұрын
U note hilo,mama ni vyoote
@abdallamohd1937
@abdallamohd1937 6 жыл бұрын
Nape ucwaze uko kwenye hak ulikokuepo hakuna her na ww M'Mungu atakuweka kwenye her na ww wakat unacmamia hak
@happinessnyambita8139
@happinessnyambita8139 7 жыл бұрын
hadi rahaaaaa......
@gracejohn886
@gracejohn886 4 жыл бұрын
Nape oyeeeeee
@bahatiboma2824
@bahatiboma2824 7 жыл бұрын
Hadi raha mtu kwao bana
@lameckshillah7500
@lameckshillah7500 7 жыл бұрын
b blessed too sir Nape
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 7 жыл бұрын
alistahili heshima uliyopewa nakuonya nape nauye kwamaba usije potoka ukaacha kuwa mkweli km tulivyo kuzoea so tunakuamini
@oyay2821
@oyay2821 7 жыл бұрын
maximum respect to you Nape
@richardmboka7467
@richardmboka7467 7 жыл бұрын
nape nakupenda sana
@meshackngujati2905
@meshackngujati2905 4 жыл бұрын
Cna hata cha kusema nape kuhusu ccm lakini mungu anajua
@binurarassi8156
@binurarassi8156 7 жыл бұрын
kweli nyumbani ni nyumbani.
@consolathasaimon2545
@consolathasaimon2545 7 жыл бұрын
nakupenda sana mh nape ww ni jembe
@missmuunasharifu2323
@missmuunasharifu2323 7 жыл бұрын
mm sio mwanasiasa ila mapokez hayo yamenivutia kupita kias huo ndio upendo wakweli tunataka na viongoz wengine waliochaguliwa na wananch waonyeshe mapnz kwa wananch like nape.
@africanchild4525
@africanchild4525 7 жыл бұрын
Mcheza kwao hutunzwa.
@isackndessa7680
@isackndessa7680 4 жыл бұрын
Usaniiiii
@danielmbwile9644
@danielmbwile9644 4 жыл бұрын
Umesahau ulicho fanyiwa yatakukuta tena tumbuuuuwa
@fadhilikyandofadhilikyando7714
@fadhilikyandofadhilikyando7714 6 жыл бұрын
tumepoteza waziri mzurii kwenye sekita ya michezo mweeer
@rodayared435
@rodayared435 4 жыл бұрын
Mtu kwao bhana
@ladsonmshana9920
@ladsonmshana9920 7 жыл бұрын
Kweli ccm ni mashetan mchango wa nape unajulikana
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 6 жыл бұрын
LADSON MSHANA MAGUFULI MUNGU ANAMUONA. ALISHIMDWA NINI KUMUITA NA KUMKANYA.PALE.ANAPOKOSEA.
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
sasa unamaanisha nn? Mbna hujaeleweka
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hivi mnadhani nchi ni kama timu ya mpira wa miguu, yaani mmoja anafua jezi, mwingne anaenda kwa mganga na mwingne anamtafuta refa nyumbani kwake kuongeanaye kisha wote watapangwa kikosi cha kwanza...... Hii ni nchi ya watu Mil 60, wala ccm cio chama cha mtu, ni mali ya watanzania wote, hata hao unaowasikia wanapiga kelele sasa hivi huko chadema walikuwa ccm na kadi wanazo ila kwasasa huwez kuwasikia wakisema kadi wanazo mpk watapoamuwa kutaka kupumzika au kustaafu kisiasa, kwahiyo unaposema nape alipaswa kuitwa, usifikir rais ni mjinga, rais ni taasisi kubwa sana, wala nape hawez kumuita rais bali rais ndio anaweza kumuita nape lkn rais akimuita nape, ataita wangapi sasa? Je majukumu yke ni kuita? No, rais anateua mtu amsaudie, akiona humsaidii anaweka mwingine na hili si kwasababu ni mwanachama, no.... Ndiomana rais anaweza kumteua mtu hata sio mwanasiasa, akampa ubungo na kisha uwazir.......
@frankgibore9813
@frankgibore9813 4 жыл бұрын
Amekumbuka bastola za dar,
@omarymwigula5479
@omarymwigula5479 7 жыл бұрын
Mnafiki tu analilia uwaziri tu huyo yeye kawatendea mangapi wenzake huyu huyu katufungia bunge live
@daybrelimite6126
@daybrelimite6126 7 жыл бұрын
Acha waisome namba
@tumainicharles8656
@tumainicharles8656 7 жыл бұрын
Hilo ni jembe letu l #Mtama watu Wa mtama hatuja Fanya makosa kumchagua #Nape ni chaguo letu.
@lameckdeofficial7205
@lameckdeofficial7205 6 жыл бұрын
Tumaini Charles ggg
@fatumahassan8212
@fatumahassan8212 4 жыл бұрын
Khakika mheshimiwa nape ni kiongozi mwenye ueledi wakina uimara mkubwa sana katika utumishi wake
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 Жыл бұрын
Kivipi Kama umeamua kumsifia msifie tu usizungumzie vitu ambavyo havipo,hata Ange fanya makosa ungesema amefanya vizuri 😊😊😊
@deifyallymagongo793
@deifyallymagongo793 7 жыл бұрын
jamani mm sio liccm mbona nape kaongea keel
@tzommyoriginali9144
@tzommyoriginali9144 7 жыл бұрын
ulipo tupo kiongoz wetu nape
@nyamwanzirukamba6982
@nyamwanzirukamba6982 6 жыл бұрын
jembe
@officialmilo7050
@officialmilo7050 7 жыл бұрын
nakukubali sana ww ni jembe
@joshuakwelimoto6494
@joshuakwelimoto6494 7 жыл бұрын
NAPE ULIVYOIMBA MTAISOMA NAMBA ULIJUA ATAISOMA NANI .MLIONA WALIO NJE YA CCM NI WAKENYA SAFI MAGU WOTE WANYOOSHE WAIJUE KUWA CCM HOVYO
@matiassaleh5250
@matiassaleh5250 6 жыл бұрын
Joshua kweli Mo to
@andrewnyambega5590
@andrewnyambega5590 7 жыл бұрын
hapo ndo ujue daimond km maji usipomuoga utamnywa
@Io-xz8bi
@Io-xz8bi 5 жыл бұрын
Mimi hapo mwisho hoa Yani Raha 254
@malaki047
@malaki047 4 жыл бұрын
Sai yote amesahau ashakua kma mkiya
@mohamedishabani7662
@mohamedishabani7662 6 жыл бұрын
nape unapenda nakila MTU hilo halifichiki
@levinalevinaleonsi2319
@levinalevinaleonsi2319 7 жыл бұрын
nampendaga jamani
@patrickcoshan6287
@patrickcoshan6287 7 жыл бұрын
Diamond oman
@patrickngwaulanga9758
@patrickngwaulanga9758 6 жыл бұрын
Hakuna nyimbo za ccm tena hapo kwa heri
@agfelicia3716
@agfelicia3716 4 жыл бұрын
Mbele yako nyuma yetu baba
@ashaakidotkidotlyova2881
@ashaakidotkidotlyova2881 7 жыл бұрын
sas hapa wanaimba au
@kinotasontravel3883
@kinotasontravel3883 7 жыл бұрын
wahimize wananchi walime
@festontandu1747
@festontandu1747 7 жыл бұрын
we love u nape
@tegemeanyunza7948
@tegemeanyunza7948 6 жыл бұрын
Apendwe asipendwe ss tunawatumbua 2
@lucasjohn4780
@lucasjohn4780 7 жыл бұрын
ndo goli la mkono uliolisema iloo
@zuuniece6635
@zuuniece6635 7 жыл бұрын
wewe ni mtu wawatu baba
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 жыл бұрын
zuu niece kabisaaaa kipenz cha weng
@lazarojohn6401
@lazarojohn6401 4 жыл бұрын
Bahati bukuku
@kingcobra9238
@kingcobra9238 7 жыл бұрын
bashite anawivu mtani
@tumainikassanga7659
@tumainikassanga7659 7 жыл бұрын
hongera nauye.
@phiniaspaul9566
@phiniaspaul9566 6 жыл бұрын
Mkutano wa nape mbunge
@abdulkareemramadhani8601
@abdulkareemramadhani8601 7 жыл бұрын
Mbona Wamejaa Wakina Mama Wengi?!!
@kinotasontravel3883
@kinotasontravel3883 7 жыл бұрын
Abdulkareem Ramadhani ndio wapo wengi duniani
@arafatimjungu2510
@arafatimjungu2510 7 жыл бұрын
mungu yuko pamoja na wewe
@daktar_kapaku_natural529
@daktar_kapaku_natural529 5 жыл бұрын
Acha ujinga
@husseinkombe9008
@husseinkombe9008 7 жыл бұрын
sa mbona wananchi wamechoka ivyo? hahaha wale mitaji hao wanakupenda sanaa
@pendomollel5099
@pendomollel5099 7 жыл бұрын
watambua majibu wanajionea wanyeweeeeeeee
@bashiruahmad418
@bashiruahmad418 4 жыл бұрын
P
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 7 жыл бұрын
wanawake wana mfuta uso kwa lazima jamani wanawakeeeeeeeeee viuno mbwara hata chupi hamna dou hamja olewa
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 7 жыл бұрын
Edson Sign hahahahahahaahah jamani ww wani fanya nicheke hahahahahaahah
@machembahemed8175
@machembahemed8175 6 жыл бұрын
Duuuu
@abdulmtausi6672
@abdulmtausi6672 7 жыл бұрын
acha vita ieendeleeee,hapa kazi tu,hakuna kuangalia makunyaziiiiii,ukimwaga mboga namwaga ugali,hongera nape,home sweet home
@frankgibore9813
@frankgibore9813 4 жыл бұрын
Amekumbuka bastola za dar,
FULL VIDEO: Nape alivyozuiwa na Polisi "alietoa Bastola aje hapa'
23:39
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
BAJAJI ya kwanza kutengenezwa na Mtanzania "imekosa kibali'
3:57
Millard Ayo
Рет қаралды 135 М.
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН