FIMBO YA AJABU: INATIBU MAGONJWA, INAFICHUA SIRI, WANAUME 5 HAWAWEZI KUIZUIA, ANAYEMILIKI ASIMULIA..

  Рет қаралды 62,042

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 203
@qwqw1665
@qwqw1665 3 жыл бұрын
Nakupenda sana ww kaka mana unahofu ya alla 🙏🙏🙏🙏
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 4 жыл бұрын
Mashaa allah tabarakallah
@deejaymustaphar2544
@deejaymustaphar2544 3 жыл бұрын
ningependa sheikh amwaagize fimbo kupaa angani, iwainue juu
@sheisgodorait5721
@sheisgodorait5721 4 жыл бұрын
Allah akubariki na azidi kukupa nuru zaidi
@rahemaiddi7344
@rahemaiddi7344 4 жыл бұрын
Mashaallah huenda ikawa Allah amekutumia kama chombo uje kutusaidia hio ndio imani yangu na muomba Allah akuzidishie kwasaba tumerongwa vya kutosha,time hangaika vyakutosha,na tumelia vya kutosha
@mwanaumejasiri3835
@mwanaumejasiri3835 4 жыл бұрын
MAASHA ALLAH
@nambasaashamiah9070
@nambasaashamiah9070 4 жыл бұрын
Watching from Uganda
@mohamedabdullahi3073
@mohamedabdullahi3073 4 жыл бұрын
Subhanallah!! Allah husamehe madhambi mengi lakini sio Shirki kubwa cha kiwango huko. Ndugu Muislamu usipotoshwe na huyu mshirikina mkubwa!!
@sawdaasawdaa7903
@sawdaasawdaa7903 4 жыл бұрын
SUBHANALAH masha Allah
@kemalswaleh9527
@kemalswaleh9527 4 жыл бұрын
Mashallah kijana nurdni mungu ndo alikuteuwa mwenyewe ili watu wajue una mungu akuna mungu mwingine wakuabudiwa ila Allah
@thelionwomen4970
@thelionwomen4970 4 жыл бұрын
Akuna jina lenye nguvu dinia kama jina la Jehovah Mungu aliye hai waislamum munajidaganya sana uyo mtoto ni mrozi wa mutumikisha akiwa mdogo uyo ushirikina.
@kemalswaleh9527
@kemalswaleh9527 4 жыл бұрын
@@thelionwomen4970 wewe huna uwezo wakumhukumu mwenye kuhukumu ni Allah
@khalidsalmin7682
@khalidsalmin7682 4 жыл бұрын
Sawa kabisa mashaallah umesilimu Alhamdulillah lakini hao waliokuwa wakikuotesha hizo ndoto ni majini kwa mujibu wa dalili hizo hivyo sasa haipaswi weye kutumia fimbo hiyo kama eti ni maajabu hakuna cha ajabu apo hayo mambo wanayo fanya hivyo kwenye hiyo fimbo ni majini hao sasa weye ungeachana nayo hayo mambo ya fimbo kama kuona umepewa maajabu hapana kwasababu ukizungumzia miujiza asaivi waislam tumebakisha Quran tu na mpaka atakapo rudi NAbii ISSA A.S ndipo atakuja na miujiza itokayo kwa ALLAH S.W kwaajili ya watakao amini unaposema neno maajabu yatokanayo na ALLAH S.W basi hata shirki bila ya ALLAH S.W haiwezi kufanyika lakini yeye ALLAH S.W ametukataza hata tusiwe karibu nayo wazo langu madamu umeshaingia kuwa muislamu yatosha quran na sunna za mtume Muhammad S.A.W kuwa tiba na dawa katika desturi ya kawaida na si fimbo kwani kipungua nini kwenye hadi uwe una iamrisha na kuiuliza fimbo shida badala ya kumuuliza ALLAH S.W KWA kumuomba kipi kilichozidi kwenye hiyo fimbo achana na hiyo fimbo soma quran na kufuata hadithi na sunna za mtume Muhammad S.A.W ipasavyo yatosha Alhamdulillah.
@kherysamiry6716
@kherysamiry6716 4 жыл бұрын
Ndugu ww huna elimu wala hekima ww ndio unatakiwa usome soma baba ww dini huijuw kabisa
@khalidsalmin7682
@khalidsalmin7682 4 жыл бұрын
@@kherysamiry6716 kheri sijakuelewa apo
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 4 жыл бұрын
Tayb nimekuelewa sana yatakikana asimame katika Quran
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 4 жыл бұрын
Msiba huu🍇🍎🍎🍨🍧🍧🍰🍦🍦🍦🍎🍇🍇🍨🍧🍧🍧🍰🍰🍉🍉🍉🍎🍇🍇🍇
@zamzamzam3920
@zamzamzam3920 4 жыл бұрын
MaalnshaAllah
@husnaameen9309
@husnaameen9309 3 жыл бұрын
Hiyo fimbo haijaiyona kuwa dunia inateswa na corona
@africandarling6925
@africandarling6925 4 жыл бұрын
Jamani hii fimbo Wasaidie wangojwa wa maradhi makubwa jamani kama kasa walipoza mungu uwenda hataleta kheri yake
@rexythardy347
@rexythardy347 4 жыл бұрын
Namba ya sim nurdin
@umimohammed1815
@umimohammed1815 4 жыл бұрын
Assalam aleikum sheikhe nurudini naomba namba yako simu we chukuwa kwangu0712557748nipigie niambie mm shekhe nurudini nipate namba yako kusevu na matatizo yangu
@asheracuteahmedi8700
@asheracuteahmedi8700 4 жыл бұрын
Naomb namb shekhe nurdin dongo kwa matibabu
@rahmabakari8925
@rahmabakari8925 4 жыл бұрын
As alaikum sheigh ninamzeewangu anasumbuliwa na miguu nahitaji nambazako
@z10jrtz47
@z10jrtz47 4 жыл бұрын
MASHA ALLAH..!
@rahemaiddi7344
@rahemaiddi7344 4 жыл бұрын
Subhann Allah mungu akihifadhi kipaji chako,naomba unifanyie dua na mm Nina matatizo,maji na yangu Rehema idd
@nusuratihamisi6524
@nusuratihamisi6524 4 жыл бұрын
Subhannallah
@omarsaidy2474
@omarsaidy2474 3 жыл бұрын
zama hizi za mwisho tutayaona mengi imani zetu zitatikiswa sana na tutayaona mengi sana ya uwongo kikubwa tu tusimame imara na imani zetu tusiteteleke maana tunakoelekea ni pabaya sana ndugu zangu
@khadijaali2690
@khadijaali2690 4 жыл бұрын
Mashallah
@abdulmalickupete9015
@abdulmalickupete9015 3 жыл бұрын
Tunaomba namba zake
@nebulanhiijjj
@nebulanhiijjj 4 жыл бұрын
Mashallah Allah akuweke .sheikh unatibu ?
@masjidhamzainstitute8890
@masjidhamzainstitute8890 4 жыл бұрын
Na nyinyi wandishi wa habari kazi mnayo mbele ya Allah
@mohammedrajabu7449
@mohammedrajabu7449 4 жыл бұрын
MaashaaAllah
@dhayondrama9907
@dhayondrama9907 4 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 4 жыл бұрын
Takbiiir
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 4 жыл бұрын
SubhanAllah
@dulasleyum7804
@dulasleyum7804 4 жыл бұрын
Mmoja anaisukuma
@RoseRose-qj5pw
@RoseRose-qj5pw 4 жыл бұрын
Pthooo Mungu sio wakujaribiwa na Mungu haitaji ushaidi ili ajulikane yupo .hell is waiting
@theroots2743
@theroots2743 4 жыл бұрын
Hiyo fimbo ipeleke china au marekani ukafanye matibabu ya corona
@fatmachiragdin1926
@fatmachiragdin1926 4 жыл бұрын
Staghfrullah.. this is sihr
@hassanimwape2169
@hassanimwape2169 4 жыл бұрын
Habari; Naomba namba zenu tafadhari Nina shida na shekhe ndugu Dongo
@Oman-nu2kc
@Oman-nu2kc Жыл бұрын
Tunaitaji namba zako kaka upo wapi
@tauhidakhamis717
@tauhidakhamis717 3 жыл бұрын
Naombeni no ya hyu kijana mwnye fimbo n mm ntk kutibiwa
@sofiasetu4162
@sofiasetu4162 4 жыл бұрын
Naomba namba ya shekh , natoka Kenya
@fatmafatoom6553
@fatmafatoom6553 4 жыл бұрын
Dah nusu vifume vidondoke dah fimbo inatabia mbaya iyo
@rayamuhene5246
@rayamuhene5246 4 жыл бұрын
Jamani muwe waelewa huu sio unabii nikuonyesha uwepo wa allah
@khalidsalmin7682
@khalidsalmin7682 4 жыл бұрын
Qurani inatosha kujua ALLAH S.W yupo pamoja na dunia angalia na vilivyo tuzunguka lakini hii bakora swali langu huyu kijana kapewa na majini ama weye unahisi nani walioenda kumuekea...ama nani kampa hapo hata yeye mwenyewe hajui inamaana ni majini hao...kwa mujibu wa kidesturi majini wanaweza kufanya mambo kama hayo...
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 4 жыл бұрын
@@khalidsalmin7682 ingekuwa ni majini isingelewana ma Quran na isingeamrishwa kwa jila la Mwenyenzi Mungu ikafanya
@khalidsalmin7682
@khalidsalmin7682 4 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 kueni makini sana nyie mitume walipewa miujiza na mtume alipewa na miujiza yake kwa maana bakora ulikua ni muujiza wa NABII mussa a.s kutoka kwa ALLAH S.W wapo hata baadhi ya masheikh wengi tu wanatumia majini na wanafanya mambo kuliko hayo swali langu ni moja tu hiyo bakora yeye mwenyewe hajui inapotoka pili mtume Muhammad S.A.W ni wa mwisho na ashakamilisha kila kitu na miujiza aliotuachia mtume Muhammad S.A.W ni quran tu sasa tokea aondoke MTUME MUHAMMAD S.A.W maswahaba wote wasipewe maajabu kama haya na ALLAH S.W aje apewe kijana huyu mbona haingii ata akilini fikirini vizuri jamani majini wana vitimbi kila aina na wanadanganya sana wanaadamu na hayo mambo yashatokea sehemu mbalimbali hivyo hiyo bakora ina utatanishi kwenye mawazo kwasababu haiwezi kujieleza haizungumzi vipi tukifuate kitu kisichoongea wakati quran ipo nijibu sasa...
@mwanaishamlima2047
@mwanaishamlima2047 4 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 ukimtaja Allah kwa shiriki bila kua na imani sahihi shetani hupenya
@samiraamran1890
@samiraamran1890 4 жыл бұрын
Habari kaka
@bimlatyjuma4494
@bimlatyjuma4494 4 жыл бұрын
Mimi bana ninacho taka kupona matatizo yangu, maswal fimb ya uchaw ya mung atajua she dongo. Mbona wakina mwaposa wanajiita manabii na zama za manabii zimeisha lakin wat wanaenda kufata uzima tu mpaka waislamu na makanzu wanaenda. Hvyo muhimu uzima wachawi nimewachoka jmn
@salmamasawe7893
@salmamasawe7893 4 жыл бұрын
Umenchekesha wewe😂🤣
@nasramohammed6716
@nasramohammed6716 4 жыл бұрын
Atakaejitibu na hiyo fimbo ajue kuwa kashajiingiza kwenye ushirikina namaanisha utakuwa ushamshirikisha mungu mana anaetibu maradhi ni Allah pekeyake
@leahchoyo7580
@leahchoyo7580 3 жыл бұрын
Hebu nisaidie mapepo kweli au uonevu tu
@fatmann6341
@fatmann6341 4 жыл бұрын
Mashallah takbiiir
@ramazubery2641
@ramazubery2641 4 жыл бұрын
Allahu Akbar
@husnaameen9309
@husnaameen9309 3 жыл бұрын
Mbona Kuna Pete umevaa?
@marcntwari4012
@marcntwari4012 4 жыл бұрын
Ushindwe kwajina ya yesu
@masjidhamzainstitute8890
@masjidhamzainstitute8890 4 жыл бұрын
Jamani hii siyo sahihi hata kidogo nikiwa na maana ya kwa ni ushirikina mtupu ni njia mpia nyengine itatumiwa kupoteza umma
@dimzalajuma2346
@dimzalajuma2346 3 жыл бұрын
Ukiamin ushirikia hata ukiombewa hutapona ng'o o B
@antamc5559
@antamc5559 2 жыл бұрын
Test ya kwanza ikaanze muhimbiri
@hamjanikera1234
@hamjanikera1234 4 жыл бұрын
Allah atuongoze kwenye njia ya haki.Hii zama tutaona mengi tu binadamu kumkosoa Allah
@kijikomuhammad2557
@kijikomuhammad2557 3 жыл бұрын
tumche allah allah akuongoe huyo na mimi alafu huyo jamaa ametoka katika ukristo ameingia huku nae anawapoteza watu imani zao ewe Allah tuongoe
@dechaggagirl1614
@dechaggagirl1614 4 жыл бұрын
Yalaa🙄🙄🙄
@SalumNasekapppn
@SalumNasekapppn 4 жыл бұрын
Asalaam alaikum twaitaji nambayake shkh kifimbo
@SalumNasekapppn
@SalumNasekapppn 4 жыл бұрын
Twahitajinambayake shkh kifimbo
@leahchoyo7580
@leahchoyo7580 3 жыл бұрын
Kaka Mimi Ni Lea choyo nasumbuliwa na mapepo siku nyingi hebu nisaidie nilikuwa sikujui lakini Leo nimekuona mtandaoni wote Ni wa kwa luhumbika Mimi baba yako mzee choyo
@afrabiakisope6743
@afrabiakisope6743 4 жыл бұрын
Muogopeni Allah mtu Kama uyoo habari zake msizieneze jamii ikapotea fimbo ya ajabu ni ya nabii Mussa ambayo imetajwa katika qur ani
@jumaramadhani1486
@jumaramadhani1486 4 жыл бұрын
Yan mimi nachukia Mungu anisamehe kama nakosea huu ni upotoshaji wa hali ya juu nadhan bakwata watoe tamko kuhusu hiyo fimbo isiwe ni jambo linalowaweka watu biz nakukubali eti ina maajabu wangeichukua tu waitupe waone kama kuna lolote litatokea
@moanamohammed1406
@moanamohammed1406 4 жыл бұрын
Subhanallah astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah
@danteanton8411
@danteanton8411 3 ай бұрын
vip fimbo ilienda wap
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 4 жыл бұрын
Hayo ni mazingaombwe au Magic
@rickythobby
@rickythobby 3 жыл бұрын
Aende nayo muhimbili kama vp kma inaponya tutaona co vdeo za kuhojiana youtube.
@ashatanzanian7559
@ashatanzanian7559 4 жыл бұрын
😂😂😂we mtangazaji umeniacha hooi mwisho eti ayo ndo ya musa aise nimecheka sana2 daa😁😁ebu naomba namba zake na mm kunaswari nimuurize
@fatmafatoom6553
@fatmafatoom6553 4 жыл бұрын
Ndiyo nnss kudhalilisha vidume
@samsonhaule3647
@samsonhaule3647 2 жыл бұрын
Iyamuru hiyo fimbo iwanyanyue juu miguu isiguse chini, hapo ndipo tutaamini hiyo fimbo.
@mbozibukuru2592
@mbozibukuru2592 4 жыл бұрын
Ingelikuwa ni wa Cristo mngesema sana niatari kumbe ni wote tunataka maajabu
@joycemotela505
@joycemotela505 4 жыл бұрын
Kama ni uchawi yy ndo anajua na mungu wake
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 4 жыл бұрын
Subhanallah 254
@khadijaabdallah6479
@khadijaabdallah6479 4 жыл бұрын
Nataka namba yke tampataje
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 4 жыл бұрын
Allah Akbar
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 4 жыл бұрын
Huyo alikuwa ni Shetani wa Kijini alikuwa akikutokea ndotoni. " akikujieni mtu faski na neno/jambo lake mchunguzeni mtu huyo" " hawatokuwa radhi Makafiri na Manaswara mpaka mfuate Mila zao". But all in all, East and West Islamu will remaining the Best.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 4 жыл бұрын
Ndugu ktk imani kasome dini halafu ndiyo uandike na kutoa ushauri, si busara kueleza usichokuwa na elimu nacho. Je Hidhiri alikuwa ni nani?! Mtume, Nabii au muislam wa kawaida?! vipi kuhusu aliyokuwa akiyafanya mpaka Nabii Mussa (A.S) akawa anamuuliza maswali kwa mshangao?! je aliyoyafanya yametokana na masheitwani wa kijini au Mwenyezi Mungu?!, pia kuhusu visomo vya Ruqya vinavyosomwa sasa na baadhi ya watu wa makundi fulani ktk dini, je wapi imethibiti Mtume Muhammad (S.A.W) alisoma Ruqya kwa utaratibu huu na wakati anasoma aya za Qur'an alizipangilia kama hivi zinavyosomwa sasa kwa kunyofoa nyofoa aya?! Zaidi utagundua haya yamewekwa na baadhi ya watu fulani kwenye dini watu ambao wanapingana na watu wengine waliowatangulia ambao nao pia waliweka utaratibu kama huu wa namna ya kuwasomea watu!! Kujua nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi inahitaji elimu. Tusikurupuke, kukosoa dini sio kitu cha mchezo!!
@zulfazuberi7795
@zulfazuberi7795 4 жыл бұрын
Kwakweli Ni Maajabu
@prosperkonokono9385
@prosperkonokono9385 Жыл бұрын
sasa si uende mahospitalini ukaponye watu ?tunataka tuone madawa yanaeksipaya kwa kukosa wagonjwa
@innomushi5994
@innomushi5994 3 жыл бұрын
Hiyo sio fimbo ni majini hayo
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 4 жыл бұрын
Quran inatosha kuonesha kuwa Allah ni moja na wapekee ni uisilamu ni dini ya haki. Usitudanganye na fimbo yako, ukweli wako unaujuwa mwenyewe. Masharifu ishakuwa old fashion Imekuja kikombe kwa babu Fimbo na mengine yapo nisiyoyajuwa Kuwa uyaone. Allah tuongoze kunapo hakki.
@abdullah-eq3lt
@abdullah-eq3lt 4 жыл бұрын
quran ni muujiza wa Allah kwa mtume muhammad kwhio hakun ten miujiza baada ya mtume kuondok dunuan ila makarama bado yapo kwa waja wema wa Allah kwahio hio fimbo ni makarama kapewa kijana usimhusudu bure mwenzio
@fubub3595
@fubub3595 4 жыл бұрын
Yani fimbu lazima iguswe njo ina pata ngufu , peke yake ayi fanyi ?
@wmarysella
@wmarysella 4 жыл бұрын
Nipe no. Ya huyu kijana mtangazaji
@playstore790
@playstore790 4 жыл бұрын
Km inatibu iyo vimbo mm nna mume wangu anaumwa huu mwaka kadhaa ajapona ashafika kukatiwa viungo alikuwa mzima Sasa Hana mkono namguu taabani Basi km inatibu nisaidiye
@minabuelysee8
@minabuelysee8 4 жыл бұрын
ile fimbo haitibi bali anaetibu ni Allah
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 4 жыл бұрын
Ushirikina mtupu hata aya aliyotaja haitetei upuzi wake, anaeponya ni MUUMBA tuu japo twatumia madawa kama sababu nisawa na kufanya kazi ila mtowa riski ni MOLA, wachavuzi wa dini laana za ALLAH ziwateremkie.
@gradjackson9168
@gradjackson9168 4 жыл бұрын
Njee naweza kupat now na yuyo mweny vimb naitaj anitbu
@rashidsanga4092
@rashidsanga4092 4 жыл бұрын
Move,zilizo,tafisiliwa
@liliankemuma9475
@liliankemuma9475 4 жыл бұрын
Hilo ni jini sio fimbo halali,ndio maana ukaslimishwa
@hashimmohamed3215
@hashimmohamed3215 4 жыл бұрын
Nakubaliana nawe kuwa hilo ni jini linaloendesha hiyo fimbo. Kwa kuwa uislamu unatambua uwepo wa majini basi hilo jini limetumia hila kumsilimisha huyo kijana ili lijifiche kwenye kivuli cha uislam.
