Kilio cha huyu mama kiwe laana juu ya wahuka wote machoz haya yakatende kazi
@scholamodestus93868 күн бұрын
Mama gani na ww usituchanganye bwana. Alie kufa ni mwanaume
@ummycheedy28098 күн бұрын
@@scholamodestus9386umesoma vizuri alichoandika hapo na umeelewa kweli😢
@JesusJesus-ny1sm8 күн бұрын
@@scholamodestus9386Wewe hujasoma vzr unalopoka tu, huyo mama anamlilia ndugu yake ameuwawa na polisi hata sheria za nchi hazipo hivyo !!!!!
@MamodelPark8 күн бұрын
@@scholamodestus9386Omba yasikukute yakishakukuta kwenye familia yako utaacha kuropoka
@FaridiMohamed-dd4hr8 күн бұрын
Kwan mama c ndio analia au umeona mwanaume apo we na we kavu nn🖕@@scholamodestus9386
@joslinchuwa12988 күн бұрын
Jamani jamani yaani nimetumia sana kiatu cha huyu mama hakinitoshi . Mama kama ulivyosema Mungu ahucke mwachie Mungu mamangu😢😢
@celinapeter94748 күн бұрын
Machozi yamenitoka kweli jmn
@saraenock76007 күн бұрын
@@celinapeter9474 inaumaa mmmh
@Rm2024-x3d7 күн бұрын
Yaani siwezi and ikan mengi nimeumia mno
@joslinchuwa12987 күн бұрын
Yaani ngumu kulipokea hili c jambo rahisi my dear. Tunapotezwa kidogo kidogo. Mungu atusaidie kwa kweli
@TonyJonas-mk9ik8 күн бұрын
Naamini Mungu ataingilia kati wakati ukifika Kilakitu kina mda wake, machozi ya wengi na maumivu yake yatalipwa.
@patrickmuna25828 күн бұрын
Hebu angalieni mnavyowaliza watu kwa kukatisha uhai wa binadamu kwa ajili ya madaraka tu...Mnaumiza sana watu
@emmanuelmasatu8 күн бұрын
NIHATARI SANA KWAKWELI. KWAHALI HII KAMA MUNGU HATAINGILIA KATI NIKWELI WATATUMALIZA. Haya mambo tulikuwa tunayasikiatu kwa majilani zetu sasa yapo hapa kwetu.!? Eeeeh MUNGU eee nihatari😭😭😭😭.
@VivianDule7 күн бұрын
Pole sana mamaangu nimeshindwa machozi yananitoka,yesu hatanyamaza mama atajibu tu ,
@samwa94968 күн бұрын
Mzee kama huyu mnauwa wanini laana khum
@spreadlove53007 күн бұрын
Nimewaza kama wewe 😮😮😮 wanailani nchi kwa unyama kama huu jamani 😢
@taflamohsin21957 күн бұрын
Lahaula wala quwata illah billah 😪
@daudimchileg3078 күн бұрын
Samia asipoangalia hili hadi hapo , atalipa damu za watu wengi saaana.
@PrinceHendry-hp8vv8 күн бұрын
Mwenzake alimwaga hakutoboa
@mohammededy70868 күн бұрын
Kwaio una ushahid ni serekal au
@florencemeza65408 күн бұрын
Una hakika alimwaga?? Au mafisadi mlimuua mlibanwa?? Fyoooooo@@PrinceHendry-hp8vv
@JaphetJairos-n4l8 күн бұрын
Samia ndo killer hiyo haipigwi
@JaphetJairos-n4l8 күн бұрын
@@mohammededy7086ndyo au ndo nyie wangese
@anastaziambote45748 күн бұрын
😢😢 pole Mamaangu mshukuru Mungu natumai Mungu wetu anaona atatenda sawa sawa nawanayoyafanya
@getrudeisaac8 күн бұрын
Pole mama pole Mungu atalipa
@rayaalhabsi17258 күн бұрын
Hasbuna Allah Wani'mal Wakiil kwa kila dhalim
@salomewandya72578 күн бұрын
Maskn jmn machozi ya huyu mama yasiende bure😢😢😢
@FaridiMohamed-dd4hr8 күн бұрын
Polen sana wanafamilia mungu yupo atawalipia hamna mwingine ataskia kilio chenu ni mungu pekee ndio atatulinda acha waish vizuri na familia zao😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@user-hj2jf4fd9t7 күн бұрын
Pole dada machozi na maombi yako mungu atajibu taifa la Mungu Lina chafuliwa damu za watu zimlilie mungu kama Ile ya abeli Mungu wa mbingu na nchi usinyamanze
@IssackJackson8 күн бұрын
Mungu atalipa kwa maombi ya huyu mama,pole mama angu
@evagerald82368 күн бұрын
😭😭😭💔💔eeeh Mungu yani mnauana kisa madaraka tu kweli 🙏🙏🙏
@aishamwalimu48166 күн бұрын
Yani jamani madaraka t unatoa uhai wa binadamu
@MayaAlamari8 күн бұрын
Innalillah wainaillah rajoon Allah ampe kauli thabit yaarab Wamemdhulumu watalipa hii dhulma kwa Allah
@benjaminsanare-ug6ge5 күн бұрын
Mungu ingilia kati jina la Yehova lina maanisha muweza yote,please baba embu fanya kitu mzee wa tangu enzi na enzi😭🙏
@beatricekagali10488 күн бұрын
Pole sana angalia kwenye ukoo labda yupo Freemason mtetezi ni Mungu.
@zepinashatibu51496 күн бұрын
Hilo nalo neno tunaweza tukahumu nje kumbe ndani waharifu tunaishi nao
@neemanziku54038 күн бұрын
Hii inamaanisha kuwa uhur haupo kabisa mnataka tuwe waongo na ss uongo hatutaki tutasema ukweli daima chadema hoyeeee
@user-tt1nm9xs4n8 күн бұрын
Tuwe Kama mwijjaku
@stellamiyombe61178 күн бұрын
Mungu nifundishe kunyamaza nisije nikakukosea mbwa mm maana Tanzania saizi kunambwa nawatu sisi tulio chini huku nimbwa hatusaminiki hata
@user-ju4mi1qx5b8 күн бұрын
Mungu ikumbuke🇹🇿🇹🇿 hawa mashetani wafe kwa jina la yesu. Kwanini mnafanya hivi nyie mashetani mungu awahukumu
@tanzaniawomenyouthempowerm2678 күн бұрын
Mama kalia kwa uchungu sana😮
@celinapeter94748 күн бұрын
Sanaaaaah😢
@Deonfnyoni7 күн бұрын
Nimejikuta natoa machozi Mungu tusaidie ss hatuwezi 😢😂🙏
@MarrylinellyMshana8 күн бұрын
💔💔💔💔😭😭😭😭😭Pole mama hakuna atakaye ishi namuomba Mungu akate umeme kwa wote wanahusika na maovu haya 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@JoyceMichael-bm9yw6 күн бұрын
Ivi mnadhani machozi ya uyu yataawaacha salama mnadhani watabaki salama hakika hawatabaki salama Mungu yupo Mungu yupo atalipa kam sio kwao ata kwa watoto wao mpk kizazi cha nne Mungu yupo.machozi ya mwanamke yanafika mpk kifuani mwa Mungu atafanya tu jambo😢😢😢😢😢😢
@prophetislael52657 күн бұрын
Vijana wenzangu achaneni namambo yasiasa kama unakula unalala unakazi yako bas inatosha lakin hembu qngalia maumivu anayo pitia huyu mama wakati mwingine watu wanauwaNa wenyewe ili kupandikiza chuki kwamtu au kwa chama fulani siasa ni mchezo mchafu Mungu alaze roho yamalehemu mahali pema
Na aliye uwa pamoja na aliye mtuma wote wakumbuke kuwa kifo kinawasubiri na Allah anawaona na atawauliza na kuwaadhibu hapa duniani na kesho akhera
@PiusNdasi8 күн бұрын
Mama mungu anakuona
@florashauri92287 күн бұрын
Poleni sana wanafamilia,Mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu,kwa kweli Ina uma sana.💔💔💔
@MarryMassawe-wr2zi8 күн бұрын
Walimtesa sana huyu samia anafanya nini jaman mbona hatoi tamko yan huyu mama anamaliza watu hasa upinzani
@FelisterTarimo8 күн бұрын
😭😭😭Mungu aingilie kati, hii nchi tuombe sana watu wanafanywa mshikaki. Tuombe juu ya Taifa letu
@tuikezeezra13157 күн бұрын
Namkwambia kama vile Nchi haina Kiongozi, matukio yamekuwa mengi sana lakin kimya hawasemi chochote!!!
@martinamahenge44767 күн бұрын
Mama ameumia sana polen wafiwa
@user-qy2ui7mn8q8 күн бұрын
Pole sana mama
@issaibrahim87967 күн бұрын
Mmemwaga Damu ya Mtu bila Haki Subirini na Nyinyi malipo yenu hapa hapa duniani😭😭😭
@VenitaRugemalila7 күн бұрын
Poleni jamani Mungu ni mwaminifu
@TickyRoman8 күн бұрын
Mungu usinyamaze katika haya yanayoendelea😢😢yanaumiza mno jamaniii
@JesusJesus-ny1sm8 күн бұрын
Mungu hafanyi lolote mpka WaTanzania wafanye maamuzi ndio asaidie !!!! Hata kwa habari zake aliwatuma watu wake km Daudi akasimama nao akawashindia !!! Nyie mmekaa mnategemea MUNGU ashuke awafanyie, haya tuendelee kusubiri ashuke.
@MusaMkembela-ex6ev8 күн бұрын
Watakuja hapa watasema alijiteka akaamua kujiua
@HappynessSoli8 күн бұрын
Apumnzike kwa Amani mungu awatawalipia waliyofanya kitendo hiki
@DorisMinja7 күн бұрын
Kila kilichofichika kitafichuliwa na Kila kilichositirika kitawekwa wazi Mungu wewe ndiyo hakimu wa haya yote
@zainabumilanzi29097 күн бұрын
Yaraby tusaidie kwa yote katika serekali yetu hii hakimu wetu ni Allah
@maryamsuleiman63407 күн бұрын
Jamani Jamani ,Samia utabebeshwa mengi ,usioyajua nimtihani mkubwa ,hatukuzowea Zanzibar ilamhu
@monicamassawe34357 күн бұрын
Mungu anaona na kuckia
@IreneEdmond7 күн бұрын
Mungu usinyamaze wala usikae kimya kuhusu haya yanayofanyika juu ya Taifa la Tanzania wote wanaohusika na haya wadhihirike
@DeruDeru-p4t7 күн бұрын
Dur poleni kwawafiwa jamani Mungu awape uvumilivu kwenye kipindi kigumu hiki
@FelisterTarimo8 күн бұрын
Yesu tusaidie watu wako, uonevu huu hadi lini?? Wanataka nini???
@ABRAHAMABRAHAM-jm4kv7 күн бұрын
Mshukuru mungu mama na wao kwa wakati wao utafika tu😢😢
@devothaignatius52567 күн бұрын
Jmn mbn Tanzania imekuwa hivi????😭😭😭😭😭😭😭 Mungu hucinyamaze nimeguswa mno
@setiseti52817 күн бұрын
Pore mamaangu mungu yupo atalipa inshaaallah
@LenardPhilipo-n5s7 күн бұрын
Mungu Yuko atalipa kwa wakati wake damu ya MTU hsiendi bure
@rahema19928 күн бұрын
Inalillah wainailayihi rajiun pole sana mama allah akupe nguvu na subra
@karimjuma40198 күн бұрын
Polen wafiwa inauma sna aiseee ila mungu ndio Hakim wa kweli
@PrisilaDeus7 күн бұрын
Mungu wambinguni atonyamaza kwa machozi aya jaman
@ameirzapy13187 күн бұрын
Mungu husimamia kwa kila alie dhulumiwa😢
@yasminoluoch1698 күн бұрын
Huyu mama samia ndo mbaya zaidi ogopeni watu wanaojifanya wapole😢😢😊
@DorkasDanieli-pw5qq8 күн бұрын
Wanao msifia sjui wanamsifiaga nn Unafki tu
@MbalasaJRMwakabalile8 күн бұрын
Kweli kabisa yean
@jacklinakinabo64798 күн бұрын
Una mwanasheria ndugu yngu😢😢😢, Mungu atuepushe na mabalaaa
@mariamngoha6398 күн бұрын
Walio husika watalipa machozi ya huyu mama
@teddytemu3317 күн бұрын
Mungu pekee awezaye kutenda yote hakika Eemwenyezi Mungu tunaomba ukaonekane mkono wako ni mkuu saana 😢😢😭😭💔🙏
@hanifamziray2778 күн бұрын
Huruma sn kafa kifo kibaya jaman
@mweyoms55487 күн бұрын
Hiki ni kilio cha uchungu wa KUDHULUMIWA. Wale wote waliodhulumiwa kwa namna yoyote ile na hawana namna ya kupata haki zao kwa kuwa hawana pesa wala mamlaka, shikamana na dua hii: "YA QAHHAR 'ALA KULLI JABBAR ANID." Dumu na dua hii huku mueleze Mwenyezi Mungu umedhulumiwa nini. NB: Aliyedhulumiwa dua yake haina kizuizi.
@user-uh7to2kw2z8 күн бұрын
Mungu atajibu 2 kwa hiki mnacho kifanya amani iko wp😭mungu wetu halali🙏
@believemsolwa15138 күн бұрын
Haya mambo yanaumiza sana.MUNGU atusaidie ila tuwe makini kabla hatujamlaumu yeyote najaribu kuonaKwa jicho la tatu.!! Inaweza kuwa nje ya tunachokiwaza,,oh my godness...
@SallmaXg8 күн бұрын
Poleni sana wafiwa 😢😢
@julietmshana19627 күн бұрын
Daaah nmeumia japo cmjui huyo marehemu😭😭😭😭
@MiishHassan-qm1et7 күн бұрын
Ndio Tanzania tunajisifu tuna uhuru kwa stahili hii kweli😢😢😢
@mudrick45538 күн бұрын
yaaani unauwa watu bila hata kujali muumba wako alie uwa alie tuma wote hawa hata km utaishii ulimwengu huu miaka 500 lakini hesabu yako km ya kuwa ama kutuma kuuwa mtu au watu hesabu yako lazima utalipwa ubaya wako huo
@Elimbingikessy8 күн бұрын
So sad,God will pay this pain...
@happynkya97707 күн бұрын
Mashehe na wachungaji mko wapi jaman 😭😭😭, wale wamama wa maombi Kwa aili ya kuliombea taifa mko wapi jamani, Mungu wangu uko wapi baba mbona kama umenyamaza baba,, Mungu ingilia kati na hili baba peke yetu hatuwezi baba wa mbinguni ingilia kati Mungu dah hiii imekuwa too much sasa jamani
@rebeccajacobo66767 күн бұрын
Inauma sana ila mungu anajuwa
@girikimdaila60267 күн бұрын
Da hii nchi saiv wanataka wote tuwe CCM ukiwa chadema tusiku za kuishi n chache Sana
@naimahhussein84306 күн бұрын
Hakuna atayeishi milele kwanini mnauwa 🥹🥹🥹🥹nyie tena kifo cha kikatili na mateso 😭😭😭😭😭yarab
@glorysungura31807 күн бұрын
MUNGU wangu, MUNGU wangu, MUNGU wangu naomba baba uwape faraja watoto wako. Nalia kwa uchungu, mama umeniliza asbh hii. Inauma sana, tunaenda wapi jamani, angalia anavyolia huyu mama. Hata huruma hamna?
@JamesKirita8 күн бұрын
Alafu wauwaji walivyoo na roombaya wanaangaliaa tukiwajuaaa tawatokezeeni na familia zaoo silakufumbia macho
@SmilingCityMap-xb9md7 күн бұрын
Hii ndio buludani ya utawala dhalimu tunapolia wao hugogeshana glasi na hutamani kuuwa tena kila baada ya sekunde ili wasikie kilio hiki na wanajiona wakuu na wataishi enzini na vizazi vyao miaka mia
@sophialaizer48848 күн бұрын
Inauma sana mwacheni tu alie hayo maumivu ni Mungu amtie nguvu
@jacquelinemwakasala95638 күн бұрын
Dah inatia huruma
@tuikezeezra13157 күн бұрын
Hivi jamani hii nchi haina Raisi au vipi mbona matukio mengi lakin hasemi chochote!!!!!, Tumlilie Mungu tu jaman maana binadamu hawana msaada kwetu. Too painful jamani!!!
@gracemima52347 күн бұрын
Tanzania haikuwa hivi kuuwana bila ya sababu. Jamani kuna nini?
@salomewandya72578 күн бұрын
Pole mama😢😢
@happynkya97707 күн бұрын
Ivi vilio Mungu atavilipa
@glorykastai39968 күн бұрын
Mungu atalipia hayo waliyotenda na atajibu upesi no one should take the life of others, shame to all of them na kwao kusiwe na amani.
@JohnMagudi8 күн бұрын
Mungu wangu hapa ndio tanzania ?
@AshaMwamba-g3l6 күн бұрын
Upo sikuu tutakuwa Kama ke😢😢😢😢😢
@NaomyMassawe8 күн бұрын
MUNGU USINYAMAZEEEEEE FANYA JAMBO MUNGU WETU 😢
@SAIDIMUKSIN-iy2op8 күн бұрын
Duh uchungu kiukweli
@nadiatanzania8 күн бұрын
Nimesikia uchungu uchungu tena Tanzania yangu now twaogopana na ilikuwa inch ambayo ilikuwa inaongoza kwa aman ukarimu utu Yan duuuu sasa jiran zetu watatufanya nn kama tz yangu tu hakukaliki umependo ulitoweka 😢😢😢😢 Mungu tukumbuke 😢😢😢😢
@Zubaiba8 күн бұрын
Pole sana mama yng😭😭😭😭😭😭😭😭
@JaphetJairos-n4l8 күн бұрын
Omba yasikukute haya huyu mama mtajuta mbona uyu mzanzibar siyo pouwa
@AminaSalumu-t9u8 күн бұрын
poleni
@brianbrayoo15908 күн бұрын
😭😭😭😭😭 This is too much, TZ you went too far..
@ndenengokimaro45028 күн бұрын
Apumzike kwa amani
@ShafiiSoud-b3w8 күн бұрын
hai waandishi sas..mtu analia wao wanamsindikiza na picha
@saraenock76007 күн бұрын
Yaani sijui maana nini
@JOSEPHMwakibinga8 күн бұрын
Enyi mlio husika mjifanye hamjui lakini kisasi chenu kinakuja. Naamini kilio Cha huyu mama mtalipaaaaa eee mungu ingilia kati baba
@janetchinga6958 күн бұрын
Jamani Tanzania yoooo mumuone huruma huyu mama 😢😢😢😢😢 mama atatenda hata kuasha ninani anae uua watu jamani mungu fichuwa yooooo
@spreadlove53007 күн бұрын
Ila jamani huyu mzee alomuua 😮😮😮 mmmh poleni familia
@NeemaSamson-ti8pc8 күн бұрын
Pole mama na ndugu wengine jamani ni huzuni sana
@user-nm8te8tx1w7 күн бұрын
Mpaka nimelia😢😢😢😢😢😢😢
@MarthaMakala-l8g7 күн бұрын
Jamani
@neykombe88317 күн бұрын
Machozi yananitoka wallah 😭😭😭
@believemsolwa15138 күн бұрын
Kwan ipo serikali inayoweza kuua watu wake simple like that? Haiingi akilini abadan asilan.Mungu tusaidie hii inaumiza sana. Haingii akilini.sijui hii nini!