Wimbo huu ni wimbo wa kumsihi MUNGU asimame atende sawa sawa na Yer 33:3. Tumemuita MUNGU akutane na kila hitaji gumu na hakika sikio lake si zito atatenda. #VailethMwaisumo#MarthaMwaipaja#Usinyamaze.
Пікірлер: 1 900
@neftedymakukulu6561 Жыл бұрын
Sitaki tena kuugua maana nikiuguwa wengine wanafrahi Asante yesu
@benardkivunja Жыл бұрын
Baba wa mbinguni usinyamaze vile tulivyo kuomba sikia Baba jibu tu kwa neema na rehema zako tu
@mamabinti7115 Жыл бұрын
Napenda unvyoimba nyimbo za kutia moyo ubarikiwe zaidi dadangu
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amina
@mwajumamatembezi1554 Жыл бұрын
Mungu akurinde nakupenda dada
@gabrielmakomere1022 Жыл бұрын
Kwa kweli tuko na maadui wengi katika familia zetu ni Hali mungu naomba usinyamaze nipaginie baba hasanteni kwa wimbo huu
@EstheryAtieno-sw8scАй бұрын
Mungu wangu usinyamaze kwa ndoa yangu tenda jambo
@esthernyaboke7479 Жыл бұрын
Amina,ii Mwaka naomba usinyamaze maadui wangu wafurahi,Nibariki,nifungulie njia na uniinu akwa sifa na utukufu wa jina lako.AMINA
@AnnKipsang14 күн бұрын
Usinyamaze baba adui wasije wakafuraĥi ❤❤❤
@MaureenMalusha20 күн бұрын
Mungu wangu usinyamaze kimya sema neno moja tuu na na moyo wangu utapona na ndoa yangu wimbo huu umenibariki sana
@leopodinadominic4391 Жыл бұрын
Nimechoka kulia, sitaki tena kuwa chini! Mwenyezi uwe nasi daima! Usinyamaze ninakuomba 😢
Jamani wapendwa wa TZ MUNGU huwatumia kwa njia ya uimbaji ooh endeleni kua baraka ketu from Kenya
@samuelkibusu-sh9hu Жыл бұрын
Mungu asinyamaze maadui wafurahie,,,,,,,mungu atete na wso wanaoteta NAMI,apigane na wanaopigana nami.thnks sana watumishi wa mungu kwa wimbo huu
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amen
@Saramutinda6735 ай бұрын
Bado naucheza huu wimbo🙏 Naomba usinyamaze baba yangu🙏🙏 Neema itoshe sana
@valenakomba9218 Жыл бұрын
MAADUI NI WENGI SANAÀ. MUNGU USITUNYAZIE TUNAKUOMBA.
@everlineeverlinewamalwa2438 ай бұрын
Mungu hatanyamaza kamwe, yupo nasi site🙏🙏
@vailethmwaisumo8 ай бұрын
Aimen
@charitynyclin4086 Жыл бұрын
🙏🙏🙏 keep it up good work 🙏
@patriciaS.Vincent10 ай бұрын
Ooh nimebarikiwa🙏🙏🙏
@vailethmwaisumo10 ай бұрын
Amen
@michaelmuasya976 Жыл бұрын
Aky naomba usinyamaze pekeyangu siwezi .kuja karibu jeohova
@ricardolavie7679 Жыл бұрын
Asante mubarikiwe sana Jéhovah inaomba atambulike katikati ya muungu kweli Mutakatifu nani kama wewe
@ruthnelima6181 Жыл бұрын
Mungu usinyamaze Nimechoka kulia sitaki kuwa chini🙏🙏🙏🙏
@KuiMunyiri-nn8op11 ай бұрын
Usinyamaze mungu wangu Usiache maadui zangu wafurahie matezo yangu baba
@wkjshsxbbsbs63922 жыл бұрын
Ooooh.mungu usinyamaze maana jeshi ni kubwa LA kudai kiniangamiza naomba usiruhusu nianguke mikononi mwao
@user-iq1hm8mo8s5 ай бұрын
Mwimbaji huo Mungu aendeleye kumuchunga
@jaxonmwanasiasa8852 Жыл бұрын
Baba naomba usinyamaze kwa maisha yañgu na ya yeyote anayeuskiza wimbo huu maana tumechoka kusononeka
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amen
@clintonlmakanga Жыл бұрын
Mungu kwa kweli maadui n wengii naomba usiniachilie usinyamaze mungu fight 4 me battles l can't fight
@marthamashinji68302 жыл бұрын
Wimbo mzuri barikiwa sana karibu kwenye akaunti yangu ya martha mashinji
@naomimatayo2456 Жыл бұрын
Naomba usinyamaze Jehova nitazame stk tena kuugua;;;;;;;; mbarikiwe sana watumish wa Mungu ;;;;; Mungu awatumie kwa viwango vya juu sana
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amen
@onsarigoemily2644 Жыл бұрын
So touching ,God am tired crying day and night do a new thing to my life to wipe my tears,don't let my enemies to throw stones at me and defeat me
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amen
@florencemokua89055 ай бұрын
Kindly Mungu usininyamazie,nipee hatua nyingine,Kwa macho waone nko nawewe Mola,wewe ni kila kitu,Jitukuze Mimi mwanao Mola😊
@dafrosanassoro50553 жыл бұрын
Naomba usinyamaze ninamwaka sasa nimelala kitandani siwezi hata kusimama Baba naomba usinyamaze niinue na Mimi 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 machozi yamekuwa divai yangu yesu naomba usinyamaze ubarikiwe dd wimbo umenifariji sana mbarikiwe
@faithjahendah94093 жыл бұрын
May healing be your portion 😭🙏
@silvestererasto98903 жыл бұрын
Neema na huruma za Bwana zikuguse pokea uponyaji wako
@phoebecheye8103 жыл бұрын
Pona kwa jina laYesu🙏🙏
@sylviaanota503926 күн бұрын
Mungu na akakuamshe Pale mahali umelala.
@magrethkapinga181113 күн бұрын
Mungu atakuinua usichoke kumuomba Ammen
@user-bd9uu8li9x4 ай бұрын
Mungu Wang usinyamanze kwamaisha yang
@user-ii6uw1wk2x5 ай бұрын
mungu awainuwe watumishi siku baada ya nyingine maana mumekuwa baraka kwangu sana
@philispouline-wb7yl10 ай бұрын
This song is just a blessing to me , Isaiah 41 :10 haleluhya
@enocktweve3900 Жыл бұрын
Naungana nawewe mungu wetu nimsikivu
@neemamsigwa3822 жыл бұрын
Kweli baba ukinyamaza peke yetu hatuweza
@WendyOchieng-hu1gd11 ай бұрын
Usinyamaze Baba yuwajuwa shida zangu,,
@albertwilsonalbert013 жыл бұрын
Hata kwangu Usinyamaze, Vita ni vikali. Bila msaada wako Eee Yesu siwezi. Usininyamazie
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@meryfredy54133 жыл бұрын
Amina
@maggymshay76663 жыл бұрын
Nikiona Jina Martha mwaipaja siezi pita huo wimbo bila kusikiza❤️❤️
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Barikiwa
@dayanajonas29263 жыл бұрын
Ndivo ilivyo kwangu nampenda sana huyu Dada!! Naomba usinyamaze Mungu
@elizadaniel96423 жыл бұрын
Hii ni kwel jmn martha 🙌🙌
@happypius30783 жыл бұрын
Hata mimi kwa kweli
@jameskenzedex3 жыл бұрын
kumbe wewe sawa na mm napenda nyimbo zake sana
