Рет қаралды 443,793
MIUJIZA YA MTOTO HAITHAM, AKIWA TUMBONI HAKUONEKANA Hospitalini, ANAOMBEA NA KUPONYA MAGONJWA SUGU - Sehemu ya Kwanza.
Global TV imefanikiwa kukutana na familia ya mtoto HAITHAM KHAMISI wa jijini Dar es salaam Tanzania, ambaye anatamba kwenye mitandao ya kijamii kwa kuonesha kipaji cha kipekee cha kuchambua uumbwaji wa mtoto tumboni kisayansi kwa lugha ya Kiingereza fasaha na kwa mujibu wa maandiko matakatifu ya Qur'an tukufu, ili hali akiwa na umri wa miaka saba tu na anayesoma Darasa la Pili.
Miongoni mwa miujiza yake, ni pale alipkuwa tumboni ambapo mama yake alipoenda hospitali vipimo vilionesha hana mtoto tumboni ingawa alikuwa akionekana ni mja mzito,,,baba yake mzazi, KHAMISI MSHAURI anasimulia anavyoombea na kuponya watu jijini hususan YOMBO VITUKA, katika SEHEMU HII YA KWANZA....
.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline