UZINDUZI KITABU CHA YANGA | Hotuba kamili ya Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko

  Рет қаралды 18,425

Azam TV

Azam TV

12 күн бұрын

Ni hotuba ya mgeni rasmi katika uzinduzi wa kitabu cha historia ya Yanga, uliofanyika usiku wa Juni 15 Hyatt Hotel Dar es Salaam.
Huyu ni Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Dotto Biteko ambaye amezungumza mengi ikiwemo kuonya klabu za mpira kuepuka migogoro, mipango ya serikali kuendeleza michezo Tanzania, lakini pia ameitaja timu anayoshabikia Tanzania.

Пікірлер: 19
@MugabepeterMagai
@MugabepeterMagai 9 күн бұрын
Kama ww ni mwananchi sema,, YANGA Oyeeeeeeee ❤
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 9 күн бұрын
Mungu tusaidie ili furaha yetu iendelee kudumu kwa wachezaji wetu,viongozi wetu,hata sisi mashabiki Neema na Baraka zake Mwenyezi Mungu ziwe nasi sote🎉🎉🎉🎉
@elidadi1351
@elidadi1351 9 күн бұрын
Big up sana kwa klabu yetu Ya Yanga
@user-np4om6hz4m
@user-np4om6hz4m 9 күн бұрын
Hongera yanga kwa uzinduzi wa kitabu kizuri daima mbele nyuma mwiko🎉🎉🎉
@petersynto2043
@petersynto2043 9 күн бұрын
Najivunia kuwa mwananchi ❤❤❤
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 9 күн бұрын
Jamaa yupo smart sana
@cleophacemasole
@cleophacemasole 9 күн бұрын
Nampongeza Sana Mh. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Dkt. Samia Sulihu Hasani. Kwa maelekezo yake kwa Vilabu vya soka nchini kuacha tabia ya kuleta migogoro na badala yake wawe wepesi kushirikiana na Viongizi wao kuleta mafanikio ya Timu zao. Asante sana Mama.
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 9 күн бұрын
Asante Mwenyezi Mungu Kwa Kunichagulia Timu Yenye Furaha, Na Viongozi Wanaotamani Mafanikio,Amen, 🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉💛💛💛💛💚💚💚💚💚👏👏👏👏👏👏💛💛💛💚💚💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏✅✅✅✅
@MuhungaMasengo-og3vk
@MuhungaMasengo-og3vk 9 күн бұрын
Aliwahi kusema mtumishi wamungu nileteheni awa vijana
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz 9 күн бұрын
Kitabun kitapatikana wapi nikitaka
@jumannebasesa1100
@jumannebasesa1100 9 күн бұрын
Great Job 🎉🎉
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 9 күн бұрын
Allaah Akbar
@sevelintino6181
@sevelintino6181 9 күн бұрын
Ivi mbona simba mmeiachaniza hivyo viongozi
@frenkabdalla5884
@frenkabdalla5884 9 күн бұрын
Baraaa
@stafordbusumbiro2810
@stafordbusumbiro2810 9 күн бұрын
Yanga mmekuwa kioo. Mtabaki kuwa dira ya nchi katika nyanja ya mchezo wa mpira wa miguu. GSM, Eng. Hersi na jopo lako mmeiheshimisha Yanga na Tanzania. Matukio ya aina hii ni adimu ktk Afrika na hata duniani. Yanga mmekuwa waasisi wengone watafuata. Tunaiombea Yanga ifike mbali katika mafanikio ya Uwanjani ili ilitanhazr taifa letu.
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 9 күн бұрын
Amiin
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 9 күн бұрын
Amina
@msafiriomary893
@msafiriomary893 9 күн бұрын
Kitabu Cha Tanga mnaaxha kuzindua kitabu Cha magufuli arie tujengea madaraja mahospital mabarabara reo tunatembea bra foreni ety mnazindua kitabu Cha Tanga hovyo kabisa
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p 9 күн бұрын
nyooooo huo ni wivu fal wee yanga walipigania uhuru boya wee
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 156 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 29 МЛН
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 25/06/2024
22:48
Azam TV
Рет қаралды 7 М.
#LIVE: HATIMA YA LUHAGA MPINA, BASHE YASOMWA MUDA HUU BUNGENI
2:26:30
Mwananchi Digital
Рет қаралды 28 М.
#LIVE: MBOWE NA LISSU WANAKIWASHA MUDA HUU ARUSHA, NI KIVUMBI
1:12:17
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 11 М.
CHALLENGE FOOT ⚽️🌹
1:01
Tonyczh
Рет қаралды 38 МЛН
Will You Help Messi? Ronaldo help Messi? #shorts    #football
0:29