@sarahmaganga7073
@sarahmaganga7073 4 жыл бұрын
Tunaomba uje maeneo yacharinze ututibu marazi ukifika nitafute
@mamakealizecha9391
@mamakealizecha9391 4 жыл бұрын
Kama inatibu tupatieni namba tuje tusaidike na sie
@jarofclay6458
@jarofclay6458 4 жыл бұрын
Venye corona ilakuja hawa wateule sijui manabii where are yu to safe the world instead of myths
@joycemsuya1508
@joycemsuya1508 4 жыл бұрын
Sasahivi unapatikana wapi
@furahajonas7425
@furahajonas7425 4 жыл бұрын
Jini hilo
@cookinglist1004
@cookinglist1004 4 жыл бұрын
mashaalla walahaula walakuwata illa bilaa.
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 4 жыл бұрын
Majini wanasifa ya kuzungumza/kueleza habari za mtu, vitu, mambo nk. Kutaka michoro/remain ya michoro (picha ilivyo) nyumbani kwa mtu hizo habari wamepashana/wanapasha majini wa hao jamaa na Jini/Maji (Mashetani/Maibirisi) wako, kwavile binadamu hatuna uwezo wa kuwaona Majini na kuwasiki wakaelezana michoro hiyo na kupitia kinywa chako Jini/Majini ilikuwa nao wakatamka michoro hiyo. Hiyo ni Ramli ya kupitia Majini waasi (Mashetani/Maibirisi). Shikh tafuta Wataalamu wa Rukia ya Kisharia usomewe na upewe madawa inshaAlla yakutoke hayo Mashetani/Maibirisi. Shetani anapotaka kumpoteza mja hutumika mbinu nyingi. Majini waasi wanatupeleka msituni (baadhi ya makazi yao) na kukulisha vyakula vyao bila kuelewa (ulipumbazwa akili)akajiona unaishi/unaishi salama na kuzawadiwa fimbo bila kumuona anaekupa zawadi hiiyo ya mazingaumbwe., ungeikataa/ikatae na inshaAlkalkah ukuendelea na ibada zako za Kiislamu uone nini kingetokea/kitakea? Usipojitambuwa (tusipo jitambuwa) Majini hujatuma watu kazi nyingi za Kishirikina ikiwemo Utabibu/Uganga na kupewa masharti. Jiandae kwa masharti ya majini. InshaAllah Allah atuhifadhi na vitimbi vya Majini.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 4 жыл бұрын
Ndugu ktk imani kasome dini halafu ndiyo uandike na kutoa ushauri, si busara kueleza usichokuwa na elimu nacho. Je Hidhiri alikuwa ni nani?! Mtume, Nabii au muislam wa kawaida?! vipi kuhusu aliyokuwa akiyafanya mpaka Nabii Mussa (A.S) akawa anamuuliza maswali kwa mshangao?! je aliyoyafanya yametokana na masheitwani wa kijini au Mwenyezi Mungu?!, pia kuhusu visomo vya Ruqya vinavyosomwa sasa na baadhi ya watu wa makundi fulani ktk dini, je wapi imethibiti Mtume Muhammad (S.A.W) alisoma Ruqya kwa utaratibu huu na wakati anasoma aya za Qur'an alizipangilia kama hivi zinavyosomwa sasa kwa kunyofoa nyofoa aya?! Zaidi utagundua haya yamewekwa na baadhi ya watu fulani kwenye dini watu ambao wanapingana na watu wengine waliowatangulia ambao nao pia waliweka utaratibu kama huu wa namna ya kuwasomea watu!! Kujua nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi inahitaji elimu. Tusikurupuke, kukosoa dini sio kitu cha mchezo!!