@LILIANOMONDI-pr8lq20 күн бұрын
Hiyo wimbo inanikumbusha mbali sana
@user-de5og8pe9w5 ай бұрын
Usinyamanze usikiye utazamezame mungu abaliki muimbajiuyu
@visrerssusan Жыл бұрын
Amen Amen, maadui ni wengi lakini sitanyamaza kamwe ntazidi kumuita Mungu 🙏🏻
@Empressever254 Жыл бұрын
May God bless you abundantly our sisters 🙌🙌i know I'll never be th same 😢God's in control I'll rise again 🙏hve suffered alot😏 it's my time for breakthrough 🙌God I adore you,,, hear my voice🙏
@achiengachieng1508Ай бұрын
Kwa macho ijulikane niko na wewe man of war
@jenniferkimtai59383 күн бұрын
Naomba usinyamaze ewe bwana
@imeldambilinyi63353 жыл бұрын
Hii nayo pili pili nyingine kwa shetan,,,,usinyamaze imekuja kitofauti hongera mtumishi
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Shukrani sana mpendwa wangu
@siwemamsesa520 Жыл бұрын
Nawapenda sana Dada zangu, Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amina
@ErickMahese-wm4ypАй бұрын
❤❤❤❤❤baba usinyamaze nikiliya kwako
@veronicajevance4573 Жыл бұрын
Vita nivikal mungu hasa wakat huu mungu angalia wates wanavyonifuatilia
@ezekielikashi9791 Жыл бұрын
Hiii NI moja ya nyimbo zako ninazozipenda sana. Na kazi zako zimejaaa ujumbe mzuri. Mungu akubariki Sana. Hakika Mungu asinyamaze kwangu
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amen
@estherngari2954 Жыл бұрын
May God bless you more 🥰,it's a wonderful song
@RodaNanjala7 күн бұрын
Napendwa nyimbo zenu❤❤❤
@doricedastan10493 жыл бұрын
Zidi kuinuliwa mtumishi hakika unabariki wengi kupitia nyimbo zako mungu azidi kukuinua asinyamaze juu yako nawengine wanaomtumaini ktk Rohonakweli
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amina mpendwa
@jacquelinemassengo54663 жыл бұрын
Amen, USINYAMAZE babangu, ADUI NI WENGI VITA VIKALi, PEKE YANGU SIWEZI
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amina mpendwa
@maryammohammad48283 жыл бұрын
Time kujiamini like zenu hapa, tunapo omba mungu wetu, asinyamaze katikati yamapito yetu
@veronicantamya5433 жыл бұрын
Naomba usnyamaze kwenyemaisha yangu
@marychai34053 жыл бұрын
Mj.mbarikiwe sana mungu awazidishie
@BonnaceObita2 ай бұрын
Naomba,mungu wangu utende qwangu
@everlinedemesi62258 ай бұрын
Mungu usinyamaze Kwa maisha yangu maana maadui n wengi 😂😂love the song
@vailethmwaisumo8 ай бұрын
Amina
@K....ing0063 жыл бұрын
Naomba usinyamaze Mungu wa Daniel usinyamaze wanangoja niabike naomba usinyamaze wakafanya sherehe kwaajili ya anguko langu nitazame Mungu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭nimechoka kulia mm jmn sitaki tena kuwa chini
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amina
@binrobert40463 жыл бұрын
Usinyamaze Baba. Don't be silent God. Greetings from Kenya. God is indeed not silent on my life affairs.
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amen
@neemashabani84312 жыл бұрын
Elf 5 kwa Leo kwakusikiliza unachokiimba Dada Martha na sitojutia kamwe salio langu nakupenda pia Dada vailet mwaisumo mmekua wafariji nataman siku moja niwaone
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amen
@user-wb1fg1fk8o10 ай бұрын
Wap ilatu ahatishi Kwasabbu anaye dushindia ananguv kuliko wawo ubalikie Tena dada wetu kipenzi
@Resudahexiaomianbao2 жыл бұрын
Amen. Mungu wangu naomba usinyamazee katika maisha yangu madui wengi sana
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amina
@faithchemtai28002 жыл бұрын
Ata sijui ni how many times naangalia huu wimbo,,for real is a good song 'naomba usinyamaze mungu' keep up watumishi wa wangu
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amina
@user-oj5ui9ro6u4 ай бұрын
Hakika mungu usinyamaze staki kuteseka tena uwe nami daima
@puritykarimi8058 Жыл бұрын
Usininyamazie Yesu wangu. Jeremiah 29:10-14. Jehovah ukinena umenena
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amina
@SHUJAAWAIMANIHYLINEBAKE Жыл бұрын
Naombo uzinyimanze Kwa madui zangu mungu🙏🙏
@oshimamsungu32943 жыл бұрын
usinyamaze, usinyamaze Baba, mubarikiwe sana watumishi wa Mungu
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amina Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana
@jescarmauwa9203 жыл бұрын
Mungu akuzidishie martha nakupenda Sana mama yangu👏👏👏👏👏👏👏👏
@luhekelondelwa97143 жыл бұрын
Baba wa mimi uko wap Naomba usininyamazie Mbarikiwe watumishi Wimbo Unatubarik mno
Indeed you nailed this song by the spirit of God be blessed our sisters Martha and Mwaisumo ❤❤ luv your songs so much
@vailethmwaisumo9 ай бұрын
Amen
@lynelee58463 жыл бұрын
Hata kunyoa ni style 🤸🤸🤸🤸 anyway am in love with your songs Martha 🥰🇰🇪
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Thanks
@kennedykisasatibarasa86642 жыл бұрын
MUNGU usinyamazee naomba lija vita ni kali usinyamazee . barikiwiweni sana
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amina
@peterheritage5694 Жыл бұрын
Mtoe ingine kama hiyo naomba msinyamaze
@shebahkemm-Nyabuto3 жыл бұрын
Bwana usinyamanze such amazing song it really touches me team kenya🇰🇪🇰🇪 viewers zifike a million in Jesus name
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amen thanks Shebah
@margretyego46473 жыл бұрын
Ubarikiwe dada
@shebahkemm-Nyabuto3 жыл бұрын
@@vailethmwaisumo see God now we are almost and it will happen in Jesus🇰🇪🇰🇪
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
@@shebahkemm-Nyabuto Amen GOD is Soo good
@shebahkemm-Nyabuto2 жыл бұрын
And finally we have made it,keep blessing us with such songs,God bless you sister
@graceomedokhatenje55513 жыл бұрын
Madui n wengi wengi,,vita vikali peke yangu cwezi..Mungu usininyamazie wakafanya sherehe....Lord you know what my heart demands,iam tired of crying ohh Lord .please Daddy change my destiny 😰😰😰😰
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amina
@neemashirima61212 жыл бұрын
Hakika Mungu anaweza. usinyamaze juu ya familia ya shirima na watoto wake maaana vita nikali tunapitia.
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amina
@natashaissa12663 жыл бұрын
Naomba usinyamaze baba wakafurah nibariki waone ukuu wako ee baba sikia baba nitazame mwanao niinuee
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amina mpendwa
@angelamwikali99772 жыл бұрын
Naomba usinyamaze bwana huu mwaka nishuhudie ukuu wako nyamazisha adui jehovah .whenever i listen to this song i feel like God will never abandon me nimechoka kuugua na kuteseka .Be blessed @vaileth $ martha
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amen
@JusterKarambu-xi5vy9 ай бұрын
@@vailethmwaisumo❤😊theroyiimodell 3:12
@paulodhiambo79373 жыл бұрын
a very good combination. Martha Kenyans love you
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@paulodhiambo79373 жыл бұрын
Barikiwa pia mum
@hildashilote8089 Жыл бұрын
Vita nilvo navoo mungu wa Danielle ujee
@chrissifuna7358 Жыл бұрын
Sitanyamaza , Mimi mungu wangu ntamuita anipikanie,🙏🙏💐
@mathiasjoely71833 жыл бұрын
Ameen! Naomba usinyamaze Baba maadui zangu ni wengi sana
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Barikiwa sana mpendwa wangu
@leahmbugua2966 Жыл бұрын
These wowen of God are my favourite from Tz.Nyimbo zenyu hua zina ni bariki sana🙏.Mungu Aendelee kuwa bless tu saaana🙏.l thank God for you,you are such a blessing 💕🙏
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amen
@user-zm1ri7lj9p8 ай бұрын
Naomba kwangu baba nitetee
@lucykanzaa6049 Жыл бұрын
Usinyamaze Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏 Vita vikali pekeangu siwezi nisaidie baba (I need your breakthrough in my business God)🙏🙏🙏🙏🙏
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Amen
@godwinmercy59183 жыл бұрын
Wow kweli Dada zangu huu wimbo wenu umenibariki sana wakati nikiwa mwishow wa shida zangu 🙏🙏🙏 Barikiwa sana ❤❤❤ tunawapenda sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪humu Kenya🇰🇪❤🙏🙏💃💃
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Shukrani sana mpendwa wangu barikiwa sana
@godwinmercy59183 жыл бұрын
@@vailethmwaisumo Amina🙏🙏nawe pia Dada❤💃💃
@joselinetibera77942 жыл бұрын
Nice songs.Mbarikiwe na Mungu azidi kuwainua
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amina
@sundayngenzi1848 Жыл бұрын
Teacher naelewa unacho kifanya upo serious stay blessed.
@rombomoja12502 жыл бұрын
Nimechoka kua CHINI ee Mungu maadui wanafuhi asante Vailethi barikiwa
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amina
@rahemachirundo8120 Жыл бұрын
Huu wimbo umenbariki Sana mungu awatie nguvu hawa aimbaji
@adisaayuma95223 жыл бұрын
Like za wakenya ziko wapi,, Mungu wetu usinyamaze...
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Hakika asinyamaze kwetu
@mauriceokelo82723 жыл бұрын
Ubarikiwe sana ,Mungu azidi kukuinua,,nimebarikiwa
@adisaayuma95223 жыл бұрын
@@mauriceokelo8272 Mungu wetu nimwaminifu.
@maryodindo10293 жыл бұрын
So much blessed ilove u Martha u natured many from 🇰🇪🇰🇪
@rimepeter7893 жыл бұрын
Amen
@samwelsimon4800 Жыл бұрын
Nakupenda xna huu wimbo
@jescacharles5692 жыл бұрын
Kweli MUNGU ucnyamaze tafadhari BABA angu nikumbuke
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amina
@vailethmagwisha40712 жыл бұрын
Kaz nzuuur watumishi MUNGU awaweke viwango vya juu zaidi,, nabarkiwa na nyimbo zenu😍😍😍🙏🙏
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Shukrani sana
@josephinemwambe33852 жыл бұрын
Huu wimbo waniguza Sana... Barikiweni Sana dada zangu... Wacha mungu wa Daniel na David asinyamaze🙏🙏🙏🙏🇰🇪
@vailethmwaisumo2 жыл бұрын
Amen
@matridakilumile2588 Жыл бұрын
VAIETH usisuke ukinyoa unapendeza zaidi wangu
@vailethmwaisumo Жыл бұрын
Shukrani
@heavenkingdom60253 жыл бұрын
naona mmekutana watu wangu wa nguvu nawakuri sana nyinyi Mungu awabariki sana
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Amina mpendwa wangu barikiwa pia
@givangilead2880 Жыл бұрын
The only area i salute Tanzanians. God bless Mwaipaja.
@mwakipundahenry52353 жыл бұрын
"Naomba usinyamaze, adui ni wengi, vita vikali peke yangu siwezi, niliowaita wamenyamaza, MUNGU wa Daniel, ........" Mmejua kunibariki nyie wadada. Ujumbe konki, Rangi konki, Location konki, Chemistry konki, Ndaga mwimbile mwe bhana umwee.
@vailethmwaisumo3 жыл бұрын
Ndagha fijo Kaka gwangu Usajigwege
@gracecakes25343 жыл бұрын
Usinyamaze baba nimechoka kusononeka
@gloriarimba40809 ай бұрын
Nakuomba baba usinyamanze vita ni vingi sana..bila wewe siwezi..ooh baba nitie nguvu🙏😭🎉🎉🎉
@kerrycarol3 жыл бұрын
Woow.usinyamaze yesu.wimbo mtamu.jamani Martha Mungu akuinue umeinua mioyo ya wengi