@mozaummy327
@mozaummy327 4 жыл бұрын
Siamini kabisa
@playstore790
@playstore790 4 жыл бұрын
Asalàm alaykm
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 4 жыл бұрын
Waaleikum salaam warahmatullah wabarakatu
@abelsteven3189
@abelsteven3189 3 жыл бұрын
Haya ndio utakuta ni yale majini mazuri, yaliyo sikia Koran yakasilimu.
@godlovemasamakibatandu2092
@godlovemasamakibatandu2092 4 жыл бұрын
ikatibu corona hiyo fimbo,siku hizi wasukuma ni mataperi na kiswahili chao cha ushamba
@jumaramadhani1486
@jumaramadhani1486 4 жыл бұрын
Utapeli wa wazi wazi kabisa
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣, eti Corona...
@المهلهلالحراصي
@المهلهلالحراصي 4 жыл бұрын
Hahahahahah eti watapeli
@rahmatnandule5796
@rahmatnandule5796 2 жыл бұрын
Uko wap
@mankasoka7988
@mankasoka7988 4 жыл бұрын
Huyu nurdini a napatikana wapiii
@salmamasawe7893
@salmamasawe7893 4 жыл бұрын
Anaishi gongolamboto
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 4 жыл бұрын
Uongo mtupu una macho yak vile da inalllah wanaillilah lajiuni allah tuongoz ktk njia ilinyoook ishaalah allah
@nasrihussein4293
@nasrihussein4293 4 жыл бұрын
Inalillahi wainaillahi rajiun kwani hiyo fimbo ni ya mtume musa lol
@cheupecheu5481
@cheupecheu5481 4 жыл бұрын
Inna lilah waina illaihim rajyun jamani waislam dini tunaipeleka wapi mambo mengine tunatia aibu kwa tamaa za kidunia unayoo ongea mengine ni uongo mtupu na ni ushikina tu hiyo fimbo ni fix tu hamna kitu apo ila daawa jitahidi kulingania kalima ya lailaha ila Allah
@controlTheoryChamps
@controlTheoryChamps 4 жыл бұрын
Kwanini usingemwachia mtangazaji aibebe peke yake?
@jadihamad681
@jadihamad681 4 жыл бұрын
Naomba number yako yacm
@salimselemani6117
@salimselemani6117 4 жыл бұрын
mashallah tunaomba aje na tanga
@abdulazizal-mazroui3363
@abdulazizal-mazroui3363 4 жыл бұрын
Asalam aleykum naomba number ya huyu kijana tafadhali
@salmamasawe7893
@salmamasawe7893 4 жыл бұрын
0716272723
@wangonamuhange8218
@wangonamuhange8218 4 жыл бұрын
Uchawi unaendelea imani iyo ndo maala pake
@harunakayega5531
@harunakayega5531 4 жыл бұрын
Hakuna laana kubwa kama kufanya mambo ya kishetani na kusema kwamba ni ya mungu
@somahmed123
@somahmed123 4 жыл бұрын
Upuzi
@thelionwomen4970
@thelionwomen4970 4 жыл бұрын
Ni kweli ni uchirikina walimutumia akiwa mdogo saaana utshawi kubwa
@daiay4128
@daiay4128 4 жыл бұрын
Mbona hujaweka namba yako ya cm tutakupata vp
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 4 жыл бұрын
Hasa hiyo fimbo siikasaidie corona huko watu wanateketea tuuh nenda hata Kenya kawasaidie na corona
@nasramohammed6716
@nasramohammed6716 4 жыл бұрын
Sindio ivo sasa anajitangazatangaza nini sasa aende tuu akaponeshe km ni kweli watu wenyewe watamtangaza na watu wote watamtafuta . asituzingue uyo anataka kutuingiza kwenye ushirikina tuu
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 4 жыл бұрын
@@nasramohammed6716 😅😅😅😅😅
КОНЦЕРТЫ:  2 сезон | 1 выпуск | Камызяки
46:36
ТНТ Смотри еще!
Рет қаралды 3,7 МЛН
УЛИЧНЫЕ МУЗЫКАНТЫ В СОЧИ 🤘🏻
0:33
РОК ЗАВОД
Рет қаралды 7 МЛН
THE MOST POWERFUL RUQYAH REMOVES Djinn IN THE HUMAN BODY AND BLOODSTREAM
1:40